Katika itarveu niliowaikuona nibora sana kwangu niya dereva wasimba achiliambali kwamba nidereva lakini alivyo kua anajibu nizaidi ata yamwandishi aliekua anamuoji ila nimegundua nidereva anaefatilia sana sheria za kaziyake kama dereva big up super drive one love wewe kwangu ndio bora kuliko ata Wanasiasa
Kila kitengo Simba iko vizuri,tofauti na walamba asali. Simba Queens wanaongoza ligi....Kaka zao Simba S.C. wanaongoza ligi ....Mashabiki bora Afrika Simba S.C.....Mitandaoni nako ni no.3 Afrika.....nk. Simba Ubaya Ubwela".
Tunamwomba mungu aitie nguvu simba pia na wachezaji wote waongeze juhudi ahidi yetu itimie ubaya ubwela ❤❤❤
Brother peter big up sana mungu akutangulie katika kazi yako
Huyu ni DERE mwenye weledi na kaz yake yaani simbaaaaaaa nawapongeza enough mature
Mungu akutangulie kwa kila jambo ww nidereva wakipekee xn tunajivunia kua na ww ❤❤💪💪💪💪
Ongera sana kaka wa mnyama mwenzetu❤❤❤❤
Family ni Moja tyu 👉 Crown 👑 Media 🔥🔥
Katika itarveu niliowaikuona nibora sana kwangu niya dereva wasimba achiliambali kwamba nidereva lakini alivyo kua anajibu nizaidi ata yamwandishi aliekua anamuoji ila nimegundua nidereva anaefatilia sana sheria za kaziyake kama dereva big up super drive one love wewe kwangu ndio bora kuliko ata Wanasiasa
Dereva wa group stage, dereva wa CAF. Nomaa
Hongera
Mungu akubali dereva 💪💪
Mm nilidhani Ahmed Ali
Hongera nafuata nyayo zako❤❤
Upo sawa dreva hongera
Kama bonsai ya wachezaji wanakuunganisha safi sana
Mashabiki wa Simba wote wana akili timamu 🎉🎉🎉🎉
Vibaya mnooo
Haswaaaaaaa
Kila kitengo Simba iko vizuri,tofauti na walamba asali.
Simba Queens wanaongoza ligi....Kaka zao Simba S.C. wanaongoza ligi ....Mashabiki bora Afrika Simba S.C.....Mitandaoni nako ni no.3 Afrika.....nk. Simba Ubaya Ubwela".
Siwezi kuisahau timu yangu daah
Crown 🔥🔥
Dereva mwenye sifa kuendesha wazee WA hatua ya makundi
Wajina huyoooo hakuna peter fala
Una akili Sana 🙌🙌🙌🙌
Nice driver ❤❤😅
🔥🔥🔥
Nimeipenda hiyo "Traffic shabiki wa utopolo kalisimamisha bus la Mnyama"😂😂😂
Hongera dreva ubinadamu mtupu simba nguvu mmoja,ubaya ubwela
❤❤❤❤
💥💥💥💥💥
Dereva mziri sana
Mtu wa mana kabisa davo
SAUTI YAKE KAMA YA AHMED ALLY KWA MBAAAALIIII😂
Simba nguvu moja
Huyu dereva anajibu maswali kama dereva lkn Mimi naelewa maswali ya mshkaji hayajalenga kile anachojubu dereva 😂😂😂
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🦁🦁🦁💪💪
Mwandishi, kumbuka matokeo ni matokeo,ukifunga ni matokeo ukifunga na sare pia ni matokeo,siyo kama unavyosema kwamba Kuna wakati hawapati matokeo
Nassib mkomwa mtangazaji mahiri sanaa
❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂
😮
Jamaa kichwa hiki
Ametixha
Ubaya ubwelaaaa
Derev wa mabingwa wa shirikisho CAF
Semaji kashasema saiv kila anayefanya kazi simba ni star😂😂
Ubaya ubwela
Nakbr
Og
Akili na Moyo
UKO VIZUR MTANGAZAJI
Kusema kweli Mimi shabiki wa simba Bali huyo dereva apunguze speed zake juzi katukosa kutugonga mbweni roundabout
ukiiona ipishe ulitaka upishwe wewe au? wakati watu wanaenda na muda
Kwa nn Uto uwaite wananchi? Huyu dereva ni Yanga