Bongo Na Flava film I HD I April 2018

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • КиноКино

Комментарии • 1 тыс.

  • @faridifriction8805
    @faridifriction8805 4 года назад +7

    Bonge moja ya movie🔥 sema mnafeli kwny kuzipromo movie zenu imagine nimekuja kuicheki baada interview ya director shwaibu wasafi 2020

    • @karimshabani771
      @karimshabani771 10 месяцев назад

      ni noumaah nimekuj kuichek 2024 dah nimechelwa sanaaa

  • @dinyoabeli9028
    @dinyoabeli9028 Год назад

    Zopa a.k.a ONE INCREDIBLE nakukubaliiii sn mzazi

  • @katemajr9374
    @katemajr9374 6 лет назад +19

    Hiindio Movie yanguKali yamuda wote kamaumeikubali kama mm gonga like twendesawa

  • @SaidKweli
    @SaidKweli 6 лет назад +2

    Mchizi alinihadithia kidogo skani, nikaweka nia ya kuitazama kabla ya kulala, angalia, saa tisa sasa bado sijauona usingizi. Filamu kali yenye mafunzo halisia. Asanteni sana kwa zawadi.

  • @GodfreyShirima
    @GodfreyShirima 6 лет назад +8

    The realest movie ever.....kwa mara ya kwanza nimekua proud of the job well done from home. Idea nzuri mno, cinematography ya maana sana. Long live bongo Hip Hop.

  • @mgandamtanzania4981
    @mgandamtanzania4981 5 лет назад +1

    Daaah makini saana Moja wa pekee (zopa) movie imenifungua mambo mengi saana katka maisha.

  • @ramadhanisultani4229
    @ramadhanisultani4229 5 лет назад +3

    Such a dope movie tukiwa na uwezekezaji mkubwa tutafukia baadh ya mapengo na naamini jiwe litakuwa kubwa zaidi

  • @KAALAMOTO
    @KAALAMOTO 6 лет назад +1

    One the incredible,, dreams coming tru.

  • @MissChristinaErick
    @MissChristinaErick 6 лет назад +48

    Hatimaye mwaka huu nimeangalia filamu yenye uhalisia,ambayo sikutaka kuiacha hata sekunde,haijanikera,sijairusha hata tone,you guys did great job! Aisee shikamooni

  • @jacqlineambwene9033
    @jacqlineambwene9033 6 лет назад +1

    shooo Kali. bonge la move..iko poa sana nimeipenda shooo.. .gud i dea

  • @mugurusisilva9595
    @mugurusisilva9595 6 лет назад +5

    This is bongo movie next level, no waste of time, every scene is amazing, sound track ndo usipime it goes wit the story. All the actors are amazing. Keep it up DREAM HIGH PRODUCTION. Can't wait for the next one.

    • @alkaullahmediaTz
      @alkaullahmediaTz 5 лет назад

      Hii mub ik0 p0a sanaaa.. Nmeikubalii..... Actors wote wamecheza, kama vile n ishu ya kweliii kumbee muv, daah big up...BROTHERS...

    • @alkaullahmediaTz
      @alkaullahmediaTz 5 лет назад

      Hii ishu imechezwaaa..kiakili, i appreciate it👊👊

  • @jila_legrand
    @jila_legrand 6 лет назад +1

    Heshima kwenu wana mmetisha mbaya

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 5 лет назад +13

    Daa! I just feel a lot when i check this Movie. It gives something real. Reality on top. Credible..... Reasonable man to understand.
    Much appreciated.🙏

  • @souljah_strength
    @souljah_strength 3 года назад +2

    Bongo na flava Ni bonge moja la picha Sana nime appreciate kile mlichokifanya picha Ina uhalisia wa maisha halisi hususani kwetu sisi vijana ambao wengi wetu unakuta Ni jobless kwenye jamii wamekuwa wakifanya kazi za kuhatarisha Sana maisha ili waweze kupata hela na vitu vingine nimependa maudhui ya Kwenye hii filamu moko wa miujiza a.k.a Zopa your incredible character big up Sana kwako na kwa wote wanaosapoti harakati za hip hop asante.

