Dudu baya chukua maua yako. Huyu mnyalu Msigwa tumesha mwambia tabia ya kike ya mke kumsuta mumewe ni sawa na kujivua nguo mwenyewe lakini haelewi kuwa sifa hiyo ndio itakayomfanya mume mpya kumdharau na kutomjali! Utadhani hakuna udhaifu alioshiriki!
Unasema kweli Dudu baya. Waswahili wanasema usinyee kambi. Msigwa anakuwa kama Slaa alivyosaliti chadema Ina maana akitoka CCM atatoa siri za CCM. Azungumuze sera sio kukandia chadema
@@GibsonNtamamilo sawa lakini asiwaseme vibaya na kutoa siri zoote za alikotoka… lnamaana akitoka CCM atatoa siri zoote. Azungumuzie sera sio u chiriku.
Dudu baya big up wanasiasa kama msigwa niwajinga sana yani walisha tugeuza kama wa tz hatuna akili yaani limtu linaoekana limepelekwa ccm nanjaa zake alafu linataka kuwadanganya wananchi jukwaani wajinga ndo watamueelewa bwege huyoo
Dudu umeongea ukwel mtupu ili utawala ubadilike watoke watu kwenye CCM kama kumi watengeneze chama Chao bas kitashinda lakini Kwa siasa za tundulisu Bado sana😂
Msigwa mjinga sana.. mshamba njaa ndio inamsumbua, mwisho wake utakuwa ni mbaya sana. Anatukana kule alikotoka.. (Chadema) na yeye alikuwa kule .. mmh 🤔🤔
Kwani Lissu Alishazuiliwa Akiwa na Rafiki zake wakimwazima Helicopter asiitumie, So Mbowe Ana Uwezo wa Kuazimwa Helicopter na Yeye Akaiazimishe Kwa Mwingine... HAKUNA BAJETI YA HELICOPTER YA MBOWE INAYOLIPIWA NA PESA ZA CHADEMA.
Leo Msigwa kaomba pesa ccm na kutengeneza T. Shirts ameanza kutoa rushwa kwa Wanaccm mitaani . Kwa Chadema aliwahonga vi T Shirts alivyoandika "Msigwa tena" akagongwa, na huko CCM lazima agongwe sababu waliokitesekea chama huko nao wanautaka ubunge.
Sio Kweli Digital Card Malipo yake yanaenda Nairobi... Ni hivi...Kilicho Nairobi Ni Database.. Kwa kuwa Serikali ilikuwa Inaidukua.... Malipo Yanaingia CRDB... Yeyote Ajiunge Chadema Leo Kwa Kupima aone Pesa zinaenda Wapi.
Msigwa ni mtu wakutafta Hela tuu na sio eti awe ktk swala la uongoz ,maana mbna kabla ya kutochaguliwa hakutoka chadema ila baada ya kufeli kuchaguliwa ndio akakimbia huoni kama huyo ukimpa uongoz Ndio atakua mhalibifu na asieeleweka ktk uongoz
Yani bila CHADEMA ninani angemjua MSIGWA sasa angalia aliitwa mchungaji Peter MSIGWA lkn sasa baada yakuhamia KULE ambapo mtu akiambiwa utakua mbunge wa jimbo F hata kura zisiyoshe UNAPATA Kiti kwa maji washawasha sasa anaitwa MSIGWA Yani kusahaulisha jina la MCHUNGAJI Peter MSIGWA maana uchungaji unahitaji HAKI la sivyo iwe MCHUNGAJI wa mshahara
So Wewe Dudubaya Unataka Kutuambia Msigwa Alipogombea Ubunge Mara ya Kwaza alikuwa na 300,000,000 That is BS... Kinyume Chake Mbowe Ndiye Alimbeba kwa.Pesa na Kila kitu.
Hivi huyu Msigwa akimsikiliza huyu atapata usingizi kweli ndindindi msamiati huu namshauri Msigwa kama amefurahishwa na sera za CCM azitangaze na azitetee LAKINI kila siku kuisema CDM ni yale ya sungura kushindwa kurukia mti wa matunda na kusema siyataki ni mabichi
Unajua huyu Dudu ni zaidi ya msanii.
Anajua ni zaidi ya mjuaji...
Big up Bro sikuwa ninakufuatilia atoz speech zako.
Unaakili sana kakaangu
Dudu baya chukua maua yako. Huyu mnyalu Msigwa tumesha mwambia tabia ya kike ya mke kumsuta mumewe ni sawa na kujivua nguo mwenyewe lakini haelewi kuwa sifa hiyo ndio itakayomfanya mume mpya kumdharau na kutomjali! Utadhani hakuna udhaifu alioshiriki!
Jamaa lina ongea ukweli sana uyuu mtu
Kumbe dudu baya unaakiri kubwa hivyo hongera sana kaka
Ww unayependa kulike comenti zangu mbn hukomenti zako au unatumwa
Dudu baya nakukubali sana
Good explanation Dudu baya!!
Msingwa ni njaa na hataheshimika daima...
