MIUJIZA YA UPAKO WA (MWEZI WA UFUFUO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 607

  • @dativafreedrick9965
    @dativafreedrick9965 2 года назад +3

    Ubarikiwe mtumish Boniface kwa Kaz yako na mm naomba uniombee maombi yangu Saba niiyoweka mbele ya mazabau yako.amina

  • @pendoernest8655
    @pendoernest8655 4 года назад +6

    Amen nimepokea kutoka Dubai nilikua nasumbuliwa na miguu kufa ganzi lkn kwa dk chache nagusa miguu nahisi .kitu.nilikua nimelalal ghafla nimeamka ahsante mtume Dr mwamposa barikiwa baba

  • @marypaulo1363
    @marypaulo1363 7 месяцев назад +1

    Naitwa Mariam Marco paul namshuhudia mungu amenitendea mengi mweza wa 8 tulikuja kawe badaa tu ya kuganyaga mafuta nakujiungamanisha na komboa familia usiku nikiw kawe asbuh yake tukapigiw cm paka wawili wamekufa na niliandika maombi 12 mme wangu aache pombe na tayar ameacha namshukur mungu na mtoto wangu alikuwa na kifafa miaka 12 na shv anaendela vzr mungu mungu akulinde uishi miak mingi baba

  • @FurahGrace
    @FurahGrace 4 месяца назад +1

    Nataka ni zaye wa mapasa tatu waume mbili n'a musichana moka mutoto yangu apate kibali ya kuenda Ichi ya kigenyi niuzeihi nyimba nikonakaa ndani Niki uze kiraisi niuze ngari ki raison tuu yote ninao maitaji itendrke kiraisi tuu amen

  • @anchillakagombola93
    @anchillakagombola93 2 года назад +1

    Glory to God.Asante Mungu kwa baraka za kufunguliwa kiimani, kimaisha, kikazini, kiafya Na mentioned mengi kwa familia na uzao wangu.Mtume barikiwa sana na Bwana Yesu.

  • @FurahGrace
    @FurahGrace 4 месяца назад

    Amen naomba mume wangu apate oro ya maajabu ndani ya chimu yake yote mupaka watu wa ndunia yote wa changae ataka abarikiwe kimiujiza yani tinguba ❤

  • @rainacypriansebastian8100
    @rainacypriansebastian8100 4 года назад +2

    Nipatie Mme mwema,nishinde mitihani yangu ,nipate nafasi ya flied ,napokea naomba kufunguliwa kwa jina LA Yesu

    • @samwelsakaza9314
      @samwelsakaza9314 4 года назад

      Naomba mungu anipenguvu za kila Aina iliniweze kufanya mambo yangu kwa kurud kubwa amen

  • @ArinaitweFatuma
    @ArinaitweFatuma 4 месяца назад

    Amen 🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏 napokea kutoka Saudi Arabia napokea muujiza wangu kulipwa madeni yangu napokea uponyaji na ndoa yangu kulejea

  • @Mwaminihabarugira
    @Mwaminihabarugira 6 месяцев назад

    Naitwa mwamini nahitaji kuombea manymbani and shine nayipendasana Asante nipo ichi ya burundi mupakan y Tanzania

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi 🙏hakika unafungua wengi hata mamaagu alinusurika na kifo iman yake ndo ilimuokoa kumbeba mafuta ya upako wakati wanasafiri walitetwa na majambazi jiani 😭😭😭lakin hawakufanikiwa nashukuru Mungu alikuwa upande wao

  • @FurahGrace
    @FurahGrace 4 месяца назад

    Amen naomba mume wangu apate oro ya maajabu ndani ya chimu yake yote mupaka watu wa ndunia yote wa changae ataka abarikiwe kimiujiza

  • @rashidykidaude7599
    @rashidykidaude7599 4 года назад +1

    Mungu Ni Mwema Nimesikiliza Haya Maombi Leo Lakini Nimehisi Kama Kitu Kimeachia Tumboni, Asante Yesu Ubarikiwe mtumishi Wa bwana

  • @mariamoneiro6927
    @mariamoneiro6927 Год назад

    Naomba ntume,mimi nahishi n ndoa yaa Kufugua na washawi. Ubariki. Family yangu na witoe mangojua wote kwajila lá yesu.

