Mungu naomba unijibu maombi yangu sa hii mm na familiya yang tufunguliwe kiuchumi mimi na mme wangu kiuchumi mtoto wetu paul atembe na kibali chako nikauze nguo zangu satini na batik i leo tu nikifika kazin nikauze nguo zote na nipate oda katika jina la yesu kaonekanike yesu uliye hayi napokeya kwa jina la yesu kila kilicho changu kitaludi kuwa changu ❤❤❤❤❤❤ nakupenda yesu
Napokea kufunguliwa nyota yang, npate kaz, mwaka huu na mm nipate mtoto, mwaka huu ukawe wamafanikio kwang, mwaka huu na mm nipate ndoa na nipate ndoa yeny aman na kumcha mung 🙏 🙏 🙏 amen
Nyota yangu ikafunguliwe kuanziya sa hii wateja wangu nawaamulu wasilale bila kunitafute bila kunipa oda kumbwa ya pus elufu mbili za dabo dabo wakomolo wanitafute wamayote wanitafute maboss zangu wote wanitafute kianziya sa hii wanitajilishe leo wasilale wasipate usingizi mpk wanitafute kwa jina la yesu amina
Najiungamanisha na madhabau ya inuka uangaze nataka nijibiwe maombi yangu kumi na mbili mwngine niliyo danrod kwenye simu. Naomba mungu baba unijibu kama nirvyoomba katika jina la yesu krsto
Najiunganisha na mazabau iweze kunisaidia maombi yangu niweze kuzaa mtoto na naomba niweze kupata wateja weng kazn kwang salon na mmewan aweze kupata wateja weng naomba mmewangu anijali anisikilize Kama mke anavyopaswa kudikilizwa anipende naomba madeni niliyonayo yaweze kufutwa na nisishawishike kuchukua made n naoomba maombi yangu yaweze timia asant yesu asant mungu ameni
Najiungamanisha na mazabahu hii ya inuka uangaze mungu naomba kupitia mtumishi wako boni fasi mwamposa naomba nipokee uponyaji viungo vyangu vyote vipokee uponyaji na kinachonichoma tumboni kikimbie kwa jina la yesu
Kupitia mazabau hii mungu naomba watu sahihi naomba kufungua duka kwa ulaisi sanaa naomba kujenga kwa ulaisi naomba kuuza gali kwa bei kubwa naomba mteja sahii naomba kupona bp naomba mungu wa inuka uangaze nitendee miujiza usiishe mwezi huu
Mungu unisaidie nipate kazi kupitia maombi kumi nambili ❤❤❤
Najiungamanisha Mimi na familia yangu kila kinacho msumbua mtoto wangu kitoweke kwa jina la YESU apate usingizi AMEN 🙏
Mungu naomba unijibu maombi yangu sa hii mm na familiya yang tufunguliwe kiuchumi mimi na mme wangu kiuchumi mtoto wetu paul atembe na kibali chako nikauze nguo zangu satini na batik i leo tu nikifika kazin nikauze nguo zote na nipate oda katika jina la yesu kaonekanike yesu uliye hayi napokeya kwa jina la yesu kila kilicho changu kitaludi kuwa changu ❤❤❤❤❤❤ nakupenda yesu
Mungu kupitia komboa family tarehe hii naomba kupokea uponyaji WA maisha yangu naomba uzima Linda kitanda ninacho lala nipe uzima niambie salama Amina
Napokea kufunguliwa nyota yang, npate kaz, mwaka huu na mm nipate mtoto, mwaka huu ukawe wamafanikio kwang, mwaka huu na mm nipate ndoa na nipate ndoa yeny aman na kumcha mung 🙏 🙏 🙏 amen
Nyota yangu ikafunguliwe kuanziya sa hii wateja wangu nawaamulu wasilale bila kunitafute bila kunipa oda kumbwa ya pus elufu mbili za dabo dabo wakomolo wanitafute wamayote wanitafute maboss zangu wote wanitafute kianziya sa hii wanitajilishe leo wasilale wasipate usingizi mpk wanitafute kwa jina la yesu amina
Najiungamanisha na madhabahu ya inuka uangaze. Yesu nakuomba umponye mdogo wangu ema na kansa
Wadogo zangu wakaongoze darasani mama yangu afanikiwe Katika kazi pia nipate afya njema roho za magonjwa ziteketee kwa Jina la yesu kristo 🙏
Najiungamanisha na madhabau ya inuka uangaze nataka nijibiwe maombi yangu kumi na mbili mwngine niliyo danrod kwenye simu. Naomba mungu baba unijibu kama nirvyoomba katika jina la yesu krsto
Najiunganisha na mazabau iweze kunisaidia maombi yangu niweze kuzaa mtoto na naomba niweze kupata wateja weng kazn kwang salon na mmewan aweze kupata wateja weng naomba mmewangu anijali anisikilize Kama mke anavyopaswa kudikilizwa anipende naomba madeni niliyonayo yaweze kufutwa na nisishawishike kuchukua made n naoomba maombi yangu yaweze timia asant yesu asant mungu ameni
Yeyote aliyepindua maisha yangu natamka kwa jina la Yesu arudishe
Mungu naomba kufunguliwa kiuchumi mimi na mume wangu nq vikta afunguliwe kiuchumi
Najiungamanisha na mazabahu hii ya inuka uangaze mungu naomba kupitia mtumishi wako boni fasi mwamposa naomba nipokee uponyaji viungo vyangu vyote vipokee uponyaji na kinachonichoma tumboni kikimbie kwa jina la yesu
Mungu mukumbuke mwanangu aende jesh wakampoke kwa jina la yesu
Naomba kupona na kula vzr chakula kipite bila shida Kwa jina la yesu 🙏
Kupitia mazabau hii mungu naomba watu sahihi naomba kufungua duka kwa ulaisi sanaa naomba kujenga kwa ulaisi naomba kuuza gali kwa bei kubwa naomba mteja sahii naomba kupona bp naomba mungu wa inuka uangaze nitendee miujiza usiishe mwezi huu
Ninajiunganisha na mathabahu hii ya inuka na uangaze mtoto wangu apone na maisha yangu yafunguliwe.
