Magoli | Simba 3-1 KMC | NBC Premier League 19/06/2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya KMC, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    KMC wametangulia kupata bao kupitia kwa Hassan Kabunda dakika ya 41 kabla ya Simba kuchomoa kwa goli la Kibu Denis dakika ya 52, kasha Pape Sakho akaongeza la pili dakika 63 na Henock Inonga akafunga hesabu dakika ya 66.

Комментарии • 202

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 2 года назад +12

    Pape Sakho the best player,Tumekosa bahati tu msimu huu na uchovu wa baadhi ya wachezaji umewafanya watani wachukue kombe letu.Ila kiukweli Bado tunatimu Bora na imara.We will come back strong,Simba nguvu moja always

    • @hajraramadhan4351
      @hajraramadhan4351 2 года назад

      Na miaka yote minne mlio chukua ubingwa ni uhohehahe wa yanga tu,na hukuwa ktk kiwango kile Cha hvyo,ila yanga ya mwaka huu umekupelekesha sana mpaka mumeomba poooo

    • @jonathanmbena6573
      @jonathanmbena6573 2 года назад +1

      pap sako atafunga kweli na viwanja vya tz kama Mashamba ya michikichi

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 2 года назад +1

      Basi uchovu umeanza tokea ngao ya jamii?

    • @f.a6043
      @f.a6043 2 года назад +2

      Usijali huu ni msimu wa Mavyuraaaaa utopolooo original 🤣😆😆🤣😆👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿 🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸 lkn mabwa yakikauka Vyuraaaaa hutawaona wakipiga kelele wala kurukaruks mbele ya Mfalme wa pori ,🦁🦁🦁⚽⚽⚽

    • @bongorekodi3242
      @bongorekodi3242 2 года назад

      @@hajraramadhan4351 simba nilidude likuuubwa iv atayule mnzukule wenu unajua

  • @juliusisack4090
    @juliusisack4090 2 года назад +4

    Simba hatuna kombe ilaa mashabiki wanafuraia TEAM YAOO....hii ndio maana ya nguvu mojaa💥💥💯❤️

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 2 года назад +7

    Sakhoo,match 2,goals 3 assist 2 🙌

  • @nuhuswalehe6690
    @nuhuswalehe6690 2 года назад +3

    Sakho ni moto uliowashwa🔥🔥

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 2 года назад +6

    Good bye RALLY BWALYA football life is everywhere but we thanks you for being with us for more than two years what's you deliver to Simba fc is more than every thing goodbye see you when you us ..one day we shall meet again...but welcome again in Simba fc 🙈🙈🙈🙈🙈😤😤😤😱😱😱😫

  • @issajaphary6190
    @issajaphary6190 2 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥🦁💪 POS akir mingi, na akiacha utoto ni mtu na nusu👏👏👏

  • @mansourjuma3731
    @mansourjuma3731 2 года назад +3

    Pape Sakho Goli 1 assist 2. Good performance for him

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 2 года назад +3

    Salam ziwafikie by #SAKO ukiwa namba 10 lazima uwe na Akili ya Mpira 👹👹👹👹🔥🔥🔥🙏🙏🙏

  • @samwelshayo7617
    @samwelshayo7617 2 года назад +2

    ❤️❤️❤️❤️ love you Simba

  • @kiungomkabaji603
    @kiungomkabaji603 2 года назад +6

    Bao linafungwwa km ulaya unashuhudia UCL dah saut ya rad

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 2 года назад +3

    Simba tunawachezaji wa kujivunia kwa kweli

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 года назад +18

    Salaam za msimu wa 2022/3 na CAF champion league Safi Simba..

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 2 года назад

      Wabovu hao pana salam gani hapo.

    • @sarjkijukuu8687
      @sarjkijukuu8687 2 года назад +1

      Uhakika achan na wa piga mabom makabulin yanga

    • @krishkhoja1131
      @krishkhoja1131 2 года назад

      🦁❤️

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 2 года назад

      @@sarjkijukuu8687 Mshazoeleka wazee wakuaminishwa,ata mkiambiwa hii zero mtasema kumi.

