IDRIS KAMUIGA SHILOLE? KAJA NA BIASHARA YA CHAKULA KAFUNGUKA "NAJUA KUPIKA, SIMUANDAI MTU"
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Ni mchekeshaji Idiris Slutan ambaye amefunguka kuhusu project yrke ya aliyoipa jana la 'Jikoni' ambayo atakuwa akiuza chakula anachopika na kufanya delivery kwa wateja watakao hitaji.. Idris amesema ameanza na online lakini anamalengo ya kufungua ofisi kama ilivyo Shishi Food na migahawa mingine..
Kwani yeye Shilole si alikuta wapishi wako kibao Dar mbona hamkusema kamwiga nani? Acheni upuuzi kuwakatisha tamaa watu wengine wasipate kujitafutia riziki zao.
Maa shaa Allah
KIKI KAMA KIKI ITAENDA MJINI KAMA KAWA
Kwanza hii biashara nzuri sana haina lazima wanawake kenya wengi wako mchanganyiko wake waume wote sawa
Chakula mbona hata shangaz zangu wanauza jaman kaiga vipi 😁
Niseme ukweli kwamba shishi anuzia jina kupika na kuandaa ziro asubiri vitu kutoka kwa IDRIS kila siku anapakuwa mmeshawahi kuona jiko lake? shishi nisamshe bure ukweli ndio huo
Nae kawa mama ntilie
😄😄
Kijana project zake haziishagi tatizo
😆😆😆
Mbona mnatusingizia Wakurya hatujui kuwandaa watu. Imekuwa mazoea sasa kwamba jambo lolote la ajabu tunarushiwa sisi.