Ebl DRuCuLa ft 20 percent -Wape Wembe (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 766

  • @raymondmboro7445
    @raymondmboro7445 4 года назад +67

    Ngoma Kali.. Wangap tumemfat 20 Pasent

  • @prosperprotace9384
    @prosperprotace9384 4 года назад +36

    Broo 20% mashabiki zako bado tupo hatujakutupa, kama na we nishabiki mwenzangu like apo chin

  • @hassancharles4395
    @hassancharles4395 4 года назад +92

    Good brooo badooo tunakupenda sanaa Kama we ni shabiki wa 20% like Kama zote tufike 1000 naa huyuu jaman anae mkumbka nazani huwezi pita bila like yako hapa

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 4 года назад +7

    Roho mbaya cna chuki cna majivuno cnaa nimejaaliwa hekima heshima na utu uzimaa mola wangu WAPE WEMBE. Dah noma thana

  • @javamedia9616
    @javamedia9616 4 года назад +136

    Nilivyojua yupo 20% nikaiwahi like zangu jaman kama unamkubal

  • @shukurulove5431
    @shukurulove5431 4 года назад +158

    Naimani twent atadondosha mwakauhu nakuamini sana anaaye mwamini sana shusha like kama zote🔥🔥🔥

  • @livingstonekabantega
    @livingstonekabantega 4 года назад +18

    Kama unamkubariiiiiiiii 20per cent eb gonga like yako hapa nione kwanza

    • @NelsonNasar
      @NelsonNasar 9 месяцев назад

      mimi nakubalii tagu nikiwa mtoto mudogo nabali yimbo ya tamahambya nayakubali nipe namba yako nikupigiye kaka

    • @NelsonNasar
      @NelsonNasar 9 месяцев назад

      akuna musaniyiii namukubalii kama wewe

  • @lovechance2905
    @lovechance2905 4 года назад +3

    20% wewe ni ndugu ya mziki, maana huimba maana,shauri, 20% Mungu akusaidiye, katika Afrika sikulinganishe na mwengine mwana mziki, ipo siku nitakutafuta wewe,

  • @tumainijonas1765
    @tumainijonas1765 4 года назад +59

    Kama unamkubar 20% gonga like!

  • @goodluckymassawe4718
    @goodluckymassawe4718 4 года назад +163

    Kwatulielewa ngoma Hiyooo like Kama zoteeee

  • @jaromejonas5910
    @jaromejonas5910 4 года назад +27

    Mziki mzuri haujifichi lazima wa2 wausikilize muda wote big up sana bro 20👏

  • @akbarmpemba6990
    @akbarmpemba6990 4 года назад +3

    Mwanangu 20%sio mtu mzur yani wew kweli ni msanii wa kudumu hatareee yani.ushauli wangu tuu wekeza mno ktk music usiogope kutumia galama kubwa ktk video ili ufike mbali zai.yani namona ndani yako jah prayzah

  • @saidndaro6630
    @saidndaro6630 4 года назад +21

    Hebu hii song 20% irudie bila ya featuring imba pekeyako najua ingekua kali sana CHORUS sounds so so nice

  • @dullysanto1672
    @dullysanto1672 4 года назад +7

    kama kunamtu kaurudia huu wimbo zaid ya mara mbili gonga like tujuane

  • @moureenmartin4125
    @moureenmartin4125 4 года назад +22

    20% tunakupenda usikae kimya... tupo fans wako tutaview hadi kieleweke... sema huu wimbo ni🔥🔥🔥🔥

  • @elias4Keshi
    @elias4Keshi 4 года назад +23

    From Burundi like nyingi hapa kwa 20%

  • @asadibakili4453
    @asadibakili4453 3 года назад +3

    Dah nyimbo safy aseeeee hakuna matus matus.....😭😭😭🙏🙏🙏 Safy embu mtafute mpge nyimbo nyingine

