Tazama Msanii Malisa Alivyoimba kwa Hisia Wimbo wa Babu yake Mbaraka Mwinshehe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • Kwenye kipindi cha "My Playlist" ilifanyika marudio ya ngoma iliyoimbwa na marehemu Mbaraka Mwinshehe...tazama hapa

Комментарии • 46

  • @HapaTexas
    @HapaTexas 2 года назад +3

    Very well done documentary. I grew up in Nairobi listening to his music hadi leo. Great legacy!

  • @NampendaFesto
    @NampendaFesto 11 месяцев назад +1

    Mubàraka mwishehe he will be remembered all in East and West Africa I remember the he visited Uganda during Amin regime May his soul rest in peace 8:38 8:40

  • @massive1765
    @massive1765 2 года назад +1

    Big up kwa muandaaji wa hii mini-documentary.

  • @mellenondieki6329
    @mellenondieki6329 3 года назад

    Oh,okey muchuku,wa mbaraka mwinshehe continue. ,baby you will get it,,l was wishing this but l get it,mariah,keep it up,congratulations,thanks to see this eti ,the granddaughter of mbaraka is there doing music,so great ,be slow lady like your grandpa,mbaraka mwinshehe,you will achieve your goals and dreams,be smart in sing,and rythim of your grand pa,l wish you more success through to the end..thanks alot,to follow your grandpa,s footsteps,means. Umefuata,nyayo,ya grandpa,pray to reach at the top,l wish you the best of lucky in your carrier....see you next. ..I IN USA.

  • @sebagasper1651
    @sebagasper1651 3 года назад +1

    Nimepata furaha sana kumuona mkujukuu mmbaraka mwishe ...!!

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed4549 5 лет назад +4

    mzee baraka musheee alikuwa pasua kichwa nilikuwa nazifatilia ntimbo zake tanfia nauli mdog san ata shule sijaanz adi leo

  • @saidsoud5967
    @saidsoud5967 5 лет назад +5

    Nenda madrasa fuata nyayo za wanazuoni sio muziki

  • @zawadiibrahim8135
    @zawadiibrahim8135 6 лет назад +6

    Yuko vizuri

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 6 лет назад +4

    Mbarak mwinshehe SHIDA

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 3 года назад +1

    Inalilahi waninalilahi rajinun mipango ya alla

  • @rosemarymashoto1174
    @rosemarymashoto1174 6 лет назад +4

    Nyc sanaa...😘

  • @richcash8175
    @richcash8175 6 лет назад +2

    senks mdg wngu umetisha malisa

  • @camillaeddy3185
    @camillaeddy3185 6 лет назад +4

    Safi sanaa

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +4

    Mjukuu yuko vizur

  • @queenkhalimaqueenkhalima3174
    @queenkhalimaqueenkhalima3174 6 лет назад +5

    Nimekuwa wakwanza mm Jaman hiyo nyimbo tunaipataje

  • @uniquelavalava2176
    @uniquelavalava2176 5 лет назад +1

    Nice one

  • @gracerosi6179
    @gracerosi6179 6 лет назад +2

    Mungu atutangulie baby

    • @saidjuma5154
      @saidjuma5154 5 лет назад

      Grace Rosi waooooooo nimeipenda San iyo ngoma shida huwa nikisikiliza unanikumbushs mbal san

  • @saifsawafi2773
    @saifsawafi2773 2 года назад

    Kusema ukweli vipaji via music TZ ulikuwa na hali ya juu sana enzi za Kina Mbaraka Mwinshehe, tabora jazz, morogo jazz.......etc. Stamp wa music wa ki TZ haujahifadhiwa Bali ulipotwzwa na Bongo flavour ambae in copy ya hippop na Zouk. Congo wali weza kuendeleza music wao na kuhifadhi stamp wa music wa kikongo hadi kutambulika na umoja wa mataifa.

  • @aisharamadhani5912
    @aisharamadhani5912 3 года назад

    So nice my odo

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 9 дней назад

    Hakika. Mama. Amney. Mimi. Ni. Mmoja. Wa. Mashabiki. Wa. Sollist. International. Mbaraka. Mwinshehe. Mwaruka.

  • @Tv-rh5mv
    @Tv-rh5mv 5 лет назад +2

    Mzenga paris iyoooo

  • @mudricknzalla2888
    @mudricknzalla2888 3 года назад +1

    Mbaraka mwinshehe mwaluka Tina njoo tuludiane sambamba na rekodi izo salamu ya wana Rufiji ,penzi langu,penzi la mashaka,nalilia raha,mwanzese, maudhi,matrida huna siri, masikitiko ya kwetu

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 6 лет назад +3

    Mtoto anajua sana

  • @lemugamba7021
    @lemugamba7021 6 лет назад +1

    Mjukuu wa Mzee wangu mbaraka mwsh

  • @tracejeezy8917
    @tracejeezy8917 6 лет назад +2

    another version of REFRESH from WASAFI .....haaaa Bongo tamu

    • @faithaction2505
      @faithaction2505 6 лет назад

      Trace Jeezy kama kawaida wajinga wa wcb kila kona

  • @veronicahsemiono8905
    @veronicahsemiono8905 6 лет назад +4

    Hii cover ya nyimbo tunaipataje

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 7 месяцев назад

    He was very clever young man

  • @solomonichisaye8767
    @solomonichisaye8767 5 лет назад +3

    if his grandfather will listen this story..exactly he will be happy for her..

  • @saidbinyusuph7986
    @saidbinyusuph7986 7 месяцев назад

    Taji anasema hakuna mjukuu wa mwanamuziki anaefanya muziki, ila tunamkumbusha tu Maua Sama babu yake alikuwa mpiga bass wa mwanzo Nuta jazz band alikuwa anaitwa Hamis Sama.

  • @marykarebeti9410
    @marykarebeti9410 6 лет назад +2

    Waaooohhh!!!!

  • @pendojames9480
    @pendojames9480 6 лет назад +3

    💟

  • @gavanasamab8604
    @gavanasamab8604 3 года назад +1

    Kipaji

  • @mwanunumwinyi2
    @mwanunumwinyi2 6 лет назад +2

    😍😍😍

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 6 лет назад +2

    nakubali

  • @jepibier
    @jepibier 5 месяцев назад

    Mwana wake wakiume yuko wapi ?

  • @hafidhmussa5664
    @hafidhmussa5664 5 лет назад +2

    R.I.P

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Год назад

    SIdhani kama kuna watakaofikia levo ya Mbaraka; tunaofahamu muziki wa Mbaraka tunajua kuwa tangu atangulie mbele ya haki, hakuna mwanamuziki aliyewahi kujitokeza kwa kuimba na sauti ya kutoka tumboni bila kubana koo na pua.

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 9 месяцев назад

    Tofauti ya mbaraka Mwinyishehe na wanamuziki wa sasa ni ujumbe nyimbo zote za mbaraka zina msg nyingi sana

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 2 года назад

    KICHWA CHA HABARI TOFAUTI NA MAUDHUI.NILITAKA KUMSIKILIZA MJUKUU WA MBARAKA AKIIMBA NA SIO KUSIKIA HISTORIA.

  • @andrewaneriko8957
    @andrewaneriko8957 3 года назад

    Mbona manelezo mengi haimbi?