Magoli | Simba 3-1 KMC | NBC Premier League 19/06/2022
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya KMC, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
KMC wametangulia kupata bao kupitia kwa Hassan Kabunda dakika ya 41 kabla ya Simba kuchomoa kwa goli la Kibu Denis dakika ya 52, kasha Pape Sakho akaongeza la pili dakika 63 na Henock Inonga akafunga hesabu dakika ya 66.
Pape Sakho the best player,Tumekosa bahati tu msimu huu na uchovu wa baadhi ya wachezaji umewafanya watani wachukue kombe letu.Ila kiukweli Bado tunatimu Bora na imara.We will come back strong,Simba nguvu moja always
Na miaka yote minne mlio chukua ubingwa ni uhohehahe wa yanga tu,na hukuwa ktk kiwango kile Cha hvyo,ila yanga ya mwaka huu umekupelekesha sana mpaka mumeomba poooo
pap sako atafunga kweli na viwanja vya tz kama Mashamba ya michikichi
Basi uchovu umeanza tokea ngao ya jamii?
Usijali huu ni msimu wa Mavyuraaaaa utopolooo original 🤣😆😆🤣😆👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿 🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸 lkn mabwa yakikauka Vyuraaaaa hutawaona wakipiga kelele wala kurukaruks mbele ya Mfalme wa pori ,🦁🦁🦁⚽⚽⚽
@@hajraramadhan4351 simba nilidude likuuubwa iv atayule mnzukule wenu unajua
Simba hatuna kombe ilaa mashabiki wanafuraia TEAM YAOO....hii ndio maana ya nguvu mojaa💥💥💯❤️
Sakhoo,match 2,goals 3 assist 2 🙌
Mag
Sakho ni moto uliowashwa🔥🔥
Good bye RALLY BWALYA football life is everywhere but we thanks you for being with us for more than two years what's you deliver to Simba fc is more than every thing goodbye see you when you us ..one day we shall meet again...but welcome again in Simba fc 🙈🙈🙈🙈🙈😤😤😤😱😱😱😫
🔥🔥🔥🔥🦁💪 POS akir mingi, na akiacha utoto ni mtu na nusu👏👏👏
Pape Sakho Goli 1 assist 2. Good performance for him
Salam ziwafikie by #SAKO ukiwa namba 10 lazima uwe na Akili ya Mpira 👹👹👹👹🔥🔥🔥🙏🙏🙏
❤️❤️❤️❤️ love you Simba
Mc
Bnvg
Bao linafungwwa km ulaya unashuhudia UCL dah saut ya rad
Simba tunawachezaji wa kujivunia kwa kweli
Salaam za msimu wa 2022/3 na CAF champion league Safi Simba..
Wabovu hao pana salam gani hapo.
Uhakika achan na wa piga mabom makabulin yanga
🦁❤️
@@sarjkijukuu8687 Mshazoeleka wazee wakuaminishwa,ata mkiambiwa hii zero mtasema kumi.
Kumbe inawezekana makocha wa kizungu wametuchelewesha🤣
@@issaali7669 màtola hana lesen ya kuwa kocha Mkuu kwenye mechi za kimataifa hata hivyo bado hatoshi
Thanks you bwally
Mpenja Simba baba lao
Good luck rally bwalya
💪💪we will miss you may you God be with you there you go😢🙏🙏😅
Sina ata chakusema maneno yte yashasemwa mm nawtkia tu usiku mwema🤭🤭
Kutangulia si kufika
Simba🔥
no one can stop simba
PO sakho vraiment il doit venir Aliou cissé
Sakho aise ni mchezaji mmoja hodari mno. Aise abakie Simba maana akiondoka hatutampata mtu kama huyu. Yaani ni hatari sana. Safi sana Simba. Kmc walisahau kuwa kutangulia sio kufika. Alipigwa weewe eee!!
Sakho bado yupo Sana simba ndugu wala usiwe na waswas ni mnyunyizo tyuu
Simba pamoja sana
Pamoja sna
Walichokoza nyuki 🦁🦁🦁🦁
Et jamn pamoj na kwamb tumepotez ubingwa na si tumerizia juu ya hilo lkn huk utopolo mioyo yao inawauma simba ikpata matokeo mazur yn jamn kwel hilo jina limewafaa hayana akil kabsa
Babasa
Good goal
Goodbye #RALLY_BWALY thanks for being with us though this moment is so SAD but we must say goodbye SEE YOU WHEN YOU SEE US...😫😫😱🙈🙈😤😤
Hii styre ya inonga ingechukuliwa na kuwa ndio atyre ya wafungaji wote watakaoifungia simba wakichanganya ile ya kunyunyiza ya sakho yaani itakuwa pw sana na itafunika hata ile ya mayere aliyoiiba kwa kagere ya kutetema.
Eti alio iba wapi😂😂kolo bhan
simbaaaaaaa
Ni vzr
Nguvu moja🦁🦁
Wale walioshangilia goli la watoto wa kino wataweka wapi vinyeo vyao Maana walishangilia kikejeli
Respect
Simba nguvu moja tushawazoea hao utopolo watapigwa ndani nje nakurudi nyumbn
Kuna utofauti team akishika matola.wachezaji mbn wanajituma sana na mipango ipo inaonekana Kwann kwa pablo haikuw hv
What a goal 💪💪
Mechi mbili asisti 2 goli 3 pape sakho
Kwa moto huu was tatu tatu,kutwa Mara tatu,mnaokwenda nao sasa MAKOLO,hakika mnakwenda kutwaa ndoo ya Ligi kuu 2021/2022.
Hii match for bwalya utopolo tulieni
Watu bwana ......
