KATAA KUWA SHABIKI KATIKA NYUMBA YA MUNGU - {BISHOP JOHN PARTEYIE}
HTML-код
- Опубликовано: 7 окт 2024
- 2Timothy 2; 20-21
Basi katika nyumba kubwa havimo vyiombo vya dhahabu na fedha tu, bali na vya mti, na vya udongo; vingine vina heshima, vingine havina. basi ikiwa mtu amejitakasa kwa kujitenga na hao, atakuwa chombo cha kupata heshima, kilichosafishwa, kimfaacho Bwana, kimetengenezwa kwa kila kazi iliyo njema.
#bishopjohnparteyie #kataakuwashabikikanisani