KABWE| SWALA LA CHAMA LIMEISHA DEAL DONE YUPO SIMBA BADO YANGA WASIZUNGUMZE SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Комментарии • 21

  • @MauaGabriel
    @MauaGabriel 3 месяца назад

    By Dr lnnocent ushauri wangu Kwa mo dewj ajitahid sana chama abaki Kwa maslahi makubwa ya club yetu ya simba

  • @yaduniakibuwa4807
    @yaduniakibuwa4807 3 месяца назад

    Watu wa Yanga acheni wivu kuhusu Chama

  • @allyshabani3404
    @allyshabani3404 3 месяца назад +3

    Mo kwa chama apana mwaceni aende hakuna mcezaji yupo juu kuliko Simba pako wacezaji wengi wanaweza kuicezeya Simba zaidi ya chama na chama ndie huwa anasababisha ma Koch kuondoka hawaoni mcango wa chama mashabiki wa Simba ndo huwa wanaifelisha team yao huwa wanaingiya kwenye mtego wa Yanga

    • @Shijajohn5084
      @Shijajohn5084 3 месяца назад

      Kosa la chama ni nn labda?

    • @Shijajohn5084
      @Shijajohn5084 3 месяца назад

      Hajafunga? Hajatoa assists? Au shida yake n kudai haki yake?

    • @nasseraljahwri6310
      @nasseraljahwri6310 3 месяца назад

      😂😂
      Ww utakua NI utopolo...Chama is the best player in Tz ever ..

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 3 месяца назад

      Jamaa yupo vizuri sana kiuchambuzi

    • @BabaStuwartKatojo
      @BabaStuwartKatojo 3 месяца назад

      Uwe unaandika vizur

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 месяца назад

    KWA HIYO YANGA AWAJAPANIA ? MNAUMWA SANA... NDIO UUNDE TIMU NA MWAKA HUO HUO UCHUKUE UBINGWA ? HUO NI UONGO NA UTOTO..LABDA BAADA YA MIAKA 2 AU 3 TIMU INAKUWA SAWA

  • @johnjamaly9369
    @johnjamaly9369 3 месяца назад

    Bado chama ni muhimu sana.acha abaki simba.

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 месяца назад

    chama is always brilliant?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 месяца назад

    Mo mbakize Chama Simba na Mayele tunaomba aje Simba

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 3 месяца назад

    Hy kabwe akiendea hv Ana Fika mbali

  • @PiusLaymond
    @PiusLaymond 3 месяца назад

    Yani kweli simba bado hawajitambua Yani baada muangalie kuleta wachezaji wazur nyny chama chama msimuuliopta SI alikuepo mmepata nn yanga wanawachezea akili mtamuongezea Hela kila msim duuuhh

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 3 месяца назад

    Yanga walijua chama ataenda wauze mabwende yao maana wachezaji wao hawana mvuto yani pamoja na kuchukua ubingwa ila haina mvuto simba timu kubwa yasita barani afrika hata icheze shirikisho shirikisho inamvuto kuliko krabu bigwa maana timu zote kubwa zipo huku timu yapili barani afrika na yanne yatano na yasita mashabiki wenye mvuto wako shirikisho pia mashabiki bora wapo shirikisho

    • @allymtanga8127
      @allymtanga8127 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @Eliacharless-f3z
      @Eliacharless-f3z 3 месяца назад

      Shilikisho ni sawa masalu

    • @Eliacharless-f3z
      @Eliacharless-f3z 3 месяца назад

      Shilikisho ni sawa masalu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад

      😂😂😂😂 madunduka njooni huku Kuna zeze.. letu linaongea pumbazzz za kutosha