Mgombea mwenza wa Ruto apeleka kampeni Nakuru

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 июл 2022
  • Mgombea mwenza wa muungano wa Kenya Kwanza Rigathi Gachagua ameendeleza kampeni hii leo katika kaunti ya Nakuru ambapo amewaahidi wakaazi kuwa serikali ya muungano huo iwapo watashinda uchaguzi itazingatia afya bora, elimu na kushukisha bei ya bidhaa muhimu nchini. Rigathi ambaye alifanya misururu ya mikutano katika maeneo ya Kuresoi Kaskazini na Subukia ,kaunti ya Nakuru amewataka wakenya kupigia kura kwa wingi muungano wao ifikiapo tarehe tisa Agosti

Комментарии • 31