  • @ToyTz
    @ToyTz 6 лет назад +31

    dah! dah kumamake hii muvi mnetisha wanangu! ONE,wakaz,saigon, salu,na wana kibao waliopo humu mana asilimia 80 ni maisha yngu nayopitia 4real!! God bless

    • @jacksonmwaimu997
      @jacksonmwaimu997 6 лет назад

      Boce angalia lugha za kuongea tunafundisha nn jamii ktk matus yako

    • @CoachHafidh
      @CoachHafidh 4 года назад

      Songa fid q

  • @NEXTtz
    @NEXTtz 6 лет назад

    Good job

  • @makarokingi3144
    @makarokingi3144 6 лет назад +11

    Nashindwa nianzia wapi ila inshort hii ni move ya kwanza yenye uhalisia na mafundisho nimeipenda fid q,one theincrindible,wakazi,ramaa,makamua songaa na wengne wengi mmetishaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @musaabuebker1750
    @musaabuebker1750 5 лет назад +1

    nmeangalia mwanzo mwisho streaming.gb ngapi sijui big up .uno. one

  • @felixgasper3378
    @felixgasper3378 6 лет назад +4

    dahh iam bless ...dahh nimeenjoy san jamaa kaongelea maishahalisi ya wataftaji kujihusisha na biashara za ajabu ilii tupate kipato kikubwa kwa haraka ..but piya tumefundishwa kutokata tamaaa kwan palee unapo waza kukata tamaa ndipoo mafanikio yako yanakuja ..god bless aisee 🔨👏👏👏👏

  • @ramadhaniissabonomali5761
    @ramadhaniissabonomali5761 6 лет назад +1

    harisi harisi ;;;;;;;;;;;;;;;mmetisha sana ma brother''

  • @smedomawe1925
    @smedomawe1925 6 лет назад +4

    Kama haileti hela kwao hai make sense -a ha ha ha ha muvi kali sna big up zopa........... Miaka buku bro nakukubali

  • @atanasigerald1524
    @atanasigerald1524 6 лет назад +1

    Uno moko wamiujiza we ni incredible tuu bro mwenye fikra kwakila kazi mungu akubarikie

  • @ambokilenyondo5259
    @ambokilenyondo5259 5 лет назад +5

    Nakubali knoma ma icon wangu tamaduni music one, wakaz, q nakubali brothers

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid 5 лет назад +1

    Zopa na chausiku movie imetulia Sana pamoja na mzee kizito

  • @tashamatutu5993
    @tashamatutu5993 6 лет назад +18

    bongeee mojaa la movie..(idea) ni kubwaaa saana...shoutout tu #uno#wakazi#fidq# and everyone who support this

  • @ramadhanmnzava536
    @ramadhanmnzava536 3 года назад +2

    Ukweli ni kwamba BonGoHooDz kazi zenu mnapita kwenye uhalisia wa mambo yanavyo kwenda katika ulimwengu wa upambanaji kazi zenu huwa nazifuatilia sana kwani kuna nyakati huwa zinanipa ujasili wakutokukata tamaa lakini pia huwa naweza kurudi hatua nyuma kama kunajambo baya nilifanya na kuona mwisho wake utakua mbaya . Hakika hii level ndo inanifanya nipende sasa kazi za nyumbani Tanzania hakika sanaa ni kama kioo ukitazama inapaswa uone taswira yako na kukufanya utafakari. Big up brotherz

    • @bongohoodzpichaz
      @bongohoodzpichaz  3 года назад

      Respect Sana mkuu, tunashukuru kuwa inspiration kwako, sambaza Link ili na wengine wawe inspired, blessed 🙏🏾

  • @peterfabian8860
    @peterfabian8860 6 лет назад +9

    Honestly niliichukulia poa sana mwanzo, bro we ni bonge la actor, nimeipenda sana hii one, mr. Zopa ur the baddest. Sema fid ni comedian 😂😂😂

  • @brotherstelevision6670
    @brotherstelevision6670 6 лет назад +2

    story ya muvi nzuri na kilamtu kacheza poa sema quality ya picha ndoipochini semafresh tutafika tu

  • @saidsaid-uw2of
    @saidsaid-uw2of 6 лет назад +3

    Who with me 2019

  • @dennispaschal5631
    @dennispaschal5631 6 лет назад +2

    Daaaaaah movie inamafundisho makubwa saaana..Asante kwa hili nahisi imenibadilisha kwa namna moja au nyingine
    #kutokatatamaa

  • @gloryherrymbwilo5429
    @gloryherrymbwilo5429 6 лет назад +6

    Bonge moja LA movie aisee...the reality life👌👌

  • @MBANGA_NAME
    @MBANGA_NAME 6 лет назад +1

    kazi nzur.....nmependa....
    kias sasa na cc tunasogea...

