Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Pole sana dada Mungu amekusaidia
Pole sana Allah akufanyie wepesi inshaallah utapona usikate tamaa
Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehem awajalie heli familia nzima
Wachezaji wa bongo mnashindwa kumsaidia mwenzenu apone na mnalipwa mihela kibao basi mumpe hata mtaji afanye maisha mengine nje ya mpira
Mwananchi mtupe namba za mdamu ni kijana wa nyumbn kbs singida tumchangie
Mtihani poleni Allah akupe shifaa uponekwa.haraka
Pole sana dada
Pole sana.m.mungu htakufanyia wepes🙏
Mwanamke wa shoka mzur sana
Dah pole sana
Police fc walisema wamewakatia bima daaah
Mic ya kiwacky sana hyo kma mmebeba paka asee
huyu mke hafai kuuguza mgonjw..khaa..chefuu
TFF afanye kitu aunde tamasha kwaajili ya mdamu ela ya viingilio iende kwa mdamu
Mfupa kuunga una dawa
Hivi nyie watu wa mpira haswa wachezaji watimu za ligi kuu ya Tz bara mmemsaidiaje mwenzenu hebu jichangeni mumtibie mwenzenu na apate chakula kumbukeni kuwa hujafa hujaumbika huwezi jua ya kesho msaidieni mwenzenu anapitia magumu
Mwanamke mda si mrefuu atakimbia anaonekana
Shetani ww angekua wakumkimbia angemkimbia kipindi hari ya nusu kufa saizi Mungu kamjalia anaafya hivi ndio aje amkimbie mbwa wewe ushindwe
@@bm4tv602Mawazo hafifu sanaaa
Miaka 4 hajakimbia akimbie Leo?
Mnaweza kumlaumu uyu mtu na maneno yake anabweka kama MBWA kumbe alizaliwa kwa mtindo wa Dog 🐕 style...maneno ya kishetani
@@Rashidkasim909😅😅😅inawezekana
Pole sana dada Mungu amekusaidia
Pole sana Allah akufanyie wepesi inshaallah utapona usikate tamaa
Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehem awajalie heli familia nzima
Wachezaji wa bongo mnashindwa kumsaidia mwenzenu apone na mnalipwa mihela kibao basi mumpe hata mtaji afanye maisha mengine nje ya mpira
Mwananchi mtupe namba za mdamu ni kijana wa nyumbn kbs singida tumchangie
Mtihani poleni Allah akupe shifaa uponekwa.haraka
Pole sana dada
Pole sana.m.mungu htakufanyia wepes🙏
Mwanamke wa shoka mzur sana
Dah pole sana
Police fc walisema wamewakatia bima daaah
Mic ya kiwacky sana hyo kma mmebeba paka asee
huyu mke hafai kuuguza mgonjw..khaa..chefuu
TFF afanye kitu aunde tamasha kwaajili ya mdamu ela ya viingilio iende kwa mdamu
Mfupa kuunga una dawa
Hivi nyie watu wa mpira haswa wachezaji watimu za ligi kuu ya Tz bara mmemsaidiaje mwenzenu hebu jichangeni mumtibie mwenzenu na apate chakula kumbukeni kuwa hujafa hujaumbika huwezi jua ya kesho msaidieni mwenzenu anapitia magumu
Mwanamke mda si mrefuu atakimbia anaonekana
Shetani ww angekua wakumkimbia angemkimbia kipindi hari ya nusu kufa saizi Mungu kamjalia anaafya hivi ndio aje amkimbie mbwa wewe ushindwe
@@bm4tv602Mawazo hafifu sanaaa
Miaka 4 hajakimbia akimbie Leo?
Mnaweza kumlaumu uyu mtu na maneno yake anabweka kama MBWA kumbe alizaliwa kwa mtindo wa Dog 🐕 style...maneno ya kishetani
@@Rashidkasim909😅😅😅inawezekana