BABUTALE ATAJA SABABU ZA KUKATAA KUMSAIDIA CHIDBEZ KWENYE MADAWA YA KULEVYA ''ALINIUMIZA''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 авг 2019
  • BABUTALE ATAJA SABABU ZA KUKATAA KUMSAIDIA CHIDBEZ KWENYE MADAWA YA KULEVYA ''ALINIUMIZA''
    #wasafitv #Block89
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 54

  • @vansaleh5786
    @vansaleh5786 4 года назад +4

    Tale nakuelewa mno ila kwa la chidi kama binadamu hujapaswa kumuhukumu kwa sigara pia kumbukumbu na kumzarau kwako kote ila chidi hachoki kukutafuta ujue jamaa anajielewa sana mitihani tu ya Mungu, lakini mwisho ya yote fanya unacho kiamini but fikiria mara 2 , Mungu akubariki ww na chidi pia 🤲🤲

  • @evandan7
    @evandan7 4 года назад +3

    Dah! Meneja aliekuwa msanii,una hekima za kutosha.......umesema ukweli mtupu......big up

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 4 года назад +4

    Msaaidie Babu

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 4 года назад +9

    Full interview plzzzzzz

    • @loganpoul
      @loganpoul 2 года назад

      Give your number I will send it to you via WhatsApp

  • @abdulazizabdallah6297
    @abdulazizabdallah6297 4 года назад +8

    baba tale jikaze kiume bro unapo ongea

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 4 года назад +8

    Ulikosea Tale kwakua yule sio rahis kuacha inatakiwa kuendanae taratibu .

    • @jimmiejr9531
      @jimmiejr9531 4 года назад +1

      Kweli. Matibabu ya kuepukana na uraibu inawachukua hadi miaka sio suala la mwezi mmoja

  • @princessjerad7655
    @princessjerad7655 4 года назад +9

    afu mkeo alimwelewa chid chid akiulizwa swali yupo makini kulijibu tena kisomi zaidi wangu msaidie na wasafi festv awepo mbona ile siku mondi anatoa misaada tandale alipafom vizuri tu

  • @prezbeatztz
    @prezbeatztz 4 года назад +4

    Msaidie brow mtu kama Huyo ni vgumu kuacha mapema vitu kama hvyo so kama kweli ulikuania yakumsaidia brow help him maisha yanachange ujue u never know

  • @johnniejimmy2986
    @johnniejimmy2986 4 года назад +6

    Mtu imara una ufala sana mzee

  • @yuusufnuur5752
    @yuusufnuur5752 4 года назад +4

    Babu tale msamee kijana ni ubinahadam hahaha hanaponaaaa babutaleeee

  • @kellsonofficial2182
    @kellsonofficial2182 4 года назад +5

    Hahaha chidbenz eti kawa sec.......

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 4 года назад +2

    Ww huko na roho mbaya.... Kama huko na Nia mbona usimsaidie

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 4 года назад +6

    Wee nae ukitaka kumsaidia mtu msaidie cyo mguu ndani mguu nje mashauzi tu sigala ndo nini punguza mbwembwe

    • @ashrafallymhando7876
      @ashrafallymhando7876 4 года назад

      Si kasema kama alifanya makosa kumpitezea na yy ni mwanadamu, unaongea hivyo kama na wewe umemsaidia vile

  • @mohamedmlundi5637
    @mohamedmlundi5637 4 года назад +4

    Babu msaidie Benz... Atapona

  • @kimshadyg4563
    @kimshadyg4563 4 года назад +1

    Vipi mbna nusu nusu..tupe full video ya interview ya babu tale

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +4

    HUYU JAMAA SHOGA AMA MBONA KALEGEA LEGEA SANA👀😂😂😂

    • @eryveendonick2056
      @eryveendonick2056 4 года назад

      Munira Ahmed shogaaaa kumbe unaonekan at wew unafilwa ndo maan unawez kujua mapoz ya wafilwaji

    • @loganpoul
      @loganpoul 2 года назад

      Munira kweli anafilwa kabisa,na Mimi nataka nimfile huyu munira

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 4 года назад +6

    WEKENI FULL INTERVIEW YA BABU TALE SIO KUWEKA VICLIP VIFUPI FUPI

  • @teddymwakanyamale9005
    @teddymwakanyamale9005 4 года назад +2

    Kama kweli ulikua na Nia ya kumsaidia msaidie chid ulitakiwa uende nae taratibu angeacha polepole sio ghafla kumbe sigara tu bro.. usichoke msaidie Tena ,.. Kuna Leo na kesho ...

