Rais Magufuli alivyompigia simu Makonda katikati ya mkutano

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Rais Magufuli amekua akitazama live ya CloudsTV na CloudsFM kutoka kwenye ziara ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ambayo ameanza kuifanya na kuzunguka kwenye maeneo mbalimbali ya jiji kujua kero za Wananchi.

Комментарии • 80

  • @universalcreativestudio8488
    @universalcreativestudio8488 7 лет назад +4

    Salute sana mheshimiwa Makonda!..

  • @MarsUk-cg1gq
    @MarsUk-cg1gq 6 лет назад +2

    Mungu akubariki makonda ishaallah Hakuna kama wewe mungu akuweke wewe makonda ilove you so much

  • @vanessakileokileo374
    @vanessakileokileo374 7 лет назад +2

    Uko vizuri Mweshimiwa Mungu akulinde ktk kazi zako

  • @athumanimfaume139
    @athumanimfaume139 6 лет назад +3

    dah!! respect kwako mh.makonda

  • @leonardpetro1463
    @leonardpetro1463 7 лет назад +5

    safi sana Makonda,

  • @tonybethuel8194
    @tonybethuel8194 7 лет назад +4

    Yangu macho tu, tutasikia mengi

  • @zuuniece6635
    @zuuniece6635 7 лет назад +2

    mashaallah makonda tunakutegemea kua rais miaka ijayo

  • @richardbuhatwa1940
    @richardbuhatwa1940 7 лет назад +5

    makonda sisi sio wananchi wa rais magufuli sema wananchi anuowaongoza mwenye watu ni mungu pekee

    • @michaelcanisius1615
      @michaelcanisius1615 6 лет назад +1

      Richard Buhatwa pumbafuu mbwa ww tena ww ulitakiwa uchapwe viboko 12 siku unaingia jera na 24 siku yakutoka bogaz ww

    • @nsodyaphilimon9153
      @nsodyaphilimon9153 6 лет назад

      Richard Buhatwa acha chuki binafsi kama hupendi ndo unafoka?

  • @evalinnkumbi4139
    @evalinnkumbi4139 6 лет назад +4

    makonda i love u so much.

  • @gardmbaga949
    @gardmbaga949 6 лет назад +2

    Very good RC MAKONDA

  • @kibaopipa3474
    @kibaopipa3474 6 лет назад +1

    AFADHALI AFRICA TUNDEKUWA NA VIONGOZI WAKO WAZI NA WANANCHI KAMA JP MAGUFULI
    VIVA MAGUFULI VIVA

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 лет назад +4

    Uko vizur Makonda

  • @MarsUk-cg1gq
    @MarsUk-cg1gq 6 лет назад +2

    Kazi njema Kaka angu

  • @mwinyikherymwambogoso7713
    @mwinyikherymwambogoso7713 7 лет назад +4

    aiiiiiseee ni noma muno

  • @jumasalehe4002
    @jumasalehe4002 7 лет назад +11

    Kazi unayoifanya yaani mpaka mh, Rais kishakubali kuwa wewe ni jembe haswaa Mungu akulinde Makonda

    • @beatriceoswald423
      @beatriceoswald423 5 лет назад

      Juma Salehe njoo Mwananyamala mkuu wa mkoa pale viwanda vidogo utusaidie

  • @husseinswahili7382
    @husseinswahili7382 7 лет назад +4

    Tunahitaji Tanzania mpya.wananchi hatupendi kufuata sheria ndio maana tunapenda kulalamika.

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 5 лет назад

    Siwezi kukulipa mshahara siwezi kukupandisha cheo siwezi kukuwekea ulinzi ila mshahara wangu kwako nikukuombea kwa Mungu akulinde kilahatua unayopiga Insha'allah

  • @jumamasudimbalazi8363
    @jumamasudimbalazi8363 7 лет назад +8

    Dah, leo Makonda nimekuelewa sana

  • @sheluizonola7782
    @sheluizonola7782 6 лет назад +5

    huyu dogo lazima atakuja kuwa rais wa Tanzania baada ya magufuli maana anaakili utazani kameshushwa kutoka mbinguni kakweli mpaka huruma mungu akujalie dogo

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +2

    Makonda wewe ni nomaa

  • @solomonizacharia868
    @solomonizacharia868 5 лет назад +3

    kwani magu ana memor card kichwani au

  • @enockpeter5225
    @enockpeter5225 6 лет назад +2

    hongera sana makonda

  • @zanzibarmallonline
    @zanzibarmallonline 6 лет назад +2

    Safi sana

  • @zainabubalama4622
    @zainabubalama4622 3 года назад

    Nakuelewaga Sana Makonda

  • @jumaseif4322
    @jumaseif4322 6 лет назад +2

    Nakukubari mh,makonda

  • @alphoncethobias2230
    @alphoncethobias2230 7 лет назад +14

    KIONGOZI MKWELI NA MUWAZI NDIYE MLETA MAENDELEO.

  • @zainabubalama4622
    @zainabubalama4622 4 года назад

    Nakuelewaga Sana Mh Paul Makonda.