  • @nuhuswalehe6690
    @nuhuswalehe6690 2 года назад +7

    Kumbe inawezekana makocha wa kizungu wametuchelewesha🤣

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 года назад

      @@issaali7669 màtola hana lesen ya kuwa kocha Mkuu kwenye mechi za kimataifa hata hivyo bado hatoshi

  • @bidadrsabida4232
    @bidadrsabida4232 2 года назад +2

    Thanks you bwally

  • @khatibbakariofficiallvideo9207
    @khatibbakariofficiallvideo9207 2 года назад +3

    Mpenja Simba baba lao

  • @wilsonfbipolice911
    @wilsonfbipolice911 2 года назад +1

    Good luck rally bwalya
    💪💪we will miss you may you God be with you there you go😢🙏🙏😅

  • @aliyussuf9126
    @aliyussuf9126 2 года назад +5

    Sina ata chakusema maneno yte yashasemwa mm nawtkia tu usiku mwema🤭🤭

  • @barakazakaria4127
    @barakazakaria4127 Год назад +5

    Kutangulia si kufika

  • @bakarikulama8277
    @bakarikulama8277 2 года назад +2

    Simba🔥

  • @faxhihinterxhafy8957
    @faxhihinterxhafy8957 2 года назад +1

    no one can stop simba

  • @thiernosadoudiallo5802
    @thiernosadoudiallo5802 2 года назад +4

    PO sakho vraiment il doit venir Aliou cissé

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 года назад +5

    Sakho aise ni mchezaji mmoja hodari mno. Aise abakie Simba maana akiondoka hatutampata mtu kama huyu. Yaani ni hatari sana. Safi sana Simba. Kmc walisahau kuwa kutangulia sio kufika. Alipigwa weewe eee!!

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 2 года назад

      Sakho bado yupo Sana simba ndugu wala usiwe na waswas ni mnyunyizo tyuu

  • @marymashima2866
    @marymashima2866 2 года назад +3

    Simba pamoja sana

  • @vikesafriday9637
    @vikesafriday9637 2 года назад +1

    Walichokoza nyuki 🦁🦁🦁🦁

  • @halimajuma2340
    @halimajuma2340 2 года назад +4

    Et jamn pamoj na kwamb tumepotez ubingwa na si tumerizia juu ya hilo lkn huk utopolo mioyo yao inawauma simba ikpata matokeo mazur yn jamn kwel hilo jina limewafaa hayana akil kabsa

  • @mwajumaamiri4259
    @mwajumaamiri4259 Год назад +1

    Good goal

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 2 года назад +2

    Goodbye #RALLY_BWALY thanks for being with us though this moment is so SAD but we must say goodbye SEE YOU WHEN YOU SEE US...😫😫😱🙈🙈😤😤

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad2692 2 года назад +3

    Hii styre ya inonga ingechukuliwa na kuwa ndio atyre ya wafungaji wote watakaoifungia simba wakichanganya ile ya kunyunyiza ya sakho yaani itakuwa pw sana na itafunika hata ile ya mayere aliyoiiba kwa kagere ya kutetema.

    • @alicenice1711
      @alicenice1711 2 года назад

      Eti alio iba wapi😂😂kolo bhan

  • @issackathman850
    @issackathman850 Год назад +2

    simbaaaaaaa

  • @abudalaabdumalik9362
    @abudalaabdumalik9362 2 года назад +1

    Ni vzr

  • @Tinabryson_
    @Tinabryson_ 2 года назад +1

    Nguvu moja🦁🦁

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji1566 2 года назад +3

    Wale walioshangilia goli la watoto wa kino wataweka wapi vinyeo vyao Maana walishangilia kikejeli

  • @msabimarwa9994
    @msabimarwa9994 2 года назад +2

    Respect

  • @kalistimalkiadi3724
    @kalistimalkiadi3724 2 года назад +2

    Simba nguvu moja tushawazoea hao utopolo watapigwa ndani nje nakurudi nyumbn

  • @emmanueltesha5612
    @emmanueltesha5612 2 года назад +2

    Kuna utofauti team akishika matola.wachezaji mbn wanajituma sana na mipango ipo inaonekana Kwann kwa pablo haikuw hv

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 2 года назад

    What a goal 💪💪

  • @omarmussa2325
    @omarmussa2325 2 года назад +2

    Mechi mbili asisti 2 goli 3 pape sakho

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 года назад +1

    Kwa moto huu was tatu tatu,kutwa Mara tatu,mnaokwenda nao sasa MAKOLO,hakika mnakwenda kutwaa ndoo ya Ligi kuu 2021/2022.

  • @saraangel3449
    @saraangel3449 2 года назад +2

    Hii match for bwalya utopolo tulieni

  • @msangirstz
    @msangirstz 2 года назад +4

    Watu bwana ......
    Wamechukua ubingwa badala washangilie ubingwa wao na kuomba dua waje fika mbali kimataifa, wao wako kwenye issues za Simba, ambao watawaacha mbali huko kimataifa. Kweli nimeamini kuwa wakati Simba anajiandaa kuongeza hadhi yake, upande ule wao wanajiandaa kumshusha ilhali wanajua hawawezi

    • @salimliemba3458
      @salimliemba3458 2 года назад +1

      Kwaio mimi kwenda pale na jezi yangu nimekukera au mpira ni stareh nimenda angalia mtani anavo azibu kmc hongeren

    • @msangirstz
      @msangirstz 2 года назад

      @@salimliemba3458 mbona unajishtukia?