😂😂😂Yan huyu Msigwa naona kabisa ni LINDINDINDI😅😅😂😂
Yan me nimecheka kama namwona msigwa
This guy is gifted,few people can see this.
safi didu umempa vidonge vyake msigwa
Dudu baya mi binafsi nimetokea kuyaerewa mawazo yako mungu akuwekee mkono wake
Kaka dudu baya mbwa mwenye fungus alikufanyia nini kaka 😂😂
Kwakweli umenikosha jazzakalah kher
"LINDINDINDI" bro big up! Nimekuelewa vzr sana
Huyu bro Leo ndio nimegundua kuwa jinias
Unasema kweli Dudu baya. Waswahili wanasema usinyee kambi. Msigwa anakuwa kama Slaa alivyosaliti chadema
Ina maana akitoka CCM atatoa siri za CCM. Azungumuze sera sio kukandia chadema
Interview nyingi za kiasiasa huyu Jamaa ni noma sana.
@@Kwazulu1kasomea KENYA.
@@GibsonNtamamilo sawa lakini asiwaseme vibaya na kutoa siri zoote za alikotoka… lnamaana akitoka CCM atatoa siri zoote. Azungumuzie sera sio u chiriku.
Hongera sana dudubaya kwa kubainisha ukweli hao ni njaa kali sana
Mambaz mambaz unaongea points mno dah aisee nimekuelewa mno
Dudu baya big up wanasiasa kama msigwa niwajinga sana yani walisha tugeuza kama wa tz hatuna akili yaani limtu linaoekana limepelekwa ccm nanjaa zake alafu linataka kuwadanganya wananchi jukwaani wajinga ndo watamueelewa bwege huyoo
Nakukubali Brother wangu Dudu baya Konki Master wewe kwakuchana mistari hauna mpinzani
Dudu baya hunaga baya hajui kukatika haaaassss,
Sawa kabisa,ukosahihi
Safi sn nakukubali
Dah! Nakukubali Dudu Baya.
Dudu baya mungu akuzidishie nguvu ya maisha yako
Hahaahah Asante mambaz mambaz uko sahihi
Dudu BAYA uko sahihi Sana mungu akubariki sana
Dudu baya umenena Vyema Sana Ndugu
Point kabisa
Asanteeeee dudubaya
Au mwanaume anakibania😂😂😂,, ila dudu...
Dudubaya umesema sawa yeye Msigwa katoka huko huko Chadema halafu anaibonda njaa kwa kweli😂😂😂
Ukweli kaka Msigwa ni Chiziiii hata Rais Samia asipooangalia Msigwa ni Jini hata Ccm ataisaliti tumbo lake ni kama Kaburi
Umenena vyema sana
Ninja mwenyewe nakubali mwanangu
Umeeeeleweka vyema mr dudu
Uko sawaa kaka KONK
Dudu umeongea ukwel mtupu ili utawala ubadilike watoke watu kwenye CCM kama kumi watengeneze chama Chao bas kitashinda lakini Kwa siasa za tundulisu Bado sana😂
Nakukubali sana mambaz
Hahahaahaaa pokea mauwayako dudu
Li ndindindi aka Msigwa 😂😂
Hahahaaaa ila dudu baya we nishida,🤣🤣🤣yaan mpaka mwandish amecheka eti msingwa nlindindi ila dudu dah🙆🙆 sometime unaniondolea stress
Hapo kwenye lindindindi!umeongea kisukuma kbs
Kaka utamlisha microphone kinywani
Dudu baya shikamooo😂😂😂😂
Msigwa mjinga sana.. mshamba njaa ndio inamsumbua, mwisho wake utakuwa ni mbaya sana. Anatukana kule alikotoka.. (Chadema) na yeye alikuwa kule .. mmh 🤔🤔
Konki Yuko vzur, co tu mziki Bali siasa& bible pia Yuko vzr!
Kwani Lissu Alishazuiliwa Akiwa na Rafiki zake wakimwazima Helicopter asiitumie, So Mbowe Ana Uwezo wa Kuazimwa Helicopter na Yeye Akaiazimishe Kwa Mwingine... HAKUNA BAJETI YA HELICOPTER YA MBOWE INAYOLIPIWA NA PESA ZA CHADEMA.
Kaka sududubaya mm nakukubaki sana Penye hki unasema Penye uongo unasema
Jamani huyu muhakati hasa hakuna mfikia kwa kweli ukweli huu hali tete watapa tapa tu Mungu akulindi kwa kweli shujaa
Manyambilisi kweli
Kwa tabia za wabongo hii ndio hali halisi ya wapinzani wa Tanzania, kweli ni panya road.
dudu baya yuko vizur msigwa amechanganyikiwa
Ukweli dudu baya uko sawa
Umeongea vzr
Dudubaya kumbe ni bonge la mtu katoa point Sanaa Msigwa kweli ni upumbavu Sanaa anao fanya
Leo Msigwa kaomba pesa ccm na kutengeneza T. Shirts ameanza kutoa rushwa kwa Wanaccm mitaani . Kwa Chadema aliwahonga vi T Shirts alivyoandika "Msigwa tena" akagongwa, na huko CCM lazima agongwe sababu waliokitesekea chama huko nao wanautaka ubunge.
