"HII SIMBA MPYA WEKA MBALI NA WATOTO" | HANS RAFAEL AKIPANGA KIKOSI | CHAMA HANA NAMBA | KUNA HILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 22

  • @athumankassim-vp8bn
    @athumankassim-vp8bn 11 дней назад +2

    Am from Mombasa but huyu jamaa anajua sana anachozungumza congratulations 👏

  • @hassanrashid9436
    @hassanrashid9436 12 дней назад +7

    Hans Rafael ni mwamba kweli kweli for me ni mchambuzi wangu bora kwa sasa.

  • @ShedrackYohana-v4c
    @ShedrackYohana-v4c 11 дней назад +3

    Hans rafaeli nimchambuz wangu Bora kwa sasa

  • @Stevennaminga
    @Stevennaminga 12 дней назад +2

    Nawakubari sana kazi njema.

  • @user-ou4ck8uj2b
    @user-ou4ck8uj2b 12 дней назад +2

    Hans unajua

  • @andrew0502
    @andrew0502 4 дня назад

    Kwan Geoff Lea wa EFM/TVE naye amekuja huku Crown? mbona nmesikia sauti yake

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 8 дней назад +1

    UONGOZI UKIWA WA KIJANJAJANJA WACHEZAJI HUKATA TAMAA.

  • @BuruhaniRashidi
    @BuruhaniRashidi День назад

    Namuelewa hansi

  • @MaepoHassan
    @MaepoHassan 11 дней назад +1

    Ww ni bora kwa sasa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 12 дней назад +2

    Kocha na viongozi sikilizeni France Rafaeli anavyoonea yupo sahihi sana fuateni anavyopanga timu

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 12 дней назад +1

      @anitha kuuchambua ni jambo lingine ila kuucheza kwake sasa

    • @eddyology7304
      @eddyology7304 8 дней назад +1

      Mpira ungekua unachezwa mdomoni wangemsikiliza

    • @SaidFupi
      @SaidFupi 7 дней назад

      Na mpira unapangwa mdomoni ndio maan kocha hachez ila ndie anaetengenez timu

  • @Jumaaissa-mm6eg
    @Jumaaissa-mm6eg 9 дней назад +1

    Jemedar jau

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 12 дней назад +1

    Nyie pangeni kikosi kwakufuata huyu jamaamkaka

  • @ChachaMakuru-s9o
    @ChachaMakuru-s9o 5 дней назад

    😂😂😂😂😂et watazuiaje juma ayo bna

  • @Ezeqsweya1116
    @Ezeqsweya1116 12 дней назад +1

    Rafael ni konki

  • @sikapendinakapenda4170
    @sikapendinakapenda4170 10 дней назад +2

    Huyu au Hawa watangazaji wote wa WASAFI wote ni Utopolo na wapo kwa ajili ya kuijenga Utopolo na sio SIMBA. Haitotokea never on earth wakaitakia mema SSC. Hivyo ku-comment hapa ni kama kujichoresha.
    Bora kusikiliza Clouds ambao wanatafuta balance na sio bias.

  • @paulpaschal6185
    @paulpaschal6185 10 дней назад

    Huyu msimu ulopita akiwa wasafi baada ya usajili alisema YEYE HAWADAI SIMBA WAMESAJILI KWELI na hatawalaumu...ila kuelekea mwisho wa msimu akawa anasema SIMBA WANAFELI KUANGALIA WACHEZAJI WAZURI WA KUWASAJILI,akajisahaulisha maneno yake...haya maneno yake yatunzeni halafu ikitokea wachezaji wamefeli tumsikie anachosema

  • @lancela7370
    @lancela7370 8 дней назад

    Tm yote wancheza viungo tu au?😂 uchambuz bana