PART1:MWIZI ALIYETUMIA UCHAWI KUFANYA MATUKIO/NILIMUUA MAMA NA JOKA KUBWA/DAMU ZA WASICHANA WADOGO

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 255

  • @paulndoya5805
    @paulndoya5805 3 года назад +4

    Huyu dogo mhuni kama kaka ake yaani anakunywa energy kisha anaitegesha kwenye camera kidogo ndio anashusha... 😂😂😂

    • @suzansimon5296
      @suzansimon5296 3 года назад +1

      😂😂😂 asee umenifanya nicheke

  • @catherinewanjiru7136
    @catherinewanjiru7136 3 года назад +5

    Shebi nimekumiss karibu dogo 👊

  • @lawilawi6800
    @lawilawi6800 3 года назад +4

    Sheby Alawi haya tupo😋 🤸 hatimae umekuja👏

  • @babyboss2886
    @babyboss2886 3 года назад +4

    Shebi Bebbii nmekumissii angalau umerejea kutupa simulizi zingine

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад +1

      Tusiingiliane shogaa angu mbona ivyoo jaman.. 🤦🤦

    • @babyboss2886
      @babyboss2886 3 года назад +1

      @zuu njoo pole pole hivi si Daniel ndio mtu wa kwako 😂😂😂

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад +1

      @@babyboss2886 aaaa jaman Daniel tenaa..🤦🤦

    • @cecycecy3610
      @cecycecy3610 3 года назад +1

      @@Teacher_01 zuuu nini lakin🤣🤣

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад +1

      @@cecycecy3610 😂😂😂 ntapambana na yoyote anaeingilia penzi langu.. 😌😌😌😌

  • @aiyamhassan1321
    @aiyamhassan1321 3 года назад +2

    Davista tunasubir mwendelezo wa rwanda magere

    • @mariamnuru9939
      @mariamnuru9939 3 года назад +1

      hata mimi naimeishia patamu

    • @aiyamhassan1321
      @aiyamhassan1321 3 года назад +1

      @@mariamnuru9939 yaan kila saa nachungulia kama nimeinjika harage😂😂😂😂😋

    • @mariamnuru9939
      @mariamnuru9939 3 года назад +1

      @@aiyamhassan1321 walai mimi pia story tamu😋😋

    • @mariamnuru9939
      @mariamnuru9939 3 года назад

      @@aiyamhassan1321 hehe

  • @fahadjinni5845
    @fahadjinni5845 3 года назад +4

    MMEMSEMA ALAWI MPAKA AKANYOA PAKA NYIEEEE ...WAKATI ALAIKUA NA MANYWELE KAM MM

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 3 года назад +5

    Sheby usiwe unachelewa kuleta muhendelezo tafadhali

  • @tayanabenard4392
    @tayanabenard4392 3 года назад

    Mdogo wangu umependeza umepungua nywele..you look🥰😍😘

  • @livingwaterchurchmbulukahama
    @livingwaterchurchmbulukahama 3 года назад +2

    Wa 3 leoooo

  • @nurusky
    @nurusky 3 года назад +2

    Big up golden boy.Umetulia sanaa

  • @fatmaalrshdii7615
    @fatmaalrshdii7615 3 года назад +5

    MTU makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli ulipo nipo

  • @aiyamhassan1321
    @aiyamhassan1321 3 года назад +3

    Aysha na pili siwaoni leo vipi kwema haya mkuje huku sheby amewasili anakunywa na energy yake bardiii mno

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад +1

      ❤️❤️❤️ wifi karibu.. 🤦

    • @aiyamhassan1321
      @aiyamhassan1321 3 года назад

      @@Teacher_01 asante my wii

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад +1

      Ndiyo nmefka wngu 😘😘😘😘😘 shkuran

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      @@Teacher_01 mmeshndaje wote

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      @@ayshamahariq6665 salama kipenz chetu.. ❤️❤️❤️

  • @kingwamaratz6062
    @kingwamaratz6062 3 года назад +4

    Dav ww nae unatuchanganya kaka tuletee stor ya magere mpaka iishe sasa una maana gani kuansisha stor nyingne hjamalza ingine unatuchosha banaa

    • @linahmwende8397
      @linahmwende8397 3 года назад +1

      Wajua hata hio story ya magere iliingilia Kati story ya Hellen .... cool down let's enjoy the muendelezo 😊

    • @kingwamaratz6062
      @kingwamaratz6062 3 года назад

      @@linahmwende8397 ya helen hata sio nzuri yamagere ndo stor bora kuwah kusimuliwa ukiacha ya zabroni kwabyo atuwahishe watu tuna kimhemhe

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 3 года назад

      We kama unaona Kaz acha kuskiliz hz mpya subr ikiisha ile ndio uanze Hz sir wengine tumeshazoea makande😂

    • @kingwamaratz6062
      @kingwamaratz6062 3 года назад

      Punguza shobo kwan bandle lako?

