DEM WA FACEBOOK CHANGED AFTER MEETING OGA OBINNA"EMOTIONAL DEM WA FACEBOOK EX BOYFRIEND REVEALS!!
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- TO SHARE YOUR STORY WHATSAPP US ON +44 7769104552
Mutembei TV is the leading channel in Kenya and Africa in general dealing in news around Kenya and outside the country.We do politics as well as local news.You will get the latest news as they happen.Our idea is to Educate, inform and entertain you guys.In case you want to contact us for any event that you want covered kindly send us an email admin@mutembeitv.com.Thanks for subscribing and feel at home.
SHARE AND SUBSCRIBE!!
Follow us on:
Website:
mutembeitv.com/
Twitter :
/ mutembeitv
FACEBOOK:
/ mutembeitv
-----------------------------------------------------------------------------------------------------------
Copyright Disclaimer Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infringing. Non-profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use.
Kenya,kenya,kenya news,kenya politics,uhuru kenyatta,raila odinga,william ruto,kumekucha chris,ktn news kenya,citizen tv kenya,ntv kenya,herman manyora,trending news in kenya,2022 election,lee makwiny,the 5th estate,mutahi ngunyi,daily nation,jalango tv,strange news kenya,mutembei tv,kenyans in USA,Kenyans in diaspora,
#Mutembei
She doesn't like or love you. Let her move on period
please tell these guy to go work,and keep off dem wa Facebook,
Why on earth do someone want to ride on another persons success to be successful?
Huyu akipelekwa ndani siku mbili ataacha ujinga
Mwanaume tafuta pesa upendwe ...wachana na dwf bana
DWFB alijuana na obina not less than 5 months. Hio miezi yote ulikua wapi hukuclaim your baby girl. Sema ameundwa na mwenzako ndo unataka unyemelee.. na Kama si ivo , unataka kusaidiwa na obina . Venye huezi kumfikia,, umeona upige show na jina la DWFB
Huyu n njaa Ako nyo, hata mtu kama anataka usaidizi pitia njia nzuri
Ww kijana uko na ujinga kwani n ww wa kwanza kuachwa? Style up kama mwanaume,,, Kuna mahali umeongea eti kama dwf ameamua kumove on atlist aache kama amekuinua, mwanaume mjinga u can't hustle lyk other mens unataka pesa za dem,,, eti even now nikipata dem Sina uwezi wa kutoka dowry still nko jini , tafuta wamamaz wako na pesa uwachane na dwf
Mm Sahi nko Kwa rlnshp ya Saba na ex wote wanalia but lyf nayo inasonga nikingochea wa nane🤣🤣
Siku hizi content kama si Obinna ni dem wa facebook,bloggers na yutubers wa kenya change content pthooo. Mnaboo
Huyu ni mjinga,anafaa achukuliwe hatua akuwe funzo kwa wengine, anatafuta views but hii nayo No, dame wa fb amekuwa akiattackiwa left right centre hii ngombe imekuwa wapi????
Was Dem wa Facebook the only tomato in his soup?
The Gods must be crazy!!ama analilia Gari si ajipe shughuli!!
Stop doing these to Dem wa Facebook ,keep off,
Young Man Mimi naona huko sawa kupenda Dem wa bebii henderea tu kumupenda husipanduke mupende mupende kabisa hukijoka haja but Toka Kwa mutandao hata Mimi nakupenda sana
Ongea haraka niko na hasira,
Sisi ndio tutakufinya, huyo ni dame wa Obinna. Period😮
😂😂😂😂 ety uko na nini❤ huyu kijana natamani nikuweke ngumu ya mdomo
Jamani let the girl prosper in peace
😂😂😂😂Obina alisema ataosha then waanze oooh this oooh that 😂😂😂😂😂😂
True
Mbona wakati Dem wa fb alikua anatembea na kimbikimbi ukuongea Wacha ujinga bro tafuta pesa kwa kuaribu bebii jina ongeri wewe blame Ruto 💀💀
Exactly 💯💯
Uko na utoto najinga kwani we ni brother yake ndiyo akuweke maisha mazuri ama we ni wazazi wake ushenzi beleka mali
Heal and move on. Sahii ndio umejua she is your ex... Unampenda nini sahii ameshine. Ukome bebii wewe mwanaume
Apende Samaki Samaki next Wednesday kama kweli yuko serious.😂😂
MTU analia Ivo akitoa makamasi Nani atamkubali na nywelee zinakaa ndengu
Wewe ni polish boy nenda ukalale kama auna kazi ya kufanya live bebii alone
Hii n jinga ya wapy?
