Karibu sana Mhe. Raila Amolo Odinga aka BABA. Na sisi hapa TZ pia tuna BABA, anaitwa Mh. Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli, na ndiye anayeyafanya hayo yote mazuri unayoyaona. Ni mtu anayeipenda nchi yake kwa do dhati na sisi pia tunampenda sana.
Sisahau pia ni Representative mkuu wa ujenzi yaani (Infrustructure) wa African Union (AU). So he travels throughout Africa, has offices in SA, Nairobi, West Africa etc: Tafakari haaaya!
Wewe baba najua unapenda maendeleo walakini waizi hapa Kenya wamekataa kabisa utawale. Baba tunakupenda sana hapa kenya.Siku moja utatawala hii Kenya yetu utupeleke mbele na ukomeshe wizi sugu ambao majangili ndani ya serikali wanaita jina pole la ufisadi ili kupumbaza wananchi wakawaida
HONGERA SANA SANA WA TANZANIA, KWA UKALIMU MUKO NAYO MUKARIPISHA HUYO KIONGOZI WETU YA WA KENYA!! UKU KENYA TUNAMUCHAKUA LAKINI WANAMUNYAN'GANYA TU KURA ZAKE. SISI TUNAMUTAMBUA KAMA PEOPLES PRESIDENT HON ENGINEER RAILA AMOLO ODINGA.
@@alexchungu8823 Ali ni wale amabao hawana mtaji wala ujuzi.. welfare inahusika. Akirudi atakuwa mzigo tu Tz bora abaki aliko..! Lakini kama wewe una ujuzi mtaji na wazo la kufanya kwani una upana wa mawazo .. nyumbani kumenoga.. kidogo ulichonacho unaweza kikuza..! kwani wale wahindi tuliokuwa tuwaaabudu Tz si walitoka nje na ideas na mtaji tu..? Usisikilize wazamiaji wasio na elimu..!
Project zote nilizowahi kufanya wanyonge huwa tunaishia kuwa vibarua ktk angle zote na wasomi wetu ofisini but experts bila kujali ukubwa wa Elimu zao huwa field fully aware.... tubadirike sasa
Mheshimiwa Raila ndie Alie leta demcrasia nchini kenya na Anapambana naufsd mkubwa unao fnywa naviongozi waknya...nae magufuli Amekomesha ufcd tz ..sahii nchi ya tanzania ina sifa nzur katika bara la Afrika kwakukomsha ufsd..kwan ufsd niadui waumaskni ..wa Tanzania nyote mpendeni Rais wenu magufuli ...
Baada ya kumaliza awamu yake ya pili ya kuwa rais wa Tanzania, sisi wana Afrika Mashariki tutamchagua Mheshimiwa Dr. John Pombe Magufuli kuwa rais wa kwanza wa Shirikisho la Afrika Mashariki kwa jumla.
Tanzania first phase is being done by a turkish contracting firm kenya's was done by chinese contracting firm. they are both similar heavy rail. kenya's system allows double stacking of containers. Tanzania's doesn't. Tanzania system is electrified, kenya's isn't.(option available at a cost). Tanzania's sourced funds internally, plus bank loans from standard chartered. Kenya dealt with Chinese government on a state to state basis.
Isharudi baada ya matengenezo makubwa yaliyohusisha pia engine mpyaa na kila kitu ni chakisasa kwa hiyo meli so iko kwa safari za majaribio ndo ikabidhiwe ianze kazi yaani soon jiandae kuitumia coz kwa Sasa niya kisasa
Wakenya wapi likes za ndugu zetu Wtz
Wangapi wanamuunga Baba mkono nipe like💥💥💥
Karibu Tanzania Mh. Raila Odinga.
pamoja tunajenga East Afrika endelevu.
Karibu sana Mhe. Raila Amolo Odinga aka BABA. Na sisi hapa TZ pia tuna BABA, anaitwa Mh. Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli, na ndiye anayeyafanya hayo yote mazuri unayoyaona. Ni mtu anayeipenda nchi yake kwa do dhati na sisi pia tunampenda sana.
Baba yetu Odinga jisikie upo nyumbani.. sisi watanzania tunakupenda sana
Sisahau pia ni Representative mkuu wa ujenzi yaani (Infrustructure) wa African Union (AU).