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 3 года назад

      @@kingwamaratz6062 na wewe punguza muhaho una haha Sasa ndugu

  • @samakqlasamaka4508
    @samakqlasamaka4508 3 года назад +4

    Shebi mambo l love nakupenda bule

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +1

    Kwa mtu ambae anamjua rahisi saan kumtambua sauti masikio alama tosha

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 3 года назад +3

    Zuu alawi huyu huku angalau leo utalala na amani 😍😍😍

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад

      Nakwambia😂

    • @aiyamhassan1321
      @aiyamhassan1321 3 года назад

      😂😂😂😂 katupiga biti nakwambia hatimae alawy kafika

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      @@aiyamhassan1321 khaaa NIMEMRUHUSU jaman davista kaniomba Sanaa kwanza mnamuonajee yan.. 😘😘😋😋❤️❤️💃

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      @@credo7837 yaan wew #pilii credoo ameanzaa huku uchokoz☹️☹️🤦

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      @@credo7837 uwanja unaitwaje credoo... 😂😂😂🙈🙈🙈

  • @seasonepisode3328
    @seasonepisode3328 3 года назад +3

    Hiii Chanel mwaka wa 3 huu naifatilia 👏👏👏

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      Kumbe ya zamani hii channel

    • @seasonepisode3328
      @seasonepisode3328 3 года назад

      Ndio tena alikua atuletea kuusu story za watu maharufu mwisho akaanza kuoji mikasa...kama ivi Leo tunavyo enjoy...apa nimejifunza kitu kutoka kwakwe don't give up..

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      @@seasonepisode3328 aha sawa. Asante kwa kunijibu🙏

  • @msalimsali6989
    @msalimsali6989 3 года назад +2

    Golden boY

  • @kalssambaboo9932
    @kalssambaboo9932 3 года назад +1

    Mbona anaonekana kama mdg sana huyu mtt

  • @ibrahimmohamedi4498
    @ibrahimmohamedi4498 3 года назад +3

    Hallow 2 tupo pamoja

  • @denizamahongo8557
    @denizamahongo8557 3 года назад

    Golden Boy wacha sauti ongea Davistar utafikiri hongera kijana twende na story.

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 3 года назад +2

    NIMEMRUHUSU SASA C MNAONA AMEPENDEZAA.. ❤️❤️❤️🙈 MY #GOLDEN BOY

  • @mariamshabani6853
    @mariamshabani6853 3 года назад +2

    Nu 1 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦💃💃💃Asente big bro

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      💃💃💃💃💃🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭 hujambo wngu😘😘

    • @mariamshabani6853
      @mariamshabani6853 3 года назад

      Sijambo kipenzi vip na ww hujambo

  • @Laila-lz4ij
    @Laila-lz4ij 3 года назад +1

    La kushangaza hamna alie comment kuhusu hii story 🤔🤔🤔🤔 wote ni golden boy tu... Davistar 😔😪

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      Shogaa imekuuumaa sanaaa eee.. 😂😂😂😂😂🙈

    • @Laila-lz4ij
      @Laila-lz4ij 3 года назад

      @@Teacher_01 basi tu Unajua tena🤣🤣🤣
      Wengi tu Wa natamani kupendwa 😁😂

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад +1

      @@Laila-lz4ij jaman beby.. 😂😂😂

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 3 года назад

      @@Teacher_01 mbavu zangu mwenzio uwiiiii

  • @rikekikonyo2265
    @rikekikonyo2265 3 года назад

    Dogo unaelezea vizuri sana

  • @dotosalim5090
    @dotosalim5090 3 года назад +3

    Wa kingugi tujuwane

  • @hijahsaidy1562
    @hijahsaidy1562 3 года назад

    Huyu ni kakake davister nn wanafanana

  • @florencerose859
    @florencerose859 3 года назад +1

    Golden boy nimefika ndani

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula4355 3 года назад

    Kama mnaigana sauti kwa nini nae asiwe wa tofauti

  • @Emmy20233
    @Emmy20233 3 года назад

    Uwanja unaitwa😂🤣😅😀😁

  • @anthonkephasglobalmedia7406
    @anthonkephasglobalmedia7406 3 года назад +1

    Leo tupo ntwala

  • @mshangaf1726
    @mshangaf1726 3 года назад +4

    Uwanja wa stombagi 😁

    • @kikoadventures6933
      @kikoadventures6933 3 года назад

      hahahahahaaa

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 3 года назад

      Nikweli kabisa upo pale kimbangulile karibu na makabulini wauni ndio sehemu Yao ya kujidai Yani pale ukipita Salma ushukuru mungu Atari na nusu

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 3 года назад

      Hiyo sehemu itakuwa salama sana kwa wadada😆😄😆😄😆

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 3 года назад

      @@abbyadams8691 ata kwawakaka pia

  • @marthamaligo458
    @marthamaligo458 3 года назад +1

    🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️👂👂Jana na leo

  • @annasilayo1405
    @annasilayo1405 3 года назад +3

    Umeadimi 😂l

  • @credo7837
    @credo7837 3 года назад +2

    Ndio karud leo 😂😂 zuu umefulia

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      Wee NIMEMRUHUSU tu. Kwa heshima ya davista2. maana AMENIOMBA Sanaa nimuachie kijana wake.. 🙈🙈🙈😂😂😂😂

