Subhanallah... Amesema Kweli Allah... Amesadikisha Mtume wake Muhammad... Basi kwa wenye macho waone na wenye masikio wasikie... na sikio la kufa halisikii dawa... Barakallah fiikum brother wajazaakumullah khair
Shukran Mwl, kwa nyongeza hata wadudu wa kichaa wanapatikana kwenye mate, pia ukimchunguza mbwa muda mwingi hujiramba sehemu za Siri, Tumswalie Mtume Muhammad SAW
Sharti zakufuga mbwa ni 3 sio mbili mm ntaeleza tatu ambazo ndo shart 1 kwajili ya ulinzi wa nyumban 2 kwa jili ya kuchungia mifugo 3 kwajili ya kuwindia wanyama waporini Hadith hii ipo bukhari
Na imetht mbwa alikuwa anaingia mskitn kipnd Cha mtume ikiwa kumbukumbu yangu ipo sawa Na imaam maalik , Bukhar amezingatia mbwa n twahara Je anapokamata Ile sehem inakatwa ?
Jambo lolote ambalo ALLAH SUBHANAHU WATAALA amekiharamisha na kukikataza ktk QURAN TUKUFU AU HADITHI ZA MTUME WAKE basi huwa kina madhara. Hivyo usipende kuchunguza kila kitu bali amini ALLAH NI MJUZI JUU YA KILA KITU.
Wewe kama unawapenda wazungu kwa kila kitu wafanyacho una ona sahihi sue waislam tuna dini yetu imetulataza mabaya na kutuongoza mazuri hizo freedom zenu na wazungu wenu kaeni nazo wenye umle ngurue na mlale na mbwa lakini sio sie waislam
Nakumbuka miaka 2 nyuma kuna mtoto alitafunwa na mbwa mguuni akaficha hakusema, alifika siku ya 4 anaonekana ana balika rangi mwilini ndio akasema baada ya kuulizwa, ila hakuwah tna kuwahiwa maana alikufa wakat ana endelea na matibabu
Uislamu utabaki kuwa njia sahihi ya maisha hata kama wasioupenda na kuuchukia watauchafua kwa maneno na kwa vitendo.
dokta/Sheikh ABDILLAH KITOTA allah akufungulia akulinde na akuhifadhi ameen
Jazaak Allahul kheir
Shukran Sana mwl kitota Kwa darsa
Shukran kwa darsa nzuri
Allah awalipe katika kheri
Aamin
SUBHANALLAH
ALHAMDULILLAH
ALLAHU AKBAR...Alhamdulillah kwa neemah ya UISLAM 🤲🤲🤲🤲🤲❤..
Sheikh Allah badala .Iweke ktk lugha zote Dunia watu watambue . Uislamu ndiyo usalama wao.
Shukran sana Sheikh. Na kuna mzee mmoja amekufa majuzi kisa kaumwa na kaumbwa kadogo.
Subhanallah... Amesema Kweli Allah... Amesadikisha Mtume wake Muhammad... Basi kwa wenye macho waone na wenye masikio wasikie... na sikio la kufa halisikii dawa...
Barakallah fiikum brother wajazaakumullah khair
Elimu nzuri weka vipindi vingi zaidi
Mashaa Allah shekh
Ahsante kwa somo zuri.Tumepata elimu nzuri.
jazzakallahu gheiri.
MashaAllah Tabarakalah barakalafikum!!!
Djazak'Allahu kheiran
Shukran
Jazakallahu Khairan shukurani sana
Shukran Mwl, kwa nyongeza hata wadudu wa kichaa wanapatikana kwenye mate, pia ukimchunguza mbwa muda mwingi hujiramba sehemu za Siri, Tumswalie Mtume Muhammad SAW
Jazakallahu lkheyr
Baraka'Allah ya Ustadh. Ujumbe ishaa fika.Wataelewa tu. Hio ni elimu kubwa ambae haiwezi patikana Kanisani huko niku panda mbegu tu.😂
Shukran shekh
Subhana Allah Al khaaliq
Allah Akbar.. hakika Allah subhama wataala amemtuma mtume muhhamad swalalahu alahy wasalam kwa haki
TAKBEERRR.
ALLAHU AKBAR.
Shukran sana kwa taaluma.
ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI DUNIANI NA AKHERA
Allahu akbar
Alhamdulillah ,Muhammad alikua Doctor ,na Uislam ndio ulimsomesha kw nguvu za Allah ❤❤❤
Sharti zakufuga mbwa ni 3 sio mbili mm ntaeleza tatu ambazo ndo shart 1 kwajili ya ulinzi wa nyumban 2 kwa jili ya kuchungia mifugo 3 kwajili ya kuwindia wanyama waporini Hadith hii ipo bukhari
Mbwa asabisha ugongwa mbaya sana macho
Naomba kuuliza Sasa je pale anapokwenda kuwinda je akikamata mnyama je yulemnyama kuliwa inakuwaje
Nilisikia jana kuwa akiwa amemzuia tu huyo mnyama aina shida. Lkn km amemngatangata huyo mnyama basi aruhusiwi kuliwa kabisa
Umeiskia kutoka kw Nani shekh au wanasayans tujuze shekh
Tuoshe na udongo wote au Kuna udongo maalum?
Basi na ushahidi huo uliopo wapinzani wa uislamu watasema uongo
Na imetht mbwa alikuwa anaingia mskitn kipnd Cha mtume ikiwa kumbukumbu yangu ipo sawa
Na imaam maalik , Bukhar amezingatia mbwa n twahara
Je anapokamata Ile sehem inakatwa ?
Naomba kuuliza, je ,katazo kuhusu mate ya mbwa limekuja kwasababu ya hao bacteria?
Jambo lolote ambalo ALLAH SUBHANAHU WATAALA amekiharamisha na kukikataza ktk QURAN TUKUFU AU HADITHI ZA MTUME WAKE basi huwa kina madhara. Hivyo usipende kuchunguza kila kitu bali amini ALLAH NI MJUZI JUU YA KILA KITU.
Sheikh na wale wamalaya wanaofanywa (wanaojamiiana) na mbwa je?
Wanakufa wengi kwa maradhi
Wewe kama unawapenda wazungu kwa kila kitu wafanyacho una ona sahihi sue waislam tuna dini yetu imetulataza mabaya na kutuongoza mazuri hizo freedom zenu na wazungu wenu kaeni nazo wenye umle ngurue na mlale na mbwa lakini sio sie waislam
Hasa Wema na Manunu wake nuksiiiii tupu kutaka kuiga watu wa magharibi
Wazungu wanalala nao kabisa
Hata mashoga wamehalalisha
mtume.saw abaki kuwa fatwa yadunia ,namakafiri walijue hilo
waislamu wanamuogopa mbwa ju alimula muhammad mna sida xana
Ata kuandika hujui umejaa chuki tu
Soma ndugu kwanza usiwe una karirishwa tu
ILA MZUNGU APO HUJAMWAMBIA KITU BADO,
Kwani mashoga na wasagaji hawajuwi lkn wanahalisha
Naomba kujuwa kama ni kuramba tu au hata kunusa kwa puwa yake
Mate au maji ya kwenye pua
@@AbdullahOmar-be4wy ohh Shukran
dah sasa tuseme tyu Allah ND mlinzi wa tote maana mine nakumbuka nilipokuwa kijijini nilikua nipata kidonda namchukua mbwa namlambisha kidonda anavyo lamba mine najisikia Raha
Kinga zako za mwili Allah atakuwa alikujaalia zikawa ziko vizuri sanaa
Ashaelewa
Kama ni hivyo watu wangekuwa waneshakufa wengi kisa mate.maana huko vijinini kwetu tumecheza sana na mbwa .
Ww huelewi wala hufahamu huyu alierambwa na mbwa bacteria aliweza kuingia kwenye mifumo ya damu
Kama unacheza nao huko kijijini kwenu ukiumwa na mbwa kwanini ukienda hospitali wachomwa sindano?
Nakumbuka miaka 2 nyuma kuna mtoto alitafunwa na mbwa mguuni akaficha hakusema, alifika siku ya 4 anaonekana ana balika rangi mwilini ndio akasema baada ya kuulizwa, ila hakuwah tna kuwahiwa maana alikufa wakat ana endelea na matibabu
Allah akupe mwisho mwema.inshaallah.tunaomba utupe madhara ya kufuga kucha..tafadhali