BUTIKU AKEMEA WANACCM KUCHANGISHA FEDHA ZA FOMU YA RAIS."RUSHWA IMEKUWA NDIO MAISHA YA WATANZANIA"
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Hongera Mzee Butiku. Mungu atusaidie.
Asante mzee butiku Tanzania imeharibika sanaa 😢😢
Mzee Mama yumo kwenye rushwa.
Nimekuelewa baba Mzee Matiku
Rushwa Rushwa kila mahali hata rais
Raia tumeiga kwa watawala. Yesu alisema mwivi akija nyumbani, umshika kwanza mwenye nguvu. Rushwa imeshika CCM
Wanapiga makofi lakini wamejaa rushwa.
Wanamchangia fedha Rais ili kujipendekeza wapate teuzi
Kwami nyumba za waindi nyerere alijimilikisha nyummba muindi mpaka anajengewa na jeshi uyo kiongozi mwalim nyerere ni mzalendo wa kweli
Why Mzee Butiko and not Wasira
Wengi hawajui historia ya Mzee Butiku. Tuisome ili tuijue hiyo historia na pia tumjue huyu Mzee Butiku.
Machawa wengi saanaaa 😢
Inasikitisha
Na awamu hii Kwa mauvu ya ccm rushwa itatembea kama takukuru wapo wanasema nini wakati wa uchaguzi wanawekwa mifukoni
Wasirudishi.pesa
Kijana unasema uzalendo umepungua sana, kwamba uko chini sana. Fanyeni utafiti, comparative analysis ya Nchi zenye uzalendo wa juu na hii yetu yenye uzalendo wa Chini. Ili kuona tofauti ni zipi?
Machawa buana!
Mzee mnazunguka mno wazi sema ccm imepoteza sera ya chama jembe na nyundo
Ccm.imefika.mwisho
Butiku, wazee wetu mnaona mbali...... Hatuchagui viongozi bali tunanunua uongozi
Rais anayegawa pikipiki kila mkoa hivi sasa, anagawa rushwa ili achaguliwe ktk uchaguzi ujao! Lakini kwa katiba iliyopo hakuna anayeweza hata kumuuliza SSH kuhusu hilo; badala yake wanaokemea rushwa hawatateuliwa na huenda wakakamatwa na kuzushiwa kesi na kufungwa jela kama ndio wakosaji! Mzee Butiku kabaki pekee yake kule ccm, wengineo wote walaji na hakuna tiba mbadala bali katiba mpya inayorudisha mamlaka kwa wananchi (umma).
Chawa wamekutana
MZEE BUTIKU POLE SANA MZEE MZIMA UNAJIDHALILISHA SANA!!! KWELI NJAA MBAYA!!!! ONGEA YAKO NI DHAHIRI UNAPINGA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGPUZI, UNAZEEKA VIBAYAND!!!I
Wewe babu mbona fitna mbona nyerere alivyochukua nyumba za wahindi ulikaa kimya unaona ni haki alioifanya au kwa sababu na wewe ulifaidika na dhulma hiyo
Kaya, shuleni na nyumba za Ibada mzee. Ndizo sehemu muhimu. Sehemu hizo zinaweza kupunguza tatizo .
Wote hawo ni wajinga mzee butiku chama chetu kimekufa kinanuka. Hakuna uzarendo wezi wote wananuka ccm,