Asante Ndugu mtangazaji kama Ngarenaro kuna gorofa moja tu Ila haijakaa poa kabisa yani IPO migorofa Hadi inatisha next time Fanya research kwanza ndiyo utletee habari 🙋🙋✍️✍️
Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na flat smart TV inch 22-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh bila kusahau warrant ni 4yrs wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.Utatanguliza kianzio kwanza ndipo upate huduma yetu.
Sawa sawa dada ...huku south Africa 🇿🇦 ata matajiri wanapenda sana miguu ya kuku ni chanukah kizuri
Asante Ndugu mtangazaji kama Ngarenaro kuna gorofa moja tu Ila haijakaa poa kabisa yani IPO migorofa Hadi inatisha next time Fanya research kwanza ndiyo utletee habari 🙋🙋✍️✍️
Amen Amen. ni shida .Mungu awsaidie . dumisheni Amani. Amen.
Hapo kazi tu ccm oyeeee ngarinaro
Kitambo Sana nilipangaga uko kipnd hcho kodi ilikuwa 3000kwa mwezi
Mhhhhh ngarenaro,aya bhana
Mmmmm bado hakujakucha hata kwetu mtwara limekuwa jiji nzuri
mtwara bado saanaaa hapo mtangazaji kaamua kuzalilisha ngarenaro boya huyo
Açha bañg chuga ndy jiji lapil tz
@@hamisitz4796 punguza bangi mwanza Mwanza ndo jiji la kwanza tz
Oyoooo home kwetu vitu vya vyuku
wanavyo Vuta midomo wakiimba wanajiona wapo marekan hahahahhahaha kweli kijijin ni nomaaaaaa
Jane Suma United State of arusha(chugastan)
😂😂😂😂😂bangi za Ngarenaro na matejoo, et navuta upepo wa bahari
sehem nyingi tu nchin wanapo ishi wa,......... , wapo nyuma kimaendeleo,,
Buku mbili dahhh ningeweza hayo maisha ningekuwa bilionea sahivi
Chuga km chuga😅
Jaman ndyo nimemaliza bando ki hivyo🙈
Mmmmh wako nyuma sana
Jij LA 2 tz
mtangazaj wee nimavi kweli ngarinaro gorofa ziko kibao sema unataka kumzalilisha dogo njanja au kakumegea dem wako??
Edina Chami umeona eh... n mshamba uyu mtangazaj
Kwl kazingua ngarenaro gorofa nyomi sana yani
Nashngaai ile ya gariki ajaion nn ....uyu ni raruu kabisa
Tandare moja
Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na flat smart TV inch 22-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh bila kusahau warrant ni 4yrs wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.Utatanguliza kianzio kwanza ndipo upate huduma yetu.
ghorafa kama hilo ulikute buguruni utambiwa milioni kwa mwezi
Chugaaa boy
mabrazamen wa kitaaaa
😂😂duh ilo gorofa lzma