JINSI YA KUTENGENEZA ALOE VERA GEL Nyumbani. FAIDA ZA ALOVERA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Nafurahi kushare video nyingine ya ninyi.
    JINSI YA KUTENGENEZA ALOEVERA GEL
    Nadhani wengi wenu mtaupenda.
    Namtumaini mnafurahia Video zangu. Asanteni kwa kuangali.
    Iliusikose video zangu SUBSCRIBE hapo chini
    Nifollow katika mitandao mingine
    Instagram: @glow_ch1
    Tik tok: glow_ch
    Product nilizotumia
    ALOE VERA
    Labda kuna mtu atataka kujua:
    Camera ninayotumia : Canon 80D
    Software ya kueditia video : imovie
    Taa ninayo tumia : Ring light
    Kamera ya kufanyia vlog: iphone xs
    Kwa, sponsorhip, product review, jisikie huru kunitafuta katika barua pepe: g.mtei54@gmail.com
    Maoni yote katika video zangu ni yangu mwenyewe, bila kujali ikiwa video imefadhiliwa au la. Hivyo basi, bidhaa ambayo nimejaribu ikanifaa mimi inaweza isikufae wewe.
    Wenu,
    Gloria

Комментарии • 82

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 День назад

    Salam tumia lugha ya Kiswahili hii so so so wengine tunasononeka wewe mswahili kizungu cha nini?

  • @miriammakamba9225
    @miriammakamba9225 3 года назад +3

    Je hutibu vidonda vya tumbo

  • @Kenchiyh
    @Kenchiyh 4 года назад +2

    I can't remember if you mentioned this but pia watu hutumia kwenye nywele, ah lol I had to come and add this, I commented b4 you mentioned that utatumia kwenye nywele🤦‍♂️, safi sana sis

  • @irenedeogratius3123
    @irenedeogratius3123 3 года назад +3

    Ngozi ya mafuta inafaa kutumia

  • @PiliMamboleo-ij8es
    @PiliMamboleo-ij8es Год назад +1

    Zile za kijani ulizitoa hazifai k😮vvvvhazifai kuchanganya ?

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72 4 года назад +2

    Waooh sikujuaga kabisa kuhusu Aloe vera wala kazi zake , asante dear kwa kushea , umenunua duka gani mana kwa huku kwetu sijaona kwenye supermarket

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  4 года назад

      Ni nzuri sana dear. Kwenye maduka ya wahindi au Asian shops utakuta zipo kibao dear.

  • @africanbellatherealtalk
    @africanbellatherealtalk 4 года назад +1

    I love alovera Gel.Yaani umenifundisha kitu kipya leo.

  • @shufaajafary3767
    @shufaajafary3767 4 года назад +5

    Inalainisha ngozi pia inatoa michilizi mm pia natumia❤

  • @devothlighton8815
    @devothlighton8815 3 года назад +1

    Dada unawezq kusaga ukaweka kweny matuta unayo paka

  • @kibouttv7148
    @kibouttv7148 4 года назад +2

    Waooh Aloe Vera huwa ni nzuri Sana ila sijawai kutumia kwenye nywele natumia kwenye ngozi sometimes lakini sijawai kutengeneza mwenyewe

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  4 года назад +2

      Nzuri sana kwa nywele ilainisha sana nywele ya kipilipili na inajaza nywele.

    • @kibouttv7148
      @kibouttv7148 4 года назад

      @@GlowCharls basi itabidi nianze kutumia kwenye nywele zangu mana ni kipilipili sana

  • @PiliMamboleo-ij8es
    @PiliMamboleo-ij8es Год назад

    Mm Nisha wahi kutimia kwa uso wangu umechakaà. Ilisaidi nlinunua ya g n l d Sasa ntatengeneza mwenyewe Ahsant

  • @PiliMamboleo-ij8es
    @PiliMamboleo-ij8es Год назад

    Mm Nisha wahi kutimia kwa uso wangu umechakaà. Ilisaidi nlinunua ya g n l d Sasa ntatengeneza mwenyewe Ahsant

  • @PiliMamboleo-ij8es
    @PiliMamboleo-ij8es Год назад

    Mm Nisha wahi kutimia kwa uso wangu umechakaà. Ilisaidi nlinunua ya g n l d Sasa ntatengeneza mwenyewe Ahsant

  • @talmonfletcher708
    @talmonfletcher708 3 года назад +1

    Unapaka kila siku au kW mda gani. Dada?

  • @carlocruiz4900
    @carlocruiz4900 3 года назад +1

    Hi! I need alovera plant. Where do I get?

  • @hassanally446
    @hassanally446 3 года назад +1

    Mbona ule ute wanjano unaopatikana kwenye mmea wa Aloevera hujautoa na nieskia kwamba ule Ute ni simu?

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  3 года назад

      Sijawai kusikia kuhusu sumu kwenye mmea wa alovera

  • @zainaalmas7650
    @zainaalmas7650 Год назад

    Nashkuru inaonekana nzuri lkn naomba unipe maelezo zaidi jisi ya kutumia kwa matatizo ya ngozi

  • @maryamaljebry449
    @maryamaljebry449 4 года назад +1

    Iyo jen unaweza kuigmhifadhi kwenye friji? Na je ni kwa mda gani

  • @PiliMamboleo-ij8es
    @PiliMamboleo-ij8es Год назад

    Ahsante kwa kutuelimisha hii uliyo tuonesha inadumu muda gani ?