Wamechukua ubingwa badala washangilie ubingwa wao na kuomba dua waje fika mbali kimataifa, wao wako kwenye issues za Simba, ambao watawaacha mbali huko kimataifa. Kweli nimeamini kuwa wakati Simba anajiandaa kuongeza hadhi yake, upande ule wao wanajiandaa kumshusha ilhali wanajua hawawezi
Kwaio mimi kwenda pale na jezi yangu nimekukera au mpira ni stareh nimenda angalia mtani anavo azibu kmc hongeren
@@salimliemba3458 mbona unajishtukia?
Sakhoooooooooooooooooooooo
Utopolo ucahwi ndo mwingi
@@salimliemba3458 hongera mtani kwa mpira ni starehe hata mimi huwa naenda angalia za mtani angali mim ni simba na ndio Mpira ulivyo
Baraka nakukubali mno bro mungu akujalie afya njema kila iitwapo leo unafanya kazi yako kwa ufanisi mzuri sana
Simba moto tukitane new sizon
Where is bwalya
Different between is big
Kumbe kmc walikuwa wanajipaka mafuta 🙉 wakijianda kupokea magoli mengine 😂😂
yamefungwa magol ya champions league hakika ndo mechi bora msimu huu kwangu mimi najiuliza tu ingekua sakho anacheza ile timu ya wamang'ati sijui angepewa ng'ombe wangap goli hili mchezo bhana hauitaj hasira
Hii ndo simba bwana wachezaji wenye vipaji wapo simba tu kule kwingne Uchawi tuu
🤣🤣🤣 haswaaaaaaa
Kweli na kombe la Mapinduzi wamebeba.
Asist zote za sakho na goal lake ni 3
Simba haina mbadala itabak kua simba tu
Smba yangu rahaaaaaaaaa
Huwa sichoki kushamgilia Simba yangu
Varanne Beki bora wa ligi na hana upinzani
Beki bora wkt anatobolewa na kuruhusu magoli.
So poah
Hii ndo simba ninayoijua mimi! Ile nyingine ya Pablo hapana!!
🇿🇲🇿🇲🙏🙌
Simba ikiwa haijalogwa na yanga inakua tamu balaa
Bolinga ya Congo oyeeeeeeeee tamu samu,kichwa Cha kigaidi km magaidi wa MK 23 au hahaaaaa
nawaombea wachezaji wa simba waendage baselona na asenal
Saf sana enonga back
Kmc wasajili beki
Toa hilo li kibu hauna mchezaji hapo jamaa hajui kitu kabisa
Nguvu moja simbaaaaaaa hatar
Kanifurahisha tu huyo dada aliye kwenye hilo bango baada ya Kmc kufunga tu akashangilia kwa kupiga makofi sana kibao kilivyogeuka sasa alienda kulilia chooni
Mtani unakumbuka Shuka na kushapambazuka Asubuhi !! Hahahaaaaa
Acha tuburudike tunaipenda Simba
Ila huo mdonsi wa inonga acha 🤣🤣
Umeona ehee
Noma
Ila Inonga hiyo style yake ya ushangiliaji miguu🤣🤣
Uyo mtoto anatabasam na mama yake au baba yake?? 🤣🤣🤣
Jamn ss watanzania hatun iman na watanzania wenzetu matola mech ya3 hiii kam skosei haja droop wall kufungwa kwani shida ipo wap jamb
Kabunda ajuta kwanini alifunga
Kmc ushangiliaji mkubwa utasema nyie ndio washindi
Vizur s na
Makolo wanagombania nn sasa🤣🤣🤣🤣
Nouveau leo messi
yanga ni wachawi msimu huu muite wachungaji waje kuwaombea wachezaji na timu kwa ujumla waliwaloga wachwzaji
❤🎉😢👍💯🇹🇿
SACO anasema anatumia akili
simba wapunguza point walizo achwa na mabingwa yanga hahahahahah
Sasa uyi kavua jezi ya nini? 😂😂😂
Usajili wa yanga
yes
FIRST TO COMMENT 🔥🔥🔥
INONGA oyeeeeeeeee yaaani kipimo chako cha KIMATAIFA
Za SACO utaogelea usithubutu
Aliou cissei wowal boy bi nguirr yalla
Waxal dei
Bilahi boe bi amna place en selection nationale
Mais cissé daf imprévisible ken xamoul ay mbiram
Ukisitajabu ya kukosa ubingwa utaona ya mchezaji kuvua jezi
Mpira ulivyoisha nao wameshangilia au
Mujipange usajir muzur ili mtufurahishe wana simba
Munamaje
Hahahahahaaaaaa ligi bado inaendelea kumbe
Mtaaalam auliza tunyunyize
YANGA BINGWA
Uyo sakho anacheza kwa mabeki wabovu
Kumbe naww unamacho kama yangu .... Ni mbovu tu hana lolote
Mbovu wewe
Taachieni simba yetu,tukutane kimataifa nani atatoboa?
Ahahaaa hadi wale mabeki waarabu nao wabovu?
Mbona hizi video nikitaka kudowload huku zinagoma shida nini eti wakuu
Mbona simple tu ndugu yangu
Za Azam ni haki miliki danlod kwenye vidmate
unatumia app gani?
Tumia Vidmate chapu utapata
Hawa wanagombea nini!
Tunataka tuchomoe mwiko wenu wa nyuma tuunuse
Wanamgombania mama ako
Hahaha hata mm sijui ngoja nimpigie simu Pablo nimuulize
WANAGOMBEA KOMBE LA IN & 0UT LILE LA RIVER UNITED KUTOKA NIGERIA UMELISAHAU???
🎉
Ila warituloga sn mweee
Yanga bingwa lakini
Mbona km amesema mayele