  • @shannelika718
    @shannelika718 6 лет назад +11

    Well well well....kila mtu amecheza uhusika vizuri, Anita,Fid Q,Makamua and Zopa pia....nice story man! The movie deserves a bigger promo kwan there is a lot to learn....Hongereni sana

    • @halimabasil8503
      @halimabasil8503 6 лет назад +2

      Big up sana wanang wa power mnatisha sana

  • @tayoelias8622
    @tayoelias8622 5 лет назад

    Hii movie ina mafundisho yote kwa vijana😊😊😊😊 Mungu awabariki sana nmechukua mda wngu dah sijui kama naweza kueleza najisikiaje hapa nawapa heshima sana kwa wote waliosababisha ikatoka hii movie

  • @brianbrayoo1590
    @brianbrayoo1590 6 лет назад +7

    so dope with the real life expression...whats presented whats going down on the streets...

  • @chadugentleman646
    @chadugentleman646 6 лет назад

    ::iko vizuri sana,, Hip Hop ni vile tunaishi ,,, Hii yafaa kuwa kioo kwa jamii,, one love the incredible muvi kali sana

  • @trissbeats9793
    @trissbeats9793 6 лет назад +13

    hii ni revolution kwenye story lugha na maisha halisi lakini cinematography iko on point sana colour grading iko so cinematic tofauti na movie nyingi za kibongo colour grading yeboyebo sana big up kwenu wana

  • @DeejayJulius254
    @DeejayJulius254 6 лет назад

    Kazi swafi masela. Natengeza mix ya hip hop ya kibongo nanyie muko kwenye orodha. Nimependa sana

  • @lutachahalajohnkalokozi6297
    @lutachahalajohnkalokozi6297 5 лет назад +13

    Kama unaamini kuwa mitihani ipo kwetu binadam like hap

    • @chrisskisura1420
      @chrisskisura1420 5 лет назад +1

      Duuu bhana eee ni kweli inawezekana... ni kazi kubwa sana sana hata bongo movie hawausogelei huu moto.. naomba naomba sana creativity hizi ziwekewe budget kubwa katika kuzindua na ku promote jamii nzima ifikiwe pia naomba iwe ni dili kubwa market yake iwe kubwa ili hili kundi dogo lilisimama humu ndani kikamilifu na hawajaacha hata gep moja kila mmoja apate stahiki uake yaani kazi hii iwe na maslahi hata zaidi ya mtonyo mnene kwa kila mmoja hata kila mtu akiondoka na milion mia 8 poa tu afu one increadible bilion 2 fid q moja na nusu na wengine milion hata mia tano mia sita makamua bilion 1..ndo nachoomanisha

  • @francischikamba720
    @francischikamba720 4 года назад +1

    Move kali nimeielewa inaelezea maisha halisi ya underground wanao haso kutoka kimuziz..Mwanangu oneicredible(zopa) umeua kinyama ,,Fid Q umetisha mbaya,,Wakazi umekinukisha kinomanoma big up kwenu wana endeleeni kukaza naamn one day tutazifikia zile level ambazo tunahtaj kufika ,,,,,,,,thanks.....!!

  • @kimukakankan.4678
    @kimukakankan.4678 6 лет назад +9

    FANTASTIC MOVIE, LAKINI MWANZONI MATUSI MAKALI SANA YAMETUMIKA.. NEXT TME TAFSIDA MUHIMU... 100% SALUTE KWENU WASHIRIKI.

