Highlights: Yanga SC 1-1 TZ Prisons - VPL 06/09/2020

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Yanga SC imelazimishwa sare ya bao 1-1 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamini Mkapa, Dar es Salaam. Prisons wametangulia kupata bao kupitia kwa Lambert Sabiyanka lakini Yanga wakasawazisha kwa bao la Michael Sarpong. Haya hapa magoli.
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 272

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 4 года назад +8

    Mashambulizi ya Yanga ni mazuri ila wachezaji wajitahidi kutulia No pressure watafika mbali....Team work

    • @edenbaraka7533
      @edenbaraka7533 4 года назад

      Fidel watafika mbali ? MWanza bukoba

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 4 года назад +3

    Mmeleta kocha mzee bora Mwambusi.

    • @princessttz1279
      @princessttz1279 4 года назад

      Mjinga ww wazee ndo wenye busara😏😏😏

  • @fauzjibaba5956
    @fauzjibaba5956 4 года назад +4

    Mpira tumeucheza kusema ukweli sema tu bahat haikua upande wetu kama unakubaliana na mm gonga like twende sawa YANGA tunaweza

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 4 года назад +4

    Kuwa mshabiki sio kufurahiya ushindi tu ujuwe matokeo yote yana wezekana uwanjani .na sisi Wana yanga wala atuna wasi yeyote wapinzani waji pange. From 🇦🇮🇦🇮💯💯💯💕💕

  • @omarykagambo4561
    @omarykagambo4561 4 года назад +4

    Safi

  • @omarchedi
    @omarchedi 4 года назад +7

    Wanejitahidi sana yanga

    • @edenbaraka7533
      @edenbaraka7533 4 года назад

      Omar ched sasa hv mnasema wamejtahid

  • @daviddidas5711
    @daviddidas5711 4 года назад +2

    Tusila mchezaji mzuri sana atoe pasi!

  • @richardjafeth8327
    @richardjafeth8327 4 года назад +1

    Hatali wananchi

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 года назад +11

    Bora kukosa kuliko kukosa sana, go yanga👏🏼👏🏼

  • @allec2905
    @allec2905 4 года назад +3

    Yanga hii itasumbua sana.....mafundi wengi mno

  • @abaslegera9841
    @abaslegera9841 4 года назад +1

    Asante tim yng japo mmetoa sare

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 4 года назад +2

    SAFI SANA WAJERAJERA ORIGINAL..NYIE NI WANAUME ORGINAL
    CYO HAO WANAUME WA DAR.

  • @nihlamatayo2781
    @nihlamatayo2781 4 года назад +2

    ikiacha uchoyo itakuwa mzuri yanga

  • @unclevirustv9772
    @unclevirustv9772 4 года назад +19

    Hamna hata wa kumlaumu Yanga kuanzia bench la ufundi adi wachezaji ila pongezi kwa prison n team bora na hili litajidhihilisha

  • @mercymoshi3666
    @mercymoshi3666 4 года назад +1

    YANGA LOV FOREVER 💛💛🔥💚💛🔥💚WE GAIN / LOOSE TOGETHER 🔥💛💚💚💚🔥🔥🔥

    • @ratifasalumu4021
      @ratifasalumu4021 4 года назад

      Mm simba dam utopolo mnawachezaj waxur Ila mmekosa utulivu mnatumia nguvu bila akili nahuyo tuisnga wenu msipokuwa makini tunamwiba

    • @mercymoshi3666
      @mercymoshi3666 4 года назад +1

      @@ratifasalumu4021 nyie mna akil gani nyumbu nyie?!!!mnaanzq kutukana mamba wakt hamjavka mto.Mshaanza offsde zenu mpem.tulza mshono

    • @mercymoshi3666
      @mercymoshi3666 4 года назад +1

      @@ratifasalumu4021 endelea kuteseka na Yanga.Naona usajl wetu umewachoma sana kutwa kuwaponda wachezaj wetu.Ndio kaz yenu roporopo

  • @baltzrluus3287
    @baltzrluus3287 4 года назад +26

    kocha wa utopolo anasema wachezaji wa Tz hawana uwezo wa kucheza dk 90, wakati hawa prison ni wa Tz na wamecheza dakika zote 95.
    mwambieni huyu muhindi wenu ajue kutofautisha utopolo na Tz.

