Mimi maoni yangu ni kwamba " kiukweli nyimbo mnazoziimba zina bubujiko lakin je maisha yenu ya kiroho yana uhakika kweli jaman leo Yesu akija mnauhakika ya kuwa mnaenda mbinguni jaman waimbaji wetu"? Tunawapenda sana tungependa kama mnavyoimba hapa dunian na utukufu umfikie Mungu moja kwa moja ili kwamba siku Baba akija tumlaki wote mawingun ila tukiimba kwa lengo la kipato na kujifurahisha tuwe na uhalika ya kuwa tunapoteza muda na kujidanganya wenyewe maana hapo tunakuwa sawa na waimba bongo flava. Ila kama tunaimba katika Roho na kweli Mungu anafurahi sanaa! Asanteh sana! Mimi maon yangu ni hayo tu. Mungu akuongoze na kukulinda siku zote my brother! Mimi ni Jonas Japhet niko singida.
Yaaan Kila nikisikiliza nyimbo zako najikuta nalia tu ni vile sauti Yako inagusa maisha yangu Asante sana kaka mungu akutangulie kwa Kila unalolifanya likafanyike baraka kwa Kila mtu binafs napenda sana kazi Yako 😢❤❤❤❤❤
the EP Already Dwonloaded it amazing this is a real blessed vessel that carries the anointing Amen let everyone be blessed lessening to this LYRICS of HEAVENS
Mimi maoni yangu ni kwamba " kiukweli nyimbo mnazoziimba zina bubujiko lakin je maisha yenu ya kiroho yana uhakika kweli jaman leo Yesu akija mnauhakika ya kuwa mnaenda mbinguni jaman waimbaji wetu"? Tunawapenda sana tungependa kama mnavyoimba hapa dunian na utukufu umfikie Mungu moja kwa moja ili kwamba siku Baba akija tumlaki wote mawingun ila tukiimba kwa lengo la kipato na kujifurahisha tuwe na uhalika ya kuwa tunapoteza muda na kujidanganya wenyewe maana hapo tunakuwa sawa na waimba bongo flava. Ila kama tunaimba katika Roho na kweli Mungu anafurahi sanaa!
Asanteh sana! Mimi maon yangu ni hayo tu.
Mungu akuongoze na kukulinda siku zote my brother! Mimi ni Jonas Japhet niko singida.
Yaaan Kila nikisikiliza nyimbo zako najikuta nalia tu ni vile sauti Yako inagusa maisha yangu Asante sana kaka mungu akutangulie kwa Kila unalolifanya likafanyike baraka kwa Kila mtu binafs napenda sana kazi Yako 😢❤❤❤❤❤
Uko right
Gospel Music full of Life...giving us hope to Endure all that we undergo Obby feel appreciated for doing great musiq
One of my favorite tracks, hii Album tumeikubali hapa 🇰🇪🇰🇪
Barikiwa sana kwa Nyimbo nzuri
Hatimae mapenzi ya bwana yametimia❤❤😢😢
So touching song.In love with this one ❤
Shabiki zako tunaungoja wimbo wa niokoe
Ni kweli kama si Mungu ningekuwa wapi mimi ningeitwa nani.Asante Mungu ujaniacha pekee yangu
Kama siii Mungu tungepotea
Oooh God thanks,,,Hakika sina Mungu mwingine,kama si wewe wengine majina yetu yangekuwa hayapo hakika.
So Talented bro keep it up from 1k hills🇷🇼
You are blessed may God keep you moving ❤️🙏❤️
Mungu skuzidishie zaida ya hapo
You really bless me with your songs obby
Super vibes from a nice voice 🎉
Kisebeho tosha
Barikiwa sana #Obby
May, almighty God bless you so much
I like your songs
May the Almighty Lord Lift you higher day by day Obby...God bless you abundantly bro
the EP Already Dwonloaded it amazing this is a real blessed vessel that carries the anointing Amen let everyone be blessed lessening to this LYRICS of HEAVENS
Mungu azidi kukutumia kila wakati, barikiwa sana bro
Nakushukuluweee❤
Mungu azidi kukuongoza katika safari yako ya Kumtangaza yeye kupitia Njia ya Uimba 🙏 Barikiwa sana kaka yangu
😭😭 Mungu akuweke sana bro obby
Your name songs has always been a blessing to me
mungu ni mwema wakat wote ❤❤ hii niyimbo inanifunza na kunikumbusha mbali sana an
barikiwa sana niwakati wako wa Mungu kukupeleka juu na kukufuta machozi , natiwa moyo na huduma yako
Be blessed Obby
Ahsantee san 🎉🎉🎉🎉
Blessed brother
Mungu azidi kukuinua katika viwango vingi zaidi
this is lit bro be blessed
😢😢😢my heart this songs very strong messages God bless this soul🙏🙏🙏
Mola awe nasii
Nice One brother!❤👍
💃🏼🔥🔥🔥Kama si wewe ningekuwa wapi
Kazi murwa kaka
My favourite❤
😢😢😢 mungu aendelee kukupambania big brother unayo yafanya ukubwa wake anajua yeye pekee
More grace Obby in your ministry
Alaf hivi kwl n mm pekee angu nasikia sauti ya obby inakaribiana na ya mario
NICE SONG
Nyimbo nzuri sana kaka
Jmn obby mm shabiki ako wa mda mrefu barikiwa mno
je mwalimu wako ni gozbeti au?
How can I subscribe 1000+times and like😌🌎❤️.
Mungu yupo na wewe
Hallelujah
Amen 🎉🎉
🎉🎉🎉
#Kamasiwewe🙌
Daaaah Kakangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇🎇
❤❤❤❤❤
❤❤
🎉🎉🎉