KOTI LA DIAMOND LAKATAA KUVULIKA, BODI GADI AMKIMBILIA KUMVUA, ZANZIBAR WASHANGILIA...
HTML-код
- Опубликовано: 26 дек 2023
- KOTI LA DIAMOND LAKATAA KUVULIKA, BODI GADI AMKIMBILIA KUMVUA, ZANZIBAR WASHANGILIA...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx - Развлечения
My first favorite show worldwide🦁🦁🦁🦁🔥🔥🔥🔥💪💪💪
Mungu akuhifadhi na mahasidi
Tunakupenda sana mondi
Unyama Sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤ wew ndio simba
Nice show bro
Chibu huna dogo ❤❤❤❤❤❤Kubali sanaaa mwambaaa
Un vrai ambassadeur pour L Afrique ❤
Good Nice
Mondi hatareee
mungu akuweke miaka buku baba nakupenda Sana
Hii show inatazamwa Kimataifa kwann Nchi isipewe heshima aliyonayo Mondi Africa na Duniani. Ukienda Basata pale ukamtaja Diamond hausikilizwi ila mtaje Mmkonde unaonekana unajua kuliko wao
We ni baba wamziki Africa❤❤❤❤
Kuvuliwa koti pia.maajabu
Ahh mond baraaa sana
🔥🔥🔥🔥
Mtu mkubwa big app bro
Unatisha sana simba🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
C est un message ❤
Sidhani kama malipo yanaendana na ulicho kifanya❤❤❤❤❤
Diamond is the king unbreakable
Good. Singer
Show kalii la madangotee
Haya ndio Mpinduzi sasa. Yanazidi hadi Uhuru wa Bara mbali sana sababu bara hawathamini vyakwao vizuri ccm bara wanaabudu pesa kuliko vipaji. Siku kama hii utashangaa kaitwa Mmakonde au Kiba kabisa wakijisikia watamuweka hata Chino
Mh!badooo wapi yoo
Huyu nd rais
Ingekuwa sehemu ya kumtaja muumba usingeona mtu
Innalillahwainnailaih rajiuuun
Mashindano ya quran kwa mkapa lunajaaga asubuhi tu .Haya ni mapito tu usimkatie mtu tamaa tuwaombeee
Shoo imenda Duniani wazazibar hatukuangushi simba tunahitaji uje tena
Diamond is in another levels compared to Asake
Yani kama humkubali diamond unaumia kwa sababu kwemye mechi zake anaua kinyama
Huyo chibonge kavaa sale ya ccm acheza kama kuku
Aujui
❤❤❤
Hhhhhhhhhhh wenye nchi yao😂
Asa zuchu ndio nini
jasho au we unataka kutudanganya niniii
❤❤🎉
Ok
Hii ndio shoo bora Tanzania mzima nikiwa kama raisi wa muziki Tanzania 2023
Hakuna lolote ni utopolo tu
Hujaona ya kiba kwa mkapa
Asante Sana..kwa Kutambua nguvu Ya SIMBA🦁
Mm nilifkil onana😂😂😂
We Zombi Simba la masimba dangote 💯☑️
💖💕💖💕💖💯😍💃💃💃💃
Kabixa mukali niwey simba mond wang tu wengin nimasial
Simba lamsimba dangote
Wew ndio simba
Guys am seventh, bring my likes plz 😊
Nani kamuona zuchu
😂😂😂🏆🏆🏆🙌
yan ss wabongo ndo tatizo utimu una 2upomza san sa apo shoo ya alkib ilikua ime baba je iii una iyonaje 2uachen upinzani ote ni wasaann wa tz 2uwakunali 2
🫡🫡🫡🫡
Mbona nasikia fujo tu
Show ya Ally kiba ndo ilikuwa show yakidunia asa huyu ataka viuno tembele ya mh. raisi kwel😂😂😂😂😂
Sas nini maana ya show we vip
Acha roho ya umasikini si wangemwalika kiba?ila angekuwa fally ungemsifia
Huoni hata haibu kuongea hivyo🤣🤣🤣
mpumbavu ww
Viun temble nd vmkuleta duniani ww
Sipati picha kama angekuwepo konde mwenye mziki wake
Mziki ni wake...Useless..
Konde si angeruka ruka tu
Et konde n mziki wake 🤔
😂 angeshangawa tu kwa kuhonga range na kutaka kunyanganya ila KIMUZIKI bado sanaaa kufika hapa tulipo kwa simba na WCB ila hata simba kampa ZUCHU range. Jifunze kurejea. Kilazaaaaaa😊
wechiz .jifunze kupitia kwa watu
Bullshit
🔥🔥🔥🔥
Badala Raisi akaondosha uchafu sasa tunalewa uchafu wa laana ALLAH ATUHIFADHI NA HIZI LAAANA
Huyu nd rais