  • @gideonkalumbu5220
    @gideonkalumbu5220 4 года назад

    Kama umesikia Rais anajibizana neno Ndiyo na mkuu wa mkoa Makonda weka likes kama zote

  • @husseinayoub5679
    @husseinayoub5679 6 лет назад +1

    Rais Magufuli nikiongozi Bora sana

  • @frankkanyara748
    @frankkanyara748 7 лет назад +3

    kazi kaz

  • @victorkorir8604
    @victorkorir8604 5 лет назад

    MAGUFULI will be president of East African

  • @shabanimambo9430
    @shabanimambo9430 6 лет назад +2

    safi makonda Kiongozi upaswi kuw muoga

    • @godfreymande4498
      @godfreymande4498 5 лет назад

      makonda nakukubali sana tena nakuombea ugombee na ubunge hapahapa mjini ikiwezekana kwa mnyika unachapa kazo kwelikweli hongera sana mzee anakukubali hasa kwa uchapaji wako wa kazi na kazi uko safi najua hawakosi wanafiki ila90%tunakukubali

  • @brightjulius3461
    @brightjulius3461 5 лет назад +1

    huyu ndie Rais wakweli

  • @michaelcanisius1615
    @michaelcanisius1615 6 лет назад +1

    makonda natamani xana uje angalau uwe wazir mkuu uwanyoshe hawa wanaoonea wananch na ninafikir kwa kaz unayo ifanya niyatofaut xana tena ww makonda nakupenda ufaa kabisa kuwa rais

  • @dismasdalmas6985
    @dismasdalmas6985 5 лет назад +1

    Magufuli ni mwamba wa taifa ili hakika inauma sana tunapiganiwa sana ila hatumpi ushirikiano jpm no like you

  • @meshackpaul5338
    @meshackpaul5338 3 года назад

    Duh Kama salio lako lakuunga
    Unaumbuka,
    Mbona imekuwa hotuba

  • @scayroad8500
    @scayroad8500 5 лет назад

    SAFI MWANANGU MAKONDA MTEGEMEE SANA MUNGU MAANA KWA KAZI HII LAZIMA UPIGWE VITA,UNAWASHINDA HATA HAO WANAOKUITA BASHITE,UKO JUU SANA HAPA KAZI TUUU.

  • @cescnoach
    @cescnoach 7 лет назад +4

    No offense but this is just too much PR.

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 4 года назад

    Sm 5 ziwe zinapita bajaji

  • @mudykiuta3841
    @mudykiuta3841 7 лет назад +2

    sawa makonda

  • @killokidbu8050
    @killokidbu8050 6 лет назад +2

    Killo s Kidabu makonda nakupa BG ap kaza but I mwane2

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 5 лет назад

    Magufuri rais wa dunia100%

  • @joelmkamwa9091
    @joelmkamwa9091 7 лет назад +3

    makonda kweli wewe ni Mkuu wa mkoa wengine me bado sijaona kama huyu RC wa kwetu yupoyupo tu

  • @richardnovatus3604
    @richardnovatus3604 6 лет назад +3

    Hizi drama nyinginee bwanaaa, poaa, hahahaaaa

  • @martinezsiwale4419
    @martinezsiwale4419 5 лет назад

    Mkuu wa mkoa Genius zaidi kutokea Tanzania nilie wai kumshuhudia mpka sasa

  • @meshakimmale2003
    @meshakimmale2003 6 лет назад +1

    ndio ndio hapana haipo

  • @elisamehetemu9521
    @elisamehetemu9521 7 лет назад +4

    mmmh.. kwakweli utakula keki pamoja nae...
    maana.. upo vzur kuliko wakuu wa mikoa wote

  • @stephenbarnaba5061
    @stephenbarnaba5061 7 лет назад +2

    Wazushi watakukubali kimoyo moyo mh makonda

  • @marcodominico9503
    @marcodominico9503 6 лет назад +1

    KILA ENZI NA KITABU CHAKE

  • @yussufkhamis2792
    @yussufkhamis2792 7 лет назад +3

    100%

  • @sofiasofia7557
    @sofiasofia7557 4 года назад

    Yatumbue majipu hukohuko

  • @geofreyjovini7082
    @geofreyjovini7082 6 лет назад +2

    tumekuerwa

  • @hasanimohamed1915
    @hasanimohamed1915 7 лет назад +1

    ok

  • @bathromeobalisimula7166
    @bathromeobalisimula7166 5 лет назад

    Making ni jembe atafika mbali sana japo sehem chache anajichanganya ila ndo kupata uzoefuu

  • @williammwambokwa1511
    @williammwambokwa1511 6 лет назад +1

    uko pw xna

  • @hafishsutihafish1891
    @hafishsutihafish1891 7 лет назад +2

    👟kaza unatisha

  • @swahibsinjo8439
    @swahibsinjo8439 5 лет назад

    JPM hivi umemeza flash maana sio kwa kumbukumbu hizo mzee baba!!!!

  • @wilsonkifaru2374
    @wilsonkifaru2374 5 лет назад +1

    Xaf xana bro makonda a.k.a mkuu

  • @jamilalugome4094
    @jamilalugome4094 7 лет назад +9

    watakukubali tu mh wanaosema unajipendekeza watadoda piga kazi kk

    • @davidjmbura8156
      @davidjmbura8156 6 лет назад

      jamila lugome uongozi ujitathimini upya serkali inawajali kweli watu wake au inajali chama chake tawala (ilamjue iposiku mtahukumiwa Na Mungu) kwautwana wenu

  • @stilerymkama7926
    @stilerymkama7926 7 лет назад +3

    huyu jamaa Ni mpambanaji

  • @masalumanyanda1028
    @masalumanyanda1028 4 года назад

    Xxx

  • @hasanimohamed1915
    @hasanimohamed1915 7 лет назад +1

    ok