Daaaaaah aiseeee sasa hawa jamaa mbona hawaimbi tena yani wapo vizuri kinoma noma yani afu hawa ndyo walikuwa wasanii halisi kabisa yani hata ukiangalia wanavyoimba siyo kama hawa wasanii wa kiki wa siku hizi wanataka background play ya wimbo wao wenyewe ndyo waweze kuperform
Talented musicians in our land,,,,,,nizikwe Hai ,,,best song.
Good music inaishi milele aisee 🔥🔥🔥 yani nyimbo hizo hata zikitoka upya bado ni za moto, sio manyimbo tunayoimbiwa sikuhizi daah
Your the best for all time ma brother zangu sharp sana mungu awape nguvu kaka zangu
Jamaa ana pumz xhana..nakubali
Old is gold, nice song.
Ni kwere
nizikwe hai bonge la ngoma yan.
The best of dojo na domo
naomba mwendelezo niskie nizikwe hai live
Aiseeeeee aiseeeeeee aiseeeeeeeee aiseeeeeeeee hakikaaa hakiikaaaa hakiiiiikaaaaa ulegend cy wa kubahatishaaaaaa oyaaaaaaaaaaaaaa duuuuuuuuuuu😭😭😭😭😭
Mbona wimbo wa nizikwe hai haupo
Daaaaaah aiseeee sasa hawa jamaa mbona hawaimbi tena yani wapo vizuri kinoma noma yani afu hawa ndyo walikuwa wasanii halisi kabisa yani hata ukiangalia wanavyoimba siyo kama hawa wasanii wa kiki wa siku hizi wanataka background play ya wimbo wao wenyewe ndyo waweze kuperform
Vyakale dhahabu bado vinang'ara
wanaume walikaa wakaandika sio mziki wa sasa hivi usenge mtupu.
We acha tu man 😢
😂