Uzito wa Dua ya Mwenye Kudhulumiwa - Sheikh Nassor Bachu
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Mawaidha na mafundisho juu ya dua ya mwenye kudhulumiwi yanayo fundishwa na sheikh Nassor Bachu Allah amrahamu.
#sheikhNassorBachu
#Elimu
#Mafundishoyakiislam
#Duayamwenyekudhulumiwa
nampenda sana shehe huyu hajuwi kupindisha anajuwa kunyosha uko vizuri sana mungu amlaze mahala pema peponi amin
Tumeiona kwako juhud alla akulipe
Allahumma ghfir lahu warhamhu wa'askinhu fill jannah..... Allahumma Ameen🤲
Amin
@@IslamicKindness I am so lwantto learnfromyouthankyour
Mungu akurehemu shekhe wetu akuweke mahali pema peponi inshaallah shekhe nasoor bachu
Allah akuepusha na hata chembe ndogo ya adhabu ewe kipenzi changu
Amin
ALLAH akueke pema maalim
Allahumma ghfirlahu warhamhu
Allahu magfir LLAHU warahamahu
Allah kwa uwezo wake na huruma wake akuongoze peponi unanitoa machozi midahi shehe wetu mwalimu wetu unatuelimisha na nashukuru napelewa saana Allhamdulillah 💕❤️Baba yetu Nassor bachu
asalama aleikum han
رحمه الله تعالى
Allah amsameh makosa yake na amlipe jannat firdaous
Amin
Amin
Allah akulipe sheikh kwa daawa kubwa uliyoifanya katika umri wako. Kanda zako mashuhuri nchi ziazotuzunguka Alla akusamehe na kukurehemu.
Allahumma ghfir lahu warhamhu wa'askinhu fill jannah...Allahumma Aameen 🤲🏾
Amen
Jazakallah kheir
Alhamdulillah hii mada ya Sh Bachu ilkuwa naitafta sana lkn ALLAH amenipatia kwa uwezo wake shukran ya Rabbi
& Shukran Islamic kindnes tv jazakumullah alkhayri
🙏A'afwan
Alimhamdulillah nimefarijika sana Mwenyezi Mungu akufutue madhambi Yako yote amiin
Masha Allah
Allah amrehemu sheikh wetu sheikh Nassor Bachu
Kwan amekufa
Allah ampe kauli thaabit na alifanye kaburi lake kuwa moja ya viwanja vyacpeponi
Amin
Amin 🙏🙏🙏
3
Amina
Digestivesystem
Allah akurehemu sheikh wetu
Amin
Maneno magumu mazitooo sana.Allah akurehemu.
Allah akurehemu sheikh wentu
Amin
Amina
Mola amrehemu
Alhamndullilah rabil aalamiyn inna Lilah waina ilayh rajiun 😭🤲
Allah akulaze mahala pema peponi shehe
Allahumma ghfir lah warhamhu wa
Allah Akbar
Waislam naomb kuuliza swali hivi kuna makosa gan hpa mwnmme kwenda kumuekesha mtto wa kike miaka 6 kumposa kuwa atamuwa halafu akmpotzea mda wte yye akaenda kuoa mwnmke mwngine hivi hii ni dhulma ama ni nini au je kuna makosa gan hapa kw allah kw mtu aliefanya hivi naomba munijibu
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatu kwa mujibu wa suala lako kwa ujumla kucheza na hisia za mtu ni makosa makubwa, kumuacha tu pasi na sababu za kisharia ni makosa, pia unaingia katika kosa la kutotimiza ahadi . الله أعلم
@@IslamicKindness swali tata, nautoa utata je ameposwa mwanamke mwenye umri wa miaka 6 au mwanamke ameposwa kisha akaekeshwa bila ya kuolewa kwa muda wa miaka 6?
InshaAlah