DEM WA FACEBOOK CHANGED AFTER MEETING OGA OBINNA"EMOTIONAL DEM WA FACEBOOK EX BOYFRIEND REVEALS!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • TO SHARE YOUR STORY WHATSAPP US ON +44 7769104552
    Mutembei TV is the leading channel in Kenya and Africa in general dealing in news around Kenya and outside the country.We do politics as well as local news.You will get the latest news as they happen.Our idea is to Educate, inform and entertain you guys.In case you want to contact us for any event that you want covered kindly send us an email admin@mutembeitv.com.Thanks for subscribing and feel at home.
    SHARE AND SUBSCRIBE!!
    Follow us on:
    Website:
    mutembeitv.com/
    Twitter :
    / mutembeitv
    FACEBOOK:
    / mutembeitv
    -----------------------------------------------------------------------------------------------------------
    Copyright Disclaimer Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infringing. Non-profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use.
    Kenya,kenya,kenya news,kenya politics,uhuru kenyatta,raila odinga,william ruto,kumekucha chris,ktn news kenya,citizen tv kenya,ntv kenya,herman manyora,trending news in kenya,2022 election,lee makwiny,the 5th estate,mutahi ngunyi,daily nation,jalango tv,strange news kenya,mutembei tv,kenyans in USA,Kenyans in diaspora,
    #Mutembei

Комментарии • 72

  • @lydiakiwanuka9530
    @lydiakiwanuka9530 5 часов назад +2

    She doesn't like or love you. Let her move on period

  • @ruthkuria2912
    @ruthkuria2912 5 часов назад +2

    please tell these guy to go work,and keep off dem wa Facebook,

  • @salomeatieno1127
    @salomeatieno1127 2 часа назад +1

    Why on earth do someone want to ride on another persons success to be successful?

  • @ruthmuzina638
    @ruthmuzina638 6 часов назад +3

    Huyu akipelekwa ndani siku mbili ataacha ujinga

  • @cathrenmbc6111
    @cathrenmbc6111 5 часов назад +4

    Mwanaume tafuta pesa upendwe ...wachana na dwf bana

  • @judithchaomwangolo7764
    @judithchaomwangolo7764 2 часа назад +1

    DWFB alijuana na obina not less than 5 months. Hio miezi yote ulikua wapi hukuclaim your baby girl. Sema ameundwa na mwenzako ndo unataka unyemelee.. na Kama si ivo , unataka kusaidiwa na obina . Venye huezi kumfikia,, umeona upige show na jina la DWFB

  • @TwinzyNjee
    @TwinzyNjee 2 часа назад +1

    Huyu n njaa Ako nyo, hata mtu kama anataka usaidizi pitia njia nzuri

  • @sharonkhayosa162
    @sharonkhayosa162 5 часов назад +1

    Ww kijana uko na ujinga kwani n ww wa kwanza kuachwa? Style up kama mwanaume,,, Kuna mahali umeongea eti kama dwf ameamua kumove on atlist aache kama amekuinua, mwanaume mjinga u can't hustle lyk other mens unataka pesa za dem,,, eti even now nikipata dem Sina uwezi wa kutoka dowry still nko jini , tafuta wamamaz wako na pesa uwachane na dwf

  • @sharonkhayosa162
    @sharonkhayosa162 5 часов назад +1

    Mm Sahi nko Kwa rlnshp ya Saba na ex wote wanalia but lyf nayo inasonga nikingochea wa nane🤣🤣

  • @reenmakamu2278
    @reenmakamu2278 4 часа назад +1

    Siku hizi content kama si Obinna ni dem wa facebook,bloggers na yutubers wa kenya change content pthooo. Mnaboo

  • @linachepkemoi355
    @linachepkemoi355 Час назад

    Huyu ni mjinga,anafaa achukuliwe hatua akuwe funzo kwa wengine, anatafuta views but hii nayo No, dame wa fb amekuwa akiattackiwa left right centre hii ngombe imekuwa wapi????

  • @cbmmwams1018
    @cbmmwams1018 2 часа назад

    Was Dem wa Facebook the only tomato in his soup?
    The Gods must be crazy!!ama analilia Gari si ajipe shughuli!!

