TANDI SERIES .EP.. 125 STARRING..RAY KIGOSI, FAIZA ALLY, SINGLE MTAMBALIKE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • TANDI SERIES EP 125
    TANDI NI BINTI MDOGO ANAYEISHI NA BABA YAKE JORDAN
    FUATILIA MKASA HUU..
    #vincentkigosi #raythegretest #raykigosi

Комментарии • 138

  • @challsmazagazaga3958
    @challsmazagazaga3958 Год назад +108

    Jaman tulio kuwa pamoja tuka episode ya 1 mpaka 125 nipeni like zangu jaman

  • @فاطمة-ن2ح4ح
    @فاطمة-ن2ح4ح Год назад +6

    nawapenda sana watu wa tandi ilove you tuko pamoja

  • @mosesniragira853
    @mosesniragira853 Год назад +8

    Movie imepangwa vizuri Sana, mtu anatoka ndani ya movie kwampango

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 Год назад +5

    Kazi nzuri sana kinoma yaani ❤❤❤

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Год назад +2

    Mama Renee mbona kama nakuelewa hivii yaani wewe ni mzuri sana natural kabisa ❤❤🎉🎉

  • @AmaniRashidi-i9b
    @AmaniRashidi-i9b Год назад +12

    Wabongo from south Africa Durban tupo mwanzo mwisho

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j Год назад +9

    Mmhhhh hakimu ni noma kweli kweli hataki watt wa nje ya ndoa duhuuu 😢

  • @sammydzuya6939
    @sammydzuya6939 Год назад +6

    Mch lav Tandi❤❤❤❤❤❤#uliweza
    Following from Kenya!!!!!!!

  • @BillyLiya
    @BillyLiya Год назад +14

    Napenda Sana hii tandi ❤❤❤

  • @Zachary-jujux
    @Zachary-jujux Год назад +12

    Mm pia niko hapa nina subir kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 Год назад +18

    Jordani na dokta wanapitiya mda mgumu sana 😢😢😢

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Год назад +9

    ❤❤❤❤❤ ya kwenu washiriki wote

  • @OscarWekesa-u8s
    @OscarWekesa-u8s Год назад +21

    Am still waiting Tandi nataka kujuwa kila kitu 😅

  • @rosejonson3241
    @rosejonson3241 Год назад +11

    Waomba like

  • @HappyJoel-o6f
    @HappyJoel-o6f 2 месяца назад

    Big up Sana Ray kigosiiii king of this movieeeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Veronicapetro-f2h
    @Veronicapetro-f2h Год назад +3

    ❤🎉 naipenda sana

  • @mishiabdul2834
    @mishiabdul2834 Год назад +4

    Safi sana tandi ❤❤❤

  • @Zachary-jujux
    @Zachary-jujux Год назад +14

    Tuko tukifutilia sana kutoka Kenya 🇰🇪

    • @doreenogwari9315
      @doreenogwari9315 Год назад +1

      Kumbe tuko wengi 😂😂😂Hii kipindi ilifanya nianze from episode one mpaka saizi tu hapa😂😂😂

  • @SafariZihalirwa
    @SafariZihalirwa Год назад +6

    Leo mimi wa kwanza Ku fwata 125

  • @eligiambigi4884
    @eligiambigi4884 Год назад +3

    Ibabukubwa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mwanamisirama1836
    @mwanamisirama1836 Год назад +1

    Afande naye ameweza👏

  • @SolangeOvera
    @SolangeOvera Год назад +6

    tuna subiri kwahamu sn ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @NasonNyagenda
    @NasonNyagenda 11 месяцев назад +1

    Mapenzi❤ ni kitu ovyo sana

  • @rachelrichard753
    @rachelrichard753 Год назад +5

    Nimewahi umwishooo🤗🤗

  • @RukiyaButoyi-sk5nm
    @RukiyaButoyi-sk5nm Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ napenda Tandi anavyokuwa hamuwokopi tena Jane 😂

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 Год назад +4

    Wakwaza1❤❤❤🇧🇮

  • @JamesKitendo
    @JamesKitendo 11 месяцев назад +1

    Hongeren kwa Kaz njema

  • @RamadhanKitonga-gh2oq
    @RamadhanKitonga-gh2oq Год назад +9

    Watching from kenya

  • @SaningoSamwel
    @SaningoSamwel Год назад +5

    Tupo pamoja❤

  • @malkiamommy293
    @malkiamommy293 Год назад +5

    🎉🎉😊😊😊😊 a from kenya 🇰🇪 😊😊

  • @katanaajonathan6987
    @katanaajonathan6987 Год назад +8

    Kenyan boy watching from 🇸🇨

  • @ReaganGT-ww4vu
    @ReaganGT-ww4vu Год назад +21

    Hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu plz, follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante

  • @LatifaMkwewa
    @LatifaMkwewa Год назад +13

    Wale wakusoma comment tulizo zikuta tujuane kwa like ❤❤

  • @JumaMalessa
    @JumaMalessa Год назад +1

    Chande mimi nakupa bigapu sana chande ujui kubebeleza wadada 😂😂😂😂😂

  • @EvamichaelEvamichel-qz5dz
    @EvamichaelEvamichel-qz5dz Год назад +2

    Ifike mahari tujue izi like mnazifanyiaga nn

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 Год назад +4

    🎉🎉🎉🎉 mambo motoo

  • @FranklineMazera
    @FranklineMazera Год назад +6

    Mombasa kenya iko ndani

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 10 месяцев назад +1

    Kwani like jaman nikama vipi mbona mwakua kama nini vile 😂😂😂😂😂 like za kila mara sioni watu wakipokea mshahara😂😂😂

  • @yunus-bh4om
    @yunus-bh4om Год назад +3

    Leteni yenyine hapa kazi iko🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @bulullemishaki
    @bulullemishaki 8 месяцев назад +1

    wapi na kutoka lini police wakashugulika na mashauri ya madai.hapo mmetupiga hiyo siyo jinai.aaaaaaa lakini powa tunaelewa na kuigiza tu

  • @YvonneMuoki-k7f
    @YvonneMuoki-k7f Год назад +4

    Watching from kenya❤nafuatilia Tandi mpaka mwisho😅

  • @ConfusedBonsaiTree-uf5qs
    @ConfusedBonsaiTree-uf5qs Год назад +1

    Jamani abigaer nimemmic sanaaaaaaaa

  • @walengamwamaua-ws6io
    @walengamwamaua-ws6io 11 месяцев назад +1

    Vip tandi hapo Tena, mtoto akili kama ya mama yake, kweli mtoto wantoka ninyoka

  • @HappyJoel-o6f
    @HappyJoel-o6f 2 месяца назад

    Congratulations to you Ray kigosi king of the movie❤❤❤❤❤❤❤❤ 12:28

  • @mejumaakoja5050
    @mejumaakoja5050 Год назад +5

    Razia na Abigail wako wapi tumewamiss sana wao ndio walikua wakichangamsha hii movie Kwa kweli,ila Bado Iko chonjo but tumemiss mishemishe za Abigail na Razia na Linda😂😂😂😂

  • @RabanisterTumain
    @RabanisterTumain Год назад +9

    Nyie Mr momba abadilishe shat tok movie imeanz😅

  • @GoldenJr2330
    @GoldenJr2330 Год назад

    Waliyo gunduwa kwamba Jordan akuonekana kwenye ep ya 125 gonga like nyingi apa

  • @ViridianaFelix-he7gf
    @ViridianaFelix-he7gf Год назад +7

    Jamni dr momba ndo maisha ya usingle baba au movie tangu imeanza shat lile lile😅

  • @Fbmovie254
    @Fbmovie254 Год назад +2

    😂😂😂 jeny umwez tandi Kwa ujanja uwez kutoka subiri police tu wafike cz mwanasheria nae kacheza upande wake

  • @NathanaelIlunda
    @NathanaelIlunda Год назад +4

    Safi sana

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe Год назад +4

    🎉🎉🎉❤❤

  • @BarakabalumeJean
    @BarakabalumeJean 4 месяца назад +1

    🎉

  • @rj_tr._ref._cfcfan.
    @rj_tr._ref._cfcfan. Год назад +21

    I miss Abigael sooooo much❤ 🇰🇪

  • @alexaleko3220
    @alexaleko3220 Год назад +3

    Jameni topeni like wakenya

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 Год назад +3

    Hii movie ina matatizo juu ya problem 😅😅😅😂😂

  • @Ganzaboke
    @Ganzaboke Год назад +1

    Jamani kigosi munakuwa haraka

  • @eagleboyy4535
    @eagleboyy4535 Год назад +6

    Wakwanza leooo like tafadhali😊

    • @Najimilna
      @Najimilna Год назад

      Wa kwanz 😅😅😅

  • @jovithakawimbe7472
    @jovithakawimbe7472 Год назад +14

    Àsante 🎉🎉🎉❤

  • @preciousndossy2169
    @preciousndossy2169 11 месяцев назад +1

    Abigael tumeshakumic huku

  • @AhmedMtumweni
    @AhmedMtumweni Год назад +5

    Hiii 125 haiweleweki

  • @salomerobert5241
    @salomerobert5241 Год назад +3

    😢😢 momba wangu jamani

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Год назад +1

    Doctor mumba uko kwenye mtihani ngumu Sana pole 😢 Sharon uko wapi

  • @HappyJoel-o6f
    @HappyJoel-o6f 2 месяца назад

    Congratulations to you Ray 16:23 kigosi king of the movie❤❤❤❤❤❤❤❤ 12:28 13:37 13:40

  • @HappyJoel-o6f
    @HappyJoel-o6f 2 месяца назад

    Congratulations to you Ray kigosi king of the movie❤❤❤❤❤❤❤❤ 12:28 13:37 13:40

  • @HappyJoel-o6f
    @HappyJoel-o6f 2 месяца назад

    Congratulations to you Ray kigosi king of the movie❤❤❤❤❤❤❤❤ 12:28 13:37 13:40

  • @mishiabdul2834
    @mishiabdul2834 Год назад +3

    Next plzz ya miya na 126

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi5479 Год назад +2

    Afadhali watoto wabaki kwa babayao wa kambo mana huko wendako kuna jinamizi watakwenda teswa

