Kwa kweli najiona sijui kupiga huyu Jerry Mungu ambariki
Atamimi ni pianist lakini mimi ni mtoto but I appreciate you ❤
Bravo…
Dah kwakweli jerry umeutendea haki wimbo huo pamoja na waimbaji wote kiujumla ,, safisana mkuu Mungu awabariki
Br.Jerry Mungu azidi kukubariki na uzidi kujinoa azidi nafikiri waweza piga kinanda zaidi ya Hivi.
Br naomba upige wimbo wa "Nimeumbwa kwa ajili yako" by Aloyce Goden
Kama kawaida...kinanada kwa urulivu na sauti zinasikika kwa uzuri.....mbarikiwe wana wa Mama
I wish one day to meet this pianist. He is my inspiration.
One day yes
Hongera Maestro Gerry na Wanakwaya
Shukrani
Mungu awabariki, Ninawapenda mnaimba vzr sana.
This is an amazing organist
Bado hatujasema 😂😂
Always bravo''''
Old version yake ilikua tamu zaidi, but utunzi wake ogeda sisi kama wajukuu tunabarikiwa ruclips.net/video/8al4pVENRyo/видео.htmlsi=P2BnAXPN1yYkrFxH
Bila fujo
We mchokozi
kaka we mwenyewe si unaona yan mambo ya mbinguni yapo live hahahahaha@@michaelnyalusi6269
Kwa kweli najiona sijui kupiga huyu Jerry Mungu ambariki
Atamimi ni pianist lakini mimi ni mtoto but I appreciate you ❤
Bravo…
Dah kwakweli jerry umeutendea haki wimbo huo pamoja na waimbaji wote kiujumla ,, safisana mkuu Mungu awabariki
Br.Jerry Mungu azidi kukubariki na uzidi kujinoa azidi nafikiri waweza piga kinanda zaidi ya Hivi.
Br naomba upige wimbo wa "Nimeumbwa kwa ajili yako" by Aloyce Goden
Kama kawaida...kinanada kwa urulivu na sauti zinasikika kwa uzuri.....mbarikiwe wana wa Mama
I wish one day to meet this pianist. He is my inspiration.
One day yes
Hongera Maestro Gerry na Wanakwaya
Shukrani
Mungu awabariki, Ninawapenda mnaimba vzr sana.
This is an amazing organist
Bado hatujasema 😂😂
Always bravo''''
Old version yake ilikua tamu zaidi, but utunzi wake ogeda sisi kama wajukuu tunabarikiwa ruclips.net/video/8al4pVENRyo/видео.htmlsi=P2BnAXPN1yYkrFxH
Bila fujo
We mchokozi
kaka we mwenyewe si unaona yan mambo ya mbinguni yapo live hahahahaha@@michaelnyalusi6269
Bravo…