  • @ruthkuria2912
    @ruthkuria2912 5 часов назад

    Stop doing these to Dem wa Facebook ,keep off,

  • @Hellenjohn-br1jv
    @Hellenjohn-br1jv 4 часа назад

    Young Man Mimi naona huko sawa kupenda Dem wa bebii henderea tu kumupenda husipanduke mupende mupende kabisa hukijoka haja but Toka Kwa mutandao hata Mimi nakupenda sana

  • @LinetAkinyiMaloba-uo5zs
    @LinetAkinyiMaloba-uo5zs 5 часов назад

    Ongea haraka niko na hasira,
    Sisi ndio tutakufinya, huyo ni dame wa Obinna. Period😮

    • @RosemaryAnyango-fc3ov
      @RosemaryAnyango-fc3ov 4 часа назад

      😂😂😂😂 ety uko na nini❤ huyu kijana natamani nikuweke ngumu ya mdomo

  • @MaryMarangu-x8o
    @MaryMarangu-x8o 5 часов назад

    Jamani let the girl prosper in peace

  • @AishaIsha-kb7cj
    @AishaIsha-kb7cj 4 часа назад +1

    😂😂😂😂Obina alisema ataosha then waanze oooh this oooh that 😂😂😂😂😂😂

  • @violetwanyama4865
    @violetwanyama4865 Час назад

    Mbona wakati Dem wa fb alikua anatembea na kimbikimbi ukuongea Wacha ujinga bro tafuta pesa kwa kuaribu bebii jina ongeri wewe blame Ruto 💀💀

  • @Sabelah
    @Sabelah 4 часа назад

    Uko na utoto najinga kwani we ni brother yake ndiyo akuweke maisha mazuri ama we ni wazazi wake ushenzi beleka mali

  • @njenaosh
    @njenaosh 4 часа назад

    Heal and move on. Sahii ndio umejua she is your ex... Unampenda nini sahii ameshine. Ukome bebii wewe mwanaume

  • @neemafredrick
    @neemafredrick 5 часов назад

    Apende Samaki Samaki next Wednesday kama kweli yuko serious.😂😂

  • @Betybwire
    @Betybwire 4 часа назад

    MTU analia Ivo akitoa makamasi Nani atamkubali na nywelee zinakaa ndengu

  • @JaneKibo
    @JaneKibo 3 часа назад

    Wewe ni polish boy nenda ukalale kama auna kazi ya kufanya live bebii alone

  • @TwinzyNjee
    @TwinzyNjee 2 часа назад +1

    Hii n jinga ya wapy?

  • @ElizabethVellah
    @ElizabethVellah 4 часа назад

    So haja yako ni obina akutie akusaidie ati mtu maskini shinda hapo na uzidi kua maskini, hao watu wanakuhoji hiyo ni kazi kwao ww peperusha bendera ya mdomo na urudi kwako ulale njaa

  • @ireneloyaka7580
    @ireneloyaka7580 3 часа назад

    Young Man stop this Nonsense

  • @lucychitiavi5594
    @lucychitiavi5594 4 часа назад

    Tafuta pesa nani,hizi tabia za watu kuanza kutafuta watu wakisha omoka sipendi stay away from that girl nkt.

  • @BrigidWanjala-kh8gu
    @BrigidWanjala-kh8gu Час назад

    Mbona haukusema kitambo lazy man umemuona na gari ukaingiwa na tamaa ya lift

  • @stevenasebe7889
    @stevenasebe7889 5 часов назад

    ORIA TIBIM unasahau haraka juzi ulituambia story za CHIRA..may his soul rest in peace

    • @Lynne-z1h
      @Lynne-z1h Час назад

      TikTok amejaza madem na sijaona dwfb, mbwa sana

  • @salomeatieno1127
    @salomeatieno1127 2 часа назад

    😂😂😂 anataka aambiwe ameachwa na apewe support ajishikilie asonge mbele😂😂😂😂 weeee. Bebii akijituma yeye alikuwa anafanya nini

  • @pharesann5929
    @pharesann5929 6 часов назад +1

    Nonsense

  • @MaryAyona
    @MaryAyona 16 минут назад

    Tokomeya na huko kaka tafuta kazi hufanye kile huna tafuta huta pata tu muda simurefu

  • @elizabethmumo8462
    @elizabethmumo8462 3 часа назад

    Take it with a lot of peace, and move on

  • @rahelmwarandu5501
    @rahelmwarandu5501 4 часа назад

    Mlikua wapi alivyokua ameparara brothee achana na bebii wanawake ni wengi tafuta mwengine

  • @RosemaryAnyango-fc3ov
    @RosemaryAnyango-fc3ov 3 часа назад

    Huyu jama anataka kusaidiwa na ameshidwa kusema falta sana

  • @CindyShiundu
    @CindyShiundu 6 часов назад +1

    Uyu anataka fame tu achaneni na yy

  • @PamelaAkoth-n2d
    @PamelaAkoth-n2d 4 часа назад

    Are you the first one kuwachwa .songa mbele

  • @rebeccabrown5135
    @rebeccabrown5135 6 часов назад

    Aja ujinga yako umbea kijana ulikua wapi kabla ajamtafuta obbina rubbish shameless wivu vitina uwache kabisa mbwa kijana