    • @DuniayaHabari
      @DuniayaHabari 4 года назад +1

      Subscribe, share, like na comment kwenye hii link kutuliza akili kidogo ruclips.net/video/k8RbFQ01CMs/видео.html

    • @allec2905
      @allec2905 4 года назад

      Hizo mbinu za kuwapumbaza wapinzani

    • @patricksamwel8834
      @patricksamwel8834 4 года назад

      Alisema wachezaji wake wa yanga ambao n wazawa hawajawa na utimamu wa kucheza dakika zote tisin na sii wachezaji wote wa Tz

    • @baltzrluus3287
      @baltzrluus3287 4 года назад +1

      @@allec2905 huwezi kuwapumbaza watu kama wewe mwenyewe pia ni mpumbavu.

    • @allec2905
      @allec2905 4 года назад

      @@baltzrluus3287 nishafunga mjadala

  • @BontamLee
    @BontamLee 4 года назад +2

    Mikubwa jinga"UTOPOLO FC.

  • @roggerrajab9782
    @roggerrajab9782 4 года назад +6

    Tuache unafki Yanga wapo vizuri ila tatizo wakishambulia wanajisahau kuweka ulinzi wa uhakika ila timu imecheza vizuri japo hawajazoeana wachezaji walikuwa na hamu kubwa ya ushindi kuliko mashabiki safari hii Simba mtani ajipange sana Kisinda anajua sana ila mchoyo.

  • @pascalmsuyajr.7980
    @pascalmsuyajr.7980 4 года назад +6

    Daah ila co mbaya daima mbele haturud nyuma

  • @pastoreliamsika9355
    @pastoreliamsika9355 4 года назад +6

    Huyu kipa wa prison naye anabalaaa💥💥

  • @edithmakwakwa9489
    @edithmakwakwa9489 4 года назад +7

    Mwalimu jitahidi kupanga kikosi Cha kwanza kizuri maana timu ni nzuri

  • @frankdngoma1174
    @frankdngoma1174 4 года назад +5

    Kwann azam tiv kwenye sim hazikubari

  • @saluhadu7967
    @saluhadu7967 4 года назад +1

    Jez ni mpya

  • @ezekielimarro1340
    @ezekielimarro1340 4 года назад +3

    Yani yanga mnacheza bila mipango kunaubingwa kweli hapa

  • @bobmorefire3123
    @bobmorefire3123 4 года назад +1

    Yanga walikuwa na pressure sana ya kupata goli ndo kimewafanya wasitulie ..mechi ilikuwa yao wamekosa nafasi nzuri sana.. fighting spirit ipo vizuri...si mwanzo mbaya...n

  • @kimwelshebuge8772
    @kimwelshebuge8772 4 года назад +3

    Timu inaonyesha uhai wakizoena itakuwa fresh tu

  • @japhetmkuchika976
    @japhetmkuchika976 4 года назад +2

    Utopolo week mbili nyingi naona kuna mtu anaenda kujiuzuru😅😅😅😅

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 4 года назад +1

    Naona sura za umbeya zimepooooowa
    Ms UTOPOLO CMWONI.

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 4 года назад +3

    Hii ndio Yanga tunayo ijua sio hio wanayo ingelea wenyewe.

  • @teclamahenge4425
    @teclamahenge4425 4 года назад +20

    Dab ya Leo sijawahi kuiona utafikiri wanacheza man u na Liverpool

    • @DuniayaHabari
      @DuniayaHabari 4 года назад

      Subscribe, share, like na comment kwenye hii link kutuliza akili kidogo ruclips.net/video/k8RbFQ01CMs/видео.html

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500 4 года назад +2

    Mbona hao washambuliaji wanaanguka ovyo hawana balance

  • @seurisilanga1997
    @seurisilanga1997 4 года назад +1

    Tatizo kipa wachezaj wamecheza vizur

  • @godsonmolly8955
    @godsonmolly8955 4 года назад

    Kilichowaponza yanga wanacheza kwa kwa sipdi isiyokuwa na malengo wajipange Sana umaliziaji. Bado from arusha Simba dam dam

  • @ombenijonathan7107
    @ombenijonathan7107 3 года назад

    Tuliwatafuta balaa.Mechi ya tar 31.12.2020 tunawaua kwao.