    • @kombozakaria8350
      @kombozakaria8350 2 года назад +1

      Sakhoooooooooooooooooooooo

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 2 года назад

      Utopolo ucahwi ndo mwingi

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 2 года назад

      @@salimliemba3458 hongera mtani kwa mpira ni starehe hata mimi huwa naenda angalia za mtani angali mim ni simba na ndio Mpira ulivyo

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 2 года назад

    Baraka nakukubali mno bro mungu akujalie afya njema kila iitwapo leo unafanya kazi yako kwa ufanisi mzuri sana

  • @AbdulKareem-dt2vg
    @AbdulKareem-dt2vg 2 года назад +2

    Simba moto tukitane new sizon

  • @daynessmgonja-ld3qt
    @daynessmgonja-ld3qt Год назад +2

    Where is bwalya

  • @daynessmgonja-ld3qt
    @daynessmgonja-ld3qt Год назад +1

    Different between is big

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 2 года назад +1

    Kumbe kmc walikuwa wanajipaka mafuta 🙉 wakijianda kupokea magoli mengine 😂😂

  • @rashidsalehe5994
    @rashidsalehe5994 2 года назад +3

    yamefungwa magol ya champions league hakika ndo mechi bora msimu huu kwangu mimi najiuliza tu ingekua sakho anacheza ile timu ya wamang'ati sijui angepewa ng'ombe wangap goli hili mchezo bhana hauitaj hasira

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 2 года назад +6

    Hii ndo simba bwana wachezaji wenye vipaji wapo simba tu kule kwingne Uchawi tuu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 года назад +1

    Asist zote za sakho na goal lake ni 3

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 2 года назад +3

    Simba haina mbadala itabak kua simba tu

  • @emmanuelnyalali1444
    @emmanuelnyalali1444 2 года назад +2

    Smba yangu rahaaaaaaaaa

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 года назад +1

    Huwa sichoki kushamgilia Simba yangu

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 2 года назад +3

    Varanne Beki bora wa ligi na hana upinzani

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 2 года назад

      Beki bora wkt anatobolewa na kuruhusu magoli.

  • @SurprisedSeaSnake-ys9up
    @SurprisedSeaSnake-ys9up 3 месяца назад +3

    So poah

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 2 года назад +1

    Hii ndo simba ninayoijua mimi! Ile nyingine ya Pablo hapana!!

  • @esbdemmanuelnikola9127
    @esbdemmanuelnikola9127 2 года назад +2

    🇿🇲🇿🇲🙏🙌

  • @benjjlifetechnologie435
    @benjjlifetechnologie435 2 года назад +1

    Simba ikiwa haijalogwa na yanga inakua tamu balaa

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 года назад +1

    Bolinga ya Congo oyeeeeeeeee tamu samu,kichwa Cha kigaidi km magaidi wa MK 23 au hahaaaaa

  • @isayahenjewele7071
    @isayahenjewele7071 2 года назад +1

    nawaombea wachezaji wa simba waendage baselona na asenal

  • @shabanmoringa3428
    @shabanmoringa3428 2 года назад

    Saf sana enonga back

  • @ridhiwanikhalifa9036
    @ridhiwanikhalifa9036 2 года назад +1

    Kmc wasajili beki

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 2 года назад +1

    Toa hilo li kibu hauna mchezaji hapo jamaa hajui kitu kabisa

  • @zaharamkwizu3170
    @zaharamkwizu3170 2 года назад

    Nguvu moja simbaaaaaaa hatar

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 2 года назад +2

    Kanifurahisha tu huyo dada aliye kwenye hilo bango baada ya Kmc kufunga tu akashangilia kwa kupiga makofi sana kibao kilivyogeuka sasa alienda kulilia chooni

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani4994 2 года назад +3

    Mtani unakumbuka Shuka na kushapambazuka Asubuhi !! Hahahaaaaa

  • @wasemeabdallah7689
    @wasemeabdallah7689 2 года назад +2

    Acha tuburudike tunaipenda Simba

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 2 года назад +3

    Ila huo mdonsi wa inonga acha 🤣🤣

  • @hezronchakulanga5983
    @hezronchakulanga5983 Год назад

    Noma

  • @raphaelngassa6601
    @raphaelngassa6601 2 года назад

    Ila Inonga hiyo style yake ya ushangiliaji miguu🤣🤣

  • @demask3423
    @demask3423 2 года назад +2

    Uyo mtoto anatabasam na mama yake au baba yake?? 🤣🤣🤣

  • @aminababu5269
    @aminababu5269 2 года назад +1

    Jamn ss watanzania hatun iman na watanzania wenzetu matola mech ya3 hiii kam skosei haja droop wall kufungwa kwani shida ipo wap jamb

