JINSI YA KUTUMIA VPN NA NINI MAANA YA VPN DOWNLOAD KWENYE HAPA
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- FAIDA ZA KUTUMIA VPN
1.ULINZI:Unapounganisha kwenye mtandao kupitia VPN, data huhifadhiwa salama na kusimbwa kwa njia fiche. Kwa njia hii, habari iko mbali na macho ya wadukuzi.
2.REMOTI CONTROL:Kwa upande wa kampuni, faida kubwa ya kuwa na VPN ni kwamba Unaweza pata file za kampuni ata ukiwa nyumbani.
3.KU SHARE FILE kwah aharaka zaid
4.kuwa mtu asiejulikana kwenye internet:Kutokujulikana mtandaoni. Kupitia VPN unaweza kuvinjari wavuti bila kujulikana kabisa. Ikilinganishwa na kuficha programu ya IP au wawakilishi wa wavuti, faida ya huduma ya VPN ni kwamba hukuruhusu kufikia programu zote za wavuti na wavuti bila kujulikana kabisa.
5:kuingia kwenye site zilizo fungiwa:VPN ni nzuri kwa kupata tovuti zilizozuiwa au kupitisha vichungi vya mtandao. Hii ndio sababu kuna idadi kubwa ya huduma za VPN zinazotumika katika nchi ambazo udhibiti wa mtandao unatumika.
6.KUBADILISHA IP ADDRESS :Ikiwa unahitaji anwani ya IP kutoka nchi nyingine, basi VPN inaweza kukupa hii. Utendaji bora. Upungufu na ufanisi wa mtandao kwa ujumla unaweza kuongezeka mara suluhisho la VPN linapotekelezwa.
DOWNLOAD HAPA KWA WATUMIA AJI WA ANDROID
play.google.co...
SWALI LOLOTE ULIZA USISAHAU KUSHARE KULIKE NA KU COMMENT - Наука
I got bro,, thanks much🙏🙏
Hongeren sana kwa mafunzo mazuri
Msalimie uyo gift Fabian,🤣🤣
duuuh
Ni kwa wanaotumia mtandao gani..?
tayar
Fadhili
tayar
Lov u fabian mama😁😁
kuna sms ya bint fabian umeisoma lkn😂😂🤣🤣😅😅
❤❤
Xanaa
Kaka naomba namba yako
Tayali
Taari
Kaka naomba namba ako jamani
0620857767
Jinsi ya kutumia free internet
@@Kikavuentertainment uwakika
Uwakika bila mb
@@Kikavuentertainment okyyyy
..
@@felisianikobelo4425 boss iyo vpn gan free internet
Ima
Kaka me naomba unisaidie natumeia redime lkn vpn haisapot kabisa app azifany kaz
Je ukizuia matangazo cvn inagoma
Yaan my nimeshindwa kutoka nje kabsaaa
Taari
Taari