BALAA LA DIAMOND! Akipafomu Wimbo wa Kombe la Dunia 2018
HTML-код
- Опубликовано: 11 май 2018
- BALAA LA DIAMOND! Akipafomu Wimbo wa Kombe la Dunia 2018
Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, usiku wa Mei 13, 2018, kwa kushirikiana na kampuni ya Coca Cola wamezindua rasmi wimbo wa kombe la dunia unaoitwa 'Colours' katika ukumbi wa Serena Posta jijini Dar es Salaam.
Wimbo huo ambao umeandaliwa na prodyuza Nahreel kutoka Tanzania na kisha kuimbwa na Diamond pamoja na Jason Derulo kutoka Marekani unatarajia kutumika katika michuano ya kombe la dunia yatakayoanza Juni 13 mpaka Julai 14.
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / global
Mbona plomo ilikuwa kubwa alafu maneno yake ayaeleweki mmmh alafu kumbe muusika ni derl yeye kama amewekwa tukama aujaikubali mistar ya mond gonga like apa
kazi nzuri sana haswa kwa kijana wetu ku present nchi yetu kwa kutumia njia hii nzuri san ya kombe la dunia kwa kuwa ina wapenzi wengi sana.
Mamaee team kibakuli mmeshindwa kuiboost ngoma ya kibamia wenu mpaka anachanganyikiwa mshaurini kiba aanzishe biashara ya machupi makubwa makubwa Kama ile ya nandi
Nice simba endelea kuiwakilisha tz vizuri lazima waisome namba wakina nanii .WCB FOR LIFE
Kama mondi hajui,he anaejua ni nani? Mondi hongera kwani hukutuma maombi ya kuimba nyimbo ya huko w.c 2018 Bali wao wamekuchagua. Mungu FUNDI sana haitaji washauri. Piga kazi Platnumz
simbaaaa Kama umeipenda hii nyimbo "like hapa🔛
Wimbo mbayaaaaaaa kama sula yake
hongera Diamond katuwakilishe mzee saruti kwako
Nasikia oooo 2 jaman
Diamond kizungu balaa
unatisha Sana mondi
ooooo nyingi nyingi sjaskia anacho imba au vpe
Wimbo mzuri ila kuna vitu kama unavikosa ili uwe mzuri zaidi, hauna shamrashamra za kutosha
Hop ma broo good song amazing
King of stone mind good
we diamond chapa kazi nenda katangaze Tanzania bongo wasanii kibao water wana mungunya ubuyu midomo yao imejanzwa zege kiba ilimu chenga we daimondi twokikuona unafanya ngoma kibao na wasanii wakimataifa na shoo zako zote inje ya bongo kiba gara two
tanzania to the world
Cool sanaa.
Noma
great
Pamoja sana mkali wang tupe raha mond
vizur sanaa mkali wa tanzania
Yaanii ni bora hata angeimba ule wa my heart kwenye coca cola project na nyovest!!
niceeeee hoooo
Love you Mond😘😘😘😘😘
Kaliiiiiii
Wimbo mbovu apunguze shobo
Hatareeeeeee
asanta
Sawaaa
U team hausaidi mond unajua sana Mungu akujarie zaid
Team kiba mpoo hapo kaz kutoa nyimbo ambaZo hazielewek
Simbaaaaaaa washaaaaaaaaaaa
wanamwita simba
anazinguwa
simbaaaaaaaa
Na nukuu' Nasikia kuna watoto wadogo wanapambana na chama la wana Daima hawatoweza' Simbaaaa
Elizabeth
wenye akili na wajuzi Wa music jamaa anaboa coz ameimba amefunikwa then ata anapoigizia sauti take Ni tofaut hapo utajua wazi Kama jamaa mziki wake Ni biashara anachuni sauti Sana mpaka live inamshinda m namshaur abadilike nsio maana kiba anakua yupo juu kinachomsaidia Sana sauti na ktk mziki mambo7 yanayounda muzi cha mwanzo Ni sauti na team diamond wanijibu km nasema uwongo km kweli Wa like
Simba
uko juu kama degela vita
Usiyempenda kaja mtakoma ambaohampendi daimondi mjinyonge
Aaaah kachemka iyo Siku asiende kuimba uyo atafute wa shakila
Jamani nimbaya wala cyo mzuri
mwaka huu kachemsha
Nice bro you are best friend hahahhah team kiba where?