Napokea uponyaji mwili mzika kila kiungo kipokee faamu ya uponyaji bipi pokea uponyaji kupitia mtumishi wa mungu bonifasi mwamposa ameen
Asant yesu niweze saidiwa maombi yangu naomba niwe naeshmika na kusikilizw
❤❤🎉🎉 AMEN AMEN AMEN
Mungu mbariki mama yngu na dada yngu umpe mume alie bora kwke ameen
Mungu baba nataka uponyaji mwilimzimaniondolee maumivu yaliyo mwilini yaishe kabsa
Najiunganisha naadhabahu hii ya inuka uangaze kinachotembea mwilini kitoke kwa jina Yesu
Najiungamanisha namadhabau opareshen yakomboa familia naomba mungu akafunguliwe ufahamu wake mme wangu arudi nyumbani akumbuke familia yake
Mungu azidi kukulinda na kukutumia mtume, hakika umenifundisha
Naomba mniombee naitaji maombi kupitia mafanikio ninayopokea shetani anazidi kujiinia kwakasi naomba mtumishi wa mungu uniembee nakuitaji mno
Mungu naomba baliki familia yangu
Mungu nisaidie niweze pata wanja na nijenge nyumban yang mom na mme wang
Naomba mungu mbele zako mtumish niweze kufungua biashala nying za kujiendereza
Mtumish naomba nisaidie nipate watoto wawil mapacha wa like na wakiume
Yesu naomba ulinze Kwa Redmond onyago mlinde mponye
Mungu iponye familia yangu
Mungu nisaidie nilipe madeni kirahisi kesho
Napokea kwa jina la yesu
Mungu niondolee roho ya hofu
Naomba mungu mmewangu aweze kwenda kunitolea Ela kwetu
Neematoka zanzibar napokeya baba na mimi napokeya ndoa yangu na mchumba wa gu rajabu nimechoka uchumba sugu
Naomba nifunguliwe kiuchumi katika utafutaj wang
Nipo nazidi kupokea upako wa mazabau ya mwaka mpya uwe wa mafanikio Mengi kwa jina la yesu kristu
Nataka nifanikiwe katika masomo yangu
Ee mwenyezi mungu komboa afya yang u,mlinde laus katika masomo yake ya kidato cha pili nipate afya njema nipone Hiv
Napokea kufunguliea mikono yangu na nyota yangu inarudi.
Nawaunganisha watoto wangu wawe wazima wa afya
Naomba MMewang aitwae gadfrey Layton mswelo tuweze kusikilizana na tuwe na kitu kimoja yes naomba nitendee
Naomba nipate make sahii na kulipwa pesa yangu.
🙏🙏Ameen
Devi aende jeshi bila misukasuko vikta afanikiwe maisha yake mfanikishe vikta kupitia mazabau hihi vikta ufanikia
Namuunganisha mwanagu Adrian na Julieth wawe wazima wa afya
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Namuunganisha sasa ivi mzazi mwenzangu popote alipo asitulie leo asilale kwa ajili yangu pi awakumbuke watoto wake na awahudumie
Kupitia operation komboa family namini yakwamba nitapokea abarinjema
Naomba Kila nachopanga nifanikiwe
Jose apate dabo feza dabo kazi zimiminike ata mama twalo amwite kazini
Elieti apone miguu akaze kutembea namimi nipone miguu
Naomba niwe na mtaji mkubwa wa biashala yang
Eeh yesu leo kwenye mazabau yaweze kutenda maombi yang
Amina
Amina
Eeh yesu nisaidie niweze kufanikiwa kwa Kila Jambo nalopanga
amen
Najingamanisha na mathabahu hii yainuka uangaze niweze kupona
Baba yangu ulikonitoa bastu
Wanaonizuri mauti nataka ziwarudie wao
Nifunguliwe kiuchumi
Nakomboa nyota yangu
Balidi likimbie
Niponye
Amina