Комментарии •

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 21 день назад

    asante spika swali zuri hilo

  • @jumacristv
    @jumacristv 21 день назад

    Huyu Mbunge ni very makini...

  • @edwardolemamba7155
    @edwardolemamba7155 22 дня назад

    sijawahi kuona serikali yenye ubabashaji kama hii ya Tanzania yaani Waziri anasema kijiji imengia ndani ya hifadhi kwani kijiji kina miguu inatembea jamani

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 22 дня назад

    spika uko makini sana