Hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu plz, follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante
Razia na Abigail wako wapi tumewamiss sana wao ndio walikua wakichangamsha hii movie Kwa kweli,ila Bado Iko chonjo but tumemiss mishemishe za Abigail na Razia na Linda😂😂😂😂
Jaman tulio kuwa pamoja tuka episode ya 1 mpaka 125 nipeni like zangu jaman
nawapenda sana watu wa tandi ilove you tuko pamoja
Movie imepangwa vizuri Sana, mtu anatoka ndani ya movie kwampango
Kazi nzuri sana kinoma yaani ❤❤❤
Mama Renee mbona kama nakuelewa hivii yaani wewe ni mzuri sana natural kabisa ❤❤🎉🎉
Wabongo from south Africa Durban tupo mwanzo mwisho
Mmhhhh hakimu ni noma kweli kweli hataki watt wa nje ya ndoa duhuuu 😢
Mch lav Tandi❤❤❤❤❤❤#uliweza
Following from Kenya!!!!!!!
Napenda Sana hii tandi ❤❤❤
Mm pia niko hapa nina subir kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪
Nyuma yako
Jordani na dokta wanapitiya mda mgumu sana 😢😢😢
❤❤❤❤❤ ya kwenu washiriki wote
Am still waiting Tandi nataka kujuwa kila kitu 😅
😂😂😂😂
Kwani ameolewa.?
Waomba like
Big up Sana Ray kigosiiii king of this movieeeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤🎉 naipenda sana
Safi sana tandi ❤❤❤
Tuko tukifutilia sana kutoka Kenya 🇰🇪
Kumbe tuko wengi 😂😂😂Hii kipindi ilifanya nianze from episode one mpaka saizi tu hapa😂😂😂
Leo mimi wa kwanza Ku fwata 125
Ibabukubwa🎉🎉🎉🎉🎉
Afande naye ameweza👏
tuna subiri kwahamu sn ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mapenzi❤ ni kitu ovyo sana
Nimewahi umwishooo🤗🤗
❤❤❤❤❤❤❤❤ napenda Tandi anavyokuwa hamuwokopi tena Jane 😂
Wakwaza1❤❤❤🇧🇮
Hongeren kwa Kaz njema
Watching from kenya
Tupo pamoja❤
🎉🎉😊😊😊😊 a from kenya 🇰🇪 😊😊
Kenyan boy watching from 🇸🇨
🎉
Hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu plz, follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante
Wale wakusoma comment tulizo zikuta tujuane kwa like ❤❤
Chande mimi nakupa bigapu sana chande ujui kubebeleza wadada 😂😂😂😂😂
Ifike mahari tujue izi like mnazifanyiaga nn
🎉🎉🎉🎉 mambo motoo
Mombasa kenya iko ndani
Kwani like jaman nikama vipi mbona mwakua kama nini vile 😂😂😂😂😂 like za kila mara sioni watu wakipokea mshahara😂😂😂
Leteni yenyine hapa kazi iko🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
wapi na kutoka lini police wakashugulika na mashauri ya madai.hapo mmetupiga hiyo siyo jinai.aaaaaaa lakini powa tunaelewa na kuigiza tu
Watching from kenya❤nafuatilia Tandi mpaka mwisho😅
Uru muno 😂
Jamani abigaer nimemmic sanaaaaaaaa
Vip tandi hapo Tena, mtoto akili kama ya mama yake, kweli mtoto wantoka ninyoka
😂😂😂😂😂
Congratulations to you Ray kigosi king of the movie❤❤❤❤❤❤❤❤ 12:28
Razia na Abigail wako wapi tumewamiss sana wao ndio walikua wakichangamsha hii movie Kwa kweli,ila Bado Iko chonjo but tumemiss mishemishe za Abigail na Razia na Linda😂😂😂😂
Nyie Mr momba abadilishe shat tok movie imeanz😅
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Halaf kweli eti😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂ana majonzi😂
Waliyo gunduwa kwamba Jordan akuonekana kwenye ep ya 125 gonga like nyingi apa
Jamni dr momba ndo maisha ya usingle baba au movie tangu imeanza shat lile lile😅
😀😀😀
😂😂😂
😂😂😂 jeny umwez tandi Kwa ujanja uwez kutoka subiri police tu wafike cz mwanasheria nae kacheza upande wake
Safi sana
🎉🎉🎉❤❤
🎉
I miss Abigael sooooo much❤ 🇰🇪
Yni mpkaa tumee mxx aonekni
@@ZainabHussein-e2m alitoroshwa na Lameck, aki hii story sijui itaishaje
Jameni topeni like wakenya
Hii movie ina matatizo juu ya problem 😅😅😅😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂
Jamani kigosi munakuwa haraka
Wakwanza leooo like tafadhali😊
Wa kwanz 😅😅😅
Àsante 🎉🎉🎉❤
Abigael tumeshakumic huku
Hiii 125 haiweleweki
😢😢 momba wangu jamani
Doctor mumba uko kwenye mtihani ngumu Sana pole 😢 Sharon uko wapi
Congratulations to you Ray 16:23 kigosi king of the movie❤❤❤❤❤❤❤❤ 12:28 13:37 13:40 ❤
Congratulations to you Ray kigosi king of the movie❤❤❤❤❤❤❤❤ 12:28 13:37 13:40
Congratulations to you Ray kigosi king of the movie❤❤❤❤❤❤❤❤ 12:28 13:37 13:40 ❤
Next plzz ya miya na 126
Afadhali watoto wabaki kwa babayao wa kambo mana huko wendako kuna jinamizi watakwenda teswa
Jinamizi tena 😂😂😂😂😂
Yaani Doctor hadi unatia huruma ujue
Huyu Jordan Akaoge Dawa Kolelo 😂 mana Kila anaemsogelea lzm apate msiukosuko kama yake 😂
😂😂😂😂😂
Tandi inazidi kunoga
Jaman tandi saivi makesi ya mekua mengi hadi inaboa duh Kila mtu anakesi tu duh 🙄
Ina maana Abigail watu ameamua kuaciy kwel😢😢kumbe muoga
Huyu mama Renee kajuaje kama tandi wanateswa na Jane 😢
Ni kumi😅😅😅
Nimewasili wenzangu
Wamwisho Naombeni like zenu jamani
Jamani watu kutoka Kigoma wapo cape Town tujuane kwa like
Nasubir kwa hamu sn
Naona doh climax xaxa
Next plzz 126
Episode mmekosea kuipanga nyuma mbele,mbele nyuma
❤❤❤❤
Mbona picha haeeleweki
Jordan wapi ww bhana
Niko nasoma comment zenu wadau
Nimeisubiri hamu ikokuisha waaaaa 🤭🤭🤭
Kwani Tandi iliisha?
Nasoma coment❤❤❤
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hv vipande Leo vimechanganywa jmn but an way tutaelewa t
😂😂❤
Me sijaelewa huyu si alipata ajali huyu
Move imeachiwa docto momb sasa hata haieleweki jordn ukoo wapppi
Hakumu anaroho mbaya
Jamani hajui kuigiza jamaa maneno mengi
Najiuliza2,ivi chande aliponaponaje kwauyu hakimu ambae anamawazo Kama yote!!??
Mi nahisi majibu ya DNA yatatoka watoto ni wa momba
Tandi ameenda wapi?
Mbona mnaanza kutuchanganya episode 124 & 125 hazieleweki Apo
Kweli kabisa ,mfano wamesema dr.momba amepatwa na ajali lakini sisi runamuona anapuyanga mitaani
😂😂😂😂😂 walisema kwamba niuongo @@raphaelnambombi3709