Siku tano sasa tangia hihi mahubiri kuhubiriwa. Sija ona watu waki hi like ingelikuwa ni ya diamond like zingeli kuwa mamia ila ni ya Yesu nani waku like?. Mungu wetu tu wezeshe tukuone
😭😭😭hizi injili za hivi na ukweli wa namna hii watu hawautaki tena😭tunataka kuambiwa tutapata waume, wake, kazi, tutaponywa magonjwa, tutatajirika baasi🙌hii ndio injili ya kweli! KUPONYWA ROHO, INJILI ITAKAYOKUPELEKA KATIKA UZIMA WA MILELE
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu,, kwa ujumbe wakuponya,, natamani uendelee kudumu milele ili kuendelea kuwaambia kizazi cha sasa ukweli jinsi ya kumtumikia Mungu,,
Kuna watu wanajiita wenye upako lakini injili kama hii hawaijui wao wanajua Yesu hakuingia kanisani....sasa sijui hapa BWANA alikiwa akiongea na visinagogi?...,konyagi mbaya sana
Siku tano sasa tangia hihi mahubiri kuhubiriwa.
Sija ona watu waki hi like ingelikuwa ni ya diamond like zingeli kuwa mamia ila ni ya Yesu nani waku like?.
Mungu wetu tu wezeshe tukuone
Ikikuwa translated in English, watu wata like
Ni Neno safi sana
Nimebarikiwa kabisa .
😭😭😭hizi injili za hivi na ukweli wa namna hii watu hawautaki tena😭tunataka kuambiwa tutapata waume, wake, kazi, tutaponywa magonjwa, tutatajirika baasi🙌hii ndio injili ya kweli! KUPONYWA ROHO, INJILI ITAKAYOKUPELEKA KATIKA UZIMA WA MILELE
Wewe vitu vyote umeisha,pata mwanaume,pesa magari,hongera,kilajambo nakila mtumishi,,abakitu kwaajili yawatu,mimi chakwanza Kristo chapili pesa,utaua pamoja nakuridhika nifaida kubwa
Hata ukiwa napesa nakumuamini Kristo yesu mbinguni unaingia, Raha Sana kuwa napesa aafu umeokoka
Ninaelgeoffrey wewe bando yu mtoto wa Kiriho huelewi lolote
@ninelgeoffrey. Wewe uko bali sana na wokovu omba Mungu akupe Ufunuo wa neno
@@micahnjoroge3685 did you understand what i wrote? Hebu sikiliza tena na ufananishe nilichoandika halafu utajua umenijibu kitu very opposite
Hii ni injili tuliyo ikosa kanisani
Asante kwa ujumbe, basi Mungu akupe kunena kwa nguvu hekima na uwezo
Ubalikiwe saana mtumishi tunakufatilia from Burundi
Asante baba nimebakikiwa
Ubarikiwe sana kwa Neno hiyo ni kweli
asantee baba mtumishi nimepokea
Tunabarikwa sana Kwa mafundisho yako
Napendezwa Sana'a na mafundisho
Hongera kazi hii ni njeeeeema
Ndio Mungu ananikutanisha na mtumishi huyu hakika sitabaki nilivyo nitamuona Mumgu
Nimekuelewa saana baba mchungaji
Asante baba yesu azidi kukupa mda mlefu Ili kutengeneza na kuzalrisha watumishi watakaobadiri kijiti hiki Cha injili ya kweli
Ameen, ameeen, ameeeeeeen...libarikiwe jina la Bwana.
Nimekuelewa baba mchungaji
Asante Kwa kuwa mkweli.huku south Africa Hakuna kanisa linalo SEMA ukweli.nikija Tanzania lazima nije kuowa uko
Hakika Baba hii ndiyo injili isiyogoshiwa ubarikiwe Baba Mchungaji
Be blessed pst Magembe karibu pia Kenya utubarki
Namkubali Sana huyu mtumishi wa MUNGU
Mungu azidi kukuongoza hii ndio injili tunayoitaka wakati huu mambo yapokea gari pokea nyumba mke niubatili
Jamani watanzania mna wahubiri!Barikiwa Baba.
