Toka BURUNDI 🇧🇮🇧🇮. Sns tuko pamoja acha nitowe Salamu Kwa wana Sns wote na watangazaji wote Kwa ujmla na sijasahawu Dj sma 🎉 AI ya tz na ally masubi pamoja na Henry
Yani mimi siamini tena hawa watu kichwachangu hivi kinanambia hata uo waya wameukata kwa makusudi ili iyo biashara yao iingize pesa , umeme wanaukata ili makampuni yao yakutengeneza vinu vya nyuklia viingize yani awa jamaa wanajifanya ni wajanja sana
@@felisteronesmo3091 Hakuna usalama wa aina yeyote kwa nchi za walioendelea kwenye maswala ya internet. Wanaishi miaka 100 mbele sie hatuna namna ya kujilinda kama wameamua kufanya chechote.
Mamlaka husika zikitaka data zako wanazipata wakati wowote mahala popote kwa idhini yako au bila idhini yako Censorship persists whether in developed or developing countries
@@afromixstudiosData ndio zinafanya utawaliwe kirahisi zaidi usichukulie mdhaa,serikali isipo kwenda sawa na wawekezaji wa nje wanauza habari kwa wapinzani yanaweza kutokea yale ya Bandari kwa kuvuja ule mkataba na kuna mengi ya kuchukiza kwahiyo ni kitu kikubwa sio rahisi
Karibuni kwetu DRC
Toka BURUNDI 🇧🇮🇧🇮. Sns tuko pamoja acha nitowe Salamu Kwa wana Sns wote na watangazaji wote Kwa ujmla na sijasahawu Dj sma 🎉 AI ya tz na ally masubi pamoja na Henry
Daah hii ni nzuri sanaaa government za Africa iangalie hii kitu maana kwenye inch zetu Africa vijijini internet inasumbua sana
Kwa jicho lakiusalama Tz tunaweza kua sahihi .. vinginevyo mtachekelea uwepesi wa internet angali mawasiliwano yetu ya jeshi yanazurika ..
Mwambieni bumunda aendelee na misimamo ya kusubiri ofisi ijengwe na starlink isajiliwe DSE 😂
Nakukubali kazzzz
Yani mimi siamini tena hawa watu kichwachangu hivi kinanambia hata uo waya wameukata kwa makusudi ili iyo biashara yao iingize pesa , umeme wanaukata ili makampuni yao yakutengeneza vinu vya nyuklia viingize yani awa jamaa wanajifanya ni wajanja sana
Safi sanaa Acha tusonge mbele kwani tupo nyuma sanaa
😂😂 kuna nchi flani sasa
Hey
Zungumzia application zote
Maana hapa ndo tunapojifunza kutumia application
Haji Balo from Zanzibar
Unyamaaa sana
Watanzania na laana zetu tunasema starlink wafungue ofisi nchini, kuna muda tunajiona wajuaji ila duniani tunaonekana viazi mno 😂😂
Mashoga tena wawaletee? MKome mbaki hivohivo na kihelehele🤣😂
😂😂😂😂
Kwa jicho lakiusalama Tz tunaweza kua sahihi .. vinginevyo mtachekelea uwepesi wa internet angali mawasiliwano yetu ya jeshi yanazurika ..
@@felisteronesmo3091 Hakuna usalama wa aina yeyote kwa nchi za walioendelea kwenye maswala ya internet. Wanaishi miaka 100 mbele sie hatuna namna ya kujilinda kama wameamua kufanya chechote.
Dah serikali iangalie jins ya kusaidia Tanzania sisi tulikuwa ndio wa kwanza
Saw
Huko ndio duniani
Bongo ndio shida
Sis bdo watupe tuperuz mpka asubui
Haitohusisha katika simu. Hii ni house based internet.
Unaitumia popote as long as unalo hilo dish pembeni yako
Ndio hivyo
Munafahamu scandal ya starlink au munaitaka tu@Starlink inasemekana ina mahusianao na mtandao wa kimarekani wa kukusanya Data ..
We una data gani ya muhimu ambayo itakusanywa 😂😂😂😂
Mamlaka husika zikitaka data zako wanazipata wakati wowote mahala popote kwa idhini yako au bila idhini yako
Censorship persists whether in developed or developing countries
@@afromixstudiosData ndio zinafanya utawaliwe kirahisi zaidi usichukulie mdhaa,serikali isipo kwenda sawa na wawekezaji wa nje wanauza habari kwa wapinzani yanaweza kutokea yale ya Bandari kwa kuvuja ule mkataba na kuna mengi ya kuchukiza kwahiyo ni kitu kikubwa sio rahisi