Комментарии •

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Месяц назад +7

    Uislamu utabaki kuwa njia sahihi ya maisha hata kama wasioupenda na kuuchukia watauchafua kwa maneno na kwa vitendo.

  • @allybobsaith
    @allybobsaith Месяц назад +4

    dokta/Sheikh ABDILLAH KITOTA allah akufungulia akulinde na akuhifadhi ameen

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 Месяц назад +1

    Jazaak Allahul kheir

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 Месяц назад +4

    Shukran Sana mwl kitota Kwa darsa

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 Месяц назад +5

    Shukran kwa darsa nzuri
    Allah awalipe katika kheri
    Aamin

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Месяц назад +4

    SUBHANALLAH
    ALHAMDULILLAH
    ALLAHU AKBAR...Alhamdulillah kwa neemah ya UISLAM 🤲🤲🤲🤲🤲❤..

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Месяц назад +2

    Sheikh Allah badala .Iweke ktk lugha zote Dunia watu watambue . Uislamu ndiyo usalama wao.

  • @bishweko
    @bishweko Месяц назад +3

    Shukran sana Sheikh. Na kuna mzee mmoja amekufa majuzi kisa kaumwa na kaumbwa kadogo.

  • @ummahmed3354
    @ummahmed3354 Месяц назад +2

    Subhanallah... Amesema Kweli Allah... Amesadikisha Mtume wake Muhammad... Basi kwa wenye macho waone na wenye masikio wasikie... na sikio la kufa halisikii dawa...
    Barakallah fiikum brother wajazaakumullah khair

  • @hassannasibu678
    @hassannasibu678 Месяц назад +2

    Elimu nzuri weka vipindi vingi zaidi

  • @shabaniomari6003
    @shabaniomari6003 Месяц назад

    Mashaa Allah shekh

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +2

    Ahsante kwa somo zuri.Tumepata elimu nzuri.

  • @kigemenadia4561
    @kigemenadia4561 Месяц назад

    jazzakallahu gheiri.

  • @ismailfarah3463
    @ismailfarah3463 Месяц назад +1

    MashaAllah Tabarakalah barakalafikum!!!

  • @BonnBonn-op6dr
    @BonnBonn-op6dr Месяц назад +1

    Djazak'Allahu kheiran

  • @TimaMohammed-pn9eh
    @TimaMohammed-pn9eh Месяц назад

    Shukran

  • @habibarashidi-xn6mb
    @habibarashidi-xn6mb Месяц назад +1

    Jazakallahu Khairan shukurani sana

  • @user-dc7kf7np3l
    @user-dc7kf7np3l Месяц назад

    Shukran Mwl, kwa nyongeza hata wadudu wa kichaa wanapatikana kwenye mate, pia ukimchunguza mbwa muda mwingi hujiramba sehemu za Siri, Tumswalie Mtume Muhammad SAW

  • @user-ty3df8wv1t
    @user-ty3df8wv1t Месяц назад

    Jazakallahu lkheyr

  • @hassandinhoosmail6378
    @hassandinhoosmail6378 Месяц назад +1

    Baraka'Allah ya Ustadh. Ujumbe ishaa fika.Wataelewa tu. Hio ni elimu kubwa ambae haiwezi patikana Kanisani huko niku panda mbegu tu.😂

  • @AlafasyDau-rh9vc
    @AlafasyDau-rh9vc Месяц назад

    Shukran shekh

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Месяц назад

    Subhana Allah Al khaaliq

  • @user-tb4ur9nk9d
    @user-tb4ur9nk9d Месяц назад +1

    Allah Akbar.. hakika Allah subhama wataala amemtuma mtume muhhamad swalalahu alahy wasalam kwa haki

  • @lukmanabeid9721
    @lukmanabeid9721 Месяц назад

    TAKBEERRR.
    ALLAHU AKBAR.
    Shukran sana kwa taaluma.
    ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI DUNIANI NA AKHERA

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Месяц назад

    Allahu akbar

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 Месяц назад +2

    Alhamdulillah ,Muhammad alikua Doctor ,na Uislam ndio ulimsomesha kw nguvu za Allah ❤❤❤

  • @shaneyramadhan2519
    @shaneyramadhan2519 Месяц назад

    Sharti zakufuga mbwa ni 3 sio mbili mm ntaeleza tatu ambazo ndo shart 1 kwajili ya ulinzi wa nyumban 2 kwa jili ya kuchungia mifugo 3 kwajili ya kuwindia wanyama waporini Hadith hii ipo bukhari

