LIVE : MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 40 || 14.12.2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 дек 2024

Комментарии • 13

  • @osuritimothy9245
    @osuritimothy9245 2 дня назад +4

    Naona biblos wakirudi kwenye choir ya kurasini, njonzi hili litimike haraka upesi.Blessings

  • @marionatieno8501
    @marionatieno8501 2 дня назад +1

    Kwa umbali huu Jina Mungu Baba Litukuzwe na Azidi kuwaonekanie mzidi kuimarika zaidi na zaidi Mbarikiwe saaana

  • @happyelisa1081
    @happyelisa1081 20 часов назад

    Nafurahi sana kuona hilo tukio hakika Mungu wambingu azidi kuwa pamoja nanyi, Nawapenda mnooo, Kurasini Mimi ninyumbani siku moja nitarejea tukopamoja.

  • @thomasodhiambo4163
    @thomasodhiambo4163 День назад

    sita sahau kukumbuka jinsi hi choir ilivyo tembelea makambi mtaa wa Makongeni SDA Church, Homa Bay, Kenya. Mungu awa bariki.
    Tom Omburah, Kendu Bay, Kenya.

  • @SaidMtagwa
    @SaidMtagwa 2 дня назад +2

    Najaribu Kuangaza Sana Macho ni Mwone Mwalimu Kibasso Abarikiwe siku Zote za Maisha.

  • @jameselias3799
    @jameselias3799 5 часов назад

    nabarikiwa sana na kwaya ya kurasini

  • @leahmocheche7123
    @leahmocheche7123 2 дня назад +1

    Be blessed kurasini

  • @loycemgonja2634
    @loycemgonja2634 2 дня назад +1

    BARIKIWA MDUMU HATA YESU ARUDI

  • @charlesmiyoro8912
    @charlesmiyoro8912 2 дня назад +3

    Mwalimu kebaso alisha lala kwa mauti,akisubiri asubuhi njema ijayo.

  • @kelvinkihedu
    @kelvinkihedu 2 дня назад +1

    Barikiwa sana

  • @dainmboya3366
    @dainmboya3366 2 дня назад +1

    Amen

  • @thomasodhiambo4163
    @thomasodhiambo4163 День назад

    Is Kings Biblos not part of Kurasini choir? Mariam Sassi, where are you?