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      Kwanza angalia alivyopendezaa.. ❤️❤️❤️💃

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 3 года назад

      @@Teacher_01 kweli kabisa

    • @fatmaalrshdii7615
      @fatmaalrshdii7615 3 года назад

      @@Teacher_01 Bora umeonaeee ilo

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      zuu kafurai sana😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад +2

    Alhamdlillah w mwisho 😭😭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      My love usiliee habity wangu.. 🤦

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      @@Teacher_01 Asante wngu😘😘😘😘😘😘😘

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣pole

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад +1

      @@pilimusa7770 Asante wngu 😂😂😂😂🤣🤣

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад +1

      @@pilimusa7770 hujambo wngu😘😘😍😍😍

  • @pili3750
    @pili3750 3 года назад +1

    Tupo kwa wamakonde 😂😂😂mwee ntu wangu ila uka mpe hi yule wa jin mahuta 😂😂😂

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 года назад

    Mbona mkuu namjua huyo

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara3649 3 года назад

    Daaa umefanana nae brother

  • @badymsuya6093
    @badymsuya6093 3 года назад +2

    Wakwanza🤔🤔

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 года назад

    Pamoja nipo🙏

  • @mariamnuru9939
    @mariamnuru9939 3 года назад +1

    pamoja sheby

  • @dotosalim5090
    @dotosalim5090 3 года назад +2

    Wasitaleo

  • @dotosalim5090
    @dotosalim5090 3 года назад +2

    Wasita leo

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 года назад +2

    Mrs Sheby uko wapi 😋😋😋😋😂

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      Wifi yangu nipoo.. 💃❤️❤️❤️❤️

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 года назад

      @@Teacher_01 hizo nguo unazotuvalia mama kafunge khanga lasivyo Sheby humpati.

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      @@dorcaskidoti249 samahan Dada subir nitoee.. 🙏🙏

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 года назад

      @@Teacher_01 😂😂😂😂😂 Ee buana hapo vzr au ukiweka picha yako umejistili nisawa ila sio kutuvalia kizungu, Sisi wabongo ukituvalia hivyo tunajuwa nimfanya biashara fulani, Ahsantee my dear kwa kunielewa.😘😘😘

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      @@dorcaskidoti249 nakupenda Dada angu Asante kwa kunifundishaa jaman ilaa ndio nguo zangu Toka nipo kwa wazaz ilaa Asante sanaa

  • @cecycecy3610
    @cecycecy3610 3 года назад +1

    jamni alawiiii wangu nimeingia moyo umepasuka wher ar you golden boy ?? HB da😂😉😉

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      Nitakupigaa achana na my wangu.. ☹️☹️☹️

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      Unamjua mzee nchinalonda wew wa Kongo wewe endeleaaa tu.. ☹️☹️☹️☹️🤦

    • @cecycecy3610
      @cecycecy3610 3 года назад

      @@Teacher_01 ngoja tuone karoli to kazuramimba mama jipangee hiko chuma black mamba changu hikoo😂😂😂😉oooh tulia mamaaa

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад

      @@cecycecy3610 jaman mamy unapenda vitaa Sana Kwan uwaon wakina varoli jaman yan ntakukomesha ... 🤦🤦🤦

    • @Laila-lz4ij
      @Laila-lz4ij 3 года назад +1

      @@Teacher_01 huyo alawi wenu nahisi anajua kama anagombaniwa, ona ma pose yake🤣🤣🤣

  • @semwandambaza2184
    @semwandambaza2184 3 года назад

    Naifatilia....

  • @aishaally8811
    @aishaally8811 3 года назад +2

    Wa 4

  • @aishabeka5562
    @aishabeka5562 3 года назад +2

    Goldenboy tupo pamoja

  • @dignamselle1150
    @dignamselle1150 3 года назад

    Huyu Mdg wako nn

  • @jumakalele3796
    @jumakalele3796 3 года назад +1

    Iko poa Sana

  • @johnshadrack1481
    @johnshadrack1481 3 года назад

    Mi nikajua huyu anaehoji ndo mchawi 😁😁

    • @pilimusa7770
      @pilimusa7770 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu uwiiii

  • @mussajuma3100
    @mussajuma3100 3 года назад

    Stombagi stadium!

  • @noeljosee8384
    @noeljosee8384 3 года назад

    Huyu chalii anaulizaga maswali kishamba kweli yaaani 🚮🚮🚮

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon3986 3 года назад

    🇰🇪🙄🙄🙄

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад +1

    Maisha yamasikani hovivyo kabisaa kwaza huwa sana sana ni vakuibia watu bangi hata kubaka pia

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 3 года назад

    Stombagi Still chama ha ha ha ha ha ha

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 3 года назад

    Tatizo Alawi unaongea wewe sana

  • @abduliddy4545
    @abduliddy4545 3 года назад +1

    SITOMBAGI

    • @tiffaommy846
      @tiffaommy846 3 года назад

      Ndio ulichokielewa hicho 😂😂😂

  • @jangombeboys4536
    @jangombeboys4536 3 года назад

    DOGO