Mo kwa chama apana mwaceni aende hakuna mcezaji yupo juu kuliko Simba pako wacezaji wengi wanaweza kuicezeya Simba zaidi ya chama na chama ndie huwa anasababisha ma Koch kuondoka hawaoni mcango wa chama mashabiki wa Simba ndo huwa wanaifelisha team yao huwa wanaingiya kwenye mtego wa Yanga
KWA HIYO YANGA AWAJAPANIA ? MNAUMWA SANA... NDIO UUNDE TIMU NA MWAKA HUO HUO UCHUKUE UBINGWA ? HUO NI UONGO NA UTOTO..LABDA BAADA YA MIAKA 2 AU 3 TIMU INAKUWA SAWA
Yani kweli simba bado hawajitambua Yani baada muangalie kuleta wachezaji wazur nyny chama chama msimuuliopta SI alikuepo mmepata nn yanga wanawachezea akili mtamuongezea Hela kila msim duuuhh
Yanga walijua chama ataenda wauze mabwende yao maana wachezaji wao hawana mvuto yani pamoja na kuchukua ubingwa ila haina mvuto simba timu kubwa yasita barani afrika hata icheze shirikisho shirikisho inamvuto kuliko krabu bigwa maana timu zote kubwa zipo huku timu yapili barani afrika na yanne yatano na yasita mashabiki wenye mvuto wako shirikisho pia mashabiki bora wapo shirikisho
By Dr lnnocent ushauri wangu Kwa mo dewj ajitahid sana chama abaki Kwa maslahi makubwa ya club yetu ya simba
Watu wa Yanga acheni wivu kuhusu Chama
Mo kwa chama apana mwaceni aende hakuna mcezaji yupo juu kuliko Simba pako wacezaji wengi wanaweza kuicezeya Simba zaidi ya chama na chama ndie huwa anasababisha ma Koch kuondoka hawaoni mcango wa chama mashabiki wa Simba ndo huwa wanaifelisha team yao huwa wanaingiya kwenye mtego wa Yanga
Kosa la chama ni nn labda?
Hajafunga? Hajatoa assists? Au shida yake n kudai haki yake?
😂😂
Ww utakua NI utopolo...Chama is the best player in Tz ever ..
Jamaa yupo vizuri sana kiuchambuzi
Uwe unaandika vizur
KWA HIYO YANGA AWAJAPANIA ? MNAUMWA SANA... NDIO UUNDE TIMU NA MWAKA HUO HUO UCHUKUE UBINGWA ? HUO NI UONGO NA UTOTO..LABDA BAADA YA MIAKA 2 AU 3 TIMU INAKUWA SAWA
Bado chama ni muhimu sana.acha abaki simba.
chama is always brilliant?
Mo mbakize Chama Simba na Mayele tunaomba aje Simba
Hy kabwe akiendea hv Ana Fika mbali
Yani kweli simba bado hawajitambua Yani baada muangalie kuleta wachezaji wazur nyny chama chama msimuuliopta SI alikuepo mmepata nn yanga wanawachezea akili mtamuongezea Hela kila msim duuuhh
Unateseka kwani
Unashida gani chama kubaki Simba?
Yanga walijua chama ataenda wauze mabwende yao maana wachezaji wao hawana mvuto yani pamoja na kuchukua ubingwa ila haina mvuto simba timu kubwa yasita barani afrika hata icheze shirikisho shirikisho inamvuto kuliko krabu bigwa maana timu zote kubwa zipo huku timu yapili barani afrika na yanne yatano na yasita mashabiki wenye mvuto wako shirikisho pia mashabiki bora wapo shirikisho
😂😂😂😂😂😂😂
Shilikisho ni sawa masalu
Shilikisho ni sawa masalu
😂😂😂😂 madunduka njooni huku Kuna zeze.. letu linaongea pumbazzz za kutosha