  • @kombozakaria8350
    @kombozakaria8350 2 года назад +1

    Kabunda ajuta kwanini alifunga

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад +1

    Kmc ushangiliaji mkubwa utasema nyie ndio washindi

  • @kasekahawa9570
    @kasekahawa9570 2 года назад

    Vizur s na

  • @sosomacharles6685
    @sosomacharles6685 2 года назад +1

    Makolo wanagombania nn sasa🤣🤣🤣🤣

  • @diamyldiagne8751
    @diamyldiagne8751 Год назад

    Nouveau leo messi

  • @deusmorris1030
    @deusmorris1030 2 года назад +1

    yanga ni wachawi msimu huu muite wachungaji waje kuwaombea wachezaji na timu kwa ujumla waliwaloga wachwzaji

  • @DanielSichinga-n4n
    @DanielSichinga-n4n Месяц назад

    ❤🎉😢👍💯🇹🇿

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 года назад +1

    SACO anasema anatumia akili

  • @cuteprincess7728
    @cuteprincess7728 2 года назад +1

    simba wapunguza point walizo achwa na mabingwa yanga hahahahahah

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 2 года назад +1

    Sasa uyi kavua jezi ya nini? 😂😂😂

  • @tabithammbaga6665
    @tabithammbaga6665 2 года назад +1

    Usajili wa yanga

  • @kijanawaukweeli4203
    @kijanawaukweeli4203 2 года назад

    yes

  • @chrianmulaki5013
    @chrianmulaki5013 2 года назад

    FIRST TO COMMENT 🔥🔥🔥

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 года назад

    INONGA oyeeeeeeeee yaaani kipimo chako cha KIMATAIFA

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 года назад +1

    Za SACO utaogelea usithubutu

  • @mouhamadoulaminendiaye3816
    @mouhamadoulaminendiaye3816 2 года назад +1

    Aliou cissei wowal boy bi nguirr yalla

    • @sidzyjrgueye5617
      @sidzyjrgueye5617 2 года назад

      Waxal dei

    • @kingdissiofficiel953
      @kingdissiofficiel953 2 года назад

      Bilahi boe bi amna place en selection nationale
      Mais cissé daf imprévisible ken xamoul ay mbiram

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 2 года назад

    Ukisitajabu ya kukosa ubingwa utaona ya mchezaji kuvua jezi

  • @djdisboy255tz
    @djdisboy255tz 2 года назад

    Mpira ulivyoisha nao wameshangilia au

  • @edsonbonifas122
    @edsonbonifas122 2 года назад

    Mujipange usajir muzur ili mtufurahishe wana simba

  • @JosephMabuma
    @JosephMabuma 13 дней назад

    Munamaje

  • @eddygonza891
    @eddygonza891 2 года назад

    Hahahahahaaaaaa ligi bado inaendelea kumbe

  • @kombozakaria8350
    @kombozakaria8350 2 года назад

    Mtaaalam auliza tunyunyize

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV 2 года назад

    YANGA BINGWA

  • @nussuragulumo9202
    @nussuragulumo9202 2 года назад +2

    Uyo sakho anacheza kwa mabeki wabovu

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV 2 года назад +1

      Kumbe naww unamacho kama yangu .... Ni mbovu tu hana lolote

    • @omarmussa2325
      @omarmussa2325 2 года назад

      Mbovu wewe

    • @saidsalum4602
      @saidsalum4602 2 года назад +1

      Taachieni simba yetu,tukutane kimataifa nani atatoboa?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 года назад

      Ahahaaa hadi wale mabeki waarabu nao wabovu?

  • @castoally6470
    @castoally6470 2 года назад

    Mbona hizi video nikitaka kudowload huku zinagoma shida nini eti wakuu

  • @Jordan_g9
    @Jordan_g9 2 года назад +1

    Hawa wanagombea nini!

    • @officialnyongo2645
      @officialnyongo2645 2 года назад

      Tunataka tuchomoe mwiko wenu wa nyuma tuunuse

    • @sheynahcutetz1256
      @sheynahcutetz1256 2 года назад +3

      Wanamgombania mama ako

    • @abdalahmohamedi1806
      @abdalahmohamedi1806 2 года назад

      Hahaha hata mm sijui ngoja nimpigie simu Pablo nimuulize

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      WANAGOMBEA KOMBE LA IN & 0UT LILE LA RIVER UNITED KUTOKA NIGERIA UMELISAHAU???

  • @mwaijalaizer1613
    @mwaijalaizer1613 Год назад

    🎉

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 2 года назад +1

    Ila warituloga sn mweee

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 2 года назад +1

    Yanga bingwa lakini

  • @ismailmtembwe380
    @ismailmtembwe380 2 года назад

    Mbona km amesema mayele