Highlights: Yanga SC 1-1 TZ Prisons - VPL 06/09/2020
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Yanga SC imelazimishwa sare ya bao 1-1 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamini Mkapa, Dar es Salaam. Prisons wametangulia kupata bao kupitia kwa Lambert Sabiyanka lakini Yanga wakasawazisha kwa bao la Michael Sarpong. Haya hapa magoli.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Mashambulizi ya Yanga ni mazuri ila wachezaji wajitahidi kutulia No pressure watafika mbali....Team work
Fidel watafika mbali ? MWanza bukoba
Mmeleta kocha mzee bora Mwambusi.
Mjinga ww wazee ndo wenye busara😏😏😏
Mpira tumeucheza kusema ukweli sema tu bahat haikua upande wetu kama unakubaliana na mm gonga like twende sawa YANGA tunaweza
Kuwa mshabiki sio kufurahiya ushindi tu ujuwe matokeo yote yana wezekana uwanjani .na sisi Wana yanga wala atuna wasi yeyote wapinzani waji pange. From 🇦🇮🇦🇮💯💯💯💕💕
Safi
Wanejitahidi sana yanga
Omar ched sasa hv mnasema wamejtahid
Tusila mchezaji mzuri sana atoe pasi!
Hatali wananchi
Bora kukosa kuliko kukosa sana, go yanga👏🏼👏🏼
Ndio
Yanga hii itasumbua sana.....mafundi wengi mno
Asante tim yng japo mmetoa sare
SAFI SANA WAJERAJERA ORIGINAL..NYIE NI WANAUME ORGINAL
CYO HAO WANAUME WA DAR.
ikiacha uchoyo itakuwa mzuri yanga
Hamna hata wa kumlaumu Yanga kuanzia bench la ufundi adi wachezaji ila pongezi kwa prison n team bora na hili litajidhihilisha
YANGA LOV FOREVER 💛💛🔥💚💛🔥💚WE GAIN / LOOSE TOGETHER 🔥💛💚💚💚🔥🔥🔥
Mm simba dam utopolo mnawachezaj waxur Ila mmekosa utulivu mnatumia nguvu bila akili nahuyo tuisnga wenu msipokuwa makini tunamwiba
@@ratifasalumu4021 nyie mna akil gani nyumbu nyie?!!!mnaanzq kutukana mamba wakt hamjavka mto.Mshaanza offsde zenu mpem.tulza mshono
@@ratifasalumu4021 endelea kuteseka na Yanga.Naona usajl wetu umewachoma sana kutwa kuwaponda wachezaj wetu.Ndio kaz yenu roporopo
kocha wa utopolo anasema wachezaji wa Tz hawana uwezo wa kucheza dk 90, wakati hawa prison ni wa Tz na wamecheza dakika zote 95.
mwambieni huyu muhindi wenu ajue kutofautisha utopolo na Tz.
Subscribe, share, like na comment kwenye hii link kutuliza akili kidogo ruclips.net/video/k8RbFQ01CMs/видео.html
Hizo mbinu za kuwapumbaza wapinzani
Alisema wachezaji wake wa yanga ambao n wazawa hawajawa na utimamu wa kucheza dakika zote tisin na sii wachezaji wote wa Tz
@@allec2905 huwezi kuwapumbaza watu kama wewe mwenyewe pia ni mpumbavu.
@@baltzrluus3287 nishafunga mjadala
Mikubwa jinga"UTOPOLO FC.
Tuache unafki Yanga wapo vizuri ila tatizo wakishambulia wanajisahau kuweka ulinzi wa uhakika ila timu imecheza vizuri japo hawajazoeana wachezaji walikuwa na hamu kubwa ya ushindi kuliko mashabiki safari hii Simba mtani ajipange sana Kisinda anajua sana ila mchoyo.
Daah ila co mbaya daima mbele haturud nyuma
Huyu kipa wa prison naye anabalaaa💥💥
Mwalimu jitahidi kupanga kikosi Cha kwanza kizuri maana timu ni nzuri
Kwann azam tiv kwenye sim hazikubari
Umeliona hilo ee
mbona mimi natumia simu?
Jez ni mpya
Yani yanga mnacheza bila mipango kunaubingwa kweli hapa
Yanga walikuwa na pressure sana ya kupata goli ndo kimewafanya wasitulie ..mechi ilikuwa yao wamekosa nafasi nzuri sana.. fighting spirit ipo vizuri...si mwanzo mbaya...n
Timu inaonyesha uhai wakizoena itakuwa fresh tu
Utopolo week mbili nyingi naona kuna mtu anaenda kujiuzuru😅😅😅😅
Naona sura za umbeya zimepooooowa
Ms UTOPOLO CMWONI.