  • @GraceNeema-dj4yi
    @GraceNeema-dj4yi 3 часа назад

    Acha ujinga kijana tafuta kazi ya kufanya ww mpuuzi

  • @DavidOmosh
    @DavidOmosh 5 часов назад

    Can we get those text messages from ORIA

  • @gladysmwita1148
    @gladysmwita1148 4 часа назад

    Wewe ulistahili kuomba usaidiwe sio kutwambia kwamba ulimpenda dwf

  • @nicholasmbembe7821
    @nicholasmbembe7821 2 часа назад

    Ata sijwi niseme nini.....typing and deleting

  • @peresngugi6925
    @peresngugi6925 4 часа назад

    Wacha wivu, kwani unalizimisha mapenzi, Wana wake ni wengi tafuta mwengine. Ukiwachwa wachika yawaaah wod wegi.

  • @PhaniceMoranga
    @PhaniceMoranga 6 часов назад

    Yaan cku iz ata ukutane na MTU Kwa Choo moja apo mukuru n wako 😂😂😂ety dem wako wwe kojoa ulale buana gazia,utalia na BDO ety muliishi pmoja ,koma nani

  • @AmidaWesonga-s5q
    @AmidaWesonga-s5q 4 часа назад

    Kwahivyo sio eti dem wa fb ni mtu wako unahaja ya kukutana na obinna akupange kimaisha sheitani wewe

  • @maryngulusi2753
    @maryngulusi2753 3 часа назад

    Umasikini ndio inakusumbua, tafuta pesa, wachana na bebii

  • @gladysmwita1148
    @gladysmwita1148 4 часа назад

    Akwambie as who young man katafute kazi that helps you move on

  • @RosemaryAnyango-fc3ov
    @RosemaryAnyango-fc3ov 3 часа назад

    Sasa anasema haiwezi so unataka dmwfb akusaidie

  • @ElizabethVellah
    @ElizabethVellah 5 часов назад

    Sasa ww ni chira ama dem WA Facebook which is which kumbafu

  • @Hellenjohn-br1jv
    @Hellenjohn-br1jv 4 часа назад

    Nyinyi ma Bloggers hajaneni na huyo kichana nyinyi pia muko na hujinga kwanini munaenderea kumuhoji huyo burukenge surely

  • @MaryMarangu-x8o
    @MaryMarangu-x8o 5 часов назад

    Huyu anataka tu kutrend, ati uitwe muongee 🙄🙄

  • @everlineeverline105
    @everlineeverline105 5 часов назад

    Nani mzazi wa huyu kijana

  • @JaneKibo
    @JaneKibo 3 часа назад

    🎉 nonsense rubbish

  • @zaynanamkary
    @zaynanamkary 6 часов назад

    Uko na ujinga sana ww mwanaume n kiki tu

  • @LindaOmwanza
    @LindaOmwanza 4 часа назад

    Rubbish

  • @LenahHell
    @LenahHell 5 часов назад

    Ulikuwa wap hiyo time yote

  • @ruthmuzina638
    @ruthmuzina638 6 часов назад

    Bloggers pia nyinyi ni wabaya mbona munaenda kumuhoji huu ni upuzi

    • @Adeline-et7we
      @Adeline-et7we 4 часа назад

      Wakisikia jina ya demu wa fecebook, na wanakimbia huko ili wapate views 😂😂

  • @rahelmwarandu5501
    @rahelmwarandu5501 4 часа назад

    Acha ujinga kijana tafuta maisha yako

  • @nicholasmbembe7821
    @nicholasmbembe7821 2 часа назад

    Eti kufanya mjengo....

  • @Jaqye7256
    @Jaqye7256 4 часа назад

    Tiga ngoma

  • @njenaosh
    @njenaosh 4 часа назад

    Tafuta hilo jambo lakufanya kijana

  • @IkeateCaro
    @IkeateCaro Час назад

    Uyu nijaa tu

  • @RosemaryAnyango-fc3ov
    @RosemaryAnyango-fc3ov 2 часа назад

    Niko na sira na hii kondoo

  • @melvinmuhongo8636
    @melvinmuhongo8636 5 часов назад

    In short tulete hizo chats zenu na yy

  • @rosemaryjowi4599
    @rosemaryjowi4599 5 часов назад

    Wewe auna akili mbona Sahi ndiyo unatokelezea
    Kwende Dem WA face book ameshapata roho yake
    Auwezi HOA mtu nanguvu ATI juu ya gari

  • @BrigidWanjala-kh8gu
    @BrigidWanjala-kh8gu Час назад

    Mbona haukusema kitambo lazy man umemuona na gari ukaingiwa na tamaa ya lift