  • @norbertjeremia504
    @norbertjeremia504 4 года назад +162

    Walio kuja baada ya kuona 20% like hapa👇👇

  • @cecilendasima9062
    @cecilendasima9062 3 года назад +6

    ♥️ kwa msani wangu nimpendaye sana ,ninayo furaha kumba mnoo yakumuona tena akirudi ,%kweli wape wembe wanao jivuna !⚒️⚔️. ✌️🇨🇩🇨🇩

  • @moses_apple
    @moses_apple 4 года назад +38

    from 254.... nairobi kenya
    ni kwa mara yangu ya kwanza kuwajua nyote wawili....
    mziki mzuri video safi yenye heshima na message safi
    nipeni like za kenya.... tukiendelea kusubscribe na kulike na kushare

  • @josepharantony9992
    @josepharantony9992 4 года назад +5

    Tulio angalia na wtt wetu bila aibu piga kelee kwa 20 ake we wewe weweweeeeee

  • @kallyskanerlo3797
    @kallyskanerlo3797 4 года назад +38

    njoon msikie muziki na sio makelele mixer matusi...kama umenjoy zaid yangu like yako muhimu..

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 4 года назад +1

      VPL na EPL havifanan na ndo ata kwwny mziki wa tz kuna wengne wanafanya mziki wadunia na wengne wanafanya mziki wa watz tuu

    • @Madanstars
      @Madanstars 4 года назад +2

      Tuliza mshono maaana yake nini
      Na neno nyege nyege maana take nini

    • @ebldrucula5319
      @ebldrucula5319  4 года назад

      Kama unaimba nyege nyegezi unapaswa kuacha na uimbe nyimbo za maana lkn ukikatika nyege nyege nakupunguza Wenge kwahiyo unatuliza mshon

  • @razackhamis4375
    @razackhamis4375 4 года назад +127

    Tulokuja sababu ya 20% tujuane kwa like na reply hapa

  • @giliadypalangyo132
    @giliadypalangyo132 4 года назад +6

    Nimeamua kuirudia tena aiseee ujumbe bomba sana wakina tembo wanaimba mapenz tu sijui wanafundisha uko nn

  • @aeyzee4ever607
    @aeyzee4ever607 3 года назад +1

    Huu ndio music wenye international melody kazeni Wana huu msic sio wa wanna pua

  • @eliyaernest6327
    @eliyaernest6327 4 года назад +14

    King 20% We ni Moto ludi Kaka tumechoka matusi mbele ya watoto wetu

    • @khasanmusa3508
      @khasanmusa3508 3 года назад +2

      Pamoja sana

    • @samwelychomba6951
      @samwelychomba6951 3 года назад +1

      MANENO YA MTOTO ALIEFUNZWA AKASIKILIZA YA WAZAZI NI MKUU DAAA KUNA ZINGINE UKIWA NA WANAO UNATOKA MBIOO MWENYEWE BILA KUFUKUZWA FULL RESPECT PAA ASILIMAILE

    • @samwelychomba6951
      @samwelychomba6951 3 года назад +1

      KWELII TUPUUU NGOMA ZOTE MOTO💥🔥💥🔥💥🔥💥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @africafreedom9621
    @africafreedom9621 4 года назад +1

    Nyimbo ya kawaida saaaana labda ukiweka umakini kwa baadaye utaweza

  • @mohamedkitalima7546
    @mohamedkitalima7546 3 года назад +2

    Dunia sio janja janja Kama Babu tale hivyo ndio nilivyockia au masikio yangu

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 3 года назад +1

    Uyu ndio msniii wangu wamaisha yangu yote nauyu ndio tem yngu

  • @hassansawasawa1941
    @hassansawasawa1941 4 года назад +16

    Wenye muziki wao washarud mjin, honger San brother kaz buti

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 4 года назад +1

    Aiseee bonge la kaz.....watu wazima wenzangu tumsapot20 kwa Hali na mali.

