Mgomo wa walimu wa sekondari na vyuo vya kadri waanza rasmi
HTML-код
- Опубликовано: 12 сен 2024
- Mgomo Wa Walimu Wa Sekondari Na Vyuo Vya Kadri Umeanza Rasmi Huku Shule Nyingi Nchini Zikisalia Mahame. Walimu, Wakiongozwa Na Viongozi Wa Kuppet Katika Kaunti Mbalimbali Nchini Waliandamana Kushinikiza Tume Ya Walimu Kutekeleza Matakwa Yao. Walimu Hao Wameapa Kutorejea Shuleni Hadi Pale Tsc Itakapowasikiza Na Kutimiza Makubaliano Baina Yao. Givens Chanzu Anaangazia Hali Ilivyo Katika Siku Ya Kkwanza Ya Muhula Wa Tatu.
Walimu wanahaki ya kugoma.Justices for our Teachers ❤
Wanaofurahia kama Mimi wako wapi😂
Maybe you don't have kid in high school
Justice for our dear loved ones TEACHERS. you're great people in this Nation and world at large. But look a way our teachers and consider our form 4S.
Walimu wapewe haki yao
KNUT lost its backbone a long time ago.
Striking till we find solution
Am so happy as a teacher 😅😅
Walimu wapewe haki Yao bila wao hamna binadamu duniani Hawa watu wanatoa watu ujinga mazee
Mngome kabisa
Gomeni mwaka
Gomeni milele
Selikali hiko na pesa ya kurandaranda hapa na pale goma kabisaa mbaka mupewe pesa wajinga waliiza kenya
Teacher is student... Ile life students upitia walimu upitia sana, kwanza mashule sa village matope, amm hardship....
Ever since they started striking r their needs met
TSC AND KUPPET FIGHT CONTINUES. Anyways kwetu kakamega hautaona wakigoma,ni waoga kwa kila kitu
But maandamano ya Gnzs ilikua fire 😂😂😂😂
There is no other language the government of Kenya hears.
Can someone do me a favour anijibu kama kuna shule primary school ama hakuna?
piganiaa uhuru wenu
Piga milele
Nauhuyo amefalia black with chiwing gam from bugoma ni walimu pia, aki watu wa bungoma, hata mugomo they can't go dry.
Government they don't care oz their children are in private school .others are schooling in a broad, they're jus running after their gready stomach. BUT GOD is watching them n very soon i say very soon they wil see....
Msirudi nyuma mumegoma wakati mzuri mtu asilete story za jaba eti kuna mitihani mpka mpewe haki yenu wao wana mishahara mikubwa
🤣🤣🤣
Wanaofurahia kama Mimi wako wapi😂