RAILA ODINGA NDANI YA SGR TANZANIA,ASEMA WAZAWA WAFUNDISHWE ILI SIKU MOJA WAJENGE BILA WAGENI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • DAR ES SALAAM TANZANIA

Комментарии • 105

  • @Deggoo
    @Deggoo 5 лет назад +70

    Wakenya wapi likes za ndugu zetu Wtz

  • @desmondlosekonewel9165
    @desmondlosekonewel9165 5 лет назад +28

    Wangapi wanamuunga Baba mkono nipe like💥💥💥

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 5 лет назад +17

    Karibu Tanzania Mh. Raila Odinga.
    pamoja tunajenga East Afrika endelevu.

  • @danielonyango7234
    @danielonyango7234 5 лет назад +13

    Karibu sana Mhe. Raila Amolo Odinga aka BABA. Na sisi hapa TZ pia tuna BABA, anaitwa Mh. Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli, na ndiye anayeyafanya hayo yote mazuri unayoyaona. Ni mtu anayeipenda nchi yake kwa do dhati na sisi pia tunampenda sana.

  • @batromeombogo7131
    @batromeombogo7131 5 лет назад +16

    Baba yetu Odinga jisikie upo nyumbani.. sisi watanzania tunakupenda sana

  • @WorldIn360channel
    @WorldIn360channel 5 лет назад +15

    Sisahau pia ni Representative mkuu wa ujenzi yaani (Infrustructure) wa African Union (AU).
    So he travels throughout Africa, has offices in SA, Nairobi, West Africa etc: Tafakari haaaya!

  • @mushken65
    @mushken65 5 лет назад +20

    Wewe baba najua unapenda maendeleo walakini waizi hapa Kenya wamekataa kabisa utawale. Baba tunakupenda sana hapa kenya.Siku moja utatawala hii Kenya yetu utupeleke mbele na ukomeshe wizi sugu ambao majangili ndani ya serikali wanaita jina pole la ufisadi ili kupumbaza wananchi wakawaida

    • @rehemaahamadiahmadi566
      @rehemaahamadiahmadi566 5 лет назад

      InshaAllah

    • @mushken65
      @mushken65 5 лет назад +1

      @@rehemaahamadiahmadi566 naomba tuu. Sinauwezo wa kupambana hawa wezi naeza poteza maisha kama Msando

    • @naiskaurrai2464
      @naiskaurrai2464 5 лет назад

      Leaders come from God na kuna reason he has never won any elections. Mungu alimkataa huyu jamaa. Let's pray God atupee another Raila.

    • @rehemaahamadiahmadi566
      @rehemaahamadiahmadi566 5 лет назад

      @@mushken65 Ni kweli kabisa ila Mungu yupamoja nasi lnshaAllah one day

  • @festuskanga8495
    @festuskanga8495 5 лет назад +4

    HONGERA SANA SANA WA TANZANIA, KWA UKALIMU MUKO NAYO MUKARIPISHA HUYO KIONGOZI WETU YA WA KENYA!! UKU KENYA TUNAMUCHAKUA LAKINI WANAMUNYAN'GANYA TU KURA ZAKE. SISI TUNAMUTAMBUA KAMA PEOPLES PRESIDENT HON ENGINEER RAILA AMOLO ODINGA.

  • @habelkalume9011
    @habelkalume9011 5 лет назад +13

    Together lets build East Africa.....

  • @kimariongalaingalai8167
    @kimariongalaingalai8167 5 лет назад +4

    Karibu sana Dar es salaam mheshimiwa Raila Amolo Odinga

  • @martinmwaura7041
    @martinmwaura7041 5 лет назад +3

    Long live EAC..long live Afrika..

  • @alexchungu8823
    @alexchungu8823 5 лет назад +15

    Wabongo tuliopo ughaibuni turudi nyumbani kumenoga... From US

    • @ibrahimsheha215
      @ibrahimsheha215 5 лет назад

      Usirudi juwakali sana njaaa kama uwanini rudu lakini kama hufanyi kazi uko bora nyumbani njoo uta amini

    • @alexchungu8823
      @alexchungu8823 5 лет назад

      Haha nime miss zile foleni za dar

    • @alexchungu8823
      @alexchungu8823 5 лет назад

      @Ali Ali unanitisha, Nina 20yrs mbaka sasa huku...

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 лет назад +2

      @@alexchungu8823 Ali ni wale amabao hawana mtaji wala ujuzi.. welfare inahusika. Akirudi atakuwa mzigo tu Tz bora abaki aliko..! Lakini kama wewe una ujuzi mtaji na wazo la kufanya kwani una upana wa mawazo .. nyumbani kumenoga.. kidogo ulichonacho unaweza kikuza..! kwani wale wahindi tuliokuwa tuwaaabudu Tz si walitoka nje na ideas na mtaji tu..? Usisikilize wazamiaji wasio na elimu..!

    • @alexchungu8823
      @alexchungu8823 5 лет назад

      @@josephgomalo41 una maana nimezamia?

  • @dekuleh4485
    @dekuleh4485 5 лет назад +5

    Raila Amolo Odinga - An institution unto himself!