  • @HagaiAron
    @HagaiAron 10 месяцев назад

    Naamini napokea nguvu za Mungu,kama Prophet Mwamposa mtumishi wa Mungu ulivyosema.Amen

  • @suzan4712
    @suzan4712 7 месяцев назад

    I received in the name of Jesus 🙏. I'm watching from Dubai

  • @josephinachipa3928
    @josephinachipa3928 7 месяцев назад

    Napokea uponyaji wa mwanangu janeth kupata kazi nzuri kiurahisi

  • @maryamjumah
    @maryamjumah 2 месяца назад

    Naomba mchumba wangu khalid afunguliwe maisha yake na mwili wake apate kutembea vizr arudishiwe maisha yake yaloharibika na nguvu za majini

  • @ulumbimtemi7625
    @ulumbimtemi7625 2 года назад

    Navunja roho za utasa ktk uchumo wangu,roho za unyumba wangu nazivunka amina

  • @FarajaMadege
    @FarajaMadege 6 месяцев назад

    Asante Mungu naomba nipone hofu na wasiwasi naomba aman moyon nimekosea aman baba naamin katika jina lako

  • @SADAMKUYU
    @SADAMKUYU 2 месяца назад

    Naomba mungu anisaidie nipate Mme pia nlgunguliwe uzaz nopata families pia nifunguliwe kiuchumi

  • @nikolasmndeme
    @nikolasmndeme 4 месяца назад

    Naomba no pokeeupako naomba kazi nanijege nyumba yangu amina

  • @josephinachipa3928
    @josephinachipa3928 7 месяцев назад

    Napokea uponyaji wa mwili wangu na napokea mambo mazuri na mafanikio yangu Kwa jina LA yesu

  • @Mwaminihabarugira
    @Mwaminihabarugira 6 месяцев назад

    Napokea kwajina la yesu Krist niweze kubeba mimba myaka 23 nime olewa sijawahi kushika mimba ❤❤❤

  • @jasminmashaallahjohn447
    @jasminmashaallahjohn447 3 года назад +1

    Napokea miujiza kwenye ndoa Yang,biashara ,watt Wang mama yangu ambae ni mgonjwa
    Mi pia ugonjwa sukari napokea uponyaji
    Amen

  • @TinaJulius-in8rd
    @TinaJulius-in8rd 6 месяцев назад

    Naomba uniopee na mim niolewe ndio ya Baraka nipete nijilie uzao mwema mungu wangu mutumishi wa mungu atakapo omba na mim poake kwajina la yes Amina Amina nimepokea

  • @mariamnzai8858
    @mariamnzai8858 9 дней назад

    Nitajifungua mke na mume, napokea mume wangu wa maisha katika jina la yesu,
    My daughter atakua wa kwanza Kanzo Amani kila mtihani atakua wa kwanza hadi TAMATI ya masomo yake

  • @shshsus6337
    @shshsus6337 4 года назад +4

    Napokea taarifa njema kwa mtoto wangu ramadhani amepokea furaha katika maisha yake