Hii ndio Yanga tunayo ijua sio hio wanayo ingelea wenyewe.
Dab ya Leo sijawahi kuiona utafikiri wanacheza man u na Liverpool
Subscribe, share, like na comment kwenye hii link kutuliza akili kidogo ruclips.net/video/k8RbFQ01CMs/видео.html
Mbona hao washambuliaji wanaanguka ovyo hawana balance
Tatizo kipa wachezaj wamecheza vizur
Kilichowaponza yanga wanacheza kwa kwa sipdi isiyokuwa na malengo wajipange Sana umaliziaji. Bado from arusha Simba dam dam
Tuliwatafuta balaa.Mechi ya tar 31.12.2020 tunawaua kwao.
mm sio mshabiki wa timu yy ila wachezaji wa yang wapo vzr kwel mtu mmpe haki yake
Xx video😐
Mpira mzuri sana ila tukumbuke yanga wachezaji wapya
Nikweli
Mgonjwa wetu ile homa iliokawa inamsuaga imebakia kiasi tuombe mungu atujalie apone
Kipa wa prison anadaka
Prisons FC sio team ndogo, hata Simba sikuzote wanapatabu wakikutana, kama mfuatiliaji wa Soka huwezi shangaa lkn kama unaangalia juujuu huwezi ona madhara yao
Kwel huja kosesa kk simb tuna hangaika sn kuwafung
Bora umejiongelea ukweli mwaya
OK
nyaaaaaniiiiiiiiiiiiii oooooooohoooy
Hii ndo mechi bora kwa cku ya jana
Hahahaha utopolo bhana, Yaan mechi ya kwanza tu mnatoka sare 😜😜😜😜😜😜😜😜😜, yaani mnakoelekea sijui
Ushauri kwa yanga punguza midomo mcheze mpira
Kwani wanaopiga midomo ndio wanaocheza uwanjani? Kazi ya shabiki ni nini?
Waliofunga 4 hukuwaona
yanga mmecheza vyema naamini msimu huu uta fanya vizuri
ila ubingwa niachie 😁😁😁😁 mtani
Mikia mapovu tunawaruhusu sana.
Dsp
Sisi na wao lini?
Utoporo bado sana
Prison Ni wanaume kwelikweli
Hivi mnaosema Yanga inatumia nguvu nyingi kati ya Yanga na Prison nani kacheza faulo nyingi?au kuwashwa ndo kunawasumbua?swala la kutoa dro si jambo baya nisehemu ya matokeo ya mchezo.Ukiangalia mikoani Yanga huwa inafanya vizuri sana.Fuatilia msimu uliopita.Hata msimunuliopita mikia mlisema Yanga ikitoka nnje itafungwa,tazama alipotoka nnje alirudi da na poit saba.Yanga Baba laooo.
Yanga wamecheza na yanga b sijui wamefeli wapi
Tunaomba mueke ata 30min.. Highlights. 15 ndogo sana
yan kwa ynga iyooo mbna mtapkimbia mtapokutan na simbaaaaaaaa
Hongera Tz prisons. YangaUmeliwa 1.2b kumbe sh 800000
Kabumbu limepigwa kwa wanao jua soka wameelewa
ila kwa mashabiki wa soka hamtakaamuelewe kamwe!!! saazingine huwa naangalia
EPL kuna timu huwa hazi fikii hata kiwango hiki basi tu Yanga hawakuwa na bahati ya mchezo.
Azam tv mnazinguaga mnakuja kuonyesha marudio live hamtaki tuonyesha
Download Azam max utawapata live
Duh marefa tunao tena vipofu sn
Jezi zimezoea yale matokeo ya mwaka jana!!!
Maamaaaae gongo waziiii,
Huo ndo uwezo wa vyuraaa ulipoishia, wanashangilia mchezaji kupewa kadi nyekundu 😂😂😂,
(GSM = GONGOWAZI SAHAU MAKOMBE)
Maaamaeee vyuraaaaa😂😂😂😂😂
Nimemic ambavyo huwa mnapigana mkizidiwa uwanjani
Utopoloooo
Kwani jana cheupe akuwepo
Sare mpaka mwisho tunawaombea
InshaAllah
Amen
Droo mnashangilia utoporo umenishinda tabia mm napita tuuuu
Kisinda tatizo lake mchoyo anataka afunge mwenyewe
Yanga na uwekezaji wao mkubwa wanateswa na Prisons... Wanakwenda golini hawawezi kufunga.. Defense ni butu. Wamepoteza pesa zao bure kusajili wageni na kufanya sherehe kubwa isiyo na matokeo... .. .
kocha wa yanga ana kelele
Kambi. Yanga
Bado
Kanzu mpya ila shehe Yule Yule 🐸🐸🐸🐸🐸🐸
😂
😁☑️
Kisinda amelewa sifa saana yani mchoyo saana daaah
Yanga si mmeiba kombe la AFCON ninyi na kujitawaza kuwa club ya kwanza kubeba AFCON
Dah Yanga bado sana, safu ya ushambuliaji bado ni butu sana badala ya kusajili mfungaji mnasajili bondia
Vyula oyeeeeee!