  • @sniper93999
    @sniper93999 4 года назад +26

    mm sio mshabiki wa timu yy ila wachezaji wa yang wapo vzr kwel mtu mmpe haki yake

  • @victajospht4835
    @victajospht4835 4 года назад +2

    Mpira mzuri sana ila tukumbuke yanga wachezaji wapya

  • @hussenimlimati9592
    @hussenimlimati9592 4 года назад +4

    Mgonjwa wetu ile homa iliokawa inamsuaga imebakia kiasi tuombe mungu atujalie apone

  • @solemba595
    @solemba595 4 года назад +17

    Prisons FC sio team ndogo, hata Simba sikuzote wanapatabu wakikutana, kama mfuatiliaji wa Soka huwezi shangaa lkn kama unaangalia juujuu huwezi ona madhara yao

  • @rashidiomar5296
    @rashidiomar5296 4 года назад +2

    nyaaaaaniiiiiiiiiiiiii oooooooohoooy

  • @yusuphisanga8505
    @yusuphisanga8505 4 года назад +2

    Hii ndo mechi bora kwa cku ya jana

  • @philbertmorris4170
    @philbertmorris4170 4 года назад +3

    Hahahaha utopolo bhana, Yaan mechi ya kwanza tu mnatoka sare 😜😜😜😜😜😜😜😜😜, yaani mnakoelekea sijui

  • @Joekwid960
    @Joekwid960 4 года назад +10

    Ushauri kwa yanga punguza midomo mcheze mpira

  • @MdEmon-yn4cw
    @MdEmon-yn4cw 4 года назад +20

    yanga mmecheza vyema naamini msimu huu uta fanya vizuri
    ila ubingwa niachie 😁😁😁😁 mtani

  • @juniorchilongola2191
    @juniorchilongola2191 4 года назад +6

    Mikia mapovu tunawaruhusu sana.

  • @masigomhoja5182
    @masigomhoja5182 4 года назад +1

    Sisi na wao lini?

  • @ezekielimarro1340
    @ezekielimarro1340 4 года назад +1

    Utoporo bado sana

  • @swedially4911
    @swedially4911 4 года назад +1

    Prison Ni wanaume kwelikweli

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 4 года назад +1

    Hivi mnaosema Yanga inatumia nguvu nyingi kati ya Yanga na Prison nani kacheza faulo nyingi?au kuwashwa ndo kunawasumbua?swala la kutoa dro si jambo baya nisehemu ya matokeo ya mchezo.Ukiangalia mikoani Yanga huwa inafanya vizuri sana.Fuatilia msimu uliopita.Hata msimunuliopita mikia mlisema Yanga ikitoka nnje itafungwa,tazama alipotoka nnje alirudi da na poit saba.Yanga Baba laooo.

  • @abuuayubuassalafiyu3642
    @abuuayubuassalafiyu3642 4 года назад +6

    Yanga wamecheza na yanga b sijui wamefeli wapi

  • @suleboban1753
    @suleboban1753 4 года назад

    Tunaomba mueke ata 30min.. Highlights. 15 ndogo sana

  • @sulekibombwe1367
    @sulekibombwe1367 4 года назад +1

    yan kwa ynga iyooo mbna mtapkimbia mtapokutan na simbaaaaaaaa

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 4 года назад

    Hongera Tz prisons. YangaUmeliwa 1.2b kumbe sh 800000

  • @simonshija2476
    @simonshija2476 4 года назад +2

    Kabumbu limepigwa kwa wanao jua soka wameelewa
    ila kwa mashabiki wa soka hamtakaamuelewe kamwe!!! saazingine huwa naangalia
    EPL kuna timu huwa hazi fikii hata kiwango hiki basi tu Yanga hawakuwa na bahati ya mchezo.

  • @sanchezaloyce1674
    @sanchezaloyce1674 4 года назад

    Azam tv mnazinguaga mnakuja kuonyesha marudio live hamtaki tuonyesha

  • @protastadei3258
    @protastadei3258 4 года назад +1

    Duh marefa tunao tena vipofu sn

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 4 года назад +2

    Jezi zimezoea yale matokeo ya mwaka jana!!!

