Комментарии •

  • @AmanaHassan-cy4fi
    @AmanaHassan-cy4fi 2 месяца назад +20

    Unajua huyu Dudu ni zaidi ya msanii.
    Anajua ni zaidi ya mjuaji...
    Big up Bro sikuwa ninakufuatilia atoz speech zako.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 месяца назад +20

    Dudu baya chukua maua yako. Huyu mnyalu Msigwa tumesha mwambia tabia ya kike ya mke kumsuta mumewe ni sawa na kujivua nguo mwenyewe lakini haelewi kuwa sifa hiyo ndio itakayomfanya mume mpya kumdharau na kutomjali! Utadhani hakuna udhaifu alioshiriki!

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 2 месяца назад +18

    Jamaa lina ongea ukweli sana uyuu mtu

  • @SinarahaNtaraha
    @SinarahaNtaraha 2 месяца назад +11

    Kumbe dudu baya unaakiri kubwa hivyo hongera sana kaka

    • @SinarahaNtaraha
      @SinarahaNtaraha 2 месяца назад

      Ww unayependa kulike comenti zangu mbn hukomenti zako au unatumwa

  • @HamisiSamweli
    @HamisiSamweli 2 месяца назад +14

    Dudu baya nakukubali sana

  • @willykomba8376
    @willykomba8376 2 месяца назад +4

    Good explanation Dudu baya!!

  • @iambeat2430
    @iambeat2430 2 месяца назад +11

    Msingwa ni njaa na hataheshimika daima...

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 месяца назад +12

    😂😂😂Yan huyu Msigwa naona kabisa ni LINDINDINDI😅😅😂😂

  • @silaskalanda
    @silaskalanda 9 дней назад

    This guy is gifted,few people can see this.

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 2 месяца назад +12

    safi didu umempa vidonge vyake msigwa

  • @Wambula..deogratias
    @Wambula..deogratias 2 месяца назад +3

    Dudu baya mi binafsi nimetokea kuyaerewa mawazo yako mungu akuwekee mkono wake

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 2 месяца назад +2

    Kaka dudu baya mbwa mwenye fungus alikufanyia nini kaka 😂😂

  • @nasramusaro
    @nasramusaro 2 месяца назад +3

    Kwakweli umenikosha jazzakalah kher

  • @hoseakayinga2090
    @hoseakayinga2090 2 месяца назад

    "LINDINDINDI" bro big up! Nimekuelewa vzr sana

  • @hassannassoro5542
    @hassannassoro5542 2 месяца назад +12

    Huyu bro Leo ndio nimegundua kuwa jinias

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 2 месяца назад

      Unasema kweli Dudu baya. Waswahili wanasema usinyee kambi. Msigwa anakuwa kama Slaa alivyosaliti chadema
      Ina maana akitoka CCM atatoa siri za CCM. Azungumuze sera sio kukandia chadema

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 2 месяца назад +1

      Interview nyingi za kiasiasa huyu Jamaa ni noma sana.

    • @djalasaleh
      @djalasaleh 2 месяца назад

      ​@@Kwazulu1kasomea KENYA.

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 2 месяца назад

      @@GibsonNtamamilo sawa lakini asiwaseme vibaya na kutoa siri zoote za alikotoka… lnamaana akitoka CCM atatoa siri zoote. Azungumuzie sera sio u chiriku.

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 2 месяца назад

    Hongera sana dudubaya kwa kubainisha ukweli hao ni njaa kali sana

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 2 месяца назад +4

    Mambaz mambaz unaongea points mno dah aisee nimekuelewa mno

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y 2 месяца назад +8

    Dudu baya big up wanasiasa kama msigwa niwajinga sana yani walisha tugeuza kama wa tz hatuna akili yaani limtu linaoekana limepelekwa ccm nanjaa zake alafu linataka kuwadanganya wananchi jukwaani wajinga ndo watamueelewa bwege huyoo

  • @MudathirJamal
    @MudathirJamal 2 месяца назад

    Nakukubali Brother wangu Dudu baya Konki Master wewe kwakuchana mistari hauna mpinzani

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 2 месяца назад +6

    Dudu baya hunaga baya hajui kukatika haaaassss,

  • @MOSESIMCHUNGUZI
    @MOSESIMCHUNGUZI 2 месяца назад +5

    Sawa kabisa,ukosahihi

  • @MOSESIMCHUNGUZI
    @MOSESIMCHUNGUZI 2 месяца назад +3

    Safi sn nakukubali

  • @MkJj-m7g
    @MkJj-m7g 2 месяца назад +1

    Dah! Nakukubali Dudu Baya.