Mm Niko download wanagoma kufungua
Uto bado sana
Subscribe, share, like na comment kwenye hii link kutuliza akili kidogo ruclips.net/video/k8RbFQ01CMs/видео.html
Are you guys still under lockdown
😀😀😃🤭
@@rightminded1 no
What is lockdown?
@@otmarykiowi4132 😂😂
@@hellrtrtenigwee63 ook, eish, here is South Africa, we in deep lockdown
Tuisila asiwe anataka kufunga mwenyewe kuana magor mawir ange toa pas
Kuishabikia UTOPORO fc ni tatzo kubwa sanaaa 😂 😂😂 😂😂 😂
Sarping anatakiw achez n kisinda,n mukoko,mana wanajuan vzr,ila ajaz viungo weng nionzm ,fei,mauy,n farid,n ht mm nikipw kikos CH yang sifngw kbx
Ila tuacheni unazi..kila mchezaji wa yanga anauwezo mkubwa hasa walosajiliwa...Timu hii ikipata muda na wakazoeana na ikapatikana first eleven inayoeleweka..mtu atakua anapigwa kuanzia goli tano
Acha watumie nguvu nyingi kuliko akili ila daima hawawezi fanana na sisi simba nikama ccm daima ushindi mbele kurudi nyuma mwiko love simba
Mala 100 ya Faridi Musa kuriko wale madensa wa kikongo hahahaha
ALITaka kujaribu kile kichwa km mzamiru hahhaaa
Kwaiyo Yanga walitaka kushinda wakat hata jezi tu za msimu hawana haya sare hiyo tuendeleee
Fala unagongwa nyuma wewe
Kisinde akitulia maeneo ya goli atakuwa ni hatar kiukwelj
hehe I love these Tanzanians,what even is Covid to them hehe
Weken kikosi chenye nguvu mwazo mwisho msituvunje moyo ss mashabiki aloh
Usife
Kufa siwez ni sale nife je ningefungwa
Mii napenda huyu anaeuchambua
Kocha ni mpya. Naomba . asaidiwe kupanga kikosi kwa mwezi 1.
Very good
Droooo kuanza na kuanza tuhhhhh mmmh mbona naona maluweleweee jamaniii hii ndo yanga yetuuuu au naota jamaniii
Utopolo
Utopolo kama utopolo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Vimenichania mkeka vyuraaa ivyoo nyooo vione kule kwedreeen uko
Njaa zako fanya kazi achana na kubahatosha maisha utaishia kukondaaaaa
Kafanye kazi boya wewe haramu inaenda kiharamu pia mtakufa mbwa ninyi na kubeti
Ni mpumbavu sana wewe unajitangaza kufanya mpumbavu
Binafci rahaaaaaaaa
Haina noma tutakuja hko mbeya point tatu lazma tutachukua
Hata ukioga mjini huendi, tatizo kubwa hawa jamaa wanatumia nguvu nyingi bila akili.
Prison wamepoteza nafasi nzuri nyingi tu km Yanga walivyopoteza,
Sasa hiyo ndio kikosi cha ghali mlioitaka, mikoani mkitoka ni kilio tu.
Acha unazi boya wewe
Kwaiyo simba ndio kacheza mpira mzuri ule au ndio point 3 we mwenyewe ujipange mpila umepiga mbovu sisi tumecheza mpira mzuri lkn matokeo
🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸😂😂😂
Hapo ndo utasikia jimmy kindoki eti tumeishashinda
Nauliza cheupe akucheza
Exx
siku zote yanga itaendele mbele tu yanga hoye
eti kuna mjinga anaitwa daudi anasema tumeonewa
Pamoja na prison kuwa pungufu lkn wameisumbua yanga
Unaongea nini ww kama shabiki wa kweli lazima uwe unajua Prison walimuheshimu Yanga wamelinda mwanzo mwisho Yanga walikuwa wanafunguka umenisoma ilikuwa mechi ngumu kama umecheza mpira utaelewa mtani.
@@roggerrajab9782
Yanga mpira wa mezani na majivuno mengi lkn uwanjan ziro