  • @yasinshaban4933
    @yasinshaban4933 4 года назад +1

    Maamaaaae gongo waziiii,
    Huo ndo uwezo wa vyuraaa ulipoishia, wanashangilia mchezaji kupewa kadi nyekundu 😂😂😂,
    (GSM = GONGOWAZI SAHAU MAKOMBE)
    Maaamaeee vyuraaaaa😂😂😂😂😂

  • @usajiliusajili6511
    @usajiliusajili6511 4 года назад +2

    Nimemic ambavyo huwa mnapigana mkizidiwa uwanjani

  • @cardinal0016
    @cardinal0016 4 года назад +1

    Utopoloooo

  • @shahamwinyi128
    @shahamwinyi128 4 года назад +2

    Kwani jana cheupe akuwepo

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 4 года назад +14

    Sare mpaka mwisho tunawaombea

  • @juniorchilongola2191
    @juniorchilongola2191 4 года назад +2

    Kisinda tatizo lake mchoyo anataka afunge mwenyewe

  • @bahatishee06
    @bahatishee06 4 года назад +4

    Yanga na uwekezaji wao mkubwa wanateswa na Prisons... Wanakwenda golini hawawezi kufunga.. Defense ni butu. Wamepoteza pesa zao bure kusajili wageni na kufanya sherehe kubwa isiyo na matokeo... .. .

  • @dottoomary8087
    @dottoomary8087 4 года назад

    kocha wa yanga ana kelele

  • @dundoboy9774
    @dundoboy9774 4 года назад +1

    Kambi. Yanga

  • @atanasmkondya5952
    @atanasmkondya5952 4 года назад +1

    Bado

  • @yahyamohamed3805
    @yahyamohamed3805 4 года назад +10

    Kanzu mpya ila shehe Yule Yule 🐸🐸🐸🐸🐸🐸

  • @fabriceingabire8736
    @fabriceingabire8736 4 года назад +3

    Kisinda amelewa sifa saana yani mchoyo saana daaah

  • @usajiliusajili6511
    @usajiliusajili6511 4 года назад +1

    Yanga si mmeiba kombe la AFCON ninyi na kujitawaza kuwa club ya kwanza kubeba AFCON

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 4 года назад

    Dah Yanga bado sana, safu ya ushambuliaji bado ni butu sana badala ya kusajili mfungaji mnasajili bondia

  • @musiry1tv810
    @musiry1tv810 4 года назад +1

    Vyula oyeeeeee!

  • @ayubleo
    @ayubleo 4 года назад +8

    Uto bado sana

    • @DuniayaHabari
      @DuniayaHabari 4 года назад

      Subscribe, share, like na comment kwenye hii link kutuliza akili kidogo ruclips.net/video/k8RbFQ01CMs/видео.html

  • @hlalelemohale7296
    @hlalelemohale7296 4 года назад +5

    Are you guys still under lockdown

  • @myefuahazi424
    @myefuahazi424 4 года назад +1

    Tuisila asiwe anataka kufunga mwenyewe kuana magor mawir ange toa pas

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 года назад +5

    Kuishabikia UTOPORO fc ni tatzo kubwa sanaaa 😂 😂😂 😂😂 😂

  • @masanjajuma3010
    @masanjajuma3010 4 года назад +1

    Sarping anatakiw achez n kisinda,n mukoko,mana wanajuan vzr,ila ajaz viungo weng nionzm ,fei,mauy,n farid,n ht mm nikipw kikos CH yang sifngw kbx

  • @Yu-jr9uf
    @Yu-jr9uf 4 года назад +1

    Ila tuacheni unazi..kila mchezaji wa yanga anauwezo mkubwa hasa walosajiliwa...Timu hii ikipata muda na wakazoeana na ikapatikana first eleven inayoeleweka..mtu atakua anapigwa kuanzia goli tano

  • @seifkhatib4512
    @seifkhatib4512 4 года назад +4

    Acha watumie nguvu nyingi kuliko akili ila daima hawawezi fanana na sisi simba nikama ccm daima ushindi mbele kurudi nyuma mwiko love simba

  • @Joekwid960
    @Joekwid960 4 года назад +5

    Mala 100 ya Faridi Musa kuriko wale madensa wa kikongo hahahaha

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 4 года назад +2

    ALITaka kujaribu kile kichwa km mzamiru hahhaaa

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide 4 года назад +2

    Kwaiyo Yanga walitaka kushinda wakat hata jezi tu za msimu hawana haya sare hiyo tuendeleee