So he travels throughout Africa, has offices in SA, Nairobi, West Africa etc: Tafakari haaaya!
Wewe baba najua unapenda maendeleo walakini waizi hapa Kenya wamekataa kabisa utawale. Baba tunakupenda sana hapa kenya.Siku moja utatawala hii Kenya yetu utupeleke mbele na ukomeshe wizi sugu ambao majangili ndani ya serikali wanaita jina pole la ufisadi ili kupumbaza wananchi wakawaida
InshaAllah
@@rehemaahamadiahmadi566 naomba tuu. Sinauwezo wa kupambana hawa wezi naeza poteza maisha kama Msando
Leaders come from God na kuna reason he has never won any elections. Mungu alimkataa huyu jamaa. Let's pray God atupee another Raila.
@@mushken65 Ni kweli kabisa ila Mungu yupamoja nasi lnshaAllah one day
HONGERA SANA SANA WA TANZANIA, KWA UKALIMU MUKO NAYO MUKARIPISHA HUYO KIONGOZI WETU YA WA KENYA!! UKU KENYA TUNAMUCHAKUA LAKINI WANAMUNYAN'GANYA TU KURA ZAKE. SISI TUNAMUTAMBUA KAMA PEOPLES PRESIDENT HON ENGINEER RAILA AMOLO ODINGA.
Together lets build East Africa.....
Karibu sana Dar es salaam mheshimiwa Raila Amolo Odinga
Long live EAC..long live Afrika..
Wabongo tuliopo ughaibuni turudi nyumbani kumenoga... From US
Usirudi juwakali sana njaaa kama uwanini rudu lakini kama hufanyi kazi uko bora nyumbani njoo uta amini
Haha nime miss zile foleni za dar
@Ali Ali unanitisha, Nina 20yrs mbaka sasa huku...
@@alexchungu8823 Ali ni wale amabao hawana mtaji wala ujuzi.. welfare inahusika. Akirudi atakuwa mzigo tu Tz bora abaki aliko..! Lakini kama wewe una ujuzi mtaji na wazo la kufanya kwani una upana wa mawazo .. nyumbani kumenoga.. kidogo ulichonacho unaweza kikuza..! kwani wale wahindi tuliokuwa tuwaaabudu Tz si walitoka nje na ideas na mtaji tu..? Usisikilize wazamiaji wasio na elimu..!
@@josephgomalo41 una maana nimezamia?
Raila Amolo Odinga - An institution unto himself!
KAZI NZURI SANA MAGUFULI, JAPO MM ACT
Ewe mwenyez MUNGU asante kwa kuzidi kuripa nuru ya kupendwa zaidi taifa retu miradi yetu mikubwa na raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Karibu sana Raila Odinga jirani mwema
Zitto kabwe njoo ukaribishe mgeni
Henry Ndosi atasema matangazo ya kishetani hahahahaahahahaha Zito soma hiyoooooo
Jamani kunani tena na Zitto? Mwageni maelezo tahadhari. Wengine hatujasikia aliyosema Zitto.
Zitto hawezi kuja kwenye upuuzi huu , kizuri chajiuza , sgr inajitembeza
@@samateryussuf5938 unaota ww blood idiot 😏😏
GOOD JOB MR MAGUFULI
KENYA and TANZANIA tunapendana 😍😍love
Vizur sana tz
Waziri mkuu mstaafu wa Kenya kumbe anapeperusha bendera!,
I didn't know!
KANDUMILA THE GREAT hilo ni gari analotumia balozi wa Kenya nchini Tanzania na yeye kama VIP lazima bendera ipeperushwe
He is the minister of infrastructure and development of Africa
Ronald onyango MINISTER? eh! Omera you’re too much
@@AnalystTosh in charge of.... not Minister....but why is that bothering your ass
Raila is busy doing nothing he was a pm who did nothing
Your ignorance is appalling.!!! 😂😂😂
@@tafari988 He's busy doing shit mzee mtoto fuck him
Safi sana Mgeni wetu
Enigma of African politics......Raila Amollo Odinga
Zitooooo soma hiyoooo
Jamani kunani tena na Zitto? Mwageni maelezo tahadhari. Wengine hatujasikia aliyosema Zitto.
