Yaani jol master apo ukipata fund kwenye micro 🎤 tu shwaaa umeua unapata na bonge la stage yaani nyumba tatu ndani ya stage moja pamoja na hio lounge au bar oah tuiandikie proposal sehemu hiii sana sana ni zle mic ndogo za kunasisha kwa shati au t-shirt itasaidia fanani ku deliver KAZI yake kwa uhuru hasa hasa kukumbatiana n.k
Kazi nzuri san brooo
Mungu amekuepusha na madhambi ya mauzinzi manini😅😅😅😅 peponi moja kwa moja
😂😂😂 Mr Adam wameua axe keep moving
Big up sana ubunifu 🔥🔥🔥🔥
Fataki kazi yako hii😂
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥
ZEGUY mmetisha 🔥🔥
Bhabha jol master tufungulie njia wasukuma hii kal
wakwanza ni Mimi😂
Hii kitu kwa Tz ni mara ya kwanza kwa sanaa za hii miaka ya karibuni.. jol master kazia humu humu..
Tupo pamoja JOL MASTER 😂😂
Kaziii nzuriii bilaa kusema uwongoo
Jamani naombeni like nime kuwa watatu😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Big up joo😂😂
😂😂😂😂 Mr adam ana lilia haki jamani
🔥🔥🔥🔥🔥
Yaani jol master apo ukipata fund kwenye micro 🎤 tu shwaaa umeua unapata na bonge la stage yaani nyumba tatu ndani ya stage moja pamoja na hio lounge au bar oah tuiandikie proposal sehemu hiii sana sana ni zle mic ndogo za kunasisha kwa shati au t-shirt itasaidia fanani ku deliver KAZI yake kwa uhuru hasa hasa kukumbatiana n.k
🔥🔥🔥