Rose waua - Kilwa Jazz

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 28

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 5 лет назад +6

    Rose waua hata chakula sioni chema, sikunyingi zimepita,kumbe ujana una mwisho, Ewe mungu wape Pepo ya Milele Ahmed kipande na washiriki wenzake waliotutangulia mbele ya HAKI ,na tuliobakia utujalie afya njema na mwisho mwema hapa duniani Hamisi Dale Boston Marekani

  • @saidkhamis4402
    @saidkhamis4402 5 лет назад +5

    Those legends like Ahmed Kipande, Salum Abdullah, Rashid Hanzuruni and all Oldies Tanzania musicians will be remembered

  • @ogetoj6245
    @ogetoj6245 Год назад

    Naamini kwamba!!! Dr. Ogeto International

  • @flaviousbenedict6489
    @flaviousbenedict6489 5 лет назад +10

    Huu muziki ulipendwa sana na baba. Nakumbuka alishindwa kuficha hisia zake wakati tunakula usiku, ulipopiga kwenye Radio free baba akaamka akacheza kwa step
    I love you dad R.I.P ninja

    • @jameschinjeru6646
      @jameschinjeru6646 5 лет назад

      Flavious Benedict hahahahahha hata mmi pia baba yangu yupo ivyoivyo,umenifurahisha sanaa

    • @jamhuricity
      @jamhuricity 3 года назад

      Let his soul rest in eternal peace🙏

    • @shangalsamora7449
      @shangalsamora7449 Год назад

      Daa nmekumbuka mbali sana ususani mzee wng Af Yakubu jirani yng pale FFU LIND MITWERO alikua akiupenda sana na alikua akiupenda sana

  • @AMIDIHAFIDH-ek3we
    @AMIDIHAFIDH-ek3we Год назад +1

    Nakubali Sana miziki ya zamani

  • @barakamuhidini2574
    @barakamuhidini2574 3 года назад +3

    Aprill 2021 still listen the old song so fantanstic rather than the currently music oooh .......

  • @toothsnaggleer
    @toothsnaggleer Год назад

    so much so much energy's

  • @majaliwahassan8007
    @majaliwahassan8007 5 лет назад +4

    Nakumbukaga mbali, sana kweli ya kale ni dhahabu

  • @MadeliTV
    @MadeliTV Год назад +1

    Watu wanateswa na haya mambo miaka hio.. we ni nani unataka leo uinjoy. Rose is coming for you

  • @josephfoma7059
    @josephfoma7059 Год назад +1

    Nimziki unaoishi

  • @kanunidibagula2332
    @kanunidibagula2332 Год назад +1

    Unaweza kulia!!

  • @zainabmbwana2629
    @zainabmbwana2629 9 лет назад +4

    Kweli mambo ya kale yalikuwa mambo

  • @patrickbyeshulilo4945
    @patrickbyeshulilo4945 6 лет назад +6

    Hawa kilwa Jazz walikua moto sana hii nyimbo ilikua kali na bado kali na itabaki kua kali, heshima kwao

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @kimanicaxton1051
    @kimanicaxton1051 4 года назад +2

    Thanks. Never thought l'd come across these Oldies EVER again. Keep up the good work & Zambe bless you!!

  • @saidimfaume8414
    @saidimfaume8414 2 года назад

    Hawa no baba mzki

  • @aisharamadhan4354
    @aisharamadhan4354 4 года назад +2

    ya kale dhahabu

  • @manicothrone6559
    @manicothrone6559 9 лет назад +3

    nikuckia vitu kama iv moyo eangu unasuhuzka xna nakumbuka mbalxana

  • @Msalaba
    @Msalaba 7 лет назад

    ... tafadhali sikia, tafadhali sikia we mpenzi Rose!

  • @santasprees
    @santasprees 5 лет назад

    Glorious.