Humo ndo kwajiuza wachezaji waonyesheni kazi hao wazungu watambue waliwahi kukutana na timu inaitwa Yanga siku waje kabisa Tanzania waombe mechi ya kirafiki💪
Huwa nashangaa mnaposema mimi wakwanza naomba like wakwanza ndo anatakiwa atoe ujumbe mzuri ili watu wakupatie like sasa nyie mnakimbilia kuomba like bila ujumbe kazi kweli kweli😂😂🙌
Chama shaurilako kaza kamba ya kiatu ukatafute kitu shauriyako bench lipo babaaa una relaaaaaaxy eti kamba unatumbukiza a side .Yanga kazi kazi .shauriyako kuna nizamu nyingi za mpira time na time ipo hy yakulegeza kamba lakini sio muda huu.wengine sisi tunatizama mpira tunaujua tunaucheza tushacheza tushakaa camp
Jeshi letu ee mungu tunaomba uwape afya njema wachezaji wetu pamoja na bechi la ufundi kesho iwe siku nzuri kuipogaiania nemboya yangsc💛💛💚💚
Humo ndo kwajiuza wachezaji waonyesheni kazi hao wazungu watambue waliwahi kukutana na timu inaitwa Yanga siku waje kabisa Tanzania waombe mechi ya kirafiki💪
Wakwanza leo naomba like za azizi na chama na pacome na max hapa
Huwa nashangaa mnaposema mimi wakwanza naomba like wakwanza ndo anatakiwa atoe ujumbe mzuri ili watu wakupatie like sasa nyie mnakimbilia kuomba like bila ujumbe kazi kweli kweli😂😂🙌
Kazi nzur daima mbele nyuma mwiko 💥💥💥💥
Yanga welcome south Africa❤
😢Kaz njema Miamba daima mbele Uko uko
Citizens💚💚💚🎉🎉
YANGA BINGWA💛
Mungu awe pamoja nanye wanaichi
Mungu atulindie timu yetu dhidi ya maadui
Sijamuona pacome
Hongera injinia hersi kuleta vyuma🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakubali alwatan Abdul kaz nzur
Wananchi tushikamane tusikubali mjinga moja atutenganishe.....tuzdsheni dua kwa raisi wetu🙏wachzaji🙏🙏
Mungu mwema
Mungu ibari Tim yetu Tim ya makombe
Tangu Safar ianze sijamwona PACCOME
Yanga oyeeeeeeee si nimabingwa natuta Baki kua mabingwa 2 anae bisha aseme
Alwatan Abdul mbna hatumuuni mtoto Adil
Yanga 🎉🎉🎉
💚💚💚💛💛💛💪 All the bext my team 🎉
The first one 🔰
My team
Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉
Jamani munisaidie simuon pakome
💚💛💚💛💚💛🏆
Mungu atutangulie ❤
Watajutaaaaa😂💛💚
0:33 all the best
Hongera injinia hersi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga bingwa
Wananchi sisi ni timu ya ushindi tusiruhusu watu kutugawa kwa namna yoyote ile kesho tutaona game ya kiufundi mkubwa. Like kama unaamini yanga bingwa.
Yes, sisi ni wafalme wa soka la TANZANIA ko hakuna takataka yeyote ya kutuyumbisha.
Nakubaliana na wewe mkuu @@Adrianolaurian
Jamani kwani mechi ya kesho wanaonyesha
@@DannyTenga Yes, itakua live Azam Tv
Yanga hoyee
Mechi ya kesho saa ngapi na je ni live ama
wachezaji wetu naomba musiwe na plesha Kwa yale aliezungumza magoma.chezeni mpila kwa uwezo wenye🙏
Safi sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Nimefurahi kuona Chama17 Mkude20 nafarijika sana
Forza yanga
Wananchi 💚💛💛💚🔥🔥🔥🔥🔥
Nice
Yanga hii ni 💥
Woyooooooo🎉🎉🎉🎉🎉
Nawatakia maandaliz memaaa❤❤
Mungu awapambanie chama rangu
Yanga Bingwa
Kila la kheri❤
Kila la heri wananchiii
Young Africans....
💚💚💚
Napenda Msheri Mala Nyng Huwa Namuona Yupo Kalibu Na Mwamba Rusaka
Maua ya semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Waoooo
Wapi pacome jamani🎉
@@Adrianolaurian saiv katoa brich
@@Devinjavikwa io yupo?
yangaa bingwaa
Mwenyezi Mungu awatunze wachezaji wetu
Yanga bingwa ❤❤❤❤❤
Wanainchiiiiiiiiiiiiii
Bingwa
💚💛🤲🤲
KILA LA HERI MY TEAM.
💚💚💚🔥
Chama shaurilako kaza kamba ya kiatu ukatafute kitu shauriyako bench lipo babaaa una relaaaaaaxy eti kamba unatumbukiza a side .Yanga kazi kazi .shauriyako kuna nizamu nyingi za mpira time na time ipo hy yakulegeza kamba lakini sio muda huu.wengine sisi tunatizama mpira tunaujua tunaucheza tushacheza tushakaa camp
Kila lenye kheri daima mbele nyuma mwiko tupo nyuma enu kwa Sara na dua
Nowma
Daima mbele nyuma mwiko
🔥🔥🔥
Yaan kesho tunashinda na Mzee magoma hatumtambui
😊
Ni mm tu
Tunasimama na Hersi said
My team 💚💚💛💛
Namuona baleke kwa mbaaali
Magomaaaa😂😂😂😂
Magoma mchumba tu! mmwaaa! Fatuma.
Kweli sisi 2povizuli yanga noma umwaka wata pata tabu sana
Jeshi kubwa
Wachezaji woooote nimewaona kasolo PACOME tu sijamuona kila nikiangaza macho simuoni kulikoni wadau au kuna aliemuona tukumbushane?
Jamani mcheze kibingwa ushindi tunaujitaji
Mbn pacomee hayupo
pacome ana mambo mengii sana kama ameanza mapema ivi aondoke aletwe mtu mwingine ambae muda mwingi yupo uwanjani bhana
Unaijua shida yake?
Mabingwa wa dunia ni motooooo
Machampion
Mm yangaaa
Mbona simuoni pakome
Humu tuuuuu kesho 😆😆😆
Pakome simuoni jamani
Kesho zawadi jaman mnipatie dakika 35 yanga anapata bao la kuongoza mtaniambia. Niko katav .
13mnts past ndo hii video imepostiwa lakini cheki likes, comments na views walivo weng this means hii klabu inafatiliwa sana❤
Ukisikia wanaume ndio hao bc mujionee
Pacome😳
kesho mfungwe mamb mengne yaendelee
Pacome😊
Umemuoma??
Likes full hapa
Kwani uhogopi🟢🟡
Pacome yupo wap
Kila la kheri chama langu apo kesh
Pacome spesho kwa makolo
Pacome yupo wapi?
Mbn hammuoneshi baleke inakuaje
Tangu atoe brich pacome nashindwa kumjua😢
hayupo kabisa bana mzinguaji sana yule ndio mwanzo tu pre season lkn hayupo uwanjani mapema ivi
Pacome mbona hayupo?
Pacome yupo wapi
Wapi pacomw
Pacome hizi videos za kalibuni mbona hatumuoni
Pakome yuko wapi