    • @ibrahimabdurauph5539
      @ibrahimabdurauph5539 5 лет назад

      Akuna muvi ya hip hop iliyokosa matusi duniani kote acha ujinga wako ndomana umewekwa umri wakuangalia

    • @selemanimkupe1225
      @selemanimkupe1225 4 года назад

      Kuna pahara hapahitaji tafsida kaka siyo Kila sehemu tafsida inaweza fit ili uhalisia ufike haja ya hiyo kitu hakuna

  • @naccebsasilo8059
    @naccebsasilo8059 6 лет назад

    U made my day bro sanane za ucku cjalala nimehakikisha mpaka inaisha u présent reality in thé whole movie🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @islamsaid4830
    @islamsaid4830 5 лет назад +5

    Tumalizien hii movies imeni gusa Sana na I really like this song aka zopa👌

  • @rizzobeats5919
    @rizzobeats5919 6 лет назад

    From now napendekeza bongo fleva ndio wacheze movie cause movie zinauhalisia kinoma big up sana.

  • @abubakaryvanny8790
    @abubakaryvanny8790 6 лет назад +9

    Bonge moja l movie yaan saf xn incredible umetishaaa

  • @lucamartin6584
    @lucamartin6584 6 лет назад +1

    Dah!!! Hongera sana "Zopa" sijui "Zapo" in fid voice Uno hili ni boooonge la movie aisee safi sana moko wa miujiza

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 2 года назад +5

    Nilipojaribu kuitazama nikasema ngoja niiangalie dakika mbili then Nizime data nilale
    Lakini Sijaweza Kufanya Hivo na nikajikuta naangalia Mpaka Mwisho
    Movie Nzuri Yenye Mafundisho na Uhalisia wa maisha yetu vijana wengi wa Bongo
    Akina Zopa Tupo Wengi Sana Mtaani tunaotamani kutimiza ndoto zetu lakini changamoto Kidogo huwa zinatukatisha tamaa kabisa na kufanya alternative zingine ambazo sometimes sio nzuri kabisa Katika maisha
    Don't Give up Wana Safari Ni ndefu sana na Tutafanikiwa
    Movie ni Nzuri Sana
    Asanteni Sana Kwa Kazi Nzuri iliyojaa ubunifu na uhalisia
    Salute kwenu

  • @augustinovalerian1018
    @augustinovalerian1018 6 лет назад +1

    Movie Kali sana wana, mmejaribu kuonyesha Uwezo uliotukuka. Kwa hili mlilotuonyesha ni uthibitisho Kuwa tunaweza tena sana. Kwa Kuwa mmeonyesha uwezo mimi hata siwalaumu kuhusu video production kwa sasa. Mmejitahidi sana tena sana

  • @azeezleon4991
    @azeezleon4991 6 лет назад +5

    Kwa kipnd kiref bongo imekosa muv ka iz... Gud job broh.. Kp t up uku mwishon u made me cry mzee

    • @faudhiajuma8492
      @faudhiajuma8492 6 лет назад

      Zopa zopa nakubali kaziyako mzee unatixha sanaa

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 5 лет назад +1

    *Aisee kazi zenu ni nzuri Sana*
    *Pia na zielewa Sana*

  • @cyprianewaton413
    @cyprianewaton413 5 лет назад +3

    Great movie ..watching from 254

  • @johnjohn1141
    @johnjohn1141 6 лет назад

    movie kali mpaka nomaa... moja ya movie bora sana ata sisi tusioangalia sana bongo movie kutokana na mapungufu mengi ila humu amna kilichokosewaa big up sanaa...

  • @stevemelodiaz6933
    @stevemelodiaz6933 6 лет назад +13

    Hii ni moja Kati YA filamu itakayobaki akilini mwangu forever... Mmetisha wahusika wote humu, gonga like Kama umeikubali🙌🙌🙌

    • @bongohoodzpichaz
      @bongohoodzpichaz  6 лет назад

      steve melodiaz asante Sana kamanda endelea kusambaza upendo

  • @alidjuma6832
    @alidjuma6832 4 года назад +3

    pamoja xana movie imetsha uo ualisia wa maisha tunayoish mtaan

  • @chrisskisura1420
    @chrisskisura1420 5 лет назад +4

    Makamua amecheza uhalisia mkumbwa sana.. vivyo hivyo fid q na wengine wooote increandible pia kaonyesha mwanzo mwisho..

