Kabisa baadhi sio waaminifu imemkuta jamaa angu wa karibu alikopa million 5, baada wiki kadhaa alipoenda kubadili aina ya akaunti toka chapchap, alikutana na taarifa kuwa alikopa million 10😢 Tunashukuru polisi na mahakama waliweza baini udanganyifu huu baada ya kufanyika uchunguzi kwa huyo mtumishi wa benki ilionekana ni tabia yake kufanya udanganyifu wa kujaza fomu nyingine kuwa mteja aliongeza mkopo wkt sio kweli..😢
Siku moja nilienda bank kuchukua hela nilitumiwa kama miaka 3 iliyopita milioni 2. Sasa wakati imetoka naanza matumizi nikakuta kasoro ya sh.150000 na nilishatoka bank. Kweli watumishi wa bank wengi wezi
Yani natamani kulia nikisika izi habari za crdb jeshi la police lisipopania kweli hii cheni haishi tena wanaiba pesa wanatumia account za watu kuhifadhi na kutoa pesa unajikuta kwenye matatizo wl hujui kitu mwanangu kafika kuekwa ndani kwa huu mchezo
Aiseeeee, safi sana kwa kazi nzuri Jeshi la polisi Mkoa Shinyanga. Piga kazii,piga kaaziii
Chunguzeni vzr kuna connection kubwa hapo sometime wafanyakazi wa bank sio watu wazr hao ndio michezo yao.
Ni kweli Mimi MWENYEWE nipo kahama
Mmmh???how do u transfer such huge amount without approvals????
Yaani baadhi ya watumishi wa mabenki siyo waaminifu.
Kabisa baadhi sio waaminifu
imemkuta jamaa angu wa karibu
alikopa million 5, baada wiki kadhaa alipoenda kubadili aina ya akaunti toka chapchap, alikutana na taarifa kuwa alikopa million 10😢
Tunashukuru polisi na mahakama waliweza baini udanganyifu huu baada ya kufanyika uchunguzi kwa huyo mtumishi wa benki ilionekana ni tabia yake kufanya udanganyifu wa kujaza fomu nyingine kuwa mteja aliongeza mkopo wkt sio kweli..😢
Aiseee hawa wawekwe ndani
Siku moja nilienda bank kuchukua hela nilitumiwa kama miaka 3 iliyopita milioni 2. Sasa wakati imetoka naanza matumizi nikakuta kasoro ya sh.150000 na nilishatoka bank. Kweli watumishi wa bank wengi wezi
Tutaibiwa sana nchi hii
Aisee tuwe makini jamani
Mmmmmmhh
Duuhh
CRDB ni tatizi...ilikuwa bank nzuri enzi uongozi wa Kimeu, ila tangu alivyoondoka Charles Kimei ..wameingia wezi..ni kila tawi
Ndo kaz zao,hii itakua sii mara ya kwanza.maaana kutokea dar had kahama ujue walishazoea,kufanya kaz hawataki wanataka vya bure bure.
Nilijua wizi benk lazima benkers wenyewe wahusike
DUUUU #CRDB??? HATUPO SALAMA
Kamata hao Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu wakalime
Weni chizi kweli
Chizi kivip
Yani natamani kulia nikisika izi habari za crdb jeshi la police lisipopania kweli hii cheni haishi tena wanaiba pesa wanatumia account za watu kuhifadhi na kutoa pesa unajikuta kwenye matatizo wl hujui kitu mwanangu kafika kuekwa ndani kwa huu mchezo