we anakuhusu nini sisi twataka raha bn kwani hiyo qaswida ina uzani gani ili tujifunze sio unaongea bila maarifa mashaallah ukhty arafa tupe raha mamaaa 😂
lete uzani za mziki na qaswida ili tujue huyu kaimba uzani upi na tuhukum sio unatwambia mziki halafu hata uzani za mziki huzijui kaa utulie ujumbe ukiingie 😂
We ukht arafa maashallah yaan hii qaswida inanimaliz natamn nikwambie wap pananikosh zaid ❤
Izi ni ngoma sio kaswida semeni ngoma ,uyu si mke wa mtu anaimba mikono wazi mapambo ndio hayo yapo hadharani mnatarajia malipo gani kwa Allah
Soo ukichukia wenzio wapenda...
Nkweli kaswida zimekua tarabu
we anakuhusu nini sisi twataka raha bn kwani hiyo qaswida ina uzani gani ili tujifunze sio unaongea bila maarifa
mashaallah ukhty arafa tupe raha mamaaa 😂
Pambe n nusu 👌kit roho inapenda mashaaallah ukhty arafa Allah akuzidishie 🤲 akukinge n hasdi amiin nakupenda mno love 🥰♥️❤️❣️😍😍❣️🥰🥰❤️❤️
Alafu unakuta mtu anakoment mashallah. Huu ni mziki kbs wallah
lete uzani za mziki na qaswida ili tujue huyu kaimba uzani upi na tuhukum sio unatwambia mziki halafu hata uzani za mziki huzijui kaa utulie ujumbe ukiingie 😂
Hujawahi kufeli mamy arafa.........Ada ya mja hunena muungwana ni vitendo ngii ngii ngiii wacha weeee
Beautiful voice
Ho ng era ukhty kasda pambeee😍😍😍😍😍😍😍mamaake somo yangu
Ukhty Arafa mashallah bdo unaweza jmnii
Pambe mashallah qweeen wetum asante kwa asali tam
Congratulations you did it 👍👍👍,,, hongera ka Abdul Kwa kukilea kipenz
Que dieu vs bénisse insha allah..
Beau couple 🤲🤝❤️
hongera cna kazi nzuri
Allah abarik kaz za mikoni yen inxhallah
❤mashaallah
Mashallah Dada Arapha Mungu akubarik
Marshall mungu aturinde
Keep it up 🔥🔥🔥🔥
Ndoa ni tamu sana pale unapoifunga hakika ni furaha
Mashaallah 👌👌mungu akuzidishie💞💕
Welcome back Ukhty Arafa
Call her Ukhty “Arafa wa Aqaz”
@@mimitvonline ok
Mashallah
Hiii kasda mbona nikidownlod siipat
jamani dada angu nimekumisi ila ndo kaka khamisi kishakuchukua
Hongera ukhty na kipaji kizuri
Hongera wifi umetisha cna
Mashallah😢😢😢
Mashaallh ukhty warda
Mh jamani alaf mkipata husda apo mtasemaje mambo mengne watu wanayatafuta wenyewe
Arafa uppo nilikumiss kweli
Hongera Arafa wa Aqaz
Komedi kocha
Kocha komed
Juma
Miss you my love arafah
MashaAllah mama ake na mtot wetu❤️
Ana mtoto Arafa
@@khadijahali4837 eeh anae wa kike uyo alokaa na baba ake apo
@@cutemima2599 oohk hee kmb na yupo hapo hapo, hongera yake
@@khadijahali4837 hhhhhhh
@@cutemima2599 😊😊
Masllah
Safi cna
Basii nipeniii zaitunii tu kamahamutaju kishaa mufanye discarion mukukubakilia mutanijibu sawa
Wow nice
Hapo na ku unga mkono .
Mashaaallah
Unatisha mependeza sanaa
Nzuuri
Uhti riziki
Hivi ndo araf yule ninae njia mm kabsa au nimwengine?
Mashaallah 🥰🥰🥰🥰🥰
Tumekumiss ukhty arafa
Ukhty mashaallh ila nakuona km umepungua kimwli kdg
Amepungua kweli pia amekuwa mrefu jmn
@@rehemabakali494 chzea ndoa wee pmj n uzazi
Nikwel ndoa co masihara jaman
Richard buchum
HUU PIA NI UISLAM?
.
Mashallah
Mashallah