Ghorofa pekee inayopatikana Ngarenaro mkoani Arusha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 30

  • @JeremiahElishaMwanyesya
    @JeremiahElishaMwanyesya 5 месяцев назад

    Sawa sawa dada ...huku south Africa 🇿🇦 ata matajiri wanapenda sana miguu ya kuku ni chanukah kizuri

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад +2

    Asante Ndugu mtangazaji kama Ngarenaro kuna gorofa moja tu Ila haijakaa poa kabisa yani IPO migorofa Hadi inatisha next time Fanya research kwanza ndiyo utletee habari 🙋🙋✍️✍️

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 6 лет назад

    Amen Amen. ni shida .Mungu awsaidie . dumisheni Amani. Amen.

  • @saadsalum3253
    @saadsalum3253 6 лет назад

    Hapo kazi tu ccm oyeeee ngarinaro

  • @ofaliamkua8212
    @ofaliamkua8212 4 года назад +2

    Kitambo Sana nilipangaga uko kipnd hcho kodi ilikuwa 3000kwa mwezi

  • @marthakimilike2259
    @marthakimilike2259 3 года назад

    Mhhhhh ngarenaro,aya bhana

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 6 лет назад +1

    Mmmmm bado hakujakucha hata kwetu mtwara limekuwa jiji nzuri

    • @emmanuelpaul5704
      @emmanuelpaul5704 6 лет назад +1

      mtwara bado saanaaa hapo mtangazaji kaamua kuzalilisha ngarenaro boya huyo

    • @hamisitz4796
      @hamisitz4796 3 года назад

      Açha bañg chuga ndy jiji lapil tz

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 3 года назад

      @@hamisitz4796 punguza bangi mwanza Mwanza ndo jiji la kwanza tz

  • @imaryvitandavizurisanaimar7920
    @imaryvitandavizurisanaimar7920 4 года назад +1

    Oyoooo home kwetu vitu vya vyuku

  • @janesuma2193
    @janesuma2193 6 лет назад +1

    wanavyo Vuta midomo wakiimba wanajiona wapo marekan hahahahhahaha kweli kijijin ni nomaaaaaa

  • @amanibwire4423
    @amanibwire4423 6 лет назад +1

    😂😂😂😂😂bangi za Ngarenaro na matejoo, et navuta upepo wa bahari

  • @mkushplatnam1595
    @mkushplatnam1595 4 года назад

    sehem nyingi tu nchin wanapo ishi wa,......... , wapo nyuma kimaendeleo,,

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 года назад

    Buku mbili dahhh ningeweza hayo maisha ningekuwa bilionea sahivi

  • @DenisMawala
    @DenisMawala 11 месяцев назад

    Chuga km chuga😅

  • @marthadanielgethro6216
    @marthadanielgethro6216 2 года назад

    Jaman ndyo nimemaliza bando ki hivyo🙈

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha13 6 лет назад +1

    Mmmmh wako nyuma sana

  • @edinachami1754
    @edinachami1754 6 лет назад +5

    mtangazaj wee nimavi kweli ngarinaro gorofa ziko kibao sema unataka kumzalilisha dogo njanja au kakumegea dem wako??

    • @judithpaul9013
      @judithpaul9013 6 лет назад +1

      Edina Chami umeona eh... n mshamba uyu mtangazaj

    • @yassinjunior3481
      @yassinjunior3481 4 года назад

      Kwl kazingua ngarenaro gorofa nyomi sana yani

    • @bensontemu3652
      @bensontemu3652 4 года назад

      Nashngaai ile ya gariki ajaion nn ....uyu ni raruu kabisa

  • @gabrielmugabo9223
    @gabrielmugabo9223 6 лет назад +1

    Tandare moja

  • @mtakamaonline7748
    @mtakamaonline7748 3 года назад

    Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na flat smart TV inch 22-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh bila kusahau warrant ni 4yrs wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.Utatanguliza kianzio kwanza ndipo upate huduma yetu.

  • @salimmapunda7393
    @salimmapunda7393 6 лет назад

    ghorafa kama hilo ulikute buguruni utambiwa milioni kwa mwezi

  • @zuushitobe2644
    @zuushitobe2644 3 года назад

    Chugaaa boy

  • @janesuma2193
    @janesuma2193 6 лет назад

    mabrazamen wa kitaaaa

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 6 лет назад

    😂😂duh ilo gorofa lzma