  • @Wambula..deogratias
    @Wambula..deogratias 2 месяца назад

    Dudu baya mungu akuzidishie nguvu ya maisha yako

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 2 месяца назад +1

    Hahaahah Asante mambaz mambaz uko sahihi

  • @ObadiaMwallo
    @ObadiaMwallo 2 месяца назад

    Dudu BAYA uko sahihi Sana mungu akubariki sana

  • @mrmadebwesanga4971
    @mrmadebwesanga4971 2 месяца назад +2

    Dudu baya umenena Vyema Sana Ndugu

  • @godwinabuto4695
    @godwinabuto4695 2 месяца назад

    Point kabisa

  • @FUMBAMTIMA
    @FUMBAMTIMA 2 месяца назад

    Asanteeeee dudubaya

  • @zeroconscious1916
    @zeroconscious1916 2 месяца назад

    Au mwanaume anakibania😂😂😂,, ila dudu...

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 2 месяца назад +2

    Dudubaya umesema sawa yeye Msigwa katoka huko huko Chadema halafu anaibonda njaa kwa kweli😂😂😂

  • @Vike333-l8o
    @Vike333-l8o 2 месяца назад +2

    Ukweli kaka Msigwa ni Chiziiii hata Rais Samia asipooangalia Msigwa ni Jini hata Ccm ataisaliti tumbo lake ni kama Kaburi

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 2 месяца назад

    Ninja mwenyewe nakubali mwanangu

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sx 2 месяца назад

    Umeeeeleweka vyema mr dudu

  • @jochachallengetv7061
    @jochachallengetv7061 2 месяца назад +1

    Uko sawaa kaka KONK

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 месяца назад +2

    Dudu umeongea ukwel mtupu ili utawala ubadilike watoke watu kwenye CCM kama kumi watengeneze chama Chao bas kitashinda lakini Kwa siasa za tundulisu Bado sana😂

  • @matakabushiri8672
    @matakabushiri8672 2 месяца назад

    Nakukubali sana mambaz

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 месяца назад

    Hahahaahaaa pokea mauwayako dudu

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 2 месяца назад

    Li ndindindi aka Msigwa 😂😂

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 2 месяца назад

    Hahahaaaa ila dudu baya we nishida,🤣🤣🤣yaan mpaka mwandish amecheka eti msingwa nlindindi ila dudu dah🙆🙆 sometime unaniondolea stress

  • @johnmbitiyaza1254
    @johnmbitiyaza1254 2 месяца назад +1

    Hapo kwenye lindindindi!umeongea kisukuma kbs

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga 2 месяца назад

    Kaka utamlisha microphone kinywani

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 2 месяца назад

    Dudu baya shikamooo😂😂😂😂

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 2 месяца назад +1

    Msigwa mjinga sana.. mshamba njaa ndio inamsumbua, mwisho wake utakuwa ni mbaya sana. Anatukana kule alikotoka.. (Chadema) na yeye alikuwa kule .. mmh 🤔🤔

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale 2 месяца назад

    Konki Yuko vzur, co tu mziki Bali siasa& bible pia Yuko vzr!

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 2 месяца назад

    Kwani Lissu Alishazuiliwa Akiwa na Rafiki zake wakimwazima Helicopter asiitumie, So Mbowe Ana Uwezo wa Kuazimwa Helicopter na Yeye Akaiazimishe Kwa Mwingine... HAKUNA BAJETI YA HELICOPTER YA MBOWE INAYOLIPIWA NA PESA ZA CHADEMA.

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 2 месяца назад

    Kaka sududubaya mm nakukubaki sana Penye hki unasema Penye uongo unasema

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 2 месяца назад +1

    Jamani huyu muhakati hasa hakuna mfikia kwa kweli ukweli huu hali tete watapa tapa tu Mungu akulindi kwa kweli shujaa

  • @HamadiMgeja
    @HamadiMgeja 2 месяца назад +1

    Manyambilisi kweli

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 2 месяца назад +2

    Kwa tabia za wabongo hii ndio hali halisi ya wapinzani wa Tanzania, kweli ni panya road.