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 лет назад +2

    KAZI NZURI SANA MAGUFULI, JAPO MM ACT

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 лет назад +2

    Ewe mwenyez MUNGU asante kwa kuzidi kuripa nuru ya kupendwa zaidi taifa retu miradi yetu mikubwa na raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @williamsville3493
    @williamsville3493 5 лет назад +2

    Karibu sana Raila Odinga jirani mwema

  • @henryndosi3800
    @henryndosi3800 5 лет назад +17

    Zitto kabwe njoo ukaribishe mgeni

    • @agnessjosephath4330
      @agnessjosephath4330 5 лет назад +1

      Henry Ndosi atasema matangazo ya kishetani hahahahaahahahaha Zito soma hiyoooooo

    • @mamahustru
      @mamahustru 5 лет назад

      Jamani kunani tena na Zitto? Mwageni maelezo tahadhari. Wengine hatujasikia aliyosema Zitto.

    • @samateryussuf5938
      @samateryussuf5938 5 лет назад

      Zitto hawezi kuja kwenye upuuzi huu , kizuri chajiuza , sgr inajitembeza

    • @allpotentials8420
      @allpotentials8420 4 года назад +1

      @@samateryussuf5938 unaota ww blood idiot 😏😏

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 лет назад +2

    GOOD JOB MR MAGUFULI

  • @josephinemakungu8447
    @josephinemakungu8447 5 лет назад +1

    KENYA and TANZANIA tunapendana 😍😍love

  • @abuugubi229
    @abuugubi229 5 лет назад +5

    Vizur sana tz

  • @kandumilathegreat1332
    @kandumilathegreat1332 5 лет назад +10

    Waziri mkuu mstaafu wa Kenya kumbe anapeperusha bendera!,
    I didn't know!

    • @ntabayemwaka4271
      @ntabayemwaka4271 5 лет назад +2

      KANDUMILA THE GREAT hilo ni gari analotumia balozi wa Kenya nchini Tanzania na yeye kama VIP lazima bendera ipeperushwe

    • @ronnieb9233
      @ronnieb9233 5 лет назад +2

      He is the minister of infrastructure and development of Africa

    • @AnalystTosh
      @AnalystTosh 5 лет назад

      Ronald onyango MINISTER? eh! Omera you’re too much

    • @DrTony-tk2rh
      @DrTony-tk2rh 5 лет назад

      @@AnalystTosh in charge of.... not Minister....but why is that bothering your ass

  • @patrickhart4856
    @patrickhart4856 5 лет назад +3

    Raila is busy doing nothing he was a pm who did nothing

    • @tafari988
      @tafari988 5 лет назад

      Your ignorance is appalling.!!! 😂😂😂

    • @patrickhart4856
      @patrickhart4856 5 лет назад

      @@tafari988 He's busy doing shit mzee mtoto fuck him

  • @tumainipeter6713
    @tumainipeter6713 5 лет назад +4

    Safi sana Mgeni wetu

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752 5 лет назад

    Enigma of African politics......Raila Amollo Odinga

  • @agnessjosephath4330
    @agnessjosephath4330 5 лет назад +6

    Zitooooo soma hiyoooo

    • @mamahustru
      @mamahustru 5 лет назад

      Jamani kunani tena na Zitto? Mwageni maelezo tahadhari. Wengine hatujasikia aliyosema Zitto.

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 лет назад +1

    Hii ni nzuli sana sio kuleta maugovi ,umoja ni nguvu

  • @lucianodeo4103
    @lucianodeo4103 5 лет назад +2

    Project zote nilizowahi kufanya wanyonge huwa tunaishia kuwa vibarua ktk angle zote na wasomi wetu ofisini but experts bila kujali ukubwa wa Elimu zao huwa field fully aware.... tubadirike sasa

  • @nassirhassan4998
    @nassirhassan4998 5 лет назад +1

    Mheshimiwa Raila ndie Alie leta demcrasia nchini kenya na Anapambana naufsd mkubwa unao fnywa naviongozi waknya...nae magufuli Amekomesha ufcd tz ..sahii nchi ya tanzania ina sifa nzur katika bara la Afrika kwakukomsha ufsd..kwan ufsd niadui waumaskni ..wa Tanzania nyote mpendeni Rais wenu magufuli ...

  • @Saintman1966
    @Saintman1966 5 лет назад +1

    Namkubali sana Ben Mwanantala jaman

  • @kiswahilikitukuzwe2547
    @kiswahilikitukuzwe2547 5 лет назад +4

    Baada ya kumaliza awamu yake ya pili ya kuwa rais wa Tanzania, sisi wana Afrika Mashariki tutamchagua Mheshimiwa Dr. John Pombe Magufuli kuwa rais wa kwanza wa Shirikisho la Afrika Mashariki kwa jumla.

  • @tinasanta4080
    @tinasanta4080 5 лет назад +2

    Baba in Tz,tunakuheshimu Sana

  • @muddymkamba352
    @muddymkamba352 4 года назад

    mungu asaidie mradi huu ufikie malengo,....sema @TRC mi nataka kujua ukitaka sehemu ya kufanyia biashara ndani ya vituo unapataje?

