Mawaziri waliotemwa na Rais Ruto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Rais william ruto leo amejaza nafasi za uteuzi wa mawaziri ISIPOKUWA nafasi moja na hivyo kuangusha kabisa shoka lake dhidi ya waliokuwa mawaziri hapo awali. Kumi na wawili waliotemwa hapo awali walikuwa na matumaini ya kurejea kwenye baraza la mawaziri lakini wakaachwa nje na kuzima kabisa matumaini yao. Brenda Wanga anaarifu zaidi kuhusu kuzimwa kwa baadhi ya mawaziri hawa wa zamani

Комментарии • 39

  • @positivevibes1341
    @positivevibes1341 Месяц назад +9

    I wish angechukua matiangi for education that man was a beast

  • @mkutanocarolyne
    @mkutanocarolyne Месяц назад +15

    😂😂😂😂 Aisha jumwa weeee madharau uliyo sema mbele yetu sasa umeona matukio yake 😂😂😂. Gari zitakua sita kwa sasa siulisema ukona tatu 😂😂😂

  • @CocomartinFerenadez
    @CocomartinFerenadez Месяц назад +10

    Moushine sana plz pumizka nyumbani cucu ulipataD_seriously

  • @mamaryammaryam7873
    @mamaryammaryam7873 Месяц назад +8

    Kiburi cha mama

  • @mamaryammaryam7873
    @mamaryammaryam7873 Месяц назад +8

    Kiburi kimieisha.

  • @KADOGOFOUNDATION
    @KADOGOFOUNDATION Месяц назад +3

    Aisha jumwa
    Eti Shanghai wa Taifa
    Nenda salama mama
    Kiuno kitulie

  • @jetrocallison530
    @jetrocallison530 Месяц назад +2

    Aisha kiuno unacho 😅😅 sasa kiningue kwaheri dada

  • @RobertGithinji-m5o
    @RobertGithinji-m5o Месяц назад +4

    Kazi iendelee

  • @lisatasha7405
    @lisatasha7405 Месяц назад +9

    Peleka kiuno nyumbani

  • @AsuuVideo05
    @AsuuVideo05 Месяц назад +2

    watawekwa kwa serikali kutabuniwa jobs warudi tu

  • @kwesule2658
    @kwesule2658 Месяц назад +1

    The opposition side will perform,not the likes of Kuria the morkomen

  • @josephwachira3788
    @josephwachira3788 Месяц назад +3

    Hapa mwenye nahurumia ni ababu namwaba sijui Ile list ya cheering squad kwa Olympics itakuwa aje na vyenye alikuwa ameweka watu wake kirafiki na kinyumbani😅

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Месяц назад +1

    Let's give achance to president Ruto new cabinet to perform in amanner that will serve the best of interest of the country..Genz should know that a government of the day is formed thru political process and in persuant with kenya constitution.Kenyans needs to solve their problems and challenges thru peacefully means in a genuine dialogue and rule of law.Maandamano is good but we should not destroy our country but to strengthen the country in Goo governance and respect to rule of law.

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or Месяц назад +7

    Moses Kuria is going nowhere, he is still in government..

    • @mamasally707
      @mamasally707 Месяц назад +3

      How !!!! Explain to kenyans

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Месяц назад

      ​@@mamasally707😂😂🤝

  • @sizmaggymaggy5677
    @sizmaggymaggy5677 Месяц назад

    Mbonafuta kuria

  • @rizikimwero1767
    @rizikimwero1767 Месяц назад

    Jumwa kama Aisha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @njambiann7870
    @njambiann7870 Месяц назад +1

    Taxes imeangushwa

  • @sarahruth1718
    @sarahruth1718 Месяц назад +1

    What about Ichungwa, or he was not mp

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 Месяц назад

    Ruto strategy for 2027

  • @CocomartinFerenadez
    @CocomartinFerenadez Месяц назад +4

    Aisha Enda Malindi people do not like u Enda ukalime shamba Na kupsha vyombo sorry😤😤😤😤😤

  • @Dddma455
    @Dddma455 Месяц назад

    Aisha kiuno😂😂😂😂😂

  • @FaithNekesa-f9f
    @FaithNekesa-f9f Месяц назад +1

    Kindiki,where are you,ulikua unapigana na watumishi wa mungu sana na kujipiga kifua,and God was watching ,now you see😏😏😏😏

    • @wanjiruciru6237
      @wanjiruciru6237 Месяц назад +1

      He is in the first list

    • @thoyathoya5904
      @thoyathoya5904 Месяц назад +1

      Kindiki ako Kwa top 10 list ya kwanza kwani ukowapi

    • @user-dl4jq5zh8e
      @user-dl4jq5zh8e Месяц назад

      Adui wa kindiki naona pressure ikipanda, kindiki do ametangulia kwa first list na job yake ni Ile Ile join nganga kumeza dawa za pressure.

    • @Kibiro-tt6ch
      @Kibiro-tt6ch Месяц назад

      n vizuli kuadika JINA YA MUNGU na jina kubwa

    • @FaithNekesa-f9f
      @FaithNekesa-f9f Месяц назад

      @@thoyathoya5904 me na news ni Kama usiku na mchana dear

  • @hassanhawa9954
    @hassanhawa9954 Месяц назад +1

    Funga bakeries lako

  • @njeshkim5468
    @njeshkim5468 Месяц назад +2

    I think Raila was promised a Mr. hand shake man role always in every government by his Wagwanas - to be a billionaire. Also, he might have been cursed to never be a president. So follow Raila at your own risk.

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 Месяц назад

    " raila is the centifugel keeping ruto in power! The next step, correct direction was to disolve the parliament to pave way of new general elections! raila did the opposite and joined this illegal, oppressive, corrupt regime of tyrant ruto!! Lets asume that raila was born with no hands, angepeana nini nauliza tuu!! How can an opposition leader be so narcissist, egoistic to sacrify his voters for fam?!!

  • @ThomasReginaThomaspresident
    @ThomasReginaThomaspresident Месяц назад

    24/7/2024 regina Thomas president Ugandan SS PDF omoro🇳🇬 kpitl moments PDM yellow🟡❤😂🎉😢😮😅😊

  • @user-nr3yp6sk9k
    @user-nr3yp6sk9k Месяц назад

    Peleka kiuno nyumbani

    • @kuschprince3216
      @kuschprince3216 Месяц назад

      Afafute leseni ya Mangwe na auze ngónda kama mchikicho!! Kiuno hakina greese tena aweke mkone!!