  • @noellaNigaba-qg5vj
    @noellaNigaba-qg5vj 7 месяцев назад

    Mungu naomba ubadilishe Baba watoto wangu aweze kuaudumiya

  • @lilywei6616
    @lilywei6616 3 года назад +1

    Mungu naomba unifunguwe vifungo vyote nilivyo tupiwa katika maisha yangu

  • @gideonmichael8757
    @gideonmichael8757 Год назад

    Bwana safiwe MTUMISHI najiganisha nikiwa namanga

  • @Mwaminihabarugira
    @Mwaminihabarugira 6 месяцев назад

    Naomba uniondolee hofu kwamoyo wang yesu❤❤❤❤❤

  • @roseboamo5777
    @roseboamo5777 4 месяца назад

    ❤❤nataka mungu anitendee nifanikiwe kiuchumi

  • @SleepyBallet-yp2cu
    @SleepyBallet-yp2cu 6 месяцев назад

    Najiungamanisha na maombi haya komboa familiy kwa jina la yesu kirsto ameeeen,

  • @josephinachipa3928
    @josephinachipa3928 7 месяцев назад

    Napokea uponyaji wa mwili wangu Kwa jina LA yesu

  • @Ashura-sr4uv
    @Ashura-sr4uv 6 месяцев назад

    Naomba nipate mume sahihi kwenye maisha yangu nifungulie ameeeeeen

  • @mariamnzai8858
    @mariamnzai8858 9 дней назад

    Mtume, maombi kumi na mbili, kuchanganya na hudumu yangu kesi yake yakuto ona naona, ufunuo wa bibilia kuto elewa, imeekwisha, in Jesus name 🙏
    My daughter, every examination examination. Atakua wa kwanza

  • @marypaulo1363
    @marypaulo1363 7 месяцев назад

    Kwa kupitia madhabahu ya inuka uangaze Leo nafunguliw biashara yangu amen

  • @emmymwakyusa2138
    @emmymwakyusa2138 2 года назад

    Amen najiunganisha na madhabuu hii mdg wng afunguliwe ache ulevi anaitwa nashony

  • @theonestinakaizilege9974
    @theonestinakaizilege9974 6 месяцев назад

    Mponyeshe mjukuuu wangu junior gusa kila Alison kwenye familia yangu uchumi wangu ukaongezeke wateja wa mchele wakanizidie bsriki uzao wa tumbo yangu amina ndugu zangu wakaolewe

  • @benwamanzimulumba8121
    @benwamanzimulumba8121 3 года назад

    Naomba mungu anipoye casa yadamu na sina kazi ata watoto mungu anisikiliye uruma anifunguwe ndachuudiye manguu yamungu

  • @DEVOTAMSENDO
    @DEVOTAMSENDO 4 месяца назад

    Ee mwenyezi mungu niko mbele zako nakuomba unitendee muujiza nipone uvimbe kwenye mrija wauzazi nanibebe mimba nipate watoto wawili wakike na wakiume

  • @DEVOTAMSENDO
    @DEVOTAMSENDO 4 месяца назад

    Ee mwenyezi mungu naomba unisaidie mume wangu aniheshimu anijari

  • @IrineRingoine
    @IrineRingoine 3 месяца назад

    Naitwa irine Paulo kutoka karatu nashkuru mungu nilikuwa na tatizo kwenye kizazi lakn baada y kuskiliza maombi haya mda huu nimeangalia nimekuta tatizo limeisha

  • @CyatukwireWinny
    @CyatukwireWinny 5 месяцев назад

    Namim apostle naomba uniombee nipo Rwanda ndoa yangu inamsukosuko sana ifunguriwe kwa jina la yesu christo

  • @elnasanga8607
    @elnasanga8607 4 месяца назад

    Naomba mungu anidaiye nijifungue salama nakunisaidiya kutimiza yale niliyo yapa ngapa yakafanikiwe

  • @munirasaga6494
    @munirasaga6494 3 года назад

    Bwana yesu asifiwe.. Naitwa munira nipo Oman nimeguswa sana na maombi nilikuwa kondoo niliye potea 😭😭mchungaji Asante Sana 🙏🙏 kwakunifungua ufahamu wangu 🙏

  • @nittysaloon2720
    @nittysaloon2720 2 года назад

    Naitwa Rebekah mwashambwa naomba mumuombee baba yangu anakisukali pia naomba miujija itende mungu wangu

  • @rusiamboma9164
    @rusiamboma9164 3 года назад

    Namuchukuru mungu nirikuwa nasikiya maumivu ubavuni sayivi siyasikiyi tena naitwa rucia mboma Niko seychelles

  • @SofiaTabu-jp7gd
    @SofiaTabu-jp7gd 2 месяца назад

    Sohpia swendeni nipone nauzo wangu namumewangu kikohozi nipone❤❤❤

  • @roseboamo5777
    @roseboamo5777 4 месяца назад

    Namshukuru mungu pia nilmefunguliwa kiuchumi.

