Комментарии •

  • @ipyanaande2947
    @ipyanaande2947 11 месяцев назад +1

    Talented musicians in our land,,,,,,nizikwe Hai ,,,best song.

  • @kayjuma2629
    @kayjuma2629 Год назад +2

    Good music inaishi milele aisee 🔥🔥🔥 yani nyimbo hizo hata zikitoka upya bado ni za moto, sio manyimbo tunayoimbiwa sikuhizi daah

  • @hawiaally-nc2ct
    @hawiaally-nc2ct Год назад

    Your the best for all time ma brother zangu sharp sana mungu awape nguvu kaka zangu

  • @augustinealex4178
    @augustinealex4178 Год назад +2

    Jamaa ana pumz xhana..nakubali

  • @attainer-jr7494
    @attainer-jr7494 Год назад +1

    Old is gold, nice song.

  • @swalehesabuni2880
    @swalehesabuni2880 Год назад +1

    Ni kwere

  • @innocentrichard9316
    @innocentrichard9316 Год назад +2

    nizikwe hai bonge la ngoma yan.

    • @BT-sx6xf
      @BT-sx6xf Год назад

      The best of dojo na domo

  • @suleymanisalum2361
    @suleymanisalum2361 Год назад +1

    naomba mwendelezo niskie nizikwe hai live

  • @emmanuelkakoko1780
    @emmanuelkakoko1780 7 месяцев назад

    Aiseeeeee aiseeeeeee aiseeeeeeeee aiseeeeeeeee hakikaaa hakiikaaaa hakiiiiikaaaaa ulegend cy wa kubahatishaaaaaa oyaaaaaaaaaaaaaa duuuuuuuuuuu😭😭😭😭😭

  • @patricksebastian5617
    @patricksebastian5617 Год назад

    Mbona wimbo wa nizikwe hai haupo

  • @bonifacepatrice7236
    @bonifacepatrice7236 Год назад

    Daaaaaah aiseeee sasa hawa jamaa mbona hawaimbi tena yani wapo vizuri kinoma noma yani afu hawa ndyo walikuwa wasanii halisi kabisa yani hata ukiangalia wanavyoimba siyo kama hawa wasanii wa kiki wa siku hizi wanataka background play ya wimbo wao wenyewe ndyo waweze kuperform

  • @lucaslucaslucasstaphord3674
    @lucaslucaslucasstaphord3674 Год назад +1

    Vyakale dhahabu bado vinang'ara

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 Год назад +2

    wanaume walikaa wakaandika sio mziki wa sasa hivi usenge mtupu.