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 3 года назад +2

    Combinenga nzur Sana hii

  • @Directorjax55
    @Directorjax55 4 года назад +2

    Uwiiiiiiiiiiiii leo nmefurah sn nmeiakia hiii ngoma Kali kbsa wape wembe 20 percent nmeelewa noma sn hakika game unaliweza shabk zako tulikusubioi kwa ham sn sahv hamna kurud nyuma tunasonga mko vzur na huyo mkali

  • @millyjames3315
    @millyjames3315 4 года назад +7

    Sure! Umeweza na sauti yako 20% iko vile vile nzuri

  • @giliadypalangyo132
    @giliadypalangyo132 4 года назад +4

    Mimi toka nianze kumfatilia 20 hajawahi kuimba nyimbo mbovu hakika zote nimashine

  • @einastykasola5120
    @einastykasola5120 3 года назад +3

    Nikiwakilisha Kenya. Kaka ngoma zako zimenifunza mengi sana. Zidi kutuelimisha na kututumbuiza. One ❤️❤️❤️❤️❤️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @callebombogo5545
    @callebombogo5545 4 года назад +51

    My favourite Tanzania artist, 20%kenya loves you 🇰🇪

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 года назад +11

    Mmekosa jina LA kisanii kweli LA kumpa huyu mwamba mpaka kutumia *DluCuLa* 😂😂😂😂😂 jina gumu mnoooo linasahaulika ndani ya dakika 2

  • @johnmnary6618
    @johnmnary6618 4 года назад +4

    Ngoma kal sana inaujumbe wakutosha hakuna tisi humu kama umegundua hilo gong lik twende saw

  • @edigamumbere352
    @edigamumbere352 Год назад +1

    Ngoma kali🇨🇩🇨🇩💪🚶🚶🚶🏃

  • @mariacharles8906
    @mariacharles8906 3 года назад +2

    Hivi kwnn huwa mnaomba like

  • @DocteurDeBrowski
    @DocteurDeBrowski 4 года назад +2

    Mafala zote wa Nairobi na wapa wembe haki siyo Mimi%

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 3 года назад +3

    Ebl drucula maile mbish nyinyi ni hataree

  • @abdallahseif7954
    @abdallahseif7954 4 года назад +21

    Shusha mizigo bro once twenty always twenty

  • @Sylvana-7
    @Sylvana-7 4 года назад +14

    My favourite Tz artists, Respect from Canada 🇨🇦 to 20 Percent and EBL Drucula

  • @mulikatvonleni5339
    @mulikatvonleni5339 4 года назад +1

    Nakubari mwalimu wa muzik wa maisha tunataka yakufungia MWAKA 20% huyo mwanamzik wako yupo vzr abahatish kibampa aikatai

  • @kilasnkana8645
    @kilasnkana8645 3 года назад +2

    Kalii

  • @baddesmoney99
    @baddesmoney99 4 года назад +41

    20% Iposti kwako please ni kali sana🔥🔥🔥🔥

  • @vascobenedict488
    @vascobenedict488 4 года назад +2

    Pamoja broo twenty ukiwa na kakaetu mpendwa druqla tunawapenda Dana

  • @selemanijeanclaude9203
    @selemanijeanclaude9203 4 года назад +31

    Kama mumekubali kuwa tumekuja kupotesa miziki zamatusi piga like apa na kama umewakubali weka neno apo

  • @samirahassan2834
    @samirahassan2834 4 года назад +6

    Wenye wivu wajinyonge wataelewa tu ✌

  • @akbarmpemba6990
    @akbarmpemba6990 4 года назад +2

    Jamani 20% ni jah prayzah wa bongo.ndio namuona hapo ebu isilize hiyo nyimbo malanyingi uone umsikie vizur jah prayzah