  • @davidluangisa4515
    @davidluangisa4515 3 месяца назад

    Baba,,,anapendwa sana uku Tanzania

  • @Saintman1966
    @Saintman1966 5 лет назад +2

    Hakikaa watanzania lazima tuelew hiii

  • @musaabubakary7711
    @musaabubakary7711 5 лет назад

    Hongera sn Mh Odinga we n mfano w kuigwa

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 3 года назад

    Nchi ya Africa mashariki , Lazima kuwe na United ndio Africa tutashinda tuache mashindano sisi sote ni ndugu

  • @shariffrajab6063
    @shariffrajab6063 5 лет назад

    Baba odinga karibu

  • @masagapaul5039
    @masagapaul5039 5 лет назад +1

    Asante rail kwa Kuja

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet2760 5 лет назад +3

    Sasa yule jamaa anaye hangaika huko ulaya akiiponda Tanzania je anayaona haya?

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 5 лет назад +2

      Pius Japhet kichaa yule hawezi ona yy ana hangaikia tumbo lake sio Tanzania 🇹🇿

  • @eliyawilliammagesamarwa8413
    @eliyawilliammagesamarwa8413 5 лет назад +1

    RAIS WA KWELI KENYA RAILA ODINGA ASANTE

  • @allananam6631
    @allananam6631 5 лет назад

    Baba is always right.

  • @lordOfSalem
    @lordOfSalem 5 лет назад

    Seems different contractor from the 1 who did the Kenya line. This 1 especially the overhead platforms look very different

    • @9yearsago844
      @9yearsago844 4 года назад +1

      Tanzania first phase is being done by a turkish contracting firm
      kenya's was done by chinese contracting firm.
      they are both similar heavy rail.
      kenya's system allows double stacking of containers. Tanzania's doesn't. Tanzania system is electrified, kenya's isn't.(option available at a cost). Tanzania's sourced funds internally, plus bank loans from standard chartered.
      Kenya dealt with Chinese government on a state to state basis.

  • @ntabayemwaka4271
    @ntabayemwaka4271 5 лет назад +1

    anajiandaa kuchukua Kenya nini maana naona Mh Uhuru Kenyatta anampa kipaumbele sana kuliko DP Ruto

  • @evanscalito40
    @evanscalito40 5 лет назад

    Kongole kwa ndugu zetu WaTanzania

  • @jaredmutego6884
    @jaredmutego6884 5 лет назад

    maendeleo ndio msingi ya wanainchi hongera Tanzania pia odinga nakuli

  • @zjuniorofficial2464
    @zjuniorofficial2464 5 лет назад

    I like it

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 лет назад

    Wapinza wtz wanasema hiyo ni upuuza magu angegaia masikini hizo hela,kwa kua hakuna ajila,tuongeze mishahara, tunenepe,

  • @mondaonyancha8823
    @mondaonyancha8823 5 лет назад

    Baba juuuuuuu

  • @eliudymhapu1750
    @eliudymhapu1750 5 лет назад

    Jambo
    sijambo bwana
    Habari
    Habari gani

  • @jamesokello9812
    @jamesokello9812 5 лет назад

    Bado nakumbuka MV Victoria. Tutumia hiyo kuenda Mwanza na Port Bell uko Kampala nikiwa mudogo.

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 4 года назад

      Isharudi baada ya matengenezo makubwa yaliyohusisha pia engine mpyaa na kila kitu ni chakisasa kwa hiyo meli so iko kwa safari za majaribio ndo ikabidhiwe ianze kazi yaani soon jiandae kuitumia coz kwa Sasa niya kisasa

  • @faridsalehmohamed1230
    @faridsalehmohamed1230 5 лет назад

    Chakushangaza huyu ni mpinzani kenya mbona anakuja kwetu anatukuzwa lakini wapinzani wa hapa hawapewi heshima hio

  • @neefguys9208
    @neefguys9208 5 лет назад

    Fala anazugunza kama nani raia

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro 5 лет назад +2

    President of poverty....odinga

  • @rostamkamazima1012
    @rostamkamazima1012 5 лет назад

    Akili za odinga zina tofauti gani na waswahili wengine wa hovyo?

  • @lavieawuor7812
    @lavieawuor7812 5 лет назад

    Tanzania muko nyuma sana,kenya is the future of Africa 🇰🇪🇰🇪

    • @Vanisikaka
      @Vanisikaka 5 лет назад +2

      Tanzania inajenga railways kwa hela yake....kenya imejengewa na china😀

    • @mlkjnr2016
      @mlkjnr2016 4 года назад +1

      Una kichaa.

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 3 года назад

      Kweli mko mbele na diesel sgr

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      Tabia za mashindano si nzuri inabidi tuziache, mashindano hayana mpango ndugu yangu kenya na Tanzania hakuna mpishano mkubwa kiasi chakuwekeana mabifu

  • @tumainipeter6713
    @tumainipeter6713 5 лет назад +4

    Safi sana Mgeni wetu