  • @MasterRegan
    @MasterRegan 6 лет назад +1

    One of the best movies. Movies kama hizi zinazorecordiwa hivi ndizo tunazozitaka hapa bongo aise

  • @josephcosmas3987
    @josephcosmas3987 6 лет назад +45

    Nimechek mwanzo mwisho hii ni kwa sabab ya love ya Hip Hop

    • @bosskipens7139
      @bosskipens7139 6 лет назад

      Joseph Cosmas kwel

    • @honestnuru461
      @honestnuru461 5 лет назад

      Daaah mwanangu one uko njema hii ndo bongo na flavor
      Hali halisi

  • @ibrahimrashid3591
    @ibrahimrashid3591 6 лет назад

    Hawa jamaa wametisha sana, its something ambacho watu waliokuwepo kwenye bongomovie miaka kibao wanashindwa kufanya ....ila hawa wametisha 💪

  • @rashaadfortunatus6878
    @rashaadfortunatus6878 6 лет назад +12

    Bongo Na Flava reminds me of Eminem's 2002 8 Mile Movie. a hip hop drama film. The story is heavily best on new hip hop artist from North West Region of Tanzania, Kigoma in search of his boyhood buddy to pursue his dream of becoming an Artist.The trials and tribulations walk through to recognize ones dream. Very well acted for a small production. Two Thumbs Up!

  • @rubenmangoli5035
    @rubenmangoli5035 6 лет назад

    Ebhaaaana eee ni bonge la move usiache kulichekiiiii revolution moja hatar big up

  • @edwinruhangisa5704
    @edwinruhangisa5704 6 лет назад +21

    daaah bonge la movie yaan iv ndo inavyotakiwa
    cjajutia muda wangu na mbs zangu kuangalia hii kitu

  • @ismailnungu335
    @ismailnungu335 3 года назад +1

    Respect mwanangu zopaaa umetish xana brother na kundii zima lililofnikish kuptkn kwa movie hiii kaliii ukwer n kwamb mm nmtej mkubwa wa bongohoodz cwapingiiii brother

  • @mkizagozby4566
    @mkizagozby4566 6 лет назад +5

    Bonge la movie
    Incredible umetisha mzaz sio kwa upole huo

  • @josephfry7424
    @josephfry7424 6 лет назад

    Napenda ku criticizes movie nyingi zaki bongo na pia huwa simaliziagi movie lakini Hii movie imeni touch na to attract my brain big up sana 🙌🏽

  • @cypherkongwe1910
    @cypherkongwe1910 6 лет назад +27

    Ni bonge la movie, imeongozwa poa Sana, kidogo ubora wa picha umeangusha! Ila Kunta kinte..askari anapokufa hatumuachi vitani ✊✊

    • @bongohoodzpichaz
      @bongohoodzpichaz  6 лет назад +1

      Asante sana kaka sambaza amani

    • @abdullyzubery3589
      @abdullyzubery3589 6 лет назад

      cypher kongwe haina maadili wanatukana ovyo ovyo yu

    • @cypherkongwe1910
      @cypherkongwe1910 6 лет назад +2

      Nikweli ila lakini huwa tunavumilia zile f za movie za Hollywood mbona?? , uhalisia wa mtaa ulivyo bila kuongeza chumvi ndio nafikiri kilichoigizwa humu.
      Kwani hayo matusi hayapo Mtaani kwenu?
      Ndio maana haya mambo yana age retriction.