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 2 месяца назад

    dudu baya yuko vizur msigwa amechanganyikiwa

  • @SamsonBarazingiza
    @SamsonBarazingiza 2 месяца назад

    Ukweli dudu baya uko sawa

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 2 месяца назад +2

    Umeongea vzr

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 2 месяца назад

    Dudubaya kumbe ni bonge la mtu katoa point Sanaa Msigwa kweli ni upumbavu Sanaa anao fanya

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 месяца назад +1

    Leo Msigwa kaomba pesa ccm na kutengeneza T. Shirts ameanza kutoa rushwa kwa Wanaccm mitaani . Kwa Chadema aliwahonga vi T Shirts alivyoandika "Msigwa tena" akagongwa, na huko CCM lazima agongwe sababu waliokitesekea chama huko nao wanautaka ubunge.

  • @RashidLupatu-bg8dr
    @RashidLupatu-bg8dr 2 месяца назад +1

    Kwa kweli ww ni KONKI MASTER

  • @AbdallahMpwatile
    @AbdallahMpwatile 2 месяца назад +3

    Dudu touches each and everything.

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 2 месяца назад +1

    Namkubali dada wa njombe aliye sema msingwa anajiona anakili kuliko wote

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 2 месяца назад

    Msigwa njaa ndio zimempeleka CCM.

  • @nuhuchavana2570
    @nuhuchavana2570 2 месяца назад

    Kweli dudu unaongea pwenti

  • @JovinRichard-x3u
    @JovinRichard-x3u 2 месяца назад

    Mbona mama samia anatajwa kila leo na viongozi wa chadema ivi kumbe umepotea kimziki hadi kifikra

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 Месяц назад

    Sio Kweli Digital Card Malipo yake yanaenda Nairobi... Ni hivi...Kilicho Nairobi Ni Database.. Kwa kuwa Serikali ilikuwa Inaidukua.... Malipo Yanaingia CRDB... Yeyote Ajiunge Chadema Leo Kwa Kupima aone Pesa zinaenda Wapi.

  • @EmmanuelSabibi
    @EmmanuelSabibi Месяц назад

    Msigwa ni mtu wakutafta Hela tuu na sio eti awe ktk swala la uongoz ,maana mbna kabla ya kutochaguliwa hakutoka chadema ila baada ya kufeli kuchaguliwa ndio akakimbia huoni kama huyo ukimpa uongoz Ndio atakua mhalibifu na asieeleweka ktk uongoz

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 2 месяца назад

    Yani bila CHADEMA ninani angemjua MSIGWA sasa angalia aliitwa mchungaji Peter MSIGWA lkn sasa baada yakuhamia KULE ambapo mtu akiambiwa utakua mbunge wa jimbo F hata kura zisiyoshe UNAPATA Kiti kwa maji washawasha sasa anaitwa MSIGWA Yani kusahaulisha jina la MCHUNGAJI Peter MSIGWA maana uchungaji unahitaji HAKI la sivyo iwe MCHUNGAJI wa mshahara

  • @EdgerMbeseya
    @EdgerMbeseya 2 месяца назад

    Hyo nme ipenda kaka

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 2 месяца назад +3

    Anajiaibisha tu

  • @costamasuba1099
    @costamasuba1099 2 месяца назад +1

    Akili kubwa conki master

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 2 месяца назад

    Wewe unakili maisha yenyewe ya musiki yamekushinda umechoka kimaisha halafu unataka uongele

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 Месяц назад

    So Wewe Dudubaya Unataka Kutuambia Msigwa Alipogombea Ubunge Mara ya Kwaza alikuwa na 300,000,000 That is BS... Kinyume Chake Mbowe Ndiye Alimbeba kwa.Pesa na Kila kitu.

  • @tsitingilembombo9995
    @tsitingilembombo9995 2 месяца назад +1

    Dudu baya anafaa kutumika kisiasa, CCM AU CHADEME Dudu baya ni dhahabu kisiasa, akijengwa kidogo tu atatisha.

