KUTEMBEA KATIKA ROHO YA HEKIMA.[PART 1]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 21

  • @kayombog1694
    @kayombog1694 3 года назад +11

    KUTEMBEA KATIKA ROHO YA HEKIMA - PART 1
    Effeso 1:17 Hekima ni roho
    •Kiwango cha matokeo inategemea na kiwango cha hekima inayotumia
    Mhubiri 8:1
    HEKIMA HUFANYA NINI(KAZI YA HEKIMA)
    1. Kupandishwa cheo( kiwango cha maisha)
    Mwanzo 41:39-40
    Promotion comes from God
    2. Huleta amani na utulivu
    Mith 3:13-17
    3. Huleta ushindi (matokeo)
    Muhubiri 9:16
    4. Huleta utukufu
    Mithali 3: 35
    5. Unasababisha ubunifu
    Mith 3:19
    HEKIMA - Ni roho
    1. HEKIMA uwezo wa kulihusisha neno la Mungu katika maisha yako
    •Kutendea kazi neno la Mungu katika changamoto
    • Vita tulivyo navyo sio kati yetu na shetani Bali ni Shetani na neno la Mungu
    Mathayo 7: 24-27
    2. Hekima, Ni kujenga maisha yako katika misingi ya neno la Mungu
    Mathayo 7: 24-27
    3. Ni kuunganisha akili zako na akili za Mungu
    Mungu ananiwazia nini?
    •Akili ni kiwanda cha maisha yako.
    •Kuona vitu katika picha ya Mungu kwako
    •Maisha yako ni photocopy ya Mawazo yako
    •Mungu atatosheleza maisha yako kuringana na utukufu wake
    •Kuokoka hakuzuii shetani kutushambulia
    Yoh 5:30
    4. Hekima, Ni uwezo wa kuchukua maamuzi sahihi kulingana na ufahamu( utafiti)
    •Musa alimuuliza Mungu maswali 11
    •Kufanya maamuzi kwa maarifa ( Resign?Ndoa?)
    Zaburi 119:105
    •Kila kizuri kina mapungufu yake
    •Peleleza jambo kabla hujachukua maamuzi
    Luka 5:5-6
    #AhsantePastorGeorge

  • @floraan4388
    @floraan4388 10 дней назад

    Amen amen mtumishi wa mungu hakubariki sana sana kwa message

  • @ElizabethLaizer-h5i
    @ElizabethLaizer-h5i 24 дня назад

    Amen, Amen napokea hekuma Yako Bwana.

  • @dominicasige6745
    @dominicasige6745 2 года назад +2

    Love you Man of God, you are a Blessing to me.Amen

  • @EsthermlongoEsther
    @EsthermlongoEsther 8 месяцев назад

    Amen 🙏 ubarikiwe sana mtumishi WA MUNGU 🙏🙏🙏

  • @djyakuzah
    @djyakuzah Год назад

    Asante sana mchungaji nimesaidika sana nahii neno God bless you

  • @agnesrashidi3853
    @agnesrashidi3853 2 года назад

    Nakufata toka kongo Bukavu mungu azidi kukutumia mtumishi napokeye kitu🙏

  • @nichorousshegwando2654
    @nichorousshegwando2654 Год назад

    Mungu akubariki sana baba,mm ni mchungaji somo hili la kutembea ktk roho ya hekima limekuwa msaada mkubwa sana kwangu,ninaendelea kujifunza.

  • @Jehovarohiband
    @Jehovarohiband Год назад

    Mungu akutangulie nguvu Mtumshi

  • @annonciataumingabire1460
    @annonciataumingabire1460 Год назад

    Ubarikiwe ❤❤❤

  • @mlongongomr9925
    @mlongongomr9925 Год назад

    Amen mtumishi mungu azidi kukuinua zaidi

  • @pendoedwin2026
    @pendoedwin2026 4 месяца назад

    Naomba maombi natamani sana mtumishi

  • @irenesedede8102
    @irenesedede8102 Год назад

    Be blessed Man of God

  • @thomasirondo9734
    @thomasirondo9734 Год назад

    Ni pastor Thomas kutoka unanibariki sana

  • @evalynependo3824
    @evalynependo3824 Год назад

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fulgencenayingo8919
    @fulgencenayingo8919 Год назад

    Ameeeeen

  • @pendoedwin2026
    @pendoedwin2026 4 месяца назад

    Uzidi kuinuliwa

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 3 года назад

    Neno jema hudumu akilin mwa wamtumainiye bwana

    • @thobiasleonard5658
      @thobiasleonard5658 Год назад

      Ee mtumishi Bwana akuzishie hekima ya kulifundisha Neno.

    • @atuganilembonge
      @atuganilembonge 8 месяцев назад

      Barikiwa sana mtumi washi was mungu aliye hai