    • @semanasitv8303
      @semanasitv8303 6 лет назад

      movie kali sana

    • @rajansharky3386
      @rajansharky3386 6 лет назад

      cypher kongwe kweli unachosema mwana movie za mbele wanatukana sana. Haya ndo maisha ya Kitaa

  • @anithamwenda7725
    @anithamwenda7725 5 лет назад +1

    Movie nzuriiiii I love it

  • @martinrog7100
    @martinrog7100 6 лет назад +4

    Nice iko na story nzuri sanaa Elimu tupu ndani. Hii film ni elimu tosha tena mmeitoa bure kabisa Safi sanaa 🔥🔥🔥💯

  • @msodokitheson6346
    @msodokitheson6346 6 лет назад +1

    Gudd sanaa brazaa ww fundii milele

  • @khadijaali4989
    @khadijaali4989 6 лет назад +4

    🤝Hongereni Sana movie nzuri ina mafunzo mengi ila mukome matusi wengine tunaitizana na watu tunaowaheshimu👌

    • @princepeter2110
      @princepeter2110 6 лет назад +1

      Khadija Ali
      Hii unajifunza na your peer

    • @khadijaali4989
      @khadijaali4989 6 лет назад

      PRINCE PETER inafundisha sana tu ila huo mwanzo duh matusi ❎

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 6 лет назад

      Hayo ndio maisha halisi ya uswahilini kma umewahi ishi maisha ya kitaaani

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 6 лет назад

      Ila movie kaliii

    • @yohannajimson2790
      @yohannajimson2790 6 лет назад

      Khadija Ali

  • @mimanatamelchior3825
    @mimanatamelchior3825 6 лет назад +1

    Dahh Ila wanatukana Sana matus Sana tena live bila chenga😴😴😴😴😴😇😇😇😇watoto jaman eeeh

  • @janetraymond5511
    @janetraymond5511 6 лет назад +25

    harry this some next level shit..........!! aya bongo movie endeleeni kupeana tuzoo za kipuuzi😷😷😷 saigon i loved ur part....! DJ druuh indeed

    • @mrswagz100
      @mrswagz100 6 лет назад +1

      cherie bae That ass 5:18

    • @rajansharky3386
      @rajansharky3386 6 лет назад

      Bongo movie hizi huwa hawazioni, afu ni wabaguzi sana

    • @jacobmasoko3983
      @jacobmasoko3983 3 года назад

      Nakubarisana harakati hizi nazikubarisana maana tumepitia hasoling nyingisana

  • @zachariamichael1024
    @zachariamichael1024 4 года назад +1

    Dah Sanaa inawadai sana nyie jamaa hebu fanyeni Series kabisa tule maepisodi

  • @mussaramadhani7367
    @mussaramadhani7367 6 лет назад +12

    Kitu kizuri Tutakifuata2 Hata Uchochoroni #Ayeeee

  • @patrickmazege8324
    @patrickmazege8324 6 лет назад +1

    hii kitu nilikuwa siijui lakini bhana bonge la movie nilivyoicheki aiseee bhana makaka respect aiseee

  • @distymgenge9479
    @distymgenge9479 6 лет назад +4

    Nimeipenda ipo kiuhalisia zaidi nimeielewa sana

  • @wotechannel7069
    @wotechannel7069 5 лет назад

    Ase good job mwangu zopa ,respect kwako fid my bro na wengine wengi kazi mzuri nimejifunza mengi kwenye arakat za mtaa

  • @chammieazizi3383
    @chammieazizi3383 6 лет назад +21

    THIS IS INTERNATIONAL BROTHER BLESS....

  • @nancyhamisi2261
    @nancyhamisi2261 3 года назад +1

    Good job I appreciate

  • @gerryalphonce2889
    @gerryalphonce2889 6 лет назад +4

    Zopaaaaaa!!! gud stuff indeed

  • @godwinbenedict4146
    @godwinbenedict4146 4 года назад +2

    Hii nimeielewa aise, safi sana

  • @titusmakao1671
    @titusmakao1671 6 лет назад +3

    Naamin Kuna Somo hpa kwa bongo movie 👊💪💪💪💪

  • @mutchietv3456
    @mutchietv3456 6 лет назад +1

    Tusipoonyesha uzalendo na kukubari kazi kama hizi tutafeli vingi makosa yapo madogo madogo ila ni filamu ya kipekee wanasema husipojifunza kwa mapoto yako yatakuwa ni mapigo kwako big up saaana

  • @ramadhanshaabani4060
    @ramadhanshaabani4060 6 лет назад +7

    Hatimae new image ya Girlfriend imepatkana... kwa mara ya kwanza nmeangalia movie ya home na nmeielewa baada ya muda mrefu saana kupita.
    Imepangiliwa vzuri kuanzia story mpaka scripts..
    BONGO MOVIES piteni kwenye huo mstari, hakika tutaenda kimataifa..

