Mimi S01Ep18 (TV Series)
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- Tamthilia inayofuatilia hadhithi ya bitnti Naomi katika kuanza na kupigania maisha yake kwa visa vya kila aina.
Imtayarishiwa na Elizabeth Michael / elizabethmichaelofficial
Director and DOP Staford kihore www.instagram....
Great series, coz ni story ambayo haiko direct yani inabidi utulize kichwa ili ujue mbele kitatokea nini. Hongera sana Elizabeth Michael(Lulu) I'm you're big fan.
Ni kwel sio kama zaman mtu unaangalia kitu unajua mwisho itakuaje
Hakika
Mama Naomi umekosea sanaa
Kazi nzuri lulu
Naom ananifurahish sanaaaa anajiamin had rahaaa❤❤
Ata na mimi nataka niwe najiamini ivo ivo 😂😂😂😂
Mama Naomi muogope mungu wako haupo sahihi kwa ulichokifanya
At na mimi nimeona mbona kavuruga 😂😂😂😂
Sanaaa💔
Mama Naomi mbona leo amatuchanganyia Mambo
Eeee bwanaee hata kama ni ww ungevumili na mwanaume ana gubu kama nin na hata viombo hawez sunzaa😂😂😂😂😂😂😂 ama unafkria ni viombo kwa sinck😅
Mama naomi amekosea sana hio ni dharau kubwa sana ko mumeo angekuwa mzima ungefanya hivyo nawachukia wanawake wa design hii
Hii Movie naiona mbali sana hapa youtube wiki zijazo. Mtaniambia
True!
et nikisimama hapa daah😂😂😂😂
😂😂😂😂😂mdomo unamsaidia 😅😅
@@olicej7837 😂😂😂
Kwa kweli mama naomi kakosea sana jaman
Kabisa utaleta vipi x wako nyumbani kwako😅😅😅
Daa muvi kali
Mwenye magazeti sasa😂😂😂😂
Duuuh kwahy baba kaua mwanae
The best swahili series mimi mpk nfatilia
Nice❤❤
Baba Naomi ni mwanaume
Mtambalike sijawahi kosa move unazocheza upo levo zingine angalia hata kimataifa uko vizur
😂😂😂Duuh ila baba Naomi Sasa amfate Tena itakuwaje sindo watayajenga vzur
Good job kipenz mrs majizo
❤❤❤
Tuko pamoja tuna wapenda sana kabisa
Baba Naomi jmn 😂😂😂
😂😂😂nikisimama hapa Melissa tutaongea mengine
Mama Naomi unampngo gani na baba Naomi lakini wewe 😢😢 dah nimelia sana jamani
Naomi una catch my feeling 😂😂😂😂
Mama Naomi Ex wako apo ulikosea 😂
Antak kumuuwa mzee
Ila baba naomi😂😂😂😂 nimecheka leo
Wewe mama naomi bhana,,,unaona ni rahisi kumleta ex wako kwa mume wako eti?
Tena x anamsifia mke wa mtu
@@ChangaJisava yaani hatari sana,,,
❤❤❤❤
Sliza sijawai hangalia siliz ya kitanzani ila Kwa hii ni atar
Nicky amka jamn😢
🔥🔥
Mtoto wa boss 😅😅😅
❤❤
❤❤❤❤❤
Hee kumbe ni mtoto wabosi
Naomi kazama penzini
😮
I love you lulu dah ❤❤❤❤
Kwaiy mama naomi bado ni mchumba ako😏😏😏😏Ety nilimleta mchumba angu wa zamanj
😂😂
😂😂😂😂😂😂Naomi mtu mbad
😂😂😂
🫡