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 Год назад +3

    Yaani Doctor hadi unatia huruma ujue

  • @katotopesaofficial
    @katotopesaofficial Год назад +6

    Huyu Jordan Akaoge Dawa Kolelo 😂 mana Kila anaemsogelea lzm apate msiukosuko kama yake 😂

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +5

    Tandi inazidi kunoga

  • @magrethmodest-yp6fg
    @magrethmodest-yp6fg Год назад +1

    Jaman tandi saivi makesi ya mekua mengi hadi inaboa duh Kila mtu anakesi tu duh 🙄

  • @alimanshimirimana1773
    @alimanshimirimana1773 Год назад +5

    Ina maana Abigail watu ameamua kuaciy kwel😢😢kumbe muoga

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Год назад +1

    Huyu mama Renee kajuaje kama tandi wanateswa na Jane 😢

  • @JacksonOduor-rb7gl
    @JacksonOduor-rb7gl Год назад +4

    Ni kumi😅😅😅

  • @fatma-jh2lf
    @fatma-jh2lf Год назад +3

    Nimewasili wenzangu

  • @Damacline4004
    @Damacline4004 Год назад +5

    Wamwisho Naombeni like zenu jamani

  • @nicogihehugue753
    @nicogihehugue753 Год назад +1

    Jamani watu kutoka Kigoma wapo cape Town tujuane kwa like

  • @mirfatmahanga6321
    @mirfatmahanga6321 Год назад +3

    Nasubir kwa hamu sn

  • @alexaleko3220
    @alexaleko3220 Год назад +2

    Naona doh climax xaxa

  • @mishiabdul2834
    @mishiabdul2834 Год назад +2

    Next plzz 126

  • @cutenaa6984
    @cutenaa6984 Год назад

    Episode mmekosea kuipanga nyuma mbele,mbele nyuma

  • @neemakarisa6117
    @neemakarisa6117 Год назад +2

    ❤❤❤❤

  • @hamisiwanzala7907
    @hamisiwanzala7907 Год назад +1

    Mbona picha haeeleweki

  • @preciousndossy2169
    @preciousndossy2169 11 месяцев назад +1

    Jordan wapi ww bhana

  • @fathiafathia6324
    @fathiafathia6324 Год назад +2

    Niko nasoma comment zenu wadau

  • @Pauline-mv2wn
    @Pauline-mv2wn Год назад +2

    Nimeisubiri hamu ikokuisha waaaaa 🤭🤭🤭

  • @Lilianbarasa-ew1jv
    @Lilianbarasa-ew1jv Год назад +1

    Kwani Tandi iliisha?

  • @ZaytoonMohammed
    @ZaytoonMohammed Год назад +1

    Nasoma coment❤❤❤

  • @LovelyCows-dq2uv
    @LovelyCows-dq2uv Год назад +1

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Najimilna
    @Najimilna Год назад +3

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mariashilinde291
    @mariashilinde291 Год назад

    Hv vipande Leo vimechanganywa jmn but an way tutaelewa t

  • @josephinejoseph3919
    @josephinejoseph3919 Год назад +4

    😂😂❤

  • @GainoGabone
    @GainoGabone Год назад

    Me sijaelewa huyu si alipata ajali huyu

  • @JoyceJosph
    @JoyceJosph Год назад

    Move imeachiwa docto momb sasa hata haieleweki jordn ukoo wapppi

  • @Cleopatrapatric
    @Cleopatrapatric Год назад +1

    Hakumu anaroho mbaya

  • @josephamosi5731
    @josephamosi5731 Год назад +2

    Jamani hajui kuigiza jamaa maneno mengi

  • @stalonysilvester-yv1bt
    @stalonysilvester-yv1bt Год назад

    Najiuliza2,ivi chande aliponaponaje kwauyu hakimu ambae anamawazo Kama yote!!??

  • @yusfamukhtar5281
    @yusfamukhtar5281 Год назад +1

    Mi nahisi majibu ya DNA yatatoka watoto ni wa momba

  • @joelmnangat6699
    @joelmnangat6699 7 месяцев назад

    Tandi ameenda wapi?

  • @officialkimanzi5977
    @officialkimanzi5977 Год назад +1

    Mbona mnaanza kutuchanganya episode 124 & 125 hazieleweki Apo

    • @raphaelnambombi3709
      @raphaelnambombi3709 Год назад +1

      Kweli kabisa ,mfano wamesema dr.momba amepatwa na ajali lakini sisi runamuona anapuyanga mitaani

    • @HawaHussein-hq1lj
      @HawaHussein-hq1lj Год назад

      😂😂😂😂😂 walisema kwamba niuongo ​@@raphaelnambombi3709