  • @darathang6414
    @darathang6414 5 лет назад +2

    Nakubali sana wakubwa mmetisha kinoma % kama zote

  • @ortizvitaliz4778
    @ortizvitaliz4778 6 лет назад +3

    Dah ni zaidi ya movie aisee Maana ni maisha yetu halisi tunayoishi

  • @paschalwaryoba6987
    @paschalwaryoba6987 3 года назад +1

    Since day1 mabaharia 2nahustle I appreciate

  • @athumankivinakivina7311
    @athumankivinakivina7311 5 лет назад +4

    Makini mkali maisha hayakosag changamoto nakubal sanaaa na sanaa zopaaaaa mkn

  • @patrickkessy3912
    @patrickkessy3912 6 лет назад

    Ni bonge la kazi hongera hiphop artist....@onetheincredible

  • @fredyjulius4508
    @fredyjulius4508 6 лет назад +3

    Zito... Zapo....Zopa ..10 Crack Commandments.....booonge la kazi nzuri

    • @bongohoodzpichaz
      @bongohoodzpichaz  6 лет назад

      Fredy Julius asante sana

    • @mwamvitambwana6556
      @mwamvitambwana6556 4 года назад

      Naaandika xtory pia ni Actor naweza kuzicheza cinematographer my no 0687741193 Shukrani

  • @microholic5899
    @microholic5899 6 лет назад

    hii sio bongo muvie. n ubongo wa muviee..
    wanangueee sina chakuwapa ila much respect kwenyuuu
    shot out kwa director. colour kalii stori kaliii

  • @myuniversity1991
    @myuniversity1991 6 лет назад +6

    i diint thout i would finish this mvie bt it turn out to be my best bongo movie after girl frien.. keep it up.

  • @hajikalili2379
    @hajikalili2379 5 лет назад

    daaaaah! moko!!!! sijui ni comment nin, ndo maisha yetu.

  • @bulladalove2107
    @bulladalove2107 6 лет назад +4

    Duh.. chombo haichoshi aseeeh..
    Mzigo mtamu balaaa, (gwara iwahusu)

  • @sadamachette9340
    @sadamachette9340 5 лет назад

    Big up.. ZOPA bongo la movie!! Shout out to songa & fid q na huyo manzii wa ZOPA ametisha sn alimuerewa mchizi kiroho sf. Vijana tusikate TAMAA

  • @Happydaysworld
    @Happydaysworld 6 лет назад +4

    ALL THE WAY FROM UNITED KINGDOM BRO THIS PROJECT IS VERY UNDERSTANDABLE I FEELT LIKE I WAS IN CINEWORLD BIG UP..

  • @Uzimampyatv
    @Uzimampyatv 6 лет назад +2

    Dahh kuma mkee .ichikituuuuu aijawah tokea bongo 👍👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mok_njm6144
    @mok_njm6144 6 лет назад +4

    big up sana ,,sema tusiishie apa

    • @ecologuideaceae.2178
      @ecologuideaceae.2178 6 лет назад +1

      mok_ njm
      ni kweli iendelee mpaka Series to Episodes , bonge ya kitu you feel yr on it when yr watching. Especial Kama ume pitia hizi Mbishe.. Keep it on UNO De Incr ' ✊🏿

    • @mok_njm6144
      @mok_njm6144 6 лет назад

      Charles Sonyo ndio ndio bob

  • @brightonbuberwa8487
    @brightonbuberwa8487 6 лет назад +3

    For sure its my firt tym kuandika cmmnt in youtube....wadauu hongeren sna...kep it up i enjoy de lechr for dis firm...🙏🙏🙏🙏🙏

  • @DominicMyumbilwa
    @DominicMyumbilwa 6 лет назад +10

    Aisee Safii Sana, Hii Kazi ni Zaidi ya Hao kwa Mainstream

  • @osmundmbilinyi7614
    @osmundmbilinyi7614 11 месяцев назад +2

    Who is watching this Masterpiece and triumph in 2024 ??