Mch Moses Magembe - UJUMBE KWA MAKANISA SABA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Ibada ya Jumapili Asubuhi Tar 25.04.21 katika kanisa la TAG Majumbasita - Gospel Campaign Centre.

Комментарии • 98

  • @salehedrc3356
    @salehedrc3356 3 года назад +14

    Siku tano sasa tangia hihi mahubiri kuhubiriwa.
    Sija ona watu waki hi like ingelikuwa ni ya diamond like zingeli kuwa mamia ila ni ya Yesu nani waku like?.
    Mungu wetu tu wezeshe tukuone

    • @cryspinisenge2398
      @cryspinisenge2398 3 года назад +1

      Ikikuwa translated in English, watu wata like
      Ni Neno safi sana
      Nimebarikiwa kabisa .

  • @ninaelgeoffrey5844
    @ninaelgeoffrey5844 3 года назад +10

    😭😭😭hizi injili za hivi na ukweli wa namna hii watu hawautaki tena😭tunataka kuambiwa tutapata waume, wake, kazi, tutaponywa magonjwa, tutatajirika baasi🙌hii ndio injili ya kweli! KUPONYWA ROHO, INJILI ITAKAYOKUPELEKA KATIKA UZIMA WA MILELE

    • @georgeswaiswai4581
      @georgeswaiswai4581 2 года назад

      Wewe vitu vyote umeisha,pata mwanaume,pesa magari,hongera,kilajambo nakila mtumishi,,abakitu kwaajili yawatu,mimi chakwanza Kristo chapili pesa,utaua pamoja nakuridhika nifaida kubwa

    • @georgeswaiswai4581
      @georgeswaiswai4581 2 года назад

      Hata ukiwa napesa nakumuamini Kristo yesu mbinguni unaingia, Raha Sana kuwa napesa aafu umeokoka

    • @micahnjoroge3685
      @micahnjoroge3685 Год назад

      Ninaelgeoffrey wewe bando yu mtoto wa Kiriho huelewi lolote

    • @micahnjoroge3685
      @micahnjoroge3685 7 месяцев назад

      @ninelgeoffrey. Wewe uko bali sana na wokovu omba Mungu akupe Ufunuo wa neno

    • @ninaelgeoffrey5844
      @ninaelgeoffrey5844 7 месяцев назад

      @@micahnjoroge3685 did you understand what i wrote? Hebu sikiliza tena na ufananishe nilichoandika halafu utajua umenijibu kitu very opposite

  • @NYUMBANI2024
    @NYUMBANI2024 3 года назад +6

    Hii ni injili tuliyo ikosa kanisani

  • @justinmkr
    @justinmkr 3 месяца назад

    Asante kwa ujumbe, basi Mungu akupe kunena kwa nguvu hekima na uwezo

  • @bienvent614
    @bienvent614 3 года назад +6

    Ubalikiwe saana mtumishi tunakufatilia from Burundi

  • @user-cg6os9iy9x
    @user-cg6os9iy9x 6 месяцев назад

    Asante baba nimebakikiwa

  • @wanyemalusao4525
    @wanyemalusao4525 18 дней назад

    Ubarikiwe sana kwa Neno hiyo ni kweli

  • @desderiakinalilo-xe7vw
    @desderiakinalilo-xe7vw 8 месяцев назад

    asantee baba mtumishi nimepokea

  • @angelmteli611
    @angelmteli611 4 месяца назад

    Tunabarikwa sana Kwa mafundisho yako

  • @markokihwele8869
    @markokihwele8869 3 года назад +3

    Napendezwa Sana'a na mafundisho

  • @jesushealingcentreministry4480
    @jesushealingcentreministry4480 3 года назад +2

    Hongera kazi hii ni njeeeeema

  • @aldakerobe3853
    @aldakerobe3853 3 года назад +1

    Ndio Mungu ananikutanisha na mtumishi huyu hakika sitabaki nilivyo nitamuona Mumgu

  • @josephatmwakalasi7436
    @josephatmwakalasi7436 3 года назад +1

    Nimekuelewa saana baba mchungaji

  • @user-cg6os9iy9x
    @user-cg6os9iy9x 6 месяцев назад

    Asante baba yesu azidi kukupa mda mlefu Ili kutengeneza na kuzalrisha watumishi watakaobadiri kijiti hiki Cha injili ya kweli

  • @tajialbano5827
    @tajialbano5827 3 года назад +2

    Ameen, ameeen, ameeeeeeen...libarikiwe jina la Bwana.