Baba mchungaji ubarikiwe unatisha kwa kufundisha biblia mambo mengi hayajua mupitia ww
Mungu akubariki sana kwa mafundisho
AMEN BABA !!!MUNGU akutumie zaid na zaid kuponya taifa letu !!nakupenda mnoo you're talking the truth be blessed
I’m watching nd get blessed with this powerful & anointed man of God. ( USA 🇺🇸) we need you
Ee Mungu Tusaidie
Ubarikiwe sana Mtumishi. Nakufuatia KENTUCKY 🙏
We baba MUNGU akubariki,,,, tafadhari mtafute mbarikiwa mjenge ktk hili, anania njema lakini n mchang kwa. Maarifa, na mafunuo, nawapenda,
MUNGU ni mwema kwetu
Ameeen BABA !!!!🙏🏾🙏🏾 MUNGU akutumie zaidi kusema injiri ya kweli nakupenda mnnoo
Mungu atusaidie
Huu ujumbe unanigusa sana binafsi
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu kwa mafafanuzi yaliyoenda shule. Amina
injili Kama hii ndio tunaitaji barikiwa sana
Nakupenda baba yangu Mungu AKUBARIKI sana mtumishi wa Mungu hakika ndivyo ilivyo HALLELUJAH AMEEN
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu,, kwa ujumbe wakuponya,, natamani uendelee kudumu milele ili kuendelea kuwaambia kizazi cha sasa ukweli jinsi ya kumtumikia Mungu,,
Asante Mungu kwa mtumishi huyu
Mimi ninasimama kwa Zamu yangu Yesu nisaidie
Uwezi pata injili ya ukweli kama hii barikiwa baba ..::endelea kutujenga
Mungu akulinde baba 🙌
Amen
Nitaponyaje nisiposikia nakujali haya eeh Mungu nisaidie
Ameen jina la Yesu libarikiwe sana
Wenikibiko unatisha wachug wajifunze kwako waache siasa makanisani.
Kweli kabisa mutumishi
Injili nzuri sana hii
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mavuno mengi ya meiva watenda kazi ni wachache lazima tumutumikie Yesu
Baba Mchungaji, watu kama wewe mumebaki wachache sana
Amen Baba ubarikiwe sana kwa mafundisho ya kweli
Ameeni
Hii ndiyo T,AG ninayoijua siyo hii ya kisasa
amina nabarikiwa
Habari ya uzima mtumishi, naweza kupata mawasiliano yako?
Yesu tusaidie
Amina Amina
Asante Yesu
Kujipamba mwanamke ni dhambi?
AMEN🙏🙏🙏🙏
The truely Gospel
Amina
Ahsante
Naweza kupata location ya kanisa lako na ratiba za ibada tafadhari
Dar es salaam(ukonga -kituo cha Majumba sita, kanisa la Tag), Mch Moses Magembe
Kuna watu wanajiita wenye upako lakini injili kama hii hawaijui wao wanajua Yesu hakuingia kanisani....sasa sijui hapa BWANA alikiwa akiongea na visinagogi?...,konyagi mbaya sana
God bless you pastor.. 🙏🙏
Nice
We truly need to know this things
🙏🙏
Injili ya wakati huu , Ni wangapi tumeamini huyu ujumbe?
Hili kanisa lipo wapi
Sasa mpinga Kristo atapinga nani kama kanisa litakuwa hewani?
Wewe bado mchanga maziwa bado yanakuhusu
@@josephbukelebe1709 uliyekomaa jibu swali
Jamani hili Kanisa liko wapi?
Lipo njia ya kuelekea gongo la mboto kituo knaitwa njia panda
Umechukua ujumbe wa wakati na kuupeleka dhehebuni wahubil yote
Uongo mtupu
ila siumesikia,swala la kuamini au kutoamini ni lako.Hukumu itafanywa kutokana na maamuzi yako binafsi.
Ww huna dini ungekuwa na dini usingesema uongo
Mtumishi naomba number yako please naitaji maombi nakusiii
Niko America
Mbona unajijibu mwenyew sasa
Asante kwa ujumbe, basi Mungu akupe kunena kwa nguvu hekima na uwezo
Amen amen
Amen amen
Amen
AMINA
Bwana awe nawe Kwa mafundisho thabiti ya biblia.