Mubàraka mwishehe he will be remembered all in East and West Africa I remember the he visited Uganda during Amin regime May his soul rest in peace 8:388:40
Oh,okey muchuku,wa mbaraka mwinshehe continue. ,baby you will get it,,l was wishing this but l get it,mariah,keep it up,congratulations,thanks to see this eti ,the granddaughter of mbaraka is there doing music,so great ,be slow lady like your grandpa,mbaraka mwinshehe,you will achieve your goals and dreams,be smart in sing,and rythim of your grand pa,l wish you more success through to the end..thanks alot,to follow your grandpa,s footsteps,means. Umefuata,nyayo,ya grandpa,pray to reach at the top,l wish you the best of lucky in your carrier....see you next. ..I IN USA.
Kusema ukweli vipaji via music TZ ulikuwa na hali ya juu sana enzi za Kina Mbaraka Mwinshehe, tabora jazz, morogo jazz.......etc. Stamp wa music wa ki TZ haujahifadhiwa Bali ulipotwzwa na Bongo flavour ambae in copy ya hippop na Zouk. Congo wali weza kuendeleza music wao na kuhifadhi stamp wa music wa kikongo hadi kutambulika na umoja wa mataifa.
Mbaraka mwinshehe mwaluka Tina njoo tuludiane sambamba na rekodi izo salamu ya wana Rufiji ,penzi langu,penzi la mashaka,nalilia raha,mwanzese, maudhi,matrida huna siri, masikitiko ya kwetu
Taji anasema hakuna mjukuu wa mwanamuziki anaefanya muziki, ila tunamkumbusha tu Maua Sama babu yake alikuwa mpiga bass wa mwanzo Nuta jazz band alikuwa anaitwa Hamis Sama.
SIdhani kama kuna watakaofikia levo ya Mbaraka; tunaofahamu muziki wa Mbaraka tunajua kuwa tangu atangulie mbele ya haki, hakuna mwanamuziki aliyewahi kujitokeza kwa kuimba na sauti ya kutoka tumboni bila kubana koo na pua.
Very well done documentary. I grew up in Nairobi listening to his music hadi leo. Great legacy!
Mubàraka mwishehe he will be remembered all in East and West Africa I remember the he visited Uganda during Amin regime May his soul rest in peace 8:38 8:40
Big up kwa muandaaji wa hii mini-documentary.
Oh,okey muchuku,wa mbaraka mwinshehe continue. ,baby you will get it,,l was wishing this but l get it,mariah,keep it up,congratulations,thanks to see this eti ,the granddaughter of mbaraka is there doing music,so great ,be slow lady like your grandpa,mbaraka mwinshehe,you will achieve your goals and dreams,be smart in sing,and rythim of your grand pa,l wish you more success through to the end..thanks alot,to follow your grandpa,s footsteps,means. Umefuata,nyayo,ya grandpa,pray to reach at the top,l wish you the best of lucky in your carrier....see you next. ..I IN USA.
Nimepata furaha sana kumuona mkujukuu mmbaraka mwishe ...!!
mzee baraka musheee alikuwa pasua kichwa nilikuwa nazifatilia ntimbo zake tanfia nauli mdog san ata shule sijaanz adi leo
Nenda madrasa fuata nyayo za wanazuoni sio muziki
Yuko vizuri
Mbarak mwinshehe SHIDA
Inalilahi waninalilahi rajinun mipango ya alla
Nyc sanaa...😘
senks mdg wngu umetisha malisa
Safi sanaa
Mjukuu yuko vizur
Nimekuwa wakwanza mm Jaman hiyo nyimbo tunaipataje
Mr Kajomba Remelo og ata mm pia
Nice one
Mungu atutangulie baby
Grace Rosi waooooooo nimeipenda San iyo ngoma shida huwa nikisikiliza unanikumbushs mbal san
Kusema ukweli vipaji via music TZ ulikuwa na hali ya juu sana enzi za Kina Mbaraka Mwinshehe, tabora jazz, morogo jazz.......etc. Stamp wa music wa ki TZ haujahifadhiwa Bali ulipotwzwa na Bongo flavour ambae in copy ya hippop na Zouk. Congo wali weza kuendeleza music wao na kuhifadhi stamp wa music wa kikongo hadi kutambulika na umoja wa mataifa.
So nice my odo
Hakika. Mama. Amney. Mimi. Ni. Mmoja. Wa. Mashabiki. Wa. Sollist. International. Mbaraka. Mwinshehe. Mwaruka.
Mzenga paris iyoooo
Mbaraka mwinshehe mwaluka Tina njoo tuludiane sambamba na rekodi izo salamu ya wana Rufiji ,penzi langu,penzi la mashaka,nalilia raha,mwanzese, maudhi,matrida huna siri, masikitiko ya kwetu
Mtoto anajua sana
Mjukuu wa Mzee wangu mbaraka mwsh
another version of REFRESH from WASAFI .....haaaa Bongo tamu
Trace Jeezy kama kawaida wajinga wa wcb kila kona
Hii cover ya nyimbo tunaipataje
Qqqqq
He was very clever young man
if his grandfather will listen this story..exactly he will be happy for her..
He's dead 🙄🙄🙄🙄
Taji anasema hakuna mjukuu wa mwanamuziki anaefanya muziki, ila tunamkumbusha tu Maua Sama babu yake alikuwa mpiga bass wa mwanzo Nuta jazz band alikuwa anaitwa Hamis Sama.
Waaooohhh!!!!
💟
Kipaji
😍😍😍
nakubali
Mwana wake wakiume yuko wapi ?
R.I.P
SIdhani kama kuna watakaofikia levo ya Mbaraka; tunaofahamu muziki wa Mbaraka tunajua kuwa tangu atangulie mbele ya haki, hakuna mwanamuziki aliyewahi kujitokeza kwa kuimba na sauti ya kutoka tumboni bila kubana koo na pua.
Tofauti ya mbaraka Mwinyishehe na wanamuziki wa sasa ni ujumbe nyimbo zote za mbaraka zina msg nyingi sana
KICHWA CHA HABARI TOFAUTI NA MAUDHUI.NILITAKA KUMSIKILIZA MJUKUU WA MBARAKA AKIIMBA NA SIO KUSIKIA HISTORIA.
Mbona manelezo mengi haimbi?