  • @salhaissa2619
    @salhaissa2619 4 года назад +16

    Aya wakiamanzi wezangu 2juane hapa kwa like! Kumsapot bro we2 20/

    • @beatusmasawe8284
      @beatusmasawe8284 4 года назад +1

      Safi Sana 20 unajua mi napenda tu kasauti kako kananikosha sana

    • @husseinkaoneka5834
      @husseinkaoneka5834 4 года назад +1

      mimi hapa njoo KILIMAHEWA HOSPITAL utanikuta mamaa SALHA

  • @saidathuman1258
    @saidathuman1258 4 года назад +3

    braza unajua unaimba vi2 vya kufundisha achana na wanaimba matusi

  • @bonphaceorihema7798
    @bonphaceorihema7798 4 года назад +1

    jamaa huwa hakosei kabisa big up 20%

  • @hamisjuma7696
    @hamisjuma7696 4 года назад +1

    Sawa broo kaza game niyako hiii toka kitambo 2nalijua hilo

  • @aizackcoster9799
    @aizackcoster9799 4 года назад +1

    Pamoja sana ndugu pia tunaitaji mzik mzur na weny isia nzuri

  • @michaeljaphet6168
    @michaeljaphet6168 4 года назад +13

    Kama bado unamkubali gonga like apooo...

  • @augusteselemani4181
    @augusteselemani4181 4 года назад +5

    Mziki mzuri unajipeleka mwenyewe ongereni sana from Canada 🇨🇦

  • @elinamisamwel2110
    @elinamisamwel2110 4 года назад +4

    Saluti kwako 20 P tumemiss sana kaz zako salamu zikufikie popote ulipo

  • @jimsonmwakatundu677
    @jimsonmwakatundu677 4 года назад +1

    20 unajua mzeeeeeeeee daaaaaah usikae muda mrefu boss unatunyima raha mashabiki zako.

  • @danielkaristo1697
    @danielkaristo1697 4 года назад +17

    Respect sana mmetisha bonge la ngoma ya 🔥🔥🔥 mungu abless kazi za mikono yenu pamoja sana. 🙏🙏🙏

  • @dorkasialimasi8175
    @dorkasialimasi8175 4 года назад +3

    Jamn ww kwa ukali uyo mko fresh kwel❤️💘

  • @bnuktabmbogoshi845
    @bnuktabmbogoshi845 3 года назад +1

    Kizazi sana...!!

  • @hamismabilu2292
    @hamismabilu2292 4 года назад +3

    Nimekubali mzazi bonge moja ya kazi..chorus umeitendea haki kma ilivyo kawaida yako huwa hukosei..ONE LOVE!

  • @asukulumceleca2104
    @asukulumceleca2104 4 года назад +22

    Here we go! the waiting is over 20% the best artist of all time
    Hongereni sana sana kwa wimbo mzuri. Elb.

  • @andrewjulius6796
    @andrewjulius6796 4 года назад +2

    20%,,,mshauri esha baba lao kujiweka kama msanii wa kisasa amekaa kama muimba nyimbo za kisukuma hata cheza yake.

  • @sefumusamsodo8082
    @sefumusamsodo8082 4 года назад +3

    Daaah ngoma Kali sana honger trent

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 4 года назад +3

    Brother 20 aisee tulikumis San kaka kalibu tupo kaz nzuri jikaze kaka hata Kama game ni ngum bhna b💪 Dr sauti ile ile Yan

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack467 4 года назад +1

    Nyimbo za kuelimisha Jamii siyoo uchafuu Kama za wasafi

  • @bongeiddy7270
    @bongeiddy7270 4 года назад +2

    kaka mkubwa nakukubari sana kazi buti mzee

  • @silasnnko1221
    @silasnnko1221 2 года назад +1

    Mwamba usipotee tena shikilia nafasiyako kwamikonomiwil tulikumiss sanabroh welcome again for your Carie

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 4 года назад +5

    20% wewe ni fire nyimbo nzuri sana kweli wewe regend

  • @allybin08
    @allybin08 4 года назад +1

    Wee jamaaa unajuwa wengine wanazingua tu

  • @emannueljohn3502
    @emannueljohn3502 4 года назад +1

    Twent mwenye mziki wakeee heshima kwako

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 4 года назад +7

    🔥🔥🔥🔥 song
    20% tulikumiss sana

  • @AsiaSaidimwamba
    @AsiaSaidimwamba 12 дней назад +1

    Tupo pamoj washkaj

  • @expert5898
    @expert5898 4 года назад +5

    Bonge la wimbo Hilo hapo.... Big up sana

  • @barakakayeba5206
    @barakakayeba5206 4 года назад +2

    Nakubali DRA cula Feat twenty percent,sasa mfanye cruel kabisa,iwe kama mmekuja kivinge mtoa track NYINGI,then ndio kila mtu afanye kivyake

  • @mkonotv2120
    @mkonotv2120 4 года назад +2

    Roho mbaya sina,chuki sina,majivuno sina
    Nimejaliwa hekima,heshima na utu uzima
    Tuwape wembe masnich ngoma inapepea!!!!!