Hii ni nzuli sana sio kuleta maugovi ,umoja ni nguvu
Project zote nilizowahi kufanya wanyonge huwa tunaishia kuwa vibarua ktk angle zote na wasomi wetu ofisini but experts bila kujali ukubwa wa Elimu zao huwa field fully aware.... tubadirike sasa
Mheshimiwa Raila ndie Alie leta demcrasia nchini kenya na Anapambana naufsd mkubwa unao fnywa naviongozi waknya...nae magufuli Amekomesha ufcd tz ..sahii nchi ya tanzania ina sifa nzur katika bara la Afrika kwakukomsha ufsd..kwan ufsd niadui waumaskni ..wa Tanzania nyote mpendeni Rais wenu magufuli ...
Namkubali sana Ben Mwanantala jaman
Baada ya kumaliza awamu yake ya pili ya kuwa rais wa Tanzania, sisi wana Afrika Mashariki tutamchagua Mheshimiwa Dr. John Pombe Magufuli kuwa rais wa kwanza wa Shirikisho la Afrika Mashariki kwa jumla.
Baba in Tz,tunakuheshimu Sana
mungu asaidie mradi huu ufikie malengo,....sema @TRC mi nataka kujua ukitaka sehemu ya kufanyia biashara ndani ya vituo unapataje?
Baba,,,anapendwa sana uku Tanzania
Hakikaa watanzania lazima tuelew hiii
Hongera sn Mh Odinga we n mfano w kuigwa
Nchi ya Africa mashariki , Lazima kuwe na United ndio Africa tutashinda tuache mashindano sisi sote ni ndugu
Baba odinga karibu
Asante rail kwa Kuja
Sasa yule jamaa anaye hangaika huko ulaya akiiponda Tanzania je anayaona haya?
Pius Japhet kichaa yule hawezi ona yy ana hangaikia tumbo lake sio Tanzania 🇹🇿
RAIS WA KWELI KENYA RAILA ODINGA ASANTE
Amolo baba
Baba is always right.
Seems different contractor from the 1 who did the Kenya line. This 1 especially the overhead platforms look very different
Tanzania first phase is being done by a turkish contracting firm
kenya's was done by chinese contracting firm.
they are both similar heavy rail.
kenya's system allows double stacking of containers. Tanzania's doesn't. Tanzania system is electrified, kenya's isn't.(option available at a cost). Tanzania's sourced funds internally, plus bank loans from standard chartered.
Kenya dealt with Chinese government on a state to state basis.
anajiandaa kuchukua Kenya nini maana naona Mh Uhuru Kenyatta anampa kipaumbele sana kuliko DP Ruto
Ruto ni mwizi ...
Kweli kabisa
Kongole kwa ndugu zetu WaTanzania
maendeleo ndio msingi ya wanainchi hongera Tanzania pia odinga nakuli
I like it
Wapinza wtz wanasema hiyo ni upuuza magu angegaia masikini hizo hela,kwa kua hakuna ajila,tuongeze mishahara, tunenepe,
Baba juuuuuuu
Jambo
sijambo bwana
Habari
Habari gani
Bado nakumbuka MV Victoria. Tutumia hiyo kuenda Mwanza na Port Bell uko Kampala nikiwa mudogo.
Isharudi baada ya matengenezo makubwa yaliyohusisha pia engine mpyaa na kila kitu ni chakisasa kwa hiyo meli so iko kwa safari za majaribio ndo ikabidhiwe ianze kazi yaani soon jiandae kuitumia coz kwa Sasa niya kisasa
Chakushangaza huyu ni mpinzani kenya mbona anakuja kwetu anatukuzwa lakini wapinzani wa hapa hawapewi heshima hio
We kwenu huko Yemen wanapewa?
Fala anazugunza kama nani raia
President of poverty....odinga
Akili za odinga zina tofauti gani na waswahili wengine wa hovyo?
Akili zako na za nyumbu zina tofauti gani?
Years
Tanzania muko nyuma sana,kenya is the future of Africa 🇰🇪🇰🇪
Tanzania inajenga railways kwa hela yake....kenya imejengewa na china😀
Una kichaa.
Kweli mko mbele na diesel sgr
Tabia za mashindano si nzuri inabidi tuziache, mashindano hayana mpango ndugu yangu kenya na Tanzania hakuna mpishano mkubwa kiasi chakuwekeana mabifu
Safi sana Mgeni wetu