DIAMOND ashutumiwa kukopy nyimbo hii ya HARMONIZE mnanda

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 21

  • @BazozMasudi
    @BazozMasudi 7 дней назад +2

    tunajua kwamba bila nasib hakun music so aoo wakina hamo wenyewe wana kubali but ili wasikilizwe lazima waongeleye ivo😂😂 then huku kuna young rich and African famouse pia wata sema amekopi ila nyiynyi bado saaaana

  • @ZakariaKangaty
    @ZakariaKangaty 7 дней назад +1

    iyo bongo flava Tanzania mabegani

  • @prezdaachabo5343
    @prezdaachabo5343 5 дней назад

    Nyie mnaosema Chibu kakopi wote ni wageni wa nyimbo...!!
    Hapo Aliekopi ni Harmo na hiyo nyimbo ni ya jagwa music,tena konde ndie kaiga mpaka anaona aibu😊😊

  • @SaidTsuma-je8dv
    @SaidTsuma-je8dv 7 дней назад +1

    simba iko tafaut

  • @mohamedmwabeha
    @mohamedmwabeha 7 дней назад

    Iko wazi kacopy mondy

  • @AmurimatabikaClaude-yy9pm
    @AmurimatabikaClaude-yy9pm 7 дней назад

    Zina fanana sana tu

  • @nasibuomary7981
    @nasibuomary7981 6 дней назад +1

    Mafala nyie hamjui mziki.

  • @AllyMchopa-p2s
    @AllyMchopa-p2s 7 дней назад

    kwani mnanda ameanza kuimba harmonize mbona harmonize hana mambo yakidemuu

  • @chelahkenyah3596
    @chelahkenyah3596 7 дней назад

    Mkumbuke kuna za willy paul na bahati

  • @GibvjkGhhbjn
    @GibvjkGhhbjn 7 дней назад

    Hiyo ya diamond ni mchanganyiko wa mnanda na vanga wazalamo tunaijua hiyo hajakopi ila nivionjo vya kizalamo vimenogesha mziki

  • @BossDullah
    @BossDullah 7 дней назад

    Uyu jamaa anakichaa hiyo nyimba ya zaman ya jagwa music aliomba harmonize

  • @salehally-y8p
    @salehally-y8p 7 дней назад

    Daimond hana shida ya promo zipo za bure kabisa yeye katulia tu.

  • @theophiluskakiti4093
    @theophiluskakiti4093 6 дней назад

    diamond amezoea kukocopy ,muziki mwachieni tembo ,

  • @badeuxGérard-q8w
    @badeuxGérard-q8w 7 дней назад

    Acha ujinga Bana iyo ni singeli lazima ifanane

  • @liliansigera3497
    @liliansigera3497 7 дней назад

    Harmonize nae kazidi kila kukicha unaigwa wewe tu loh

  • @DavisKashvant
    @DavisKashvant 6 дней назад

    Usichokijua huo mziki wa mond aliutoa kitambo saan kionjo chake ila saiv ndo kaja kuutoa ofiicial tunaomfatilia tunalijua hilo

  • @Vande-o6x
    @Vande-o6x 7 дней назад

    Sasa ni harmonAiz Ali bisema ao ni washabiki???

  • @JohnnyKalaze
    @JohnnyKalaze 7 дней назад

    Mondi kakopi bhana

    • @AllyMchopa-p2s
      @AllyMchopa-p2s 7 дней назад

      huwe na akir kwani mnanda ameanza kuimba harmonize au

  • @JayBonitaSaid
    @JayBonitaSaid 5 дней назад

    mondy copy

  • @JohnnyKalaze
    @JohnnyKalaze 7 дней назад

    Mondi kakopi bhana