Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Asante sana Kwa elimu unayotupatia. Kiukweli inatia hamasa kubwa. Nitakutafuta kwenye simu.
Siku nyingine mjitahidi wote kuwa na boots kupunguza magonjwa
Je maandalizi ya soya yakoje zinakaangwa kwanza au mbichi
Kinafaa kwa nguruwe wanaonenepeshwa kwa ajili ya kwenda sokoni??
@@flavianswai2195 kinafaa mkuu
Pumba ya mpunga vip??
@@Agusanga unaweza weka mkuu
Asante sana
Ukitaka kua na nguruwe wanye uzito wa kuanzia kg 100 na kuendelea kwa mchanganyiko huo inabidi ufuge kwa miezi mingapi au nguruwe wako unawafuga kwa miezi mingapi ili kua na kg 100 au Zaid asante
@@NickierNduchemiez 7
Mm natumia pumba ya mahind pumba ya mpunga mashud dagaa mifup damu chumv soy chokaa na pig bust hapo nakosea au vip
Asante sana Kwa elimu unayotupatia. Kiukweli inatia hamasa kubwa. Nitakutafuta kwenye simu.
Siku nyingine mjitahidi wote kuwa na boots kupunguza magonjwa
Je maandalizi ya soya yakoje zinakaangwa kwanza au mbichi
Kinafaa kwa nguruwe wanaonenepeshwa kwa ajili ya kwenda sokoni??
@@flavianswai2195 kinafaa mkuu
Pumba ya mpunga vip??
@@Agusanga unaweza weka mkuu
Asante sana
Ukitaka kua na nguruwe wanye uzito wa kuanzia kg 100 na kuendelea kwa mchanganyiko huo inabidi ufuge kwa miezi mingapi au nguruwe wako unawafuga kwa miezi mingapi ili kua na kg 100 au Zaid asante
@@NickierNduchemiez 7
Mm natumia pumba ya mahind pumba ya mpunga mashud dagaa mifup damu chumv soy chokaa na pig bust hapo nakosea au vip