  • @josephinekiwia9233
    @josephinekiwia9233 3 года назад +1

    Dada tuoneshe ukiwa unaitumia please 🤓🤓🤓

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  3 года назад

      Nitafanya hivyo kwa video nyengine 💪🏾💪🏾

  • @KhadejaSulaiman
    @KhadejaSulaiman 6 месяцев назад

    Asante kwa maelezo yako ant ndo Kwanza nataka kuanzakutumia

  • @janegachiri
    @janegachiri 4 года назад +1

    Watching this one so consciously

  • @neemabenson6862
    @neemabenson6862 Год назад

    Sasa hii huwa ni chungu sana ata ukinawa mda mwingine haaiish kwenye blenda itatoka kweli kwa urahis

  • @kasindejonathan978
    @kasindejonathan978 3 года назад

    Kuna tofauti na aloveragel ya dukani au Kuna kichanganyio hujaweka ...

  • @gracentani-on8rp
    @gracentani-on8rp Год назад

    Namna yakuitengeneza maana nilikuwa natamn nijue nanilikuwa sijui

  • @janegachiri
    @janegachiri 4 года назад +1

    Its very helpful dear

  • @reyjohnas5874
    @reyjohnas5874 Год назад

    Je mtu akiwa na chunusi zinatoka

  • @IssackMvumbi-r7m
    @IssackMvumbi-r7m 3 месяца назад

    Je inaweza kutibu bawasiri

  • @mohamedali-vv1tm
    @mohamedali-vv1tm 3 года назад +2

    Waeza kunywa au

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  3 года назад +1

      Alovera kama alovera unaweza kutengeneza na kuinywa. Ila sijawai kujaribu ya hivi

  • @zainawaradjab5956
    @zainawaradjab5956 3 года назад

    Mfano kwamtu hana friz inakuaj itawez kukaa kwa mdamref ao?

  • @jamesloomu5050
    @jamesloomu5050 Год назад

    jee inatibu vidonda vya tumbo

  • @LovenessMlowe
    @LovenessMlowe 8 месяцев назад

    Unatumiaje iyo alovela

  • @veronicasaid9769
    @veronicasaid9769 3 года назад

    Asante inaexpaya kwamuda gani?

  • @furahabeatrice2057
    @furahabeatrice2057 3 месяца назад

    Asante sana ❤

  • @naomidaudi3085
    @naomidaudi3085 3 года назад +1

    Sasa kama huna brenda unatumia nini

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  3 года назад

      Unatoa gel tu kwa kutumia kijiko

    • @maiyajuma4345
      @maiyajuma4345 3 года назад

      Dada inakaa mda gan ndo iharibike??

  • @marthakakuru344
    @marthakakuru344 3 года назад +2

    ukumalza kupaka unaosha nywele au

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  3 года назад +1

      Ndio unatakiwa uoshe maana kuna vitu bye ups huwa vinabakia. Ila kama kuna sehemu hakuna nywele na unataka ziote unapaka alafu unaacha.

    • @marthakakuru344
      @marthakakuru344 3 года назад

      unatumia kwa mda gan kupaka kila siku au baada ya wik naitaj kujua ni kwa mda gan unaweza kutumia

    • @marthakakuru344
      @marthakakuru344 3 года назад

      pia ambako akuna nywele wapaka kila siku

  • @esthergeorge9982
    @esthergeorge9982 3 года назад

    Je kutoa weusi mapajani inasaidia?

  • @aminamzungu2250
    @aminamzungu2250 4 года назад +3

    Me Nina swali hiyo alovera kwenye nywele unatumia kama mafuta ama kama stiming?

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  4 года назад +1

      Kama steaming.

    • @jescaedwardkurumela4333
      @jescaedwardkurumela4333 Год назад

      Stiming

    • @LoyceNdege
      @LoyceNdege 2 месяца назад

      Naweza kuchanganya na yai nikafanya kama steaming yan nichangannye yai majani ya rosemary nisage nifanye steaming

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 3 года назад

    👍👍👍👍❤

  • @joshualepilal7842
    @joshualepilal7842 2 года назад

    Yes

  • @ShamiaLuv
    @ShamiaLuv 4 года назад +1

    Amazing

  • @jojo-ju6yy
    @jojo-ju6yy 3 года назад

    Asante

  • @ireneally8746
    @ireneally8746 3 года назад +1

    Hey sister

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  3 года назад

      Hello Irene

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  3 года назад

      Asante kwa email. Nimeiona nakujibu Sasa hivi

    • @ireneally8746
      @ireneally8746 3 года назад +1

      Oky BT iko ivi unawez weka alovera ukalala nayo then asubuh ukaosha

    • @ireneally8746
      @ireneally8746 3 года назад +1

      Kwasasa unaushi wap mana mm siKutan na alovera nzur natoa wap

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  3 года назад

      @@ireneally8746 ndio waweza dear.

  • @sharifamohamed9183
    @sharifamohamed9183 2 года назад

    Tusio na frij tutunze vip na inaweza kudumu kwa muda gan ukitengeneza?

  • @barikibukoba1606
    @barikibukoba1606 3 года назад

    Je unaweza kuihifadhi kwa muda gan?

    • @GlowCharls
      @GlowCharls  3 года назад

      Siku tatu mpaka week ukiweka kwenye friji