Kwa kweli ww ni KONKI MASTER
Dudu touches each and everything.
Namkubali dada wa njombe aliye sema msingwa anajiona anakili kuliko wote
Msigwa njaa ndio zimempeleka CCM.
Kweli dudu unaongea pwenti
Mbona mama samia anatajwa kila leo na viongozi wa chadema ivi kumbe umepotea kimziki hadi kifikra
Sio Kweli Digital Card Malipo yake yanaenda Nairobi... Ni hivi...Kilicho Nairobi Ni Database.. Kwa kuwa Serikali ilikuwa Inaidukua.... Malipo Yanaingia CRDB... Yeyote Ajiunge Chadema Leo Kwa Kupima aone Pesa zinaenda Wapi.
Msigwa ni mtu wakutafta Hela tuu na sio eti awe ktk swala la uongoz ,maana mbna kabla ya kutochaguliwa hakutoka chadema ila baada ya kufeli kuchaguliwa ndio akakimbia huoni kama huyo ukimpa uongoz Ndio atakua mhalibifu na asieeleweka ktk uongoz
Yani bila CHADEMA ninani angemjua MSIGWA sasa angalia aliitwa mchungaji Peter MSIGWA lkn sasa baada yakuhamia KULE ambapo mtu akiambiwa utakua mbunge wa jimbo F hata kura zisiyoshe UNAPATA Kiti kwa maji washawasha sasa anaitwa MSIGWA Yani kusahaulisha jina la MCHUNGAJI Peter MSIGWA maana uchungaji unahitaji HAKI la sivyo iwe MCHUNGAJI wa mshahara
Hyo nme ipenda kaka
Anajiaibisha tu
Akili kubwa conki master
Wewe unakili maisha yenyewe ya musiki yamekushinda umechoka kimaisha halafu unataka uongele
So Wewe Dudubaya Unataka Kutuambia Msigwa Alipogombea Ubunge Mara ya Kwaza alikuwa na 300,000,000 That is BS... Kinyume Chake Mbowe Ndiye Alimbeba kwa.Pesa na Kila kitu.
Dudu baya anafaa kutumika kisiasa, CCM AU CHADEME Dudu baya ni dhahabu kisiasa, akijengwa kidogo tu atatisha.
Uko sahihi nakuunga Mkono 💯.
Dudubaya kumbe anaakiri sana hivo
👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Mimi namshangaa huyu Msigwa, inawezekana amekufa kiakili na achokisema msigwa hakuna yeyote wa CCM mwenye akili anamwani "anajichora".
Yaani msigwa anamanisha nchi ikiwa ndani ya chadema hawataruhusiwi kuongoza na ccm
Nakubl mambaaa
Msingwa ni li NDINDINDI...😂😂😂😂😂
Aisee umempoga tako
Dudu haha ameongea ukweli, Msigwa ni Lindindindi.
Dudu ana ongea ukweli mkubwa sana .... Huo ndio ukweli
Msigwa kama haji manara anabishana na kauli zake mwenyewe
Yani dudu baya unaakili uyu msingwa yaniii kwanza mdomo wake mchafu mnooo
Msigwa tunajitambua sisi chadema yani hata lissu Akitoka chadema itabaki imala
Safi
Panda rodi anakuja ccm kufanya nini?
Kweli ww ni dudu
Dudu baya chukua Tano👊
Achane na mbowe kabisa huyo msigwa kabisa na hulingani na mbowe uwe na adabu
IQ kubwa sana tunajivunia kanda ya ziwa
Nyoo kep dah😂😂😂
😂😂😂😂
Yan Msigwa Ni msaliti Kwanza hana sela, mroho was madaraka tu hana jipya
hafai kabisa yule mzee hafai hata kidogo msaliti mkubwa kabisa yule
Dudu baya unaongea ukweli kabisa mwanasiasa mwongo
Atapanda Helicopter ya CCM atulize boli...😂
Kuwa na OFISI NDOGO sio sababu
ongela bloo
Dudubaya has spoken reality consern msigwA and msigwA political lost darection has to keep guyert than open mouth creatisise chadema
Na kweli dude baba unasema ukweli msigwa ni zuzu na vuvuzela tu njaa inamsumbua na uchangudoa tu. Amkome mwenyekiti wetu kabisaaaaa
Huyu Msigwa anatafuta Bwana Ccm nahuko atampata Taaaira mwenzake sijui anaishije namwanamke wake yuko km Shoga
😂😂😂
Hivi huyu Msigwa akimsikiliza huyu atapata usingizi kweli ndindindi msamiati huu namshauri Msigwa kama amefurahishwa na sera za CCM azitangaze na azitetee LAKINI kila siku kuisema CDM ni yale ya sungura kushindwa kurukia mti wa matunda na kusema siyataki ni mabichi
Dudu baya ww unasema ukweli kichwa chako kinachemka sana
Dudu umenena, hana haja ya kuelezea waliyoyafanya nae akiwepo, AIBU