Rose waua hata chakula sioni chema, sikunyingi zimepita,kumbe ujana una mwisho, Ewe mungu wape Pepo ya Milele Ahmed kipande na washiriki wenzake waliotutangulia mbele ya HAKI ,na tuliobakia utujalie afya njema na mwisho mwema hapa duniani Hamisi Dale Boston Marekani
Huu muziki ulipendwa sana na baba. Nakumbuka alishindwa kuficha hisia zake wakati tunakula usiku, ulipopiga kwenye Radio free baba akaamka akacheza kwa step I love you dad R.I.P ninja
Rose waua hata chakula sioni chema, sikunyingi zimepita,kumbe ujana una mwisho, Ewe mungu wape Pepo ya Milele Ahmed kipande na washiriki wenzake waliotutangulia mbele ya HAKI ,na tuliobakia utujalie afya njema na mwisho mwema hapa duniani Hamisi Dale Boston Marekani
Those legends like Ahmed Kipande, Salum Abdullah, Rashid Hanzuruni and all Oldies Tanzania musicians will be remembered
Naamini kwamba!!! Dr. Ogeto International
Huu muziki ulipendwa sana na baba. Nakumbuka alishindwa kuficha hisia zake wakati tunakula usiku, ulipopiga kwenye Radio free baba akaamka akacheza kwa step
I love you dad R.I.P ninja
Flavious Benedict hahahahahha hata mmi pia baba yangu yupo ivyoivyo,umenifurahisha sanaa
Let his soul rest in eternal peace🙏
Daa nmekumbuka mbali sana ususani mzee wng Af Yakubu jirani yng pale FFU LIND MITWERO alikua akiupenda sana na alikua akiupenda sana
Nakubali Sana miziki ya zamani
Aprill 2021 still listen the old song so fantanstic rather than the currently music oooh .......
so much so much energy's
Nakumbukaga mbali, sana kweli ya kale ni dhahabu
Watu wanateswa na haya mambo miaka hio.. we ni nani unataka leo uinjoy. Rose is coming for you
Nimziki unaoishi
Unaweza kulia!!
Kweli mambo ya kale yalikuwa mambo
Hawa kilwa Jazz walikua moto sana hii nyimbo ilikua kali na bado kali na itabaki kua kali, heshima kwao
Ama kweli kilwa jazz ni noma
❤❤❤❤
Thanks. Never thought l'd come across these Oldies EVER again. Keep up the good work & Zambe bless you!!
Hawa no baba mzki
ya kale dhahabu
nikuckia vitu kama iv moyo eangu unasuhuzka xna nakumbuka mbalxana
Ahmad Kipande
Na kilwa jazz ilikuwa ni hatari ya fire
I LOVE THIS SONG
... tafadhali sikia, tafadhali sikia we mpenzi Rose!
Ya kare ni dhahabu
Glorious.