SIKU 5 ZAONGEZWA AJIRA ZA POLISI/ SHIDA YA MTANDAO YATAJWA
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amesema Serikali na Jeshi la polisi wamekubaliana kuongeza siku tano kwa Watanzania wanaotaka kutuma maombi ya ajira mtandaoni ili kujiunga na mafunzo ya jeshi la polisi nchini
Masauni ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma.
#UFMUpdates
ASANTE BABA
Hiyo portal hamna kitu kabisa
TUSAIDIENI JAMANI, SIKU TANO NDO ZIMEISHA HIVO LAKINI MFUMO HAUJAFANYA KAZI KABISA, KAMA KUNA NJIA NYINGINE YA KUFANYA TUNAOMBA MTUSAIDIE.
Mfumo uko dormant