  • @josephatmwakalasi7436
    @josephatmwakalasi7436 3 года назад +1

    Nimekuelewa baba mchungaji

  • @thulanicele7843
    @thulanicele7843 11 месяцев назад

    Asante Kwa kuwa mkweli.huku south Africa Hakuna kanisa linalo SEMA ukweli.nikija Tanzania lazima nije kuowa uko

  • @gidionileonardi4959
    @gidionileonardi4959 Год назад

    Hakika Baba hii ndiyo injili isiyogoshiwa ubarikiwe Baba Mchungaji

  • @dicksonwambura5433
    @dicksonwambura5433 3 года назад +1

    Be blessed pst Magembe karibu pia Kenya utubarki

  • @michaelmbura3786
    @michaelmbura3786 3 года назад +1

    Namkubali Sana huyu mtumishi wa MUNGU

  • @winnyrocha1361
    @winnyrocha1361 3 года назад +1

    Mungu azidi kukuongoza hii ndio injili tunayoitaka wakati huu mambo yapokea gari pokea nyumba mke niubatili

  • @alexanderkyeveo5452
    @alexanderkyeveo5452 3 года назад +1

    Jamani watanzania mna wahubiri!Barikiwa Baba.

  • @hansondaniel-nb2jn
    @hansondaniel-nb2jn Год назад

    Baba mchungaji ubarikiwe unatisha kwa kufundisha biblia mambo mengi hayajua mupitia ww

  • @nishoboraschem7083
    @nishoboraschem7083 3 года назад +1

    Mungu akubariki sana kwa mafundisho

  • @benaiahchaulah1037
    @benaiahchaulah1037 3 года назад +2

    AMEN BABA !!!MUNGU akutumie zaid na zaid kuponya taifa letu !!nakupenda mnoo you're talking the truth be blessed

  • @Officialjoel85
    @Officialjoel85 3 года назад +4

    I’m watching nd get blessed with this powerful & anointed man of God. ( USA 🇺🇸) we need you

  • @shillahmbogo5556
    @shillahmbogo5556 3 года назад +2

    Ee Mungu Tusaidie

  • @bernarderadi4410
    @bernarderadi4410 2 года назад

    Ubarikiwe sana Mtumishi. Nakufuatia KENTUCKY 🙏

  • @edinajossephatgeorg1612
    @edinajossephatgeorg1612 3 года назад +1

    We baba MUNGU akubariki,,,, tafadhari mtafute mbarikiwa mjenge ktk hili, anania njema lakini n mchang kwa. Maarifa, na mafunuo, nawapenda,

  • @makrinakalinga6034
    @makrinakalinga6034 3 года назад +2

    MUNGU ni mwema kwetu

  • @ignaskazole2665
    @ignaskazole2665 3 года назад +1

    Ameeen BABA !!!!🙏🏾🙏🏾 MUNGU akutumie zaidi kusema injiri ya kweli nakupenda mnnoo

  • @georgemangati8475
    @georgemangati8475 3 года назад +1

    Mungu atusaidie

  • @ishengomabinomukama731
    @ishengomabinomukama731 3 года назад +1

    Huu ujumbe unanigusa sana binafsi

  • @michaelelson1540
    @michaelelson1540 3 года назад

    Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu kwa mafafanuzi yaliyoenda shule. Amina

  • @jenniferwambua9831
    @jenniferwambua9831 3 года назад

    injili Kama hii ndio tunaitaji barikiwa sana

  • @eliasjerusalem3978
    @eliasjerusalem3978 3 года назад

    Nakupenda baba yangu Mungu AKUBARIKI sana mtumishi wa Mungu hakika ndivyo ilivyo HALLELUJAH AMEEN

  • @joshualeshulemoris5810
    @joshualeshulemoris5810 3 года назад

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu,, kwa ujumbe wakuponya,, natamani uendelee kudumu milele ili kuendelea kuwaambia kizazi cha sasa ukweli jinsi ya kumtumikia Mungu,,

  • @jacoblivingston8917
    @jacoblivingston8917 2 года назад

    Asante Mungu kwa mtumishi huyu

  • @pastorbaharia598
    @pastorbaharia598 3 года назад +1

    Mimi ninasimama kwa Zamu yangu Yesu nisaidie

  • @lizzyontune5338
    @lizzyontune5338 3 года назад

    Uwezi pata injili ya ukweli kama hii barikiwa baba ..::endelea kutujenga

  • @mwalimuelisha1996
    @mwalimuelisha1996 2 года назад

    Mungu akulinde baba 🙌

  • @stephanobarnaba8329
    @stephanobarnaba8329 Год назад

    Amen

  • @stumkemandanje4779
    @stumkemandanje4779 3 года назад

    Nitaponyaje nisiposikia nakujali haya eeh Mungu nisaidie

  • @dorsandollah3384
    @dorsandollah3384 3 года назад

    Ameen jina la Yesu libarikiwe sana

  • @upendomsangi2353
    @upendomsangi2353 2 года назад

    Wenikibiko unatisha wachug wajifunze kwako waache siasa makanisani.

