"Gerald Mdamu alitamani kujiua" Mke wa Mdamu afunguka kinachomuumiza zaidi tangu Mumewe apate ajali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 23

  • @stephanomagembe4140
    @stephanomagembe4140 10 дней назад +2

    Pole sana dada Mungu amekusaidia

  • @madinasilima6925
    @madinasilima6925 10 дней назад +1

    Pole sana Allah akufanyie wepesi inshaallah utapona usikate tamaa

  • @bm4tv602
    @bm4tv602 10 дней назад +1

    Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehem awajalie heli familia nzima

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 10 дней назад +3

    Wachezaji wa bongo mnashindwa kumsaidia mwenzenu apone na mnalipwa mihela kibao basi mumpe hata mtaji afanye maisha mengine nje ya mpira

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 10 дней назад +4

    Mwananchi mtupe namba za mdamu ni kijana wa nyumbn kbs singida tumchangie

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 10 дней назад +1

    Mtihani poleni Allah akupe shifaa uponekwa.haraka

  • @Dafetty
    @Dafetty 10 дней назад +1

    Pole sana dada

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 10 дней назад

    Pole sana.m.mungu htakufanyia wepes🙏

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 10 дней назад +1

    Mwanamke wa shoka mzur sana

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 10 дней назад

    Dah pole sana

  • @rogersdavis3058
    @rogersdavis3058 10 дней назад +1

    Police fc walisema wamewakatia bima daaah

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 10 дней назад

    Mic ya kiwacky sana hyo kma mmebeba paka asee

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 10 дней назад

    huyu mke hafai kuuguza mgonjw..khaa..chefuu

  • @JosephMagessa-l3o
    @JosephMagessa-l3o 10 дней назад

    TFF afanye kitu aunde tamasha kwaajili ya mdamu ela ya viingilio iende kwa mdamu

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 10 дней назад +1

    Mfupa kuunga una dawa

  • @sakinayahya78
    @sakinayahya78 10 дней назад

    Hivi nyie watu wa mpira haswa wachezaji watimu za ligi kuu ya Tz bara mmemsaidiaje mwenzenu hebu jichangeni mumtibie mwenzenu na apate chakula kumbukeni kuwa hujafa hujaumbika huwezi jua ya kesho msaidieni mwenzenu anapitia magumu

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 10 дней назад

    Mwanamke mda si mrefuu atakimbia anaonekana

    • @bm4tv602
      @bm4tv602 10 дней назад +2

      Shetani ww angekua wakumkimbia angemkimbia kipindi hari ya nusu kufa saizi Mungu kamjalia anaafya hivi ndio aje amkimbie mbwa wewe ushindwe

    • @benedictonesmo6857
      @benedictonesmo6857 10 дней назад

      ​@@bm4tv602Mawazo hafifu sanaaa

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 10 дней назад

      Miaka 4 hajakimbia akimbie Leo?

    • @Rashidkasim909
      @Rashidkasim909 10 дней назад

      Mnaweza kumlaumu uyu mtu na maneno yake anabweka kama MBWA kumbe alizaliwa kwa mtindo wa Dog 🐕 style...maneno ya kishetani

    • @benedictonesmo6857
      @benedictonesmo6857 10 дней назад

      ​@@Rashidkasim909😅😅😅inawezekana