Atunge mwingine huu haufai. Nasikia ooh nonononono
We mond unazngua nyimb gan ththa
nilijua alialikwa urussi !kumbe ni hapa bongo mfyuu yenu nimemaliza mb bureee
nyi mliocomment wimbo alifanya shirikishwa na derulo sio wake ...wacheni mapovu
Gabby the blogger simba bado hujanguruma
S S eehh bado ...angenguruma ndio wangejua hawajui
watu roho mbaya tu
umeona nyimbo imebuma leo ndio unaongea hayo kuwa kashirikishwa hahaha fambo hilo hata zile nguvu za kishetani zimebuma
diamond hapo umechemka
Simbaaaaaaaaaaaa
Hapo amebebwa na ubishoo wke na swaga lkn wimbo m'baya tena sana
kaliiiiii
h
Mbona kombe limeaza hajaimba hata kwenye ufunguz Kwan alienda kuimbia choon au
kiba njo uwimbe mtaani kwetu kuna ligi la hata uyo umwezi ndugu
kimataifa zaid warld cup
Team kiba kachezen bolingo ndio type yenu
tenaaa mondi kiboko
Kwa kweli tuache utimu me sijasikia huo wimbo anamaanisha nn...maana sisikii hata neno moja la mpira hata zaidi ya juona mabongo ya coca cola
simba Simba simba simba simba simbaaaaaaaaaaaaaaaa hatareeee sanaaaaaa
Meddy Brown umetixha xanaaa
Simbaaaaaaaa kill dem all mpaka walie meeeeee
Amna kitu apo
Ooooooo zanini? Kule kombe ladunia akuna hoho
duuu!! nibola angeimba singeli2😂😂😂
Na mukitaka kujua diamond hawezi kuimba live jaribuni kumfuatilia shoo zake juzi uingereza wazungu waliitaka live akasema bend take wamekosa visa jiulizeni viza wamekosa wakati shoo Inamaandalizi ya mda mref mbona kina mose wanenguaji walikuepo wacheni kutudanganya diamond sio msanii hana sifa za usanii mziki mzuri lazima uuimbe na utaupenda2 Ni mawazo2 na kumshauri mshkaji wenu diamond awache ubababishaji
mwenye wivu ajinyonge
sasa aliimba kwenye uo uzinduzi ? au apo ndo URRUS
Nasoma comments, mwana cjabarikiwa hata kidogo
jamnii nyie timu domo huo siyo wimbo wa Kombe la dunia huo ni wimbo wa coca cola
simbaaaaaaaaa
wimbo mbovu kama nn aaah
kaimba nini uyo choko
ndugu yangu wa damu yusufu nashukuru kwa upendo wako kwa kwa kunirebisha hata hivyo nashukuru kwa hiyo elimu ndogo niriyoipata kutoka kwa mwalimu wangu kipenzi mama yangu mlegure natamini nije kumuona ila sifahamu nitamuona wapi
ndio maana nyimbo ilipigwa chini na hawakutakiwa kabisa hata kuonekana russian na nyimbo zao za kibwege
kachemuka kabsaa
naangeenda sijui ingekuwaje,maana sio kwa sifa hizo
Wimbo hauna hata morally kisa kaimba daimond,duu amebugi!!!!!!
Good job *Baba Dylan*
uchafu duuuu
mabifu ya kikunda we Fanya mambo ya msing platz
kweli diamond kiboko kwaq1q1q1q111q11qq1qqqq1qqqpq
Goliath Nziku mond Ni Fire!!!!!!!!!!!!!!!! Ebanae Ww Ndo Simbaaaaaa
Sasa hii ndo kuimba? jameni huyu hawezi imba live?
watu kuweni wa elewa hapo anaparfom kwenye tamasha la coca-cola mlitaka aimbe nini wakati huo wimbo ndio unaohusiana na coca-cola mnacoment nyimbo mbya amfatilii diamond
huo sioni poa kabisa!!
Nasikia makelele tu kajipange tena😂😂😂😂💪💪
Sijauelewa hata kidogo utakuwa umekosea kutunga 😂😂😂😂😂😂
deruro kakumeza simbaaa
Ndio mana katoswa.
no Dada Yakima
Wimbo mbaya ndio sawa sawa na uo mvumo wenu ttzo chuki za kibongo bongo
simbaaa WWE hatal xana
Etiiii mi simpendi mind kwani yeye kakwambia anakupendaaaaaaa peleka shobo zako kariakoo kwa vuta ndumu wenzio tuache na simba wetyuuuuuuuu
Mond unazngua ndio umeimba nn hapa.
mond saf kwanyimboyako watanuna watachoka
ha ha ha ha ha
HUYU SHOGA ANAIMBA NN
hajaimba kitu labda kuna alicho kifata sio shooo bala ata V MONEY kafanya yake
Mbn sisikii kitu hakuna kitu hapo
Haaaaaaaa mbona wimbo mbovu si Bora uimbe Salome ya chambua kama karanga
Vp
Hiv diamond na hivi vikoti ka vitop kavipendea nini mana nikivichek nafanya kucheka tu
hamna kitu kaimba nn sasa hapo
uchaaaaafu pumba kabixaaaaa
Mti wenye matunda lazima kupigwa mawe