JINSI YA KUTENGENEZA ALOE VERA GEL Nyumbani. FAIDA ZA ALOVERA
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Nafurahi kushare video nyingine ya ninyi.
JINSI YA KUTENGENEZA ALOEVERA GEL
Nadhani wengi wenu mtaupenda.
Namtumaini mnafurahia Video zangu. Asanteni kwa kuangali.
Iliusikose video zangu SUBSCRIBE hapo chini
Nifollow katika mitandao mingine
Instagram: @glow_ch1
Tik tok: glow_ch
Product nilizotumia
ALOE VERA
Labda kuna mtu atataka kujua:
Camera ninayotumia : Canon 80D
Software ya kueditia video : imovie
Taa ninayo tumia : Ring light
Kamera ya kufanyia vlog: iphone xs
Kwa, sponsorhip, product review, jisikie huru kunitafuta katika barua pepe: g.mtei54@gmail.com
Maoni yote katika video zangu ni yangu mwenyewe, bila kujali ikiwa video imefadhiliwa au la. Hivyo basi, bidhaa ambayo nimejaribu ikanifaa mimi inaweza isikufae wewe.
Wenu,
Gloria
Salam tumia lugha ya Kiswahili hii so so so wengine tunasononeka wewe mswahili kizungu cha nini?
Je hutibu vidonda vya tumbo
I can't remember if you mentioned this but pia watu hutumia kwenye nywele, ah lol I had to come and add this, I commented b4 you mentioned that utatumia kwenye nywele🤦♂️, safi sana sis
Ngozi ya mafuta inafaa kutumia
Zile za kijani ulizitoa hazifai k😮vvvvhazifai kuchanganya ?
Waooh sikujuaga kabisa kuhusu Aloe vera wala kazi zake , asante dear kwa kushea , umenunua duka gani mana kwa huku kwetu sijaona kwenye supermarket
Ni nzuri sana dear. Kwenye maduka ya wahindi au Asian shops utakuta zipo kibao dear.
I love alovera Gel.Yaani umenifundisha kitu kipya leo.
Yaay boo 😍❤️😍
Inalainisha ngozi pia inatoa michilizi mm pia natumia❤
Wow nilikuwa sijui kwenye kutuoa michirizi 🙏🙏🙏
Iyo michiriz unafanya vp mana natisha 🙈🙈🙈
Michirz imeisha
Wew kweli? inaondoa michiliz
Unatumiaje?
Dada unawezq kusaga ukaweka kweny matuta unayo paka
Waooh Aloe Vera huwa ni nzuri Sana ila sijawai kutumia kwenye nywele natumia kwenye ngozi sometimes lakini sijawai kutengeneza mwenyewe
Nzuri sana kwa nywele ilainisha sana nywele ya kipilipili na inajaza nywele.
@@GlowCharls basi itabidi nianze kutumia kwenye nywele zangu mana ni kipilipili sana
Mm Nisha wahi kutimia kwa uso wangu umechakaà. Ilisaidi nlinunua ya g n l d Sasa ntatengeneza mwenyewe Ahsant
Mm Nisha wahi kutimia kwa uso wangu umechakaà. Ilisaidi nlinunua ya g n l d Sasa ntatengeneza mwenyewe Ahsant
Mm Nisha wahi kutimia kwa uso wangu umechakaà. Ilisaidi nlinunua ya g n l d Sasa ntatengeneza mwenyewe Ahsant
Unapaka kila siku au kW mda gani. Dada?
Hi! I need alovera plant. Where do I get?
Mbona ule ute wanjano unaopatikana kwenye mmea wa Aloevera hujautoa na nieskia kwamba ule Ute ni simu?
Sijawai kusikia kuhusu sumu kwenye mmea wa alovera
Nashkuru inaonekana nzuri lkn naomba unipe maelezo zaidi jisi ya kutumia kwa matatizo ya ngozi
Iyo jen unaweza kuigmhifadhi kwenye friji? Na je ni kwa mda gani
Week moja yatosha.
Ahsante kwa kutuelimisha hii uliyo tuonesha inadumu muda gani ?
Dada tuoneshe ukiwa unaitumia please 🤓🤓🤓
Nitafanya hivyo kwa video nyengine 💪🏾💪🏾
Asante kwa maelezo yako ant ndo Kwanza nataka kuanzakutumia
Watching this one so consciously
Sasa hii huwa ni chungu sana ata ukinawa mda mwingine haaiish kwenye blenda itatoka kweli kwa urahis
Kuna tofauti na aloveragel ya dukani au Kuna kichanganyio hujaweka ...
Namna yakuitengeneza maana nilikuwa natamn nijue nanilikuwa sijui
Its very helpful dear
Je mtu akiwa na chunusi zinatoka
Je inaweza kutibu bawasiri
Waeza kunywa au
Alovera kama alovera unaweza kutengeneza na kuinywa. Ila sijawai kujaribu ya hivi
Mfano kwamtu hana friz inakuaj itawez kukaa kwa mdamref ao?
jee inatibu vidonda vya tumbo
Unatumiaje iyo alovela
Asante inaexpaya kwamuda gani?
Asante sana ❤
Sasa kama huna brenda unatumia nini
Unatoa gel tu kwa kutumia kijiko
Dada inakaa mda gan ndo iharibike??
ukumalza kupaka unaosha nywele au
Ndio unatakiwa uoshe maana kuna vitu bye ups huwa vinabakia. Ila kama kuna sehemu hakuna nywele na unataka ziote unapaka alafu unaacha.
unatumia kwa mda gan kupaka kila siku au baada ya wik naitaj kujua ni kwa mda gan unaweza kutumia
pia ambako akuna nywele wapaka kila siku
Je kutoa weusi mapajani inasaidia?
Inasaidia sana
Me Nina swali hiyo alovera kwenye nywele unatumia kama mafuta ama kama stiming?
Kama steaming.
Stiming
Naweza kuchanganya na yai nikafanya kama steaming yan nichangannye yai majani ya rosemary nisage nifanye steaming
👍👍👍👍❤
Yes
Amazing
Asante dear
Asante dada me namichrz
Asante
Hey sister
Hello Irene
Asante kwa email. Nimeiona nakujibu Sasa hivi
Oky BT iko ivi unawez weka alovera ukalala nayo then asubuh ukaosha
Kwasasa unaushi wap mana mm siKutan na alovera nzur natoa wap
@@ireneally8746 ndio waweza dear.
Tusio na frij tutunze vip na inaweza kudumu kwa muda gan ukitengeneza?
Je unaweza kuihifadhi kwa muda gan?
Siku tatu mpaka week ukiweka kwenye friji