  • @Moses-Kuria
    @Moses-Kuria 4 года назад +1

    Kuna wengi wanastaili kusaidiwa lakini sio wavuta unga tunapitia shida nyingi lakini hatuvuti unga sasa ndo hawa wavuta unga wenyewe wamejitakia

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 4 года назад +1

    Tale siwezi kukulaumu, naona kama Hawa wavuta madawa wawe banned tu watajirekebisha wenyewe tu, sasa huko SA ndio atakufa maana anaenda kujimaliza

  • @fabriceingabire8736
    @fabriceingabire8736 4 года назад +2

    Tale A.K.A kamati ya fitina🤣🤣🤣😂

  • @princessjerad7655
    @princessjerad7655 4 года назад +6

    babu tale ungemvumiloa tu sio rahisi kuacha paa msaidie tena wangu

  • @gidiohkeen3530
    @gidiohkeen3530 4 года назад

    Huyu Babu Tale amfanana governor wa Kenya aitwae sonko

  • @sangijamadukwa1486
    @sangijamadukwa1486 4 года назад +2

    Huyu tale mbn anaongea kidemu hivi

  • @octaviotheeog3964
    @octaviotheeog3964 4 года назад +5

    Hii station ni ya kuinterview wasanii wa wasafi tu🤭🤭🤧🤧

    • @djkizzo152
      @djkizzo152 4 года назад +1

      mobeto ni wa wasafi?

    • @abdallahmeddy7298
      @abdallahmeddy7298 4 года назад +2

      Mobeto na whozu Madee MO music chege wote wasafi nao

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 4 года назад

      Huna bando

    • @octaviotheeog3964
      @octaviotheeog3964 4 года назад +2

      Mobeto si alikuwa mpenzi wa diamond alafu whozu ameproduce ngoma yake kwa s2kizz na madee ni mabeshte na wasanii wa wasafi naye chege walifanya collabo na chibu

  • @ishtaradel2998
    @ishtaradel2998 Год назад

    Tu

  • @bosscousin4467
    @bosscousin4467 4 года назад +2

    yan babu tale anaroho mbaya hujawah onananayo

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 4 года назад +1

    Sauti kama ya kideeeeeeeeeee m jikaze

  • @amanigalawa7422
    @amanigalawa7422 4 года назад +3

    Msaidie bana

  • @ZanjabeelSalsabeel
    @ZanjabeelSalsabeel 4 года назад +1

    *_Eti Shetani1 Akakuambia ACHA_*

  • @loganpoul
    @loganpoul 2 года назад +1

    Tale wewe Una roho mbaya sana kila MTU anajua,unaongea taratibu ili ufiche ubaya wako lakini twakutambua,hakuna MTU mbaya sana kama ww katika industry ya music

  • @gidiohkeen3530
    @gidiohkeen3530 4 года назад

    Hii muziki iko nyuma inaudhi ....upuzi ujinga Tu kama ni mziki use mziki kama ni mahojiano si owe hiyo hiyo Tu...!!!! ...dammitt

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 4 года назад +2

    achana naye yule atatumiya drag mpaka afe na kama unataka kwakumnunuliya sawa apo mtapatana juu anauwezo kwenye music hata akivuta ganja nasigara kibaya akiwa mwizi wala kibaka.

  • @leonellykweka7165
    @leonellykweka7165 4 года назад +5

    UMEMSUSA 😁😁😁 WCB MLIONA BIASHARA HAILIPI??!! MANENO YA KIFEDHULI UKIMPATA DADA YAKO AJATULIA APEWE MIMBA......MNGEINGIA COZ YA KUJIFUNZA KUFUNGA GAVANA MIDOMONI

  • @hassanchauluwa7308
    @hassanchauluwa7308 Год назад

    Mkono wa kushoto ukitoa wa kulia ucjuwe

  • @West-side-lt9nb
    @West-side-lt9nb 4 года назад +6

    Msenge we . Kuacha unga mpaka kuvuta sigara imekua ajabu? Ulikua huna nia tu mupo kuwasaidia watu kw kujipaisha tu. Fuck it stupid Tale

    • @gwangtaek1564
      @gwangtaek1564 4 года назад +2

      😂😂😂😂😂 nataman ungekuwa marekani ningekupa dolla300 haki

  • @kachawakikazi1217
    @kachawakikazi1217 4 года назад +3

    uyu jamaa anaongea kama shoga vile

  • @chobastian-chobo5759
    @chobastian-chobo5759 4 года назад +4

    Tatzo huna shule, nani alikwambia madawa huwa wanaacha gafla, mtu anaweza kufa akiaacha gafla, tatzo lenu mnafanikiwa tu kiuchumi lakini shule hamna

    • @antoinettedjumapili2522
      @antoinettedjumapili2522 4 года назад

      Chobastian -Chobo
      hiyo ndio tatizo ya wa Africa wengi hawajuwi kuacha hizo dawa ni mutihani mkubwa saana wengi wanapenda kuacha ila si virahisi kweli Tale angekuwa na elimu angefahamu hivyo

    • @361NEWS
      @361NEWS Год назад

      Fact

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx 4 года назад +2

    Sema kwa kumpeleka italy ndio mtakwenda kumuua na madawa coz huko sober atakutana na watumiaji madawa kweli na madawa yamezagaa kama katana.