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 2 месяца назад

    Dudubaya kumbe anaakiri sana hivo

  • @joycemukya7405
    @joycemukya7405 2 месяца назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 2 месяца назад

    Mimi namshangaa huyu Msigwa, inawezekana amekufa kiakili na achokisema msigwa hakuna yeyote wa CCM mwenye akili anamwani "anajichora".

  • @gerald6720
    @gerald6720 2 месяца назад

    Yaani msigwa anamanisha nchi ikiwa ndani ya chadema hawataruhusiwi kuongoza na ccm

  • @ZuberJuma-z6g
    @ZuberJuma-z6g 2 месяца назад

    Nakubl mambaaa

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 2 месяца назад

    Msingwa ni li NDINDINDI...😂😂😂😂😂

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 2 месяца назад +2

    Aisee umempoga tako

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 2 месяца назад

    Dudu haha ameongea ukweli, Msigwa ni Lindindindi.

  • @teller_julio
    @teller_julio 2 месяца назад

    Dudu ana ongea ukweli mkubwa sana .... Huo ndio ukweli

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 2 месяца назад

    Msigwa kama haji manara anabishana na kauli zake mwenyewe

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 2 месяца назад

    Yani dudu baya unaakili uyu msingwa yaniii kwanza mdomo wake mchafu mnooo

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt 2 месяца назад

    Msigwa tunajitambua sisi chadema yani hata lissu Akitoka chadema itabaki imala

  • @TumainiPeter-c2s
    @TumainiPeter-c2s 2 месяца назад

    Safi

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh 2 месяца назад

    Panda rodi anakuja ccm kufanya nini?

  • @husseinmshahara8351
    @husseinmshahara8351 2 месяца назад +1

    Kweli ww ni dudu

  • @JackSanga-n6r
    @JackSanga-n6r 2 месяца назад +1

    Dudu baya chukua Tano👊

  • @MWANAHAMISIOMARY-z3j
    @MWANAHAMISIOMARY-z3j 2 месяца назад

    Achane na mbowe kabisa huyo msigwa kabisa na hulingani na mbowe uwe na adabu

  • @peterdaud5669
    @peterdaud5669 Месяц назад

    IQ kubwa sana tunajivunia kanda ya ziwa

  • @danieldede7176
    @danieldede7176 2 месяца назад +1

    Nyoo kep dah😂😂😂

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад +2

    Yan Msigwa Ni msaliti Kwanza hana sela, mroho was madaraka tu hana jipya

    • @taifaramadhan8684
      @taifaramadhan8684 2 месяца назад

      hafai kabisa yule mzee hafai hata kidogo msaliti mkubwa kabisa yule

  • @philemonkafyulilo7128
    @philemonkafyulilo7128 2 месяца назад

    Dudu baya unaongea ukweli kabisa mwanasiasa mwongo

  • @knight6757
    @knight6757 2 месяца назад

    Atapanda Helicopter ya CCM atulize boli...😂

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
    @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu 2 месяца назад

    Kuwa na OFISI NDOGO sio sababu

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 2 месяца назад

    ongela bloo

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 месяца назад

    Dudubaya has spoken reality consern msigwA and msigwA political lost darection has to keep guyert than open mouth creatisise chadema

  • @Assey1Andrea
    @Assey1Andrea 2 месяца назад

    Na kweli dude baba unasema ukweli msigwa ni zuzu na vuvuzela tu njaa inamsumbua na uchangudoa tu. Amkome mwenyekiti wetu kabisaaaaa

  • @Vike333-l8o
    @Vike333-l8o 2 месяца назад

    Huyu Msigwa anatafuta Bwana Ccm nahuko atampata Taaaira mwenzake sijui anaishije namwanamke wake yuko km Shoga

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 2 месяца назад

    Hivi huyu Msigwa akimsikiliza huyu atapata usingizi kweli ndindindi msamiati huu namshauri Msigwa kama amefurahishwa na sera za CCM azitangaze na azitetee LAKINI kila siku kuisema CDM ni yale ya sungura kushindwa kurukia mti wa matunda na kusema siyataki ni mabichi

  • @johnwilbard8326
    @johnwilbard8326 2 месяца назад

    Dudu baya ww unasema ukweli kichwa chako kinachemka sana

  • @ennymajaliwa4486
    @ennymajaliwa4486 2 месяца назад

    Dudu umenena, hana haja ya kuelezea waliyoyafanya nae akiwepo, AIBU