So haja yako ni obina akutie akusaidie ati mtu maskini shinda hapo na uzidi kua maskini, hao watu wanakuhoji hiyo ni kazi kwao ww peperusha bendera ya mdomo na urudi kwako ulale njaa
Young Man stop this Nonsense
Tafuta pesa nani,hizi tabia za watu kuanza kutafuta watu wakisha omoka sipendi stay away from that girl nkt.
Mbona haukusema kitambo lazy man umemuona na gari ukaingiwa na tamaa ya lift
ORIA TIBIM unasahau haraka juzi ulituambia story za CHIRA..may his soul rest in peace
TikTok amejaza madem na sijaona dwfb, mbwa sana
😂😂😂 anataka aambiwe ameachwa na apewe support ajishikilie asonge mbele😂😂😂😂 weeee. Bebii akijituma yeye alikuwa anafanya nini
Nonsense
Tokomeya na huko kaka tafuta kazi hufanye kile huna tafuta huta pata tu muda simurefu
Take it with a lot of peace, and move on
Mlikua wapi alivyokua ameparara brothee achana na bebii wanawake ni wengi tafuta mwengine
Huyu jama anataka kusaidiwa na ameshidwa kusema falta sana
Uyu anataka fame tu achaneni na yy
Are you the first one kuwachwa .songa mbele
Aja ujinga yako umbea kijana ulikua wapi kabla ajamtafuta obbina rubbish shameless wivu vitina uwache kabisa mbwa kijana
Acha ujinga kijana tafuta kazi ya kufanya ww mpuuzi
Can we get those text messages from ORIA
Wewe ulistahili kuomba usaidiwe sio kutwambia kwamba ulimpenda dwf
Ata sijwi niseme nini.....typing and deleting
Wacha wivu, kwani unalizimisha mapenzi, Wana wake ni wengi tafuta mwengine. Ukiwachwa wachika yawaaah wod wegi.
Yaan cku iz ata ukutane na MTU Kwa Choo moja apo mukuru n wako 😂😂😂ety dem wako wwe kojoa ulale buana gazia,utalia na BDO ety muliishi pmoja ,koma nani
Kwahivyo sio eti dem wa fb ni mtu wako unahaja ya kukutana na obinna akupange kimaisha sheitani wewe
Umasikini ndio inakusumbua, tafuta pesa, wachana na bebii
Akwambie as who young man katafute kazi that helps you move on
Sasa anasema haiwezi so unataka dmwfb akusaidie
Sasa ww ni chira ama dem WA Facebook which is which kumbafu
Nyinyi ma Bloggers hajaneni na huyo kichana nyinyi pia muko na hujinga kwanini munaenderea kumuhoji huyo burukenge surely
Kabisa
Huyu anataka tu kutrend, ati uitwe muongee 🙄🙄
Nani mzazi wa huyu kijana
🎉 nonsense rubbish
Uko na ujinga sana ww mwanaume n kiki tu
Rubbish
Ulikuwa wap hiyo time yote
Bloggers pia nyinyi ni wabaya mbona munaenda kumuhoji huu ni upuzi
Wakisikia jina ya demu wa fecebook, na wanakimbia huko ili wapate views 😂😂
Acha ujinga kijana tafuta maisha yako
Eti kufanya mjengo....
Tiga ngoma
Tafuta hilo jambo lakufanya kijana
Uyu nijaa tu
Niko na sira na hii kondoo
In short tulete hizo chats zenu na yy
Wewe auna akili mbona Sahi ndiyo unatokelezea
Kwende Dem WA face book ameshapata roho yake
Auwezi HOA mtu nanguvu ATI juu ya gari
Mbona haukusema kitambo lazy man umemuona na gari ukaingiwa na tamaa ya lift