  • @user-ls1ot6fs4v
    @user-ls1ot6fs4v Месяц назад

    Mbwa asabisha ugongwa mbaya sana macho

  • @faroukfarouk477
    @faroukfarouk477 Месяц назад +1

    Naomba kuuliza Sasa je pale anapokwenda kuwinda je akikamata mnyama je yulemnyama kuliwa inakuwaje

    • @nurualamoody4305
      @nurualamoody4305 Месяц назад

      Nilisikia jana kuwa akiwa amemzuia tu huyo mnyama aina shida. Lkn km amemngatangata huyo mnyama basi aruhusiwi kuliwa kabisa

    • @ndizindeleti761
      @ndizindeleti761 Месяц назад

      Umeiskia kutoka kw Nani shekh au wanasayans tujuze shekh

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Месяц назад

    Tuoshe na udongo wote au Kuna udongo maalum?

  • @user-wl8ng3pj5r
    @user-wl8ng3pj5r Месяц назад

    Basi na ushahidi huo uliopo wapinzani wa uislamu watasema uongo

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 Месяц назад

    Na imetht mbwa alikuwa anaingia mskitn kipnd Cha mtume ikiwa kumbukumbu yangu ipo sawa
    Na imaam maalik , Bukhar amezingatia mbwa n twahara
    Je anapokamata Ile sehem inakatwa ?

  • @issamkwanda3382
    @issamkwanda3382 Месяц назад

    Naomba kuuliza, je ,katazo kuhusu mate ya mbwa limekuja kwasababu ya hao bacteria?

    • @basharahamtzhalisi6871
      @basharahamtzhalisi6871 Месяц назад

      Jambo lolote ambalo ALLAH SUBHANAHU WATAALA amekiharamisha na kukikataza ktk QURAN TUKUFU AU HADITHI ZA MTUME WAKE basi huwa kina madhara. Hivyo usipende kuchunguza kila kitu bali amini ALLAH NI MJUZI JUU YA KILA KITU.

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Месяц назад

    Sheikh na wale wamalaya wanaofanywa (wanaojamiiana) na mbwa je?

  • @asmaalghafri449
    @asmaalghafri449 Месяц назад

    Wewe kama unawapenda wazungu kwa kila kitu wafanyacho una ona sahihi sue waislam tuna dini yetu imetulataza mabaya na kutuongoza mazuri hizo freedom zenu na wazungu wenu kaeni nazo wenye umle ngurue na mlale na mbwa lakini sio sie waislam

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Месяц назад

    Hasa Wema na Manunu wake nuksiiiii tupu kutaka kuiga watu wa magharibi

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Месяц назад

    Wazungu wanalala nao kabisa

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x Месяц назад

    mtume.saw abaki kuwa fatwa yadunia ,namakafiri walijue hilo

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u Месяц назад

    waislamu wanamuogopa mbwa ju alimula muhammad mna sida xana

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад

    ILA MZUNGU APO HUJAMWAMBIA KITU BADO,

  • @Desireyakubu
    @Desireyakubu Месяц назад

    Naomba kujuwa kama ni kuramba tu au hata kunusa kwa puwa yake

  • @abdurashidinasorodini
    @abdurashidinasorodini Месяц назад

    dah sasa tuseme tyu Allah ND mlinzi wa tote maana mine nakumbuka nilipokuwa kijijini nilikua nipata kidonda namchukua mbwa namlambisha kidonda anavyo lamba mine najisikia Raha

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia Месяц назад

      Kinga zako za mwili Allah atakuwa alikujaalia zikawa ziko vizuri sanaa

    • @AliAbdalla-lb8su
      @AliAbdalla-lb8su Месяц назад

      Ashaelewa

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Месяц назад

    Kama ni hivyo watu wangekuwa waneshakufa wengi kisa mate.maana huko vijinini kwetu tumecheza sana na mbwa .

    • @AliAbdalla-lb8su
      @AliAbdalla-lb8su Месяц назад +1

      Ww huelewi wala hufahamu huyu alierambwa na mbwa bacteria aliweza kuingia kwenye mifumo ya damu

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Месяц назад

      Kama unacheza nao huko kijijini kwenu ukiumwa na mbwa kwanini ukienda hospitali wachomwa sindano?

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Месяц назад

      Nakumbuka miaka 2 nyuma kuna mtoto alitafunwa na mbwa mguuni akaficha hakusema, alifika siku ya 4 anaonekana ana balika rangi mwilini ndio akasema baada ya kuulizwa, ila hakuwah tna kuwahiwa maana alikufa wakat ana endelea na matibabu

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 Месяц назад +1

    Allah akupe mwisho mwema.inshaallah.tunaomba utupe madhara ya kufuga kucha..tafadhali