  • @jumatano242
    @jumatano242 4 года назад +1

    Kisinde akitulia maeneo ya goli atakuwa ni hatar kiukwelj

  • @larrypaulthepoet293
    @larrypaulthepoet293 4 года назад +4

    hehe I love these Tanzanians,what even is Covid to them hehe

  • @mzenyewaclass1865
    @mzenyewaclass1865 4 года назад +3

    Weken kikosi chenye nguvu mwazo mwisho msituvunje moyo ss mashabiki aloh

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 года назад +1

    Mii napenda huyu anaeuchambua

  • @josephkalonga550
    @josephkalonga550 4 года назад

    Kocha ni mpya. Naomba . asaidiwe kupanga kikosi kwa mwezi 1.

  • @adammwangatwa9914
    @adammwangatwa9914 4 года назад

    Droooo kuanza na kuanza tuhhhhh mmmh mbona naona maluweleweee jamaniii hii ndo yanga yetuuuu au naota jamaniii

  • @jamesleonard8107
    @jamesleonard8107 4 года назад +1

    Utopolo

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 4 года назад +9

    Utopolo kama utopolo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @athumanibunengwa6925
    @athumanibunengwa6925 4 года назад +14

    Vimenichania mkeka vyuraaa ivyoo nyooo vione kule kwedreeen uko

    • @oscarmosha383
      @oscarmosha383 4 года назад

      Njaa zako fanya kazi achana na kubahatosha maisha utaishia kukondaaaaa

    • @abdulswamaduathumani2791
      @abdulswamaduathumani2791 4 года назад

      Kafanye kazi boya wewe haramu inaenda kiharamu pia mtakufa mbwa ninyi na kubeti

    • @binammtemi6884
      @binammtemi6884 4 года назад

      Ni mpumbavu sana wewe unajitangaza kufanya mpumbavu

  • @salumsosa2256
    @salumsosa2256 4 года назад +2

    Binafci rahaaaaaaaa

  • @seurisilanga1997
    @seurisilanga1997 3 года назад

    Haina noma tutakuja hko mbeya point tatu lazma tutachukua

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 4 года назад +6

    Hata ukioga mjini huendi, tatizo kubwa hawa jamaa wanatumia nguvu nyingi bila akili.
    Prison wamepoteza nafasi nzuri nyingi tu km Yanga walivyopoteza,
    Sasa hiyo ndio kikosi cha ghali mlioitaka, mikoani mkitoka ni kilio tu.

    • @oscarmosha383
      @oscarmosha383 4 года назад

      Acha unazi boya wewe

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 4 года назад

      Kwaiyo simba ndio kacheza mpira mzuri ule au ndio point 3 we mwenyewe ujipange mpila umepiga mbovu sisi tumecheza mpira mzuri lkn matokeo

  • @richardeugeni8935
    @richardeugeni8935 4 года назад +11

    🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸😂😂😂

  • @nuranzubail8134
    @nuranzubail8134 4 года назад +2

    Hapo ndo utasikia jimmy kindoki eti tumeishashinda

  • @shahamwinyi128
    @shahamwinyi128 4 года назад +1

    Nauliza cheupe akucheza

  • @raevlamkuchi7979
    @raevlamkuchi7979 4 года назад +3

    Exx

  • @ebbysonboniface8373
    @ebbysonboniface8373 4 года назад +4

    siku zote yanga itaendele mbele tu yanga hoye

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 4 года назад +2

    eti kuna mjinga anaitwa daudi anasema tumeonewa

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 4 года назад +2

    Pamoja na prison kuwa pungufu lkn wameisumbua yanga

    • @roggerrajab9782
      @roggerrajab9782 4 года назад

      Unaongea nini ww kama shabiki wa kweli lazima uwe unajua Prison walimuheshimu Yanga wamelinda mwanzo mwisho Yanga walikuwa wanafunguka umenisoma ilikuwa mechi ngumu kama umecheza mpira utaelewa mtani.

    • @mbwanarajab7238
      @mbwanarajab7238 4 года назад

      @@roggerrajab9782
      Yanga mpira wa mezani na majivuno mengi lkn uwanjan ziro