  • @allyhassan1098
    @allyhassan1098 Год назад

    Kweli kabisa mutumishi

  • @joshuamwangobola2991
    @joshuamwangobola2991 Год назад

    Injili nzuri sana hii

  • @viviankoech6793
    @viviankoech6793 3 года назад +2

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @irakozeyakobogahota6109
    @irakozeyakobogahota6109 3 года назад

    Mavuno mengi ya meiva watenda kazi ni wachache lazima tumutumikie Yesu

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 3 года назад

    Baba Mchungaji, watu kama wewe mumebaki wachache sana

  • @seebs1156
    @seebs1156 3 года назад

    Amen Baba ubarikiwe sana kwa mafundisho ya kweli

  • @EstherMbogella-cd9kx
    @EstherMbogella-cd9kx Год назад

    Ameeni

  • @jacoblivingston8917
    @jacoblivingston8917 2 года назад

    Hii ndiyo T,AG ninayoijua siyo hii ya kisasa

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    amina nabarikiwa

  • @MonicasadickMfaume-hp1bj
    @MonicasadickMfaume-hp1bj Год назад

    Habari ya uzima mtumishi, naweza kupata mawasiliano yako?

  • @revocatusngomele4905
    @revocatusngomele4905 3 года назад

    Yesu tusaidie

  • @shangweremiofficial4124
    @shangweremiofficial4124 3 года назад

    Amina Amina

  • @augustinofedrick6446
    @augustinofedrick6446 3 года назад

    Asante Yesu

  • @paulinajustus1024
    @paulinajustus1024 2 года назад

    Kujipamba mwanamke ni dhambi?

  • @philemonsamson833
    @philemonsamson833 Год назад

    AMEN🙏🙏🙏🙏

  • @travotv1172
    @travotv1172 3 года назад

    The truely Gospel

  • @miriammpatrick5795
    @miriammpatrick5795 3 года назад

    Amina

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala 3 года назад

    Ahsante

  • @MonicasadickMfaume-hp1bj
    @MonicasadickMfaume-hp1bj Год назад

    Naweza kupata location ya kanisa lako na ratiba za ibada tafadhari

    • @TAFAKARITVNewlife
      @TAFAKARITVNewlife 8 месяцев назад

      Dar es salaam(ukonga -kituo cha Majumba sita, kanisa la Tag), Mch Moses Magembe

  • @upendomtui6544
    @upendomtui6544 4 месяца назад

    Kuna watu wanajiita wenye upako lakini injili kama hii hawaijui wao wanajua Yesu hakuingia kanisani....sasa sijui hapa BWANA alikiwa akiongea na visinagogi?...,konyagi mbaya sana

  • @faithlemeirut3057
    @faithlemeirut3057 3 года назад

    God bless you pastor.. 🙏🙏

  • @ndangatimothe2753
    @ndangatimothe2753 3 года назад

    Nice

  • @joshymalinyo6057
    @joshymalinyo6057 3 года назад +1

    We truly need to know this things

  • @eliseemushumba360
    @eliseemushumba360 3 года назад

    Injili ya wakati huu , Ni wangapi tumeamini huyu ujumbe?

  • @nancynziku9757
    @nancynziku9757 3 года назад

    Hili kanisa lipo wapi

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 Год назад

    Sasa mpinga Kristo atapinga nani kama kanisa litakuwa hewani?

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki 3 года назад

    Jamani hili Kanisa liko wapi?

    • @tygadaclassic3488
      @tygadaclassic3488 3 года назад

      Lipo njia ya kuelekea gongo la mboto kituo knaitwa njia panda

  • @davidkinasa5926
    @davidkinasa5926 2 года назад

    Umechukua ujumbe wa wakati na kuupeleka dhehebuni wahubil yote

  • @joshuanyamaiswe4327
    @joshuanyamaiswe4327 2 года назад

    Uongo mtupu

    • @kalebuwilliam1014
      @kalebuwilliam1014 2 года назад

      ila siumesikia,swala la kuamini au kutoamini ni lako.Hukumu itafanywa kutokana na maamuzi yako binafsi.

    • @hansondaniel-nb2jn
      @hansondaniel-nb2jn Год назад

      Ww huna dini ungekuwa na dini usingesema uongo

  • @madgaleinebukuru6572
    @madgaleinebukuru6572 3 года назад

    Mtumishi naomba number yako please naitaji maombi nakusiii

  • @justinmkr
    @justinmkr 3 месяца назад

    Asante kwa ujumbe, basi Mungu akupe kunena kwa nguvu hekima na uwezo

  • @furahaaziza5648
    @furahaaziza5648 3 года назад

    Amen amen

  • @furahajoy3168
    @furahajoy3168 3 года назад

    Amen amen

  • @gracemwangosi9017
    @gracemwangosi9017 2 года назад

    Amen

  • @bernadoadriano922
    @bernadoadriano922 3 года назад +2

    AMINA

    • @lusajodaniel286
      @lusajodaniel286 2 года назад +1

      Bwana awe nawe Kwa mafundisho thabiti ya biblia.