Uzito wa Dua ya Mwenye Kudhulumiwa - Sheikh Nassor Bachu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Mawaidha na mafundisho juu ya dua ya mwenye kudhulumiwi yanayo fundishwa na sheikh Nassor Bachu Allah amrahamu.
    #sheikhNassorBachu
    #Elimu
    #Mafundishoyakiislam
    #Duayamwenyekudhulumiwa

Комментарии • 48

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 3 года назад +6

    nampenda sana shehe huyu hajuwi kupindisha anajuwa kunyosha uko vizuri sana mungu amlaze mahala pema peponi amin

  • @ibrahimabdallakaranja4947
    @ibrahimabdallakaranja4947 3 года назад +5

    Tumeiona kwako juhud alla akulipe

  • @salmaamin7113
    @salmaamin7113 2 года назад +5

    Allahumma ghfir lahu warhamhu wa'askinhu fill jannah..... Allahumma Ameen🤲

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 3 года назад +8

    Mungu akurehemu shekhe wetu akuweke mahali pema peponi inshaallah shekhe nasoor bachu

  • @masoudkombo2442
    @masoudkombo2442 2 года назад +2

    Allah akuepusha na hata chembe ndogo ya adhabu ewe kipenzi changu

  • @makenakendi282
    @makenakendi282 3 года назад +4

    ALLAH akueke pema maalim

  • @JumaGome-q8q
    @JumaGome-q8q 4 месяца назад

    Allahu magfir LLAHU warahamahu

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +2

    Allah kwa uwezo wake na huruma wake akuongoze peponi unanitoa machozi midahi shehe wetu mwalimu wetu unatuelimisha na nashukuru napelewa saana Allhamdulillah 💕❤️Baba yetu Nassor bachu

  • @omaribenjamini
    @omaribenjamini 3 месяца назад

    رحمه الله تعالى

  • @salehali1017
    @salehali1017 3 года назад +3

    Allah amsameh makosa yake na amlipe jannat firdaous

  • @ayoubmasenza1598
    @ayoubmasenza1598 Год назад +1

    Allah akulipe sheikh kwa daawa kubwa uliyoifanya katika umri wako. Kanda zako mashuhuri nchi ziazotuzunguka Alla akusamehe na kukurehemu.

  • @khadhoujjojo338
    @khadhoujjojo338 3 года назад +2

    Allahumma ghfir lahu warhamhu wa'askinhu fill jannah...Allahumma Aameen 🤲🏾

  • @jamilamohammed2771
    @jamilamohammed2771 3 года назад +3

    Jazakallah kheir

  • @shambaboy41
    @shambaboy41 3 года назад +4

    Alhamdulillah hii mada ya Sh Bachu ilkuwa naitafta sana lkn ALLAH amenipatia kwa uwezo wake shukran ya Rabbi
    & Shukran Islamic kindnes tv jazakumullah alkhayri

  • @HiyanaRashid
    @HiyanaRashid 5 месяцев назад

    Alimhamdulillah nimefarijika sana Mwenyezi Mungu akufutue madhambi Yako yote amiin

  • @saleemsalim3922
    @saleemsalim3922 Год назад +2

    Masha Allah

  • @suleimankhatibjogoo7236
    @suleimankhatibjogoo7236 3 года назад +3

    Allah amrehemu sheikh wetu sheikh Nassor Bachu

    • @aminaibrahim3656
      @aminaibrahim3656 3 года назад

      Kwan amekufa

    • @jabirnzukame5720
      @jabirnzukame5720 3 года назад

      Allah ampe kauli thaabit na alifanye kaburi lake kuwa moja ya viwanja vyacpeponi

  • @mansurjayali658
    @mansurjayali658 3 года назад +3

    Amin

  • @mwaitahassan7927
    @mwaitahassan7927 3 года назад +3

    Amin 🙏🙏🙏

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 Год назад

    Amina

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 года назад +1

    Allah akurehemu sheikh wetu

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid 9 месяцев назад

    Maneno magumu mazitooo sana.Allah akurehemu.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 года назад +1

    Allah akurehemu sheikh wentu

  • @muneeralharrasi785
    @muneeralharrasi785 2 года назад +1

    Amina

  • @allykhamis9300
    @allykhamis9300 2 года назад +1

    Mola amrehemu

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed Год назад

    Alhamndullilah rabil aalamiyn inna Lilah waina ilayh rajiun 😭🤲

  • @RayaAli-d3w
    @RayaAli-d3w 6 месяцев назад

    Allah akulaze mahala pema peponi shehe

  • @khamisathuman1509
    @khamisathuman1509 Год назад

    Allahumma ghfir lah warhamhu wa

  • @ayoubmasenza1598
    @ayoubmasenza1598 Год назад

    Allah Akbar

  • @salehabdalla7773
    @salehabdalla7773 2 года назад

    Waislam naomb kuuliza swali hivi kuna makosa gan hpa mwnmme kwenda kumuekesha mtto wa kike miaka 6 kumposa kuwa atamuwa halafu akmpotzea mda wte yye akaenda kuoa mwnmke mwngine hivi hii ni dhulma ama ni nini au je kuna makosa gan hapa kw allah kw mtu aliefanya hivi naomba munijibu

    • @IslamicKindness
      @IslamicKindness  2 года назад

      Asalam alaikum warahmatullah wabarakatu kwa mujibu wa suala lako kwa ujumla kucheza na hisia za mtu ni makosa makubwa, kumuacha tu pasi na sababu za kisharia ni makosa, pia unaingia katika kosa la kutotimiza ahadi . الله أعلم

    • @binamourtraders4616
      @binamourtraders4616 Год назад

      @@IslamicKindness swali tata, nautoa utata je ameposwa mwanamke mwenye umri wa miaka 6 au mwanamke ameposwa kisha akaekeshwa bila ya kuolewa kwa muda wa miaka 6?

  • @aminabbyaminabby
    @aminabbyaminabby Год назад

    InshaAlah