BUTIKU AKEMEA WANACCM KUCHANGISHA FEDHA ZA FOMU YA RAIS."RUSHWA IMEKUWA NDIO MAISHA YA WATANZANIA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 27

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga 3 месяца назад +1

    Hongera Mzee Butiku. Mungu atusaidie.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 месяца назад +1

    Asante mzee butiku Tanzania imeharibika sanaa 😢😢

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 3 месяца назад +2

    Mzee Mama yumo kwenye rushwa.

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 3 месяца назад

    Nimekuelewa baba Mzee Matiku

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 месяца назад +2

    Rushwa Rushwa kila mahali hata rais

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 3 месяца назад +1

    Raia tumeiga kwa watawala. Yesu alisema mwivi akija nyumbani, umshika kwanza mwenye nguvu. Rushwa imeshika CCM

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 3 месяца назад +1

    Wanapiga makofi lakini wamejaa rushwa.
    Wanamchangia fedha Rais ili kujipendekeza wapate teuzi

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 3 месяца назад

    Kwami nyumba za waindi nyerere alijimilikisha nyummba muindi mpaka anajengewa na jeshi uyo kiongozi mwalim nyerere ni mzalendo wa kweli

  • @francisjohanes3027
    @francisjohanes3027 3 месяца назад

    Why Mzee Butiko and not Wasira

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 3 месяца назад

    Wengi hawajui historia ya Mzee Butiku. Tuisome ili tuijue hiyo historia na pia tumjue huyu Mzee Butiku.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 месяца назад +1

    Machawa wengi saanaaa 😢

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 3 месяца назад

    Inasikitisha

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 месяца назад +1

    Na awamu hii Kwa mauvu ya ccm rushwa itatembea kama takukuru wapo wanasema nini wakati wa uchaguzi wanawekwa mifukoni

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 месяца назад

    Wasirudishi.pesa

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 3 месяца назад

    Kijana unasema uzalendo umepungua sana, kwamba uko chini sana. Fanyeni utafiti, comparative analysis ya Nchi zenye uzalendo wa juu na hii yetu yenye uzalendo wa Chini. Ili kuona tofauti ni zipi?

  • @amosmangura
    @amosmangura 3 месяца назад

    Mzee mnazunguka mno wazi sema ccm imepoteza sera ya chama jembe na nyundo

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 3 месяца назад

    Ccm.imefika.mwisho

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 месяца назад

    Butiku, wazee wetu mnaona mbali...... Hatuchagui viongozi bali tunanunua uongozi

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 3 месяца назад

    Rais anayegawa pikipiki kila mkoa hivi sasa, anagawa rushwa ili achaguliwe ktk uchaguzi ujao! Lakini kwa katiba iliyopo hakuna anayeweza hata kumuuliza SSH kuhusu hilo; badala yake wanaokemea rushwa hawatateuliwa na huenda wakakamatwa na kuzushiwa kesi na kufungwa jela kama ndio wakosaji! Mzee Butiku kabaki pekee yake kule ccm, wengineo wote walaji na hakuna tiba mbadala bali katiba mpya inayorudisha mamlaka kwa wananchi (umma).

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 3 месяца назад +1

    Chawa wamekutana

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 3 месяца назад

    MZEE BUTIKU POLE SANA MZEE MZIMA UNAJIDHALILISHA SANA!!! KWELI NJAA MBAYA!!!! ONGEA YAKO NI DHAHIRI UNAPINGA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGPUZI, UNAZEEKA VIBAYAND!!!I

  • @bongo39
    @bongo39 3 месяца назад

    Wewe babu mbona fitna mbona nyerere alivyochukua nyumba za wahindi ulikaa kimya unaona ni haki alioifanya au kwa sababu na wewe ulifaidika na dhulma hiyo

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 3 месяца назад

    Kaya, shuleni na nyumba za Ibada mzee. Ndizo sehemu muhimu. Sehemu hizo zinaweza kupunguza tatizo .

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 3 месяца назад

    Wote hawo ni wajinga mzee butiku chama chetu kimekufa kinanuka. Hakuna uzarendo wezi wote wananuka ccm,