  • @lucasnchora5535
    @lucasnchora5535 4 года назад +7

    Hello Tanzania 20pacenty is back never foget you my brood never give up you are so tarent man

  • @hadijaothman5586
    @hadijaothman5586 4 года назад +1

    Aisee 20%nakupendaga siku zote ebu rudi kwa game basi

  • @filbertmakasi8493
    @filbertmakasi8493 4 года назад +1

    Kwel nimeamin Panga la Zaman haliishi makali .....💪💪💪💪 kwako twenty

  • @bigfavodanizia7444
    @bigfavodanizia7444 4 года назад +2

    Welcome again to Mozambique

  • @officialdadys3547
    @officialdadys3547 4 года назад +3

    20 per njoo ututoe katika huu mziki wa kisasa maana saivi wazee hawapigi nyimbo za kibongo kabisaaa

  • @sisdell1779
    @sisdell1779 4 года назад +3

    Mola wape wembe wajichane wenyewe, wimbo uliokomaa bado tunakupenda 20%

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 4 года назад +1

    Noma Thana hii ngoma

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 4 года назад +5

    Keep it up Dracula...the future is bright.

  • @mgwenojr391
    @mgwenojr391 4 года назад +3

    Upowap brother upowapiiiii ? Daah wanao una2kosea sana brother kmbuka wanamuzik sasahvhakna bro emb fanya uje brother

  • @sosomokobiasharamgaya1449
    @sosomokobiasharamgaya1449 4 года назад +4

    Kazi kubwa 20%Rudi tunamis mziki mzuri tumechoka na hizi bablish

    • @raysingeli
      @raysingeli 4 года назад

      Pitia kwangu nawimbo prz pitia you

  • @fransiscosulle6981
    @fransiscosulle6981 4 года назад +1

    Wape wembe kaka 😝😝😝😝😝 piga kazi bonge la song tisha sana 20% 100% kaka

  • @jay-kl9gk
    @jay-kl9gk 4 года назад +1

    Nampendaga sana huyu kaka jamani uwii hajawahi nitokaga kwa kweli

  • @sharifuanuary4816
    @sharifuanuary4816 4 года назад +5

    Dah 20% ndio msanii waekee mwenye kutoa elimu ya bure tz

  • @princelucang4317
    @princelucang4317 4 года назад +1

    Oooh karud mwenye mzk wake

  • @deboraneema3148
    @deboraneema3148 3 года назад +2

    nyimbo kali sana nakwambia lakini mungu awajalie 🙏🏽🙏🏽❤️❤️and I love them so much

  • @sadamramadhan2754
    @sadamramadhan2754 4 года назад +3

    Twenty % na Darasa ni wasanii ninaowakubali saaaaana, hii ingoma IPO poa sana.

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 4 года назад +1

      Kama mimi kumbe nawe unamkubar darasa na 20

  • @josephatrevocatus7203
    @josephatrevocatus7203 4 года назад +1

    Brooo 20 % mungu akupe mazuli uludi kwenye gem mana nakuelewa sanaaaa

  • @SgtSimplis
    @SgtSimplis 6 месяцев назад +1

    Simplis Zamura1contre 100merci 🇨🇩

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 4 года назад +1

    Moja ya wasanii ninaowakubali sana TAMAA MBAYA much respect

  • @iradukundaarnaud8907
    @iradukundaarnaud8907 4 года назад +1

    Nakupenda pia.napenda.ngoma
    Yako.20% nakuku Bali