Wakaazi wa Murang'a wamsuta vikali Betty maina kuanzisha cheche za maneno na naibu rais Gachagua

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • Baadhi ya wakaazi wa kaunti ya Murang'a wamemsuta vikali mwakilishi wa wanawake Betty maina kwa madai ya kuanzisha cheche za maneno dhidi ya naibu rais Rigathi Gachagua .
    Wakaazi hao wamemshtumu vikali Maina kwa kupanga njama ya uchokozi kwa naibu rais hatua ambayo wanasema itazuiliwa kwa njia zote ,huku wakidai kua Maina anashawishiwa na wahusika wengine wa kisiasa kuchafua jina la Gachagua mlimani. Isitoshe mbunge huyo amejiingiza katika vita na naibu rais vya kuonyesha nani mbabe katika uongozi wa sasa huku wakitazamia uchaguzi wa mwaka 2027. Jambo hili limejiri wakati ambapo Gachagua anazidi kupoteza uungwaji mkono kutoka kwa wabungemhaswa wa mlimani ingawa wenyeji wa mlima wanasema wanamuunga mkono
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Комментарии • 9

  • @mwangidavid1221
    @mwangidavid1221 17 дней назад +2

    Beth akweeeeeede.

  • @user-rg9yf3nn6l
    @user-rg9yf3nn6l 17 дней назад +3

    Betty maina heshimu deputy President usilete ugomvi Murang'

  • @annewanjiru818
    @annewanjiru818 17 дней назад +1

    Huyu Betty has a combative spirit.

  • @marymutai8915
    @marymutai8915 17 дней назад

    Her smile tells it all

  • @gideonchrismaina1773
    @gideonchrismaina1773 17 дней назад +2

    As my birth county rep...she is very very incompetent...she was actually elected by default. She should start preparing to go and serve her in-laws to know what type of a "wife" she is....😮😮😊

    • @janendegwa5462
      @janendegwa5462 17 дней назад +3

      atarudi nyumbani her husband has filed an impeachment motion against rigathe after that i am sure ni kumburithio mathira the way mathira people love Rigathe magutweka ahoi toro

  • @johnbrown3235
    @johnbrown3235 17 дней назад

    tugege twa mlima hoiyeee... serikali ya mungu inawapeleka aje??

    • @Kibiro-tt6ch
      @Kibiro-tt6ch 17 дней назад

      n vizuli kuandika JINA YA MUNGU na jina kubwa please

    • @Kibiro-tt6ch
      @Kibiro-tt6ch 17 дней назад +1

      n vizuli kuandika JINA YA MUNGU na jina kubwa please