Комментарии •

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba 13 дней назад +2

    Aiseeeee, safi sana kwa kazi nzuri Jeshi la polisi Mkoa Shinyanga. Piga kazii,piga kaaziii

  • @emmanuelmriba
    @emmanuelmriba 14 дней назад +5

    Chunguzeni vzr kuna connection kubwa hapo sometime wafanyakazi wa bank sio watu wazr hao ndio michezo yao.

  • @michaelkitebo9305
    @michaelkitebo9305 14 дней назад +5

    Ni kweli Mimi MWENYEWE nipo kahama

  • @joycelinekobero7724
    @joycelinekobero7724 14 дней назад +3

    Mmmh???how do u transfer such huge amount without approvals????

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 14 дней назад +5

    Yaani baadhi ya watumishi wa mabenki siyo waaminifu.

    • @Bushman000
      @Bushman000 13 дней назад

      Kabisa baadhi sio waaminifu
      imemkuta jamaa angu wa karibu
      alikopa million 5, baada wiki kadhaa alipoenda kubadili aina ya akaunti toka chapchap, alikutana na taarifa kuwa alikopa million 10😢
      Tunashukuru polisi na mahakama waliweza baini udanganyifu huu baada ya kufanyika uchunguzi kwa huyo mtumishi wa benki ilionekana ni tabia yake kufanya udanganyifu wa kujaza fomu nyingine kuwa mteja aliongeza mkopo wkt sio kweli..😢

  • @jacksonmsele1500
    @jacksonmsele1500 13 дней назад +2

    Aiseee hawa wawekwe ndani

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 10 дней назад +1

    Siku moja nilienda bank kuchukua hela nilitumiwa kama miaka 3 iliyopita milioni 2. Sasa wakati imetoka naanza matumizi nikakuta kasoro ya sh.150000 na nilishatoka bank. Kweli watumishi wa bank wengi wezi

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 14 дней назад +2

    Tutaibiwa sana nchi hii

  • @pwaniseries
    @pwaniseries 14 дней назад +2

    Aisee tuwe makini jamani

  • @mataresenso9780
    @mataresenso9780 13 дней назад +2

    Mmmmmmhh

  • @Richiejosephmalangwa-fd4si
    @Richiejosephmalangwa-fd4si 6 дней назад

    Duuhh

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 7 дней назад

    CRDB ni tatizi...ilikuwa bank nzuri enzi uongozi wa Kimeu, ila tangu alivyoondoka Charles Kimei ..wameingia wezi..ni kila tawi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 12 дней назад

    Ndo kaz zao,hii itakua sii mara ya kwanza.maaana kutokea dar had kahama ujue walishazoea,kufanya kaz hawataki wanataka vya bure bure.

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 14 дней назад +3

    Nilijua wizi benk lazima benkers wenyewe wahusike

  • @user-wk8yl6jp9i
    @user-wk8yl6jp9i 12 дней назад

    DUUUU #CRDB??? HATUPO SALAMA

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 14 дней назад +1

    Kamata hao Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu wakalime

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahi 13 дней назад +1

    Yani natamani kulia nikisika izi habari za crdb jeshi la police lisipopania kweli hii cheni haishi tena wanaiba pesa wanatumia account za watu kuhifadhi na kutoa pesa unajikuta kwenye matatizo wl hujui kitu mwanangu kafika kuekwa ndani kwa huu mchezo