Rostam (Roma & Stamina) - Hivi ama vile [Official Music Video]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Hivi ama vile also known as Wapinzani wa jadi.
    Audio produced by Mr. T Touch
    Video directed by NiCKLASS
    (c)Babaz Entertainment

Комментарии • 766

  • @directorshasibu
    @directorshasibu 15 дней назад +6

    Nilikuwepo Hapa September 2024🎉🎉

  • @olivermwangombe2337
    @olivermwangombe2337 7 лет назад +72

    Big up Rostam kazi nzuri kazi kubwa yani mumetisha sana aisee...........gonga like kama mnahitaji kazi kama hii kutoka kwa Rostam

  • @kenimboabra8230
    @kenimboabra8230 6 лет назад +4

    Uku kenya twangoja collabo yenu na darassa itakuwa wazimu.......ngoma nzuri

  • @angelshirima7347
    @angelshirima7347 7 лет назад +113

    I don't understand the language used but hawa makaka wametisha kinomaaaaaa gonga like hapa afu karibu chinaaaaa

    • @mwinyihamisidee5813
      @mwinyihamisidee5813 7 лет назад

      Angel nation Itabidii tuje tu huko maana hali ya Huku tete

    • @angelshirima7347
      @angelshirima7347 7 лет назад

      Masangu John Dee haha hahah pambaneni na hali zenu hukooo

    • @mwinyihamisidee5813
      @mwinyihamisidee5813 7 лет назад

      Angel nation maana Hakuna namna nyingie Bado miaka 8 hapa uncle aondokee

    • @lucky9285
      @lucky9285 7 лет назад +2

      Masangu John Dee
      Bado miaka 20 ili uchumi wa Tz uwe kama USA 😀😀😀

    • @angelshirima7347
      @angelshirima7347 7 лет назад

      salum hassan hahhahha ndio

  • @guyemant5137
    @guyemant5137 7 лет назад +7

    Hawa jamaa wakalale lumande siku mbili. marufuku kuimba wimbo mkali kama huu

  • @allymalick5959
    @allymalick5959 7 лет назад +68

    Happy birthday yangu leo zawadi pekee naomba tukafikishe 1M views wimbo wa Roma zimbabwe😊😊😊

  • @westzonetv366
    @westzonetv366 7 лет назад +4

    nakubali sana bro VIVA ROMA HATA MM DAMU YANGU CHADEM ✌👌👌👌✌✌✌✌✌✌✌✌✌ NAKUBALI SANA

  • @kgchippy
    @kgchippy 7 лет назад +4

    Hii ngoma kali zaidi... From Kenya Mombasa

  • @aminadaudi4680
    @aminadaudi4680 4 года назад +9

    5/June 2020 like zenu jaman ata 5 tu 😍😍ngoma ata aichuji

  • @gongalike3441
    @gongalike3441 7 лет назад +45

    I'm from Pakistan, I don't uderstand Swahili but hii Ngoma kali sana.

    • @spoasaule9865
      @spoasaule9865 7 лет назад +1

      like it

    • @erastomwakalukwa3594
      @erastomwakalukwa3594 7 лет назад +4

      Chakustaajabisha TV hata comments umeandika kiarabu!

    • @gine9011
      @gine9011 7 лет назад

      Chakustaajabisha TV
      unazingua ati hujui shahil.

    • @neemasteven7372
      @neemasteven7372 7 лет назад +1

      kwl kabisa haujui ndio maana jina kiarabu hata comment umemalizia na kiarabu

    • @godlisten255
      @godlisten255 7 лет назад

      Og

  • @bidimkaribidi7523
    @bidimkaribidi7523 7 лет назад +197

    ngoma kali kama umeikubali gonga liker hapa ili tuende sawa

  • @menazacharia1316
    @menazacharia1316 7 лет назад +2

    Ubunifu poa sna kiukwel kila mtu alijua pale wanacheza gemuuu sad Sana nimependa

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 7 лет назад

    Duh bonge la kichupa nakubali hip hop Bongo imesogezwa mbele na legends

  • @simba8147
    @simba8147 7 лет назад +10

    am from Ukraine but i feel this song very much...
    nice
    kip it up Roma mkatolic nd stamina from moro town..😍

  • @user-vv5xd3ye4i
    @user-vv5xd3ye4i 7 лет назад +1

    toka ndani ya Pluto planet..... ngoma Kali xana tu.... timu WCB

  • @kalukithi3112
    @kalukithi3112 6 лет назад

    Tanzania artist's wanatalents but hawajui kuzitumia, kweli kwenye miti hakuna wajenzi

  • @mkolwebrown4599
    @mkolwebrown4599 2 месяца назад

    HII NDO WALIMUIBIA YOUNG KILLER.ALOOOOO

  • @davidkalinga5580
    @davidkalinga5580 7 лет назад

    ngoma kali broz, mngewatupia tu president lowassa maguful ney madee nk ingenoga zaid

  • @duncankasena
    @duncankasena 6 лет назад

    Hii Kali Sana...Biggup ROSTAM

  • @danemanuel7507
    @danemanuel7507 6 лет назад

    Hivi ama vile mmetisha wanangu. Big up sana

  • @issamohamedissa8894
    @issamohamedissa8894 7 лет назад

    mafundi wanapokutana huwa wanafanya kweli...bonge la song

  • @fedrickisse2330
    @fedrickisse2330 7 лет назад

    Niko gerezani na wafungwa wenzangu
    Wakina manji na malinzi ngoma imeeleweka hadi huku

  • @linaliaty549
    @linaliaty549 7 лет назад

    Kiufupi tu tee touch mkali anakimbiza bongo Ile mbaya nyie hamuoni ney kapotea au nimekosea

  • @godwillkamendu2691
    @godwillkamendu2691 7 лет назад

    Wahuni si watu wazuri kizazi jeuri tena chafu sio pw ko ROMA umesema nay ana ki nn napenda ligi

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 7 лет назад

    Nay muacheni salama na kithethe chake akitoa ngoma ya kuwadiss mtakimbiana

  • @delartone3016
    @delartone3016 7 лет назад

    Nampenda Shishi bwana mwanamke sura....😁😁😁😁

  • @grantonjnrmaghanga5821
    @grantonjnrmaghanga5821 4 года назад +1

    Hivi ama vile ...kunakosikika Ngoma ni wapi...??? You are guys are rocking the air waves

  • @zondomkali2205
    @zondomkali2205 7 лет назад

    Asee bila unafiki hii ngoma ni kali,👍👍👍👍👍👍👍naipa100%

  • @mwandumazaoidrossa1702
    @mwandumazaoidrossa1702 7 лет назад

    Eti mm nampenda magu muokozi wa makapuku. tisha mbaya

  • @trainerkasim1721
    @trainerkasim1721 7 лет назад

    nampenda snura ana bonge la chura jamaha umetisha

  • @allymalick5959
    @allymalick5959 7 лет назад +29

    wadau twendeni Zimbabwe tukafikishe 2M views huku siko 😈😈😈 tuache na zimbabwe yetu sawa !!!

  • @mutetikonfidence8680
    @mutetikonfidence8680 4 года назад +8

    These guys can sing.big up from Kenya

  • @shadiashadia4701
    @shadiashadia4701 7 лет назад

    Big up ngoma kali nairudia mala kumi kumi

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 7 лет назад

    I REP +254 , ROSTAM imeungana poa. Track imetisha kichizi. Kazi nzuri. Ringtone yangu

  • @ramzsalim8327
    @ramzsalim8327 7 лет назад

    aii hii n bigup xana kilifi r listenng kaboom

  • @josephmurphyjosephmurphy7294
    @josephmurphyjosephmurphy7294 7 лет назад

    tisha saana tukutane pale kigamboni niwavushe daraja kila mmoja aende anapotaka nauli nalipa

  • @anordmaiko8931
    @anordmaiko8931 7 лет назад

    mwambien romaa aniuzieee hizoo nguo

  • @khamisisuleiman4315
    @khamisisuleiman4315 7 лет назад +2

    wow nice job pamoja sana big up

  • @meddykessy7127
    @meddykessy7127 7 лет назад +2

    Makonda hawana vyeti lakn boss anatuamini

  • @jumamjupa5632
    @jumamjupa5632 7 лет назад +1

    ikopoa Sana tu

  • @victorbernard449
    @victorbernard449 7 лет назад +9

    Daah...Nicklas naona hanscana aanze kujipanga..kichapo kikalii

    • @frankjully5457
      @frankjully5457 7 лет назад +4

      Nicklas yuko vizuri sana duniani hakuna namba moja wa milele hata hascana alimkuta Adam Juma

    • @saidiswedi4882
      @saidiswedi4882 6 лет назад

      Nibalaa nyie

    • @saidiswedi4882
      @saidiswedi4882 6 лет назад

      Kama kukuona live

  • @AndrewPaulsr
    @AndrewPaulsr 3 месяца назад

    Nyimbo noma sana hii 🔥🔥🔥

  • @paulomsigwa6202
    @paulomsigwa6202 7 лет назад

    tisha ile mbayaaaaaaaa!!!!,, Roma and Stamina stand up!!!!!!!!!!!!

  • @obadiakapinga5315
    @obadiakapinga5315 7 лет назад +39

    Ata udiwani hauwafai.....kwanza mmoja anakithethe hahahahha

  • @tanstoretz
    @tanstoretz 7 лет назад

    #ROSTAM sio watu wazuri kabisa

  • @barobeatlab6206
    @barobeatlab6206 7 лет назад +3

    Roma Mungu alikuzidishia bhana

  • @shytondecantosay1750
    @shytondecantosay1750 7 лет назад

    Namkubali Sana Roma Huyu mutu yuko muzur

  • @dismasmiti7680
    @dismasmiti7680 5 лет назад

    I se noma sana roma na stamina nyie moto

  • @wakirenefp1570
    @wakirenefp1570 7 лет назад

    HV AMA VLE sio kama zile za wale maboya wanaoandika ngoma studio naku rekodi siku hiyohiyo

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 7 лет назад

      Wakirene Fp
      Mziki ni #Passion kijana, unakujaga kichwani kama anaye #Freestyle.. siokuchunga ndani kama zinazaana...
      NB: Sijapenda hii idea, wanamwiga #NayTrueBoy

  • @josephlengesia9309
    @josephlengesia9309 7 лет назад +10

    Imekaa Safi Hadi Kero bhana Mmezidi Na Nyinyi

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 7 лет назад

    Hiii ngoma Kali xanAa aiseee

  • @patopartizzodientertainer893
    @patopartizzodientertainer893 7 лет назад +1

    APA SHIDA!!track moto kama pasi!!

  • @nanabrilliant6308
    @nanabrilliant6308 6 лет назад

    Nimeanza kukuelewa viva jmn

  • @khalfankwelibrooshaban2344
    @khalfankwelibrooshaban2344 7 лет назад

    mi,wema mi,zali hahaaaa zawapi hizo wanangu

  • @ernestndauka9301
    @ernestndauka9301 7 лет назад +1

    Ngoma kali katika mikono ya T touch!! Waimbaji ni zaidi ya moto!!! Kazi nzuri!!!

  • @gervastweve8612
    @gervastweve8612 7 лет назад +1

    harari saaaana ,mchizi romaaa umetishaa, kwenye show mtakuja ua,%%%_√√√%%

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 месяца назад +1

    ❤❤🔥🔥2024mee wema🔥🔥

  • @gid84able
    @gid84able 7 лет назад +2

    Bongo new school!!! nommaree wakenya mpoooo?? inanikumbusha enzi za kina mwwana FA an Jaymo

  • @amriabubakar9099
    @amriabubakar9099 7 лет назад

    Hehhe eti "mbona makonda hatuvyeti na tunaaminiwa na bosi. " PUNCHLINE onpoint kama penseli

  • @joxeesetty1980
    @joxeesetty1980 7 лет назад +3

    Ww unaharibu ilitakiwa uache Mzimbabwe isonge kwanza

  • @annalusajo5835
    @annalusajo5835 7 лет назад

    dah! hawajamaa hatareeeee

  • @danfordacleyskunambi9331
    @danfordacleyskunambi9331 7 лет назад

    om boy stamina upo vzuriiiiiii

  • @shabanibilali9661
    @shabanibilali9661 4 года назад

    Hata mm Madrid washanichania mkeka,,,,ngoja nikabet vitenes

  • @RomaMichael-ei6di
    @RomaMichael-ei6di Год назад +2

    Gooooood rostam💪💪💪💪💪

  • @batsmanintruder419
    @batsmanintruder419 7 лет назад +6

    Kwanzaa mmoja ana kithethe

  • @MarashiOG
    @MarashiOG 7 лет назад +1

    sawaaa

  • @edwarddaniel5683
    @edwarddaniel5683 7 лет назад +1

    all the way from Mogadishu sijui kiswahili ila hii ngoma kali sana

  • @Dokta_kuku
    @Dokta_kuku 2 месяца назад +1

    Tuliokuja huku baada ya wimbo wa Young Killer tujuane

  • @jumajasjas2925
    @jumajasjas2925 7 лет назад +1

    "Makonda hatuna vyeti na tunaaminiwa na bosi"

  • @mwambabinladentv4097
    @mwambabinladentv4097 7 лет назад

    Viva Roma nakubalii sanaaa Rostam

  • @gershonkomando4669
    @gershonkomando4669 7 лет назад +1

    Duuuu iv Roma zimbabwee kunaa niniii umetishaaa xanaaa ngomaa kaliii xanaaa

  • @dangotesam9845
    @dangotesam9845 7 лет назад

    Hapa kazi tu, ikulu mtapaskia tu

  • @rominpeter274
    @rominpeter274 7 лет назад +1

    Namm wakinikata damu yangu wataiona sura ya ruwassa mtupu😄

  • @rashidsalum9668
    @rashidsalum9668 5 лет назад

    ivi awa jamhaa nimajini au mana awajawai kosea

  • @palesyosilingo6386
    @palesyosilingo6386 7 лет назад +1

    Siyo makonda semeni bashite mbona ney yeye amenyosha

  • @zakayonyassa3616
    @zakayonyassa3616 7 лет назад

    Stamina humpendi mwenzio akafanye shoo kibiti daaa mumetisha sana ROSTAM

  • @rosemtigandi5339
    @rosemtigandi5339 7 лет назад

    iko poa sana nimeipendaaaaaaaaaaaaaa

  • @amran_garage
    @amran_garage 7 лет назад

    umetisha mwana unaweza sana tu one love

  • @luganobwenda8590
    @luganobwenda8590 7 лет назад

    Sio mpenzi wa ku-comment kwenye mitandao lakini kuna wakati miiko inabidi ivunjwe tu... Hii ngoma ni kali aisee, nafikiri ni miongoni mwa vitu masikio yangu inapenda kusikiliza zaidi kwa wakati huu.... Oyooooooooooo!

  • @bonnyboyka5913
    @bonnyboyka5913 4 года назад +1

    acha ubishi dogo. sannnnnnnnnnnn tuuuuuuuuu

  • @melkizedeckallen3399
    @melkizedeckallen3399 7 лет назад +1

    ngoma kali sana!!!!!!

  • @isaackbenson7346
    @isaackbenson7346 7 лет назад +2

    Ngoma kali, video kali... Good music

  • @jiggabounz
    @jiggabounz 7 лет назад +16

    Dope Beat 💯 LIKE 🔥🔥🔥

  • @kiplarono8515
    @kiplarono8515 7 лет назад +1

    Sauti zenu kaka ,naikubali mimi,,wimbo safi tena ina nguvu tele

  • @sasitaokusimba2969
    @sasitaokusimba2969 5 лет назад +1

    From kenya .Napendanga cllabooo yenu bro

  • @salehegiza8434
    @salehegiza8434 7 лет назад

    madereva tunavyeti makonda unatupa madongo mwaaaaaaa

  • @lucasnikodemas2691
    @lucasnikodemas2691 7 лет назад

    wako vzr sana mabrother

  • @deorichard9946
    @deorichard9946 7 лет назад

    Bonge la ngoma mazeee munatisha San salut san

  • @msasunkumua9582
    @msasunkumua9582 7 лет назад +1

    Wachawi wa music,watu na fani zao..chadema vidole viwili juu...

  • @janejames1899
    @janejames1899 7 лет назад +1

    Hapo sawa Roma mziki mtamu

  • @bazukamimi5721
    @bazukamimi5721 5 лет назад +3

    Real bongo hiphop is back

  • @jacksonninja4380
    @jacksonninja4380 7 лет назад

    kma kaw , ngoma kal xnaaa

  • @anthonynicholaus5916
    @anthonynicholaus5916 7 лет назад

    yan ili dude hatariii jamanii

  • @mosesmafunga4939
    @mosesmafunga4939 5 лет назад

    Kali hii.........!!!

  • @ombugamasunga3794
    @ombugamasunga3794 7 лет назад

    Wimbo wa kisenge kweli

  • @romanwilliam4919
    @romanwilliam4919 7 лет назад

    nakubali ninyii waungwanaaa

  • @sirondemollel3702
    @sirondemollel3702 6 лет назад

    hongera broooooooooo

  • @fashnalightismaily7600
    @fashnalightismaily7600 7 лет назад

    ni hivi ama vile nice song Roma& stamina

  • @mrematvbabakoku8336
    @mrematvbabakoku8336 2 года назад

    Nyimbo zaroma zinaupako sana namkubali asilimia900

  • @barakagombekile2172
    @barakagombekile2172 7 лет назад

    Bonge LA video mmetisha sana#Rostam