  • @RoseLukandonda
    @RoseLukandonda 5 месяцев назад

    Naomba kupokea uponyaji, naomba kufunguliwa kila kitu kwenye maisha yangu, naomba kupokea uponyaji kwenye kizazi changu, kazin kwangu, kila njia ya mafanikio, navunja kila mikosi, laana, kupona ugonjwa, Leo napokea katika Jina Yesu Amen

  • @maryamjumah
    @maryamjumah 4 месяца назад

    Naitwa mariam naomba kufunguliwa mwili ndoa na watoto na maisha yangu

  • @SweetRama-x6q
    @SweetRama-x6q 6 месяцев назад

    Mungu nakuomba nifungulie kiuchumi nakuomba mungu nikapone tumbo nakuomba mungu wadogo zangu wakabalikiwe na mama yangu akapone tumbo

  • @SarahSaraha-ct1cg
    @SarahSaraha-ct1cg 4 месяца назад

    Ameen naomba Mungu atend mujiza kwenye ndoa

  • @DEVOTAMSENDO
    @DEVOTAMSENDO 4 месяца назад

    Naomba, mungu uwaepushe wanangu maradhi

  • @Mwaminihabarugira
    @Mwaminihabarugira 6 месяцев назад

    Nahitaji kufunguriwa tombo rangu rauzazi niweze kubeba mimba mtume aniombee kupitia Sim yangu and shine nayipendasana Asante Samuel

  • @kashindiburimwengu3666
    @kashindiburimwengu3666 2 года назад

    Ninahitaji kufunguliwa maisha yangu ktk jina la yesu

  • @queenmamy8414
    @queenmamy8414 3 года назад

    Baada ya haya maombi naomba mungu hanifunguwe nyota yangu ya mafanikio ingae bwana yangu shaban mmanga hanipe ela nyungi na haniudume vizuli eee mungu nisaidue Emeee

  • @MakinginhaSahani
    @MakinginhaSahani 6 месяцев назад

    Baba napokea neema napokea upako ninamimba ya miezi 2 inanitesa sana naumwa sana napokea uponyaji ameeee

  • @elisimalongo4965
    @elisimalongo4965 2 года назад

    Nataka yesu anifunguliwa kwenye uchumi wangu

  • @roseboamo5777
    @roseboamo5777 4 месяца назад

    Nataka mungu anitendee uponyaji wa tumbo.

  • @mwanaidbaraka8475
    @mwanaidbaraka8475 2 года назад

    Mwenyezi mungu kupitia mazabahu yamtume burudosa mwamposa uniponye maradhiyote yanayo nisumbua,ipepe familia yangu uwezo na mafanikio

  • @IMAKULATAMWENGWA
    @IMAKULATAMWENGWA 7 месяцев назад

    Amen ninapokea kibali cha kupona kwangu naninapokea kibali cha kurudi kwa ndoa yangu kufunguliwa 5:55 5:59

  • @SofiaTabu-jp7gd
    @SofiaTabu-jp7gd 2 месяца назад

    Amen nitapona namu.yangu nauzawo wangu

  • @LovenessKileo-fc1tk
    @LovenessKileo-fc1tk 6 месяцев назад

    Mungu naomba unipe watoto mapacha mwaka huu na uponye Juma msunza akapoke uponyaji popote alipo mungu naomba

  • @theonestinakaizilege9974
    @theonestinakaizilege9974 6 месяцев назад

    Naomba motor wangu Lillian kufunguliwa kupata mume kutoka kwa yesu amina

  • @AbasiChipungu
    @AbasiChipungu 6 месяцев назад

    Mwanangu rehema afunguliwe kazi zimkimbiliye

  • @nicholausjoseph3391
    @nicholausjoseph3391 3 года назад

    Asante mungu nikaweze kufungulia ugonjwa wa yutihai inasisumbua sana hakika wewe jemedali wangu nimetumia dawa lakini siponi mala sindano lakini kwako hakuna linashindikana

  • @marypaulo1363
    @marypaulo1363 7 месяцев назад

    Mungu naomba nijibiw ombi langu nimalizie kujenga kwa njia rahisi

  • @elifarajasarwat
    @elifarajasarwat 6 месяцев назад

    Nataka kujifungua mipango yangu yote ya mwaka 2024,,, nifunguliwe kiafya. Kiuchumi na kifamilia watoto wafunguliwe kiafya na kitaaluma Kwa jina la Yesu kristo

  • @malishakija7493
    @malishakija7493 3 года назад

    Aminaaa najua shida zangu zote zinaishia leo maisha yangu yawe ya furaha na upendo mme wangu anaiheshimu ndoa yetu.idumu .

  • @MarkoMboje
    @MarkoMboje 3 месяца назад

    Nafunguliwe na mm leo hii kiuchumi biashara yangu nizidiwe nawateja amina wateja

  • @jobandoade4934
    @jobandoade4934 3 года назад

    Naimn naenda kufunguliwa maish yangu yote nanfungua vifungo vyote saba katika jina la yesu naennda kupokea miujiza na ufaulu mkubwa katika shule yangu biashara yangu Amina

  • @durmoizeally875
    @durmoizeally875 3 года назад

    Naomba nipate kazi ameeen

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 4 года назад +1

    Namba mtumishi mwanang na mimi mama yk utubaliki nautufungue kila vifunguliwe mimi batuli namwanangu ramos utufungue baba ninayo iman yakuwa nitapokea uponyaji na kufunguliwa nimekusikiliza maombezi yko nipo omani baba unifungu niorewe nami. Mwanangu ubaliki kz yamikono yke..ameen

  • @agripinaligelele9367
    @agripinaligelele9367 4 года назад +3

    Naomba kupokea uponyaji wa damu yangu nime tumia daw miaka mingi pasipo mafanikio pia biashara yangu ina vifungo na pokea biashara mpya Mimi Niko Nairobi na amini nitapokea

    • @winifridadonat1846
      @winifridadonat1846 3 года назад

      Naomba uponyaji wa mama mzazi Hilda aliyelala kitandani toka 24.09.2020 baada ya kupata stroke upande wa kulia na mimi nasumbuliwa na presha ya kupanda.

  • @AbasiChipungu
    @AbasiChipungu 6 месяцев назад

    Mwanangu arudishiwe kazi zake apate mume mwema

  • @ernestgeorge5265
    @ernestgeorge5265 4 года назад

    Namshukuru mungu kwa baraka nazopata Kila iitwapo Leo ,kwakupitia mtumishi wa mungu burdoza mwenye upako wake.!

  • @catherinegeorge397
    @catherinegeorge397 3 года назад

    Na uibariki kazi ya mikono yangu ujalie familia yangu izidi kuwa na furaha na ujalie maisha yangu yawe yeny furaha siku zote kwa jina la mungu baba na mwna na roho mtakatifu amen naitwa janeth rameki

  • @marypaulo1363
    @marypaulo1363 7 месяцев назад

    Mungu ataka nijibiw na tanesco mapem

  • @SalmaImmanul
    @SalmaImmanul 6 месяцев назад

    Eyesu napokea ujauzito kabrayamwenzi5

  • @noellaNigaba-qg5vj
    @noellaNigaba-qg5vj 7 месяцев назад

    Naomba mungu aniponye magonjwa yananisumbua mudamulefu pia nawatoto wangu wanashida kupitiya Baba anawatesa sana haaudumiye naomba mungu amufunguwe katikajina layesu

  • @hildadaniel3828
    @hildadaniel3828 4 года назад +1

    Nipo india napokea upako uku nilipo katika jina la Yesu kristu Ameen

    • @neemarichard893
      @neemarichard893 3 года назад

      nipo arusha naomba niponye baba nina maambukizi ya ukwimwi naomba uniponye baba

    • @neemarichard893
      @neemarichard893 3 года назад

      naomba unisaidie baba

  • @noellaNigaba-qg5vj
    @noellaNigaba-qg5vj 7 месяцев назад

    Naomba mungu aniteteye katikanyumba ninayo ishi

  • @josephinachipa3928
    @josephinachipa3928 7 месяцев назад

    Napokea uponyaji wa mwanangu kuacha bangi kiurahisi .amen

  • @ulumbimtemi1669
    @ulumbimtemi1669 3 года назад

    Asante mungu nimepata faraja sana leo amina

  • @MarietaRukag-ch1vr
    @MarietaRukag-ch1vr 3 месяца назад

    Amina Amina !!!!!!.
    Nimepokea ❤❤🎉🎉

  • @cathymock
    @cathymock 4 года назад +2

    Namshukuru Mungu kwa kupitia mafuta ya upako na neno la mtumishi wa mungu God gave me a business idea during this pandemic I asked God to find me a second income and I came with the idea of delivering groceries to people's house. So thank God I have a second income I deliver groceries in the earned income just for four hours every single day the word that says do not be afraid give me the courage to go out when people are hiding I'm out in the grocery store getting groceries for my customers and take it to their home. I live in a town under quarantine in the USA
    Asante sana bwana Yesu through your 7th of God forgive me this opportunity especially during these difficult times

    • @emanuelmbughi3583
      @emanuelmbughi3583 3 года назад +1

      Bwana yesu naitwa hawa nipo mbeya,kila nikisikiliza maombi kupitia inuka uangaze mungu ananifungulia milango lakini ninapopata pesa zinaishia kwenye ulevi naomba maombi katika hilo kwani nahitaji mafanikio makubwa

    • @emanuelmbughi3583
      @emanuelmbughi3583 3 года назад

      Mtume naomba maombi ya ulinzi wa kazi yangu na matumizi sahihi ya pesa kwani nikipokea zinaishia kwenye vitu visivyo sahihi na kushindwa kufanya malengo

    • @emanuelmbughi3583
      @emanuelmbughi3583 3 года назад

      Mtume nimepokea baraka na mafanikio kuanzia leo eee mungu nabarikiwa na kuinuliwa kupitia maombi ya inuka uangaze nipo live kupitia you tube

    • @hakizimanaphilemon9968
      @hakizimanaphilemon9968 3 года назад

      Dada unabidi kuwa mpekuzi wa bibilia usifuate sana ,miujiza,utaingizwa mjini

    • @hakizimanaphilemon9968
      @hakizimanaphilemon9968 3 года назад

      Huu niunajimu

  • @Fatma-qi9yc
    @Fatma-qi9yc 5 месяцев назад

    Naomba maombi nipate mme mwema 🙏 amen

  • @najmaahmad410
    @najmaahmad410 3 года назад +1

    Napokea uponyaj kwa jina la yesu mtumishi Nina matatiz makubwa Sana mwanangu amefarik katik mazingira ya kutatanisha Sana mtu mishi

  • @marypaulo1363
    @marypaulo1363 7 месяцев назад

    Mungu naomba maombi yangu yajibiw ndan ya mweza huu tanesco waondoe nyaya zao bila garama yeyote

  • @GraceStephano-o7f
    @GraceStephano-o7f 9 месяцев назад

    Mimi naomba mungu anibadirishie maisha najiuza naomba mungu anibadishie maisha

  • @florapaulo54
    @florapaulo54 3 года назад

    napokea mujiza kutoka msumbij namjugamanisha

  • @shukranisekaga9609
    @shukranisekaga9609 3 года назад

    Ee Mungu naomba jibu kila hitaji la moyo wngu.

  • @ewadimlay2040
    @ewadimlay2040 3 года назад +1

    Amina mtumishi

  • @priskamacheya2948
    @priskamacheya2948 3 года назад

    Mungu nibaliki namimi nipate mtoto

  • @nurusaidy7552
    @nurusaidy7552 3 года назад

    Àmeen Ameen Ameen Napokea uponyaji kwajina layesu kristo ukanifungulie vifungo vyote nilivyo fungwa kafala zote nilizo fanyiwa nikapate kuzaa nakufungua milango yote yabaraka ameen

  • @elibarikiwilfred939
    @elibarikiwilfred939 Год назад

    Naomba maombi 10 yesu nisaidie 1_ naomba nipate mchumba 2_ naomba nipone mangonjwa yanayo nisumbua 3_ naomba nimalizie nyumba yangu 4_naomba nipate hela 5_ namombea mam yangu

  • @esthermwipagi558
    @esthermwipagi558 4 года назад +1

    Naitwa Esther nimepokea uponyaji leo hii utasa umeondokaa haleluyaaa

  • @elifarajasarwat
    @elifarajasarwat 6 месяцев назад

    Nataka kupona UTI wa mgongo leo. Kila nguvu za Giza zikome leo katika maisha yangu