Wakirene Fp Mziki ni #Passion kijana, unakujaga kichwani kama anaye #Freestyle.. siokuchunga ndani kama zinazaana... NB: Sijapenda hii idea, wanamwiga #NayTrueBoy
Sio mpenzi wa ku-comment kwenye mitandao lakini kuna wakati miiko inabidi ivunjwe tu... Hii ngoma ni kali aisee, nafikiri ni miongoni mwa vitu masikio yangu inapenda kusikiliza zaidi kwa wakati huu.... Oyooooooooooo!
Nilikuwepo Hapa September 2024🎉🎉
Big up Rostam kazi nzuri kazi kubwa yani mumetisha sana aisee...........gonga like kama mnahitaji kazi kama hii kutoka kwa Rostam
Uku kenya twangoja collabo yenu na darassa itakuwa wazimu.......ngoma nzuri
I don't understand the language used but hawa makaka wametisha kinomaaaaaa gonga like hapa afu karibu chinaaaaa
Angel nation Itabidii tuje tu huko maana hali ya Huku tete
Masangu John Dee haha hahah pambaneni na hali zenu hukooo
Angel nation maana Hakuna namna nyingie Bado miaka 8 hapa uncle aondokee
Masangu John Dee
Bado miaka 20 ili uchumi wa Tz uwe kama USA 😀😀😀
salum hassan hahhahha ndio
Hawa jamaa wakalale lumande siku mbili. marufuku kuimba wimbo mkali kama huu
😅😅
Happy birthday yangu leo zawadi pekee naomba tukafikishe 1M views wimbo wa Roma zimbabwe😊😊😊
Lamba lulu
nakubali sana bro VIVA ROMA HATA MM DAMU YANGU CHADEM ✌👌👌👌✌✌✌✌✌✌✌✌✌ NAKUBALI SANA
Hii ngoma kali zaidi... From Kenya Mombasa
5/June 2020 like zenu jaman ata 5 tu 😍😍ngoma ata aichuji
I'm from Pakistan, I don't uderstand Swahili but hii Ngoma kali sana.
like it
Chakustaajabisha TV hata comments umeandika kiarabu!
Chakustaajabisha TV
unazingua ati hujui shahil.
kwl kabisa haujui ndio maana jina kiarabu hata comment umemalizia na kiarabu
Og
ngoma kali kama umeikubali gonga liker hapa ili tuende sawa
Baxhiru Side safi
safi sana
nimeikubali
bigile ng'wana
kimsasha k
asim
Ubunifu poa sna kiukwel kila mtu alijua pale wanacheza gemuuu sad Sana nimependa
Duh bonge la kichupa nakubali hip hop Bongo imesogezwa mbele na legends
WAMALIKO LUMUMBA noma
am from Ukraine but i feel this song very much...
nice
kip it up Roma mkatolic nd stamina from moro town..😍
toka ndani ya Pluto planet..... ngoma Kali xana tu.... timu WCB
Tanzania artist's wanatalents but hawajui kuzitumia, kweli kwenye miti hakuna wajenzi
HII NDO WALIMUIBIA YOUNG KILLER.ALOOOOO
ngoma kali broz, mngewatupia tu president lowassa maguful ney madee nk ingenoga zaid
Hii Kali Sana...Biggup ROSTAM
Hivi ama vile mmetisha wanangu. Big up sana
mafundi wanapokutana huwa wanafanya kweli...bonge la song
Niko gerezani na wafungwa wenzangu
Wakina manji na malinzi ngoma imeeleweka hadi huku
Kiufupi tu tee touch mkali anakimbiza bongo Ile mbaya nyie hamuoni ney kapotea au nimekosea
Wahuni si watu wazuri kizazi jeuri tena chafu sio pw ko ROMA umesema nay ana ki nn napenda ligi
Nay muacheni salama na kithethe chake akitoa ngoma ya kuwadiss mtakimbiana
Nampenda Shishi bwana mwanamke sura....😁😁😁😁
Hivi ama vile ...kunakosikika Ngoma ni wapi...??? You are guys are rocking the air waves
Asee bila unafiki hii ngoma ni kali,👍👍👍👍👍👍👍naipa100%
Ngoma kali kinomaaaaaaaah
Eti mm nampenda magu muokozi wa makapuku. tisha mbaya
nampenda snura ana bonge la chura jamaha umetisha
wadau twendeni Zimbabwe tukafikishe 2M views huku siko 😈😈😈 tuache na zimbabwe yetu sawa !!!
ly bñoollm
kweli alliy twende
These guys can sing.big up from Kenya
Big up ngoma kali nairudia mala kumi kumi
I REP +254 , ROSTAM imeungana poa. Track imetisha kichizi. Kazi nzuri. Ringtone yangu
aii hii n bigup xana kilifi r listenng kaboom
tisha saana tukutane pale kigamboni niwavushe daraja kila mmoja aende anapotaka nauli nalipa
mwambien romaa aniuzieee hizoo nguo
wow nice job pamoja sana big up
Makonda hawana vyeti lakn boss anatuamini
ikopoa Sana tu
Daah...Nicklas naona hanscana aanze kujipanga..kichapo kikalii
Nicklas yuko vizuri sana duniani hakuna namba moja wa milele hata hascana alimkuta Adam Juma
Nibalaa nyie
Kama kukuona live
Nyimbo noma sana hii 🔥🔥🔥
tisha ile mbayaaaaaaaa!!!!,, Roma and Stamina stand up!!!!!!!!!!!!
Ata udiwani hauwafai.....kwanza mmoja anakithethe hahahahha
Wameishiwa jamani ad uruma tena na hiz nyimbo
wewe ndo unajua nyimbo Asma Said, hii nyimbo mbovu
Cjui ila wameushiwa kwakweli
Gud sister
Tisha sana
#ROSTAM sio watu wazuri kabisa
Roma Mungu alikuzidishia bhana
Namkubali Sana Roma Huyu mutu yuko muzur
I se noma sana roma na stamina nyie moto
HV AMA VLE sio kama zile za wale maboya wanaoandika ngoma studio naku rekodi siku hiyohiyo
Wakirene Fp
Mziki ni #Passion kijana, unakujaga kichwani kama anaye #Freestyle.. siokuchunga ndani kama zinazaana...
NB: Sijapenda hii idea, wanamwiga #NayTrueBoy
Imekaa Safi Hadi Kero bhana Mmezidi Na Nyinyi
Hiii ngoma Kali xanAa aiseee
APA SHIDA!!track moto kama pasi!!
Nimeanza kukuelewa viva jmn
mi,wema mi,zali hahaaaa zawapi hizo wanangu
Ngoma kali katika mikono ya T touch!! Waimbaji ni zaidi ya moto!!! Kazi nzuri!!!
harari saaaana ,mchizi romaaa umetishaa, kwenye show mtakuja ua,%%%_√√√%%
❤❤🔥🔥2024mee wema🔥🔥
Bongo new school!!! nommaree wakenya mpoooo?? inanikumbusha enzi za kina mwwana FA an Jaymo
Hehhe eti "mbona makonda hatuvyeti na tunaaminiwa na bosi. " PUNCHLINE onpoint kama penseli
Ww unaharibu ilitakiwa uache Mzimbabwe isonge kwanza
dah! hawajamaa hatareeeee
om boy stamina upo vzuriiiiiii
Hata mm Madrid washanichania mkeka,,,,ngoja nikabet vitenes
Gooooood rostam💪💪💪💪💪
Kwanzaa mmoja ana kithethe
sawaaa
all the way from Mogadishu sijui kiswahili ila hii ngoma kali sana
Tuliokuja huku baada ya wimbo wa Young Killer tujuane
"Makonda hatuna vyeti na tunaaminiwa na bosi"
Viva Roma nakubalii sanaaa Rostam
Duuuu iv Roma zimbabwee kunaa niniii umetishaaa xanaaa ngomaa kaliii xanaaa
Hapa kazi tu, ikulu mtapaskia tu
Namm wakinikata damu yangu wataiona sura ya ruwassa mtupu😄
ivi awa jamhaa nimajini au mana awajawai kosea
Siyo makonda semeni bashite mbona ney yeye amenyosha
Stamina humpendi mwenzio akafanye shoo kibiti daaa mumetisha sana ROSTAM
iko poa sana nimeipendaaaaaaaaaaaaaa
umetisha mwana unaweza sana tu one love
Sio mpenzi wa ku-comment kwenye mitandao lakini kuna wakati miiko inabidi ivunjwe tu... Hii ngoma ni kali aisee, nafikiri ni miongoni mwa vitu masikio yangu inapenda kusikiliza zaidi kwa wakati huu.... Oyooooooooooo!
acha ubishi dogo. sannnnnnnnnnnn tuuuuuuuuu
ngoma kali sana!!!!!!
Ngoma kali, video kali... Good music
Dope Beat 💯 LIKE 🔥🔥🔥
Sauti zenu kaka ,naikubali mimi,,wimbo safi tena ina nguvu tele
From kenya .Napendanga cllabooo yenu bro
madereva tunavyeti makonda unatupa madongo mwaaaaaaa
wako vzr sana mabrother
Bonge la ngoma mazeee munatisha San salut san
Wachawi wa music,watu na fani zao..chadema vidole viwili juu...
Hapo sawa Roma mziki mtamu
Real bongo hiphop is back
kma kaw , ngoma kal xnaaa
yan ili dude hatariii jamanii
Kali hii.........!!!
Wimbo wa kisenge kweli
nakubali ninyii waungwanaaa
hongera broooooooooo
ni hivi ama vile nice song Roma& stamina
Nyimbo zaroma zinaupako sana